JAMVI LA LUGHA :UFASAHA WA KISWAHILI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 окт 2011
  • GURU WALLAH BIN WALLAH NA KAKA JOYOOS

Комментарии • 55

  • @user-hu2uw9hy1f
    @user-hu2uw9hy1f 26 дней назад +1

    Asiyejua ngeli hajui Kiswahili,heko sana Walla bin Wallah

  • @jibabealhadjy1637
    @jibabealhadjy1637 7 лет назад +5

    Nafurahi ustadh guru wallah bin wallah kwa kusisitiza kwa kutunzwa kwa kiswahili kwani wengine huidharau hii lugha kwa kujiongelea mambo ya sio ongelewa

  • @Mwituyi
    @Mwituyi 9 лет назад +7

    The best teacher in the country

  • @ErimaEric
    @ErimaEric 5 лет назад +5

    Safi sana. Leo nime onja utamu wa Lugha fasaha

  • @cynthiaadika7981
    @cynthiaadika7981 5 лет назад +4

    Hongera kwa kazi kuntu! Naomba Mola Akupe umri.

  • @mshihirimweusi7986
    @mshihirimweusi7986 5 лет назад +4

    Kiswahili hakina udhaifu wa maneno, tunapojaribu kutunga misamiati tuangalie zaidi lahaja za kiswahili.

  • @umbopaday
    @umbopaday 5 лет назад +2

    Guru Neno LA kihindi cha Punjabi maana yake mkuu WA dini ya masinga singa. Mfano guru Nana

  • @swotchege3160
    @swotchege3160 2 года назад +1

    Makala mazuri sana...hiki kipenda kilikwenda wapi katika runinga?

  • @AllyHilal
    @AllyHilal 7 лет назад +7

    Bidii yako naikubali. Ahsante Ustadh Walla bin Walla

  • @kipkuruinicholas7130
    @kipkuruinicholas7130 7 лет назад +3

    kaka jos tafadhali tutangazie kambumbu banaaaaaa! mashabiki tunaumia

  • @mwanaahagostine2357
    @mwanaahagostine2357 4 года назад +2

    Nakubali kiswahili kitamu

  • @icon761
    @icon761 5 лет назад +3

    Mjuzi

  • @martowawesh1769
    @martowawesh1769 8 лет назад +3

    hongera ustadhi walla

  • @melimeli9232
    @melimeli9232 11 лет назад +3

    Kaka hujambo ,asante kwa kutufunza lugha hii ya kiswahili.Nikitafakari mwaka wa 2005 katika kipindi cha ukarabati wa lugha mafunzo yako pamoja na ya mwalimu Walla yalinifanya nielewe kiswahili sana, mungu awabariki na awapatie nguvu ya kuenedeleza kiswahili.

  • @vincentokiyah4806
    @vincentokiyah4806 3 года назад +1

    Hongera sana Guru.. mwanafunzi wako milele

  • @lobaalfred1220
    @lobaalfred1220 4 года назад +1

    Galacha wa kiswahili ambaye mimi hutamani kukutana naye ana mnato jinsi anavyozungumza na kuwastadiwa kiswahili.

  • @aggreyokulo1755
    @aggreyokulo1755 8 лет назад +2

    Heko guru,nami nimemakinika vyema kutokana na kazi zako..

  • @MwalimuRichardMwangi.7202
    @MwalimuRichardMwangi.7202 4 года назад +2

    Nimefurahi sana kwa ajili ya guru

  • @simonphabiano9050
    @simonphabiano9050 2 месяца назад

    Safi sana Mwalimu

  • @AhmedOmar-no1ci
    @AhmedOmar-no1ci 3 года назад +2

    Na ogopa kujikashifu nikiandika maoni yangu. Lugha ya mtaa haina thamani tunyamaze tu.

  • @festusmuia5006
    @festusmuia5006 10 месяцев назад

    Mwandishi wa vitabu mufti,,,bwana ulinisaidia sana katika somo la kiswahili

  • @MwalimuRichardMwangi.7202
    @MwalimuRichardMwangi.7202 3 года назад +1

    Guru kongole .....Maaaasneeeno hayo

  • @jackowuor4016
    @jackowuor4016 11 лет назад +3

    aise kaka mbona wakenya hawana hulka ya kusoma vitabu vya kiswahili

  • @leahmunji8781
    @leahmunji8781 10 месяцев назад

    Kiswahili lugha tamu ikitumika kwa ufasaha ...kiswahili kitukuzwe.

  • @Blackisbuty5
    @Blackisbuty5 11 лет назад +2

    Tafadhali KBC 'upload' video vya jamvi la lugha hasa natafuta ya mwaka uliyopita desemba wa wanaume wawili walimu, jina la mwisho nadhani lilikuwa ni Njoku

  • @Okwash1
    @Okwash1 9 лет назад +4

    Huyu Guru Wallah Bin Wallah ni mjaluo. Luos can speak swahili.

  • @evansodikor2343
    @evansodikor2343 2 года назад

    hongera zidi kutuelimisha

  • @jamboaerobicsandfitness2000
    @jamboaerobicsandfitness2000 5 лет назад +2

    Fasaha ni kiswahili? Kiswahili cha uguja kimetatiana na kiarabu..

  • @MichaelTonga101
    @MichaelTonga101 3 месяца назад

  • @mugokiberenge8818
    @mugokiberenge8818 3 года назад

    Kipindi wapi tena?

  • @Mwituyi
    @Mwituyi 9 лет назад +8

    You are good for nothing brother. Wallah Bin Wallah ni mwalimu wa walimu na Tanzania hamna mwalimu kama yeye.

    • @maryanmahad6615
      @maryanmahad6615 6 лет назад

      Ooh Stephen mukangai !

    • @hamadamaani2516
      @hamadamaani2516 4 года назад +2

      Je uchunguzi huo ulifanywa na nani huku ndo kumejaa ufanisi na utendeti Wa lugha

    • @ramyali6347
      @ramyali6347 2 года назад

      Unasema nini wewe na Wallah bin Wallah amesomea Tanzania?? Shukuru Tanzania imesomesha huyo hadi kuwa Gwiji.

  • @asilclub
    @asilclub 7 лет назад +2

    ASATE SANA MWALIM GURU NATAMANI UTUFAHAMISHE LUGHA YETU YA KISWAHILI INAYO TAFOUTI NA WASWAHILI WA WASOMALI NA WARABU WA OMANI (HAYO MANDISHI NI LUGHA GANI ???KISWAHILI AU KIARABU ???)KWA KIARABU ( احسنت صنيعا معلم جوروا أتمنى ان تفهمنا لغتنا لها من تفاوت من سواحلية الصومال و عرب عمان ) SASA NIMEANDIKA KWANZA KWA KISWAHILI NA NIMEDIKA KWA KIARABU NANI AL KUAWA AMEKUJA KWANZA QURAAN TUKUFU KWA KIARABU AU KISAWAHILI ?????? KISAWAHILI NI LUGHA IMEZALIWA KUTOKA KIARABU KWANI VIDEO HI YAKO ZAIDI YA NUSU MANEMO YAKO NI LUGHA YA KIARABU ASANTE SANA

  • @abubakarrahim8482
    @abubakarrahim8482 7 лет назад +4

    sisi huku somalia tunawaangalia munavo kichafua lugha ya kiswahili lakini tunaomba ishuke amani somalia naona kutakuwa na mapambano na mijadala ya lugha hii ilivo chafuka kiwango hichi.

    • @davidngwesa
      @davidngwesa 4 года назад +1

      Somalia Kiswahili kinazunguzwa wapi? Naomba kuelewa kama hautajali!!

    • @AhmedOmar-no1ci
      @AhmedOmar-no1ci 3 года назад +2

      umewahi kusikia Galka’yo? Huko ndipo uvumbuzi mpya unaendelea hivi sasa.

    • @abubakarrahim8482
      @abubakarrahim8482 3 года назад +2

      @@davidngwesa suala lako nimeliona leo lakini huenda ukapata majibu yangu. Kiswahili chimbuko lake lilianzia huku kwetu somalia hadi sasa tupo hata kama ni minority tribes.kuanzia mogadisho,Barawa. kismaiyu, na visiwani- koyama, chula, chovae , mdowa, kudai, Burkavo, Raskiamboni mpakani baina ya somali na kenya hizi ni sehemu utapata kiswahili kiki zungumzwa hadi leo.

    • @abubakarrahim8482
      @abubakarrahim8482 3 года назад +1

      @ShutterDe DON hujakosea kuwa nimbajuni ama Wambalazi abao kwa jina lengine wanaitwa Wabarawa. Lakini wabantu wamepotza lugha yao ya kizugua wengi wanaongea kisomali japo kuna wengine kidogo wanaongea lugha ya kizuguwa. Huku somalia wanaitwa jareer ama wagosha a.k.a Bantu. Majina walio bandikizwa na wasomali.

    • @abubakarrahim8482
      @abubakarrahim8482 3 года назад +2

      @@davidngwesa kiswahili kinaongwa sehemu nyingi sana japo sisi somalia ni minorities lakini lugha yetu bado tumeidhabiti. Kuanzia mogadisho, Barawa, kismaiyu, na visiwani -mchooni, Koyama, Fuma, chula, mdowa, Chovaye, Burkavo, na Raskiamboni mpakani kenya na somalia.na ukija kwa nduguzetu wabajuni wa kenya kuanzia Ishakani Pate, chundwa, faza, na visiwa vengine mpaka lamu na wengine wanateremka mpaka mombasa ufuo mzima. hawa ni ndugu zetu tulogawanyika sababu ya mipaka waloweka wakoloni.