PENZI LA MUME WA BOSS EP 20 | SO1 || Love Story 💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025
  • #busatitv #lovestory #bongomovie

Комментарии • 87

  • @KiwangoMediaFilms255
    @KiwangoMediaFilms255  Месяц назад +9

    HABARI ZENU WATAZAMAJI WETU UONGOZI WA KIWANGO MEDIA FILMS TUNAOMBA RADHI KWA KUCHELEWESHA KUTOKA EPISODE 21 KUTOKANA NA SABABU ZILIZO NJE KABISA YA UWEZO WETU KUTOKANA NA TATIZO HILI BASI EPISODE YA 21 NA KUENDELEA ZITAKUJIA TAREHE 21 /01/2025 HIVYO TUNAOMBA UVUMILIVU WENU KWETU TUNAWAPENDA SANA NA TUTARUDI KWENYE RATIBA ILE ILE KILA BAADA YA SIKU MOJA TUNAACHIA EPISODE MPYA AHSANTENII 🙏

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 Месяц назад +3

    Tressy nakupenda saana. Nafatilia kutoka Oman 🇴🇲

  • @Basilisa-vc2rl
    @Basilisa-vc2rl Месяц назад +2

    Raymond you have attractive voice, all in all am much interested on yr amazing movie

  • @Jiddahkhery
    @Jiddahkhery Месяц назад +2

    ❤❤❤😂sawa kaka tunawapenda kiwang media

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 Месяц назад +2

    Poleni sana kwa changamoto mlioipta. Tunakuombeeni kl la heri. MUNGU akufanyieni wepec. Tupo pamoja nanyi.

  • @HoHo-l1r
    @HoHo-l1r Месяц назад +6

    Jmn 😂😂😂 inabidi nifurai to nimeamini kuishia na Mme wa mtu sawa na kukopa mkopo wa benki 🏦😢😢😢 pole sana warda...

  • @SarahHappy-k1o
    @SarahHappy-k1o Месяц назад +4

    Nimwfurahi kuona madam akiwa na furaha Leo nawapenda sena🎉🎉❤❤

  • @rizikisam6481
    @rizikisam6481 Месяц назад +4

    Nlijua tu huyu atampenda yaani mapenzi hua ayaigiziwi 😂😂😂😂

  • @LilianJuma-q6y
    @LilianJuma-q6y Месяц назад +3

    Tressy upo vizuri nakupenda bure🎉❤🎉❤🎉

  • @SamouOman
    @SamouOman Месяц назад +3

    Jomon imenoga atar nataman ata isiishe kazi nzur Sana mungu awaongoze jaman

  • @LilianJuma-q6y
    @LilianJuma-q6y Месяц назад +6

    Aisee Raymond Leo umenifurahisha mno , huo mpango wa kumtoa huyo bonge nyumbani kwako , at least tressy afurahie ndoa yake,

  • @SaraQueen-tm5dr
    @SaraQueen-tm5dr Месяц назад +6

    Mnajua sana maua yenu 🎉🎉

  • @MARIAMARIA-j3r
    @MARIAMARIA-j3r Месяц назад +4

    Tumepokea na tumewasamehe❤❤

  • @MahadhiMusa
    @MahadhiMusa Месяц назад +1

    Leo Raymond umenipa raha yani 🎉❤❤❤❤❤

  • @AishaModi-eg2vq
    @AishaModi-eg2vq Месяц назад +3

    Jamani umefika mahali patamu sana ila tumewaelewa lakini msichelewe sana bana alafu nawapenda nyote aki ❤❤❤❤

  • @fayojarso3777
    @fayojarso3777 Месяц назад +2

    Ok sawa Raymond,hata mimi niko kenya, congratulations.

  • @Stellabby-zo7mw
    @Stellabby-zo7mw Месяц назад +2

    Mmmh maua yenu jaman🎉🎉🎉🎉

  • @NeemaEli-wl1dz
    @NeemaEli-wl1dz Месяц назад +3

    Kazi zuri zana piya inafundisha jamii

  • @sayunimnguruta98
    @sayunimnguruta98 Месяц назад +3

    ❤❤❤❤❤❤ kazi nzr sana❤❤❤

  • @MercyJoy-s5t
    @MercyJoy-s5t Месяц назад +1

    😂😂😂kr kashapenda yaani.kanogewa😂😂😂

  • @JohnDavid-zq3dy
    @JohnDavid-zq3dy Месяц назад +1

    Asante

  • @DaisyNyabuto
    @DaisyNyabuto Месяц назад +2

    Mapenz matamu mtu asikuambie wee🤣🤣🤣🤣

  • @TantineMukambilwaFumbele
    @TantineMukambilwaFumbele Месяц назад +3

    Pôle Sana kweli tutazidi kuwahombeya

  • @rahimaaaaa5682
    @rahimaaaaa5682 Месяц назад +1

    😂😂😂😂😂Igizo juu ya Igizo

  • @BertinaCatitiAdamu
    @BertinaCatitiAdamu Месяц назад +2

    Keiyara ndo atanogewa

  • @McT-m1m
    @McT-m1m Месяц назад +4

    Duhuu warda anapitia magumu

  • @AgnesKatana-o4z
    @AgnesKatana-o4z Месяц назад +1

    Imenoga sana tupe muendelezo Raymond

  • @GladysKarembo
    @GladysKarembo Месяц назад +1

    Tutawamiss kweli

  • @lovenesskyungai7882
    @lovenesskyungai7882 Месяц назад +2

    Raymond siwez kuish bila ww😂😂😂😂😂

  • @MumbereKisiko
    @MumbereKisiko Месяц назад +3

    Hakika leo mumeniuwa nimecheka duuh

  • @subiraisaka7227
    @subiraisaka7227 Месяц назад +1

    Warda acha kunyanyasika tafuta njia ya kwenda mume anaye kupenda hawez akakuacha ukateseka

  • @Najmahnyangasi
    @Najmahnyangasi Месяц назад +3

    Kazi nzuri sana

  • @HijjatyIddy
    @HijjatyIddy Месяц назад +2

    Safi sana kazi nzuri🎉🎉🎉

  • @HaluaMwamau
    @HaluaMwamau Месяц назад +7

    Warida sema tu ukweli nae mbn unyanyasike

  • @Nema-f5d
    @Nema-f5d Месяц назад +2

    Good job

  • @JescaMarykarisa
    @JescaMarykarisa Месяц назад +2

    Pole sana warda

  • @ElizaMalenga-j5v
    @ElizaMalenga-j5v 29 дней назад

    Yani, mumejuwa kunifurahisha Raymond 😂

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 Месяц назад +2

    Mmmh sasa endelea kupokea umekua UPAKO WA MWAMPOSA😅😅😅

  • @MosesKasubili
    @MosesKasubili Месяц назад +2

    Hongel san

  • @FatumaBahatihassan
    @FatumaBahatihassan Месяц назад +1

    Masha Allah

  • @ndindamuema230
    @ndindamuema230 Месяц назад +2

    Lakini nyie😅😅😅😅😅

  • @NtacobanzizaLeatitiazilfa
    @NtacobanzizaLeatitiazilfa 24 дня назад

    Achakwanza 😂😂

  • @fatumasalim3915
    @fatumasalim3915 29 дней назад

    Tunasubir sana t

  • @saidmohd2931
    @saidmohd2931 Месяц назад +2

    Hii ya KR ni otimbi na timbilio 😂😂😂

  • @JackGerrard-o4h
    @JackGerrard-o4h 27 дней назад

    Matipwa tipwa oyeeeee mapenzi pambeeee

  • @MariamRiziki-o8x
    @MariamRiziki-o8x Месяц назад +2

    Love yu guys🎉🎉🎉🎉🎉fro kenyatta

  • @Mikeys-m9w
    @Mikeys-m9w Месяц назад +5

    Ila Ray eti sasa Endelea Kupokea 😅😅😅 𝐌𝐮𝐧𝐠𝐮 𝐀𝐦𝐟𝐚𝐧𝐲𝐢𝐞 𝐰𝐞𝐩𝐞𝐬𝐢 𝐌𝐬𝐚𝐧𝐢 𝐖𝐞𝐭𝐮 𝐀𝐫𝐞𝐣𝐞𝐞 𝐒𝐚𝐥𝐚𝐦𝐚 𝐒𝐚𝐥𝐢𝐦𝐢𝐧𝐢 🤲😢
    𝐍𝐚 𝐊𝐚𝐳𝐢 𝐈𝐞𝐧𝐝𝐞𝐥𝐞𝐞..... ✊🕺🕺

  • @MelvinLindah
    @MelvinLindah Месяц назад +2

    KR ndio ashaapenda

  • @MwanakheirHaji
    @MwanakheirHaji Месяц назад +2

    Kr beba mzigo uo sio mbaya

  • @StellaKarui-o2t
    @StellaKarui-o2t Месяц назад +1

    Pole sana

  • @SaraQueen-tm5dr
    @SaraQueen-tm5dr Месяц назад +2

    Warda kapeleka wapi mimba😂

    • @QweenNickson
      @QweenNickson Месяц назад +1

      Anashindwa kuigiza kama mjamzito kabisa 😢me ananikera bhana 😏😏

    • @SaraQueen-tm5dr
      @SaraQueen-tm5dr Месяц назад

      @QweenNickson 😂😂😂😂

  • @CantonerNgota-x6r
    @CantonerNgota-x6r Месяц назад +1

    Poa. 😂😂😂😂😂

  • @JackGerrard-o4h
    @JackGerrard-o4h 27 дней назад

    🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @RehemaMwakisyala-k9u
    @RehemaMwakisyala-k9u Месяц назад +2

    Warida unachembe za uchaw sio bure

  • @MwanamisiMwajinga
    @MwanamisiMwajinga Месяц назад +2

    Mbona kimya

  • @NyaswediNyaswedi
    @NyaswediNyaswedi Месяц назад +2

    😂😂😂

  • @WilminaerroBayo
    @WilminaerroBayo Месяц назад +1

    Jmn. Tuongezeen. Bc

  • @fatumamkuzi8051
    @fatumamkuzi8051 Месяц назад +2

    Warda bora ungeli baki kwako kuliko upuzi wako

  • @RachelSimbeye
    @RachelSimbeye Месяц назад +2

    😂😂😂😂

  • @Halimah-s4z
    @Halimah-s4z Месяц назад +1

    😂😂😂😂