WASTA: SAUTI ZA UFASAHA NA BUSARA - SAID AHMED MOHAMED

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • KONGAMANO LA KISWAHILI NA SIKU YA KUWATUZA WASWAHILI WENYE SAUTI ZA BUSARA NA UFASAHA KATIKA CHUO CHA WASTA, NGONG', KENYA.

Комментарии • 13

  • @AllyHilal
    @AllyHilal 9 лет назад +4

    Ni kweli kabisa, Profesa Said Ahmed ni mfano wa kuigwa. Ameandika vitabu visivyopungua 55 na bado kuna vitabu anaendelea kuandika. Huyu utampata kwenye uwanja wa mashairi, riwaya na tamthilia. Bingwa wa uhakika. Mungu akubariki Profesa, na sisi tupo nawe katika kukikuza kiswahili

  • @favourspapatv
    @favourspapatv 6 лет назад +4

    Mungu wangu,laiti ningesheheni thuluthi moja ya uwezo wako,ningekuwa sijui Kama Nini,ahh Mkuu,natamani niwe Kama wewe.

  • @freddyfredricks3435
    @freddyfredricks3435 4 года назад

    I so love this legend by the name Said A Mohammed 💪💪💪💪💪

  • @alicenjeri.m.
    @alicenjeri.m. 5 лет назад +1

    Nampeda Said Ahmed Mohammed,Utengano,Asali Chungu,Dunia mti mkavu,Duniani kuna watu..nimevisoma

  • @favourspapatv
    @favourspapatv 6 лет назад +4

    Kiswahili cha pemba,kina uhalisia wa aina yake,sio Kama cha Mombasa kimetiwa halua na tende.Inkisari kupitiliza "amkwambia" badala ya "amekwambia" "ndoo" badala ya "njoo" Wala sio Kama cha bara Tanzania wanaotamka "th" Kama "z" "r" Kama "l",. "kwa hiyo" badala ya "kwa hivyo" na hitilafu nyingi za kiufundi.Natamani nije Zanzibar angaa wiki moja nipate kusikia wenyeji wakizungumza kiswahili kwa ufasaha.Ukiumwa mwone daktari aliye karibu nawe.

    • @tahiraabdul1701
      @tahiraabdul1701 Год назад

      Majuzi mambasa imepatikana sarafu ya 1400....

  • @jamessifuna264
    @jamessifuna264 4 года назад

    Walai hapa kiswahili kipo!!!!