AMETEREMKA by Emil Shayo:-The MAVOS ((Official video)
HTML-код
- Опубликовано: 6 фев 2025
- Baada ya ulimwengu kuanguka katika dhambi na uovu, Mungu nafsi ya pili aliamua kushuka Duniani kwa ajili ya kutukomboa kutoka katika utumwa wa dhambi. Tunakukaribishwa kutafakari fumbo hili ya umwilisho kupitia kazi hii.
Wimbo huu ni utunzi wa Ndg. Emil Shayo umeimbwa na THE MAVOS na kurekodiwa katika studio za Nyumbani Media Pro.
Karibu kuutazama wimbo huu mzuri ili kukaribisha sikukuu hii kubwa.
Mawasiliano
0625907549
0735046393
nyumbanimediapro7@gmail.com
Good song,charming,lovely voice ,spectacular sound & dancing is very nice too.. .HALLELUJAH!!
Aya kaz nzuri tunaitaj kuona zaid ya hii ❤❤❤❤
Mungu ni mwema zitakuja zaidi na zaidi
Hakika kaz ni nzuri na pia tuzidi kumtumikia Mungu zaidi na zaid ni raha kuimba wana Mavos
Amina hasa ukiimba katika roho na kweli
Yani sijui niseme nini ila itoshe kusema kazi nzuri mno Mungu awabarki sana kwa kazi nzuri
ubarikiwe pia
@ Emil Shayo..... pacha Mungu akuweke, unajua unajua hadi unajua tena....
Mavo's nimewapenda sana mna vibe, mmeimba vizuri yaani 🔥🔥
Mungu awatunze
I'm from majita, Musoma,,,,Hakika mmetishaaaa,,Nyimbo nzuri sanaaaa
pamoja sana
Wimbo mzuri sana ( mmoja ), Nyimbo (nyingi) 🙏🙏
Kazi nzuri sana Mungu Awabariki 🎉🎉
Amina dada yetu 👏🏼
Amen Leta mwanga duniani
Shayo unajua utakuwa mtunzi wa dunia 🎉🎉🎉
❤❤ mko vizuri ndugu zangu nawapenda sana
Tunawapenda pia
Hongereni,nimesikia hata melody ya jingle bell
Hongereni sana kazi nzuri na ya viwango.
tumshukuru MUNGU
Kazi nzuri sana wana Mavos
Safi sana endelea hivyo hivyo mtavika mbali sana Mungu awainue wengi kama nyie
Jina la bwana libarikiwe sana
Kazi nzuri MUNGU awabariki 🙏🙏🙏
amina
Hongereni sana the mavos🎉 pamoja na hao watoto wenu🎉🎉
ahsante sana
Hongera sana 🔥😊
The dancing❤❤❤😅enjoyable plus a good song. I love it from +254
Kazi inaridhisha sana kwa kweli
Hongera sana kaka Emil.... karibu sana kenya tuinjilishe pamoja
karibu pia NYUMBANI MEDIA PRO
Hongereni sana Aiseee familia ya
Mavos mmetisha🎉🎉🎉🎉 ila Maisa, Luka, Haule sijawaona mmenifanya nikawa mfuatiliaji mzuri wa The Mavos🎉
wapo ila hawakushiriki kwasababu ya majukumu mengine ya The Mavos waliokuanayo kama taasisi
Hongereni sana kwa kazi nzuri.
tumshukuru Mungu
Emil at his best👌
Great
Kijana sasa ananyoosha muziki
Hongeren sana kwa uinjilishaji 🎉
Mungu apewe sifa
KAZI nzuri wanakwaya kweli
Hongeraaa kaka kila siku unapiga hatua
Jaman hongeren sana kwanza mmedance poa sana na pia mmeimba vizuri hongera sana sana mtunzi na wote kiujumla🎉🎉🎉
Mungu aendelee kuwalinda, nawakubali sana
Kazi nzuri sana bro Haymon
Mungu awe pamoja nanyi hakika ninabalikiwa kupitikia nyimbo zenu
sio tu uimbaji yaan style mavazi mmenifurahisha sana Mungu awabariki mno mnajua ndugu zangu
Waooooo akika ilipendeza Sana MUNGU azidi kukuinua zaidi pastor Jacqueline 🥰🥰💯penda San ww
kitu baya hapa,, watching from Kenya nice and best christmas song, well composed ,organised then like a bomb🎉🎉🎉🎉 released to bring Joy of birth of christ.❤❤❤❤❤❤
Hongera
Ahsante sana
Utuzi safi kabisa
Waoooh❤❤❤
Amazing mmetisha wana Mavos🔥🔥🔥🔥🔥
Moto umewaka toroka ujee mavos ni fire. Hongereni sana hakika mnaipaisha musoma ktk mziki wa dini
Sweet and nice Xmas song ❤❤❤
Good stuff. Congrats 👏👏👏👏
Safi sana❤🎉
Parfect guys🎉🎉🎉❤
Hongereni ❤
shukrani
Kazi safi🥰🥰🥰
Mungu ni mwema
Watu wa maana kabisa
Hongereni sanaaa
Hongereni sana mavazi ,style sauti nzuri ubunifu wa hali ya juu sana❤❤❤
Mbarikiwe🔥🔥🔥🔥
Fantastic THE MAVOS💪💪💪 ❤
Pamoja san
Hongera kwenu 🔥🔥
Shukrani
Kazi kuntu ❤
Zidi kung'aa kwa uimbaji
Congratulations the Mavos
Congrats the mavos mmpendeza sanahhhhh kwa kila kitu uimbaji hadi mavazi🎉🎉🎉
Barikiwa
Kaz nzur ,hongera mtunz Mr Emil shayo na mr piano mmetisha sanaaaa
Safi sana mtunzi na waimbaji🎉🎉
Hongereni Sana kwa hatua hiyo nzuri kabisa Mungu azidi kuwatunza
Mbalikiwe sana
Nawe pia
Wimbo mkali🔥🔥 naomba copy na mie niteremke nayo🤗
Naiwe.kama.Bwana.alivyosema.kwangu.✓haleluyaaa
Amina
Kazi nzuri 🎉
Safi saana yaan
heeeeey hii ngoma inheat naipenda saaan esp the beat🥰
Wow... what an early Christmas masterpiece. Mbarikiwe sana The Mavos na mtunzi Emil Shayo kwa wimbo mzuri sana wa kutuinjilisha kuhusu kuzaliwa kwa mwokozi wetu Yesu Kristo
Barikiwa pia mtumishi
Bila kusahau utunzi wake wimbo "MKATOLIKI" mambo ni 🔥🔥
Congratulations the mavos you made it 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Musoma to the World 🌎❤😂...
Bwana.yesu.nimwema.sana
Hakika
Wakuuu.... Good
Safi💪💪💪
Ila Emil Shayo🔥😂
Aisee hii kitu ni tamuuu balaaa
Ameteremka Bwana masiha❤❤❤
Hongereni sana. Atukuzwe Mungu Milele.
Wimbo mzuri mnoo. Hongereni wote
Kazi nzuri utukufu kwa Mungu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ameremka kunikomboa mimi na wewe
umbarikiwe
Big up
Amin saana
❤🔥🔥
👏🏾👏🏾👏🏾
Let’s do it tomorrow
Safi
🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤❤
🔥👌🙏
❤❤❤❤
🥰
❤❤❤
❤❤❤🎉🎉🎉
🎉
DADA UMEWAHI MNO KUMWAMINI TRUMP NIKIGEUGEU MNO BAADA YA MDA ATARUHUSU HAYO MAMBO KIMYAKIMYA UNGENGOJA KWANZA.
Hongera
❤❤❤❤