MHE. RAIS SAMIA AKIKAGUA NA KUZINDUA SOKO KUU LA NJOMBE MJINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua na Kuzindua Soko Kuu la Njombe Mjini leo tarehe 10 Agosti, 2022

Комментарии • 5

  • @olivamkinga3353
    @olivamkinga3353 2 года назад

    Mama hongera sana

  • @nahiriali1405
    @nahiriali1405 2 года назад

    Inamaana hicho kibegi kumbe kimebeba hizi mic 🎤🎤

  • @kainimlowe9646
    @kainimlowe9646 2 года назад

    Ilo soko mnazindua mara ngapi

  • @fredymsigwa9314
    @fredymsigwa9314 2 года назад

    Rais 🇹🇿Samia Hasani hatujali wananch wa chini Jonh pombe magufuli alijari Sana Maskini Njiani anapta Kama haoni wananch

    • @tanzanite9944
      @tanzanite9944 2 года назад

      Ulitaka akupe nini njiani? Kwahiyo asimame akupe mkono ndio utaona umejaliwa? Inaonyesha huna kazi ya kufanya, hivyo tafuta shamba lima likuinue kiuchumi ili usiendelee kuwa maskini ukisimama njiani ukiomba kujaliwa.