HABARI ZENU WATAZAMAJI WETU UONGOZI WA KIWANGO MEDIA FILMS TUNAOMBA RADHI KWA KUCHELEWESHA KUTOKA EPISODE 21 KUTOKANA NA SABABU ZILIZO NJE KABISA YA UWEZO WETU KUTOKANA NA TATIZO HILI BASI EPISODE YA 21 NA KUENDELEA ZITAKUJIA TAREHE 21 /01/2025 HIVYO TUNAOMBA UVUMILIVU WENU KWETU TUNAWAPENDA SANA NA TUTARUDI KWENYE RATIBA ILE ILE KILA BAADA YA SIKU MOJA TUNAACHIA EPISODE MPYA AHSANTENII 🙏
HABARI ZENU WATAZAMAJI WETU UONGOZI WA KIWANGO MEDIA FILMS TUNAOMBA RADHI KWA KUCHELEWESHA KUTOKA EPISODE 21 KUTOKANA NA SABABU ZILIZO NJE KABISA YA UWEZO WETU KUTOKANA NA TATIZO HILI BASI EPISODE YA 21 NA KUENDELEA ZITAKUJIA TAREHE 21 /01/2025 HIVYO TUNAOMBA UVUMILIVU WENU KWETU TUNAWAPENDA SANA NA TUTARUDI KWENYE RATIBA ILE ILE KILA BAADA YA SIKU MOJA TUNAACHIA EPISODE MPYA AHSANTENII 🙏
Nisawa kaka Ray.
Tressy nakupenda saana. Nafatilia kutoka Oman 🇴🇲
Raymond you have attractive voice, all in all am much interested on yr amazing movie
Asante sana 🤝
❤❤❤😂sawa kaka tunawapenda kiwang media
💛🤝🤝
Poleni sana kwa changamoto mlioipta. Tunakuombeeni kl la heri. MUNGU akufanyieni wepec. Tupo pamoja nanyi.
@@umfahad2609 Shukrani sanaaa!!.. inshalaah
Jmn 😂😂😂 inabidi nifurai to nimeamini kuishia na Mme wa mtu sawa na kukopa mkopo wa benki 🏦😢😢😢 pole sana warda...
Nimwfurahi kuona madam akiwa na furaha Leo nawapenda sena🎉🎉❤❤
Nlijua tu huyu atampenda yaani mapenzi hua ayaigiziwi 😂😂😂😂
Tressy upo vizuri nakupenda bure🎉❤🎉❤🎉
❤️💋
Jomon imenoga atar nataman ata isiishe kazi nzur Sana mungu awaongoze jaman
Aisee Raymond Leo umenifurahisha mno , huo mpango wa kumtoa huyo bonge nyumbani kwako , at least tressy afurahie ndoa yake,
🤝🤝🤝
Mnajua sana maua yenu 🎉🎉
@@SaraQueen-tm5dr 🤝🤝🙏
🙏🏻🙏🏻
Tumepokea na tumewasamehe❤❤
Leo Raymond umenipa raha yani 🎉❤❤❤❤❤
Jamani umefika mahali patamu sana ila tumewaelewa lakini msichelewe sana bana alafu nawapenda nyote aki ❤❤❤❤
tunakupenda pia haitachelewa 🤝💛
Ok sawa Raymond,hata mimi niko kenya, congratulations.
@@fayojarso3777 🤝🤝🙏
Mmmh maua yenu jaman🎉🎉🎉🎉
Kazi zuri zana piya inafundisha jamii
@@NeemaEli-wl1dz 🙏🤝
🙏🏻🙏🏻
❤❤❤❤❤❤ kazi nzr sana❤❤❤
@@sayunimnguruta98 💛💛🙏
😂😂😂kr kashapenda yaani.kanogewa😂😂😂
Asante
Mapenz matamu mtu asikuambie wee🤣🤣🤣🤣
Pôle Sana kweli tutazidi kuwahombeya
😂😂😂😂😂Igizo juu ya Igizo
Keiyara ndo atanogewa
Duhuu warda anapitia magumu
Imenoga sana tupe muendelezo Raymond
Nawaletea sio muda
Tutawamiss kweli
Raymond siwez kuish bila ww😂😂😂😂😂
Asante 🤝🤝 nakuombea kwa Mungu uishi sana
Hakika leo mumeniuwa nimecheka duuh
Warda acha kunyanyasika tafuta njia ya kwenda mume anaye kupenda hawez akakuacha ukateseka
Kazi nzuri sana
@@Najmahnyangasi 🤝🙏
Safi sana kazi nzuri🎉🎉🎉
@@HijjatyIddy 🤝🤝🙏
Warida sema tu ukweli nae mbn unyanyasike
Good job
@@Nema-f5d 🤝🙏
Pole sana warda
Yani, mumejuwa kunifurahisha Raymond 😂
Mmmh sasa endelea kupokea umekua UPAKO WA MWAMPOSA😅😅😅
😂😂😂
Hongel san
Masha Allah
Lakini nyie😅😅😅😅😅
Achakwanza 😂😂
Tunasubir sana t
Hii ya KR ni otimbi na timbilio 😂😂😂
@@saidmohd2931 😀🔥
😂😂😂😂
Matipwa tipwa oyeeeee mapenzi pambeeee
Love yu guys🎉🎉🎉🎉🎉fro kenyatta
💛💛
Love you mariam 😍
Ila Ray eti sasa Endelea Kupokea 😅😅😅 𝐌𝐮𝐧𝐠𝐮 𝐀𝐦𝐟𝐚𝐧𝐲𝐢𝐞 𝐰𝐞𝐩𝐞𝐬𝐢 𝐌𝐬𝐚𝐧𝐢 𝐖𝐞𝐭𝐮 𝐀𝐫𝐞𝐣𝐞𝐞 𝐒𝐚𝐥𝐚𝐦𝐚 𝐒𝐚𝐥𝐢𝐦𝐢𝐧𝐢 🤲😢
𝐍𝐚 𝐊𝐚𝐳𝐢 𝐈𝐞𝐧𝐝𝐞𝐥𝐞𝐞..... ✊🕺🕺
@@Mikeys-m9w Inshaalah
KR ndio ashaapenda
Kr beba mzigo uo sio mbaya
Pole sana
Warda kapeleka wapi mimba😂
Anashindwa kuigiza kama mjamzito kabisa 😢me ananikera bhana 😏😏
@QweenNickson 😂😂😂😂
Poa. 😂😂😂😂😂
🎉🎉🎉🎉❤❤
Warida unachembe za uchaw sio bure
Mbona kimya
@@MwanamisiMwajinga Episode 20 ipo hewani
😂😂😂
Jmn. Tuongezeen. Bc
Warda bora ungeli baki kwako kuliko upuzi wako
😂😂😂😂
😂😂😂😂