Mm niliota napelekwa kwa mganga na mtoto wa mjomba angu,,,wa kivulana,,,,na aliye kuwa twamfata alikufa kitambo sana,,,sasa nikaota yuko hai hata twaenda kwake,,,sasa tulipo fika pale,,,,akawa hafanyi haraka mm nikaanza kukasirika yule mtoto wa mjomba akasema hapa umefika daa hautahangaika tena,,,,hii nayo inamaana gani
Je Kuota kupandisha shetani katika ndoto
Leo nimemuota nikiwa nimembeba mganga wa Tanzania mgongoni
Habari Mimi nmeota mgaga hakinchacha vindole
Inakuqje shehe afannya kazi za jadi at same time
Yeh mi ni mwislam but hata sipat jibu
Asalmalykum mm ustadh nifafanunulie nimeota mganga ananitibuamechinja kuku akamwaya pale ndani nn mana yake
Mm sheikhe ninaota ninaelekezwa madawa ya kinyeji maana yake nn
Assalaam alykum mm nmeota mganga wa kissunna ananitibu
Je ukiota mganga akikutibu na akwambie chida zako zote na akutajie kama unaitaji utajili na akuambie utafanikiwa,hio ndoto inamanicha nini?
Assalamualaikum mimi nimeota tunaelekezwa Kwa mganga hy dada anatuonyesha nipale tunaonyeshwa mji wake
😊
.😊
Mm niliota napelekwa kwa mganga na mtoto wa mjomba angu,,,wa kivulana,,,,na aliye kuwa twamfata alikufa kitambo sana,,,sasa nikaota yuko hai hata twaenda kwake,,,sasa tulipo fika pale,,,,akawa hafanyi haraka mm nikaanza kukasirika yule mtoto wa mjomba akasema hapa umefika daa hautahangaika tena,,,,hii nayo inamaana gani
Mm kabisa hiindot nimeota
HABARI munaweka namba zakupiga kisha sim yenyewe amupokei
OOO SAMAHANI
Niliota mganga akimbia mbio sijui hiyo inamanisha nini
Nitumie namba yako
+355765893020
Ukiota unavumbua mkoba wakiganga.
Mbona hueleweki
Ostath nope jibu