Anasema alipo kua peke ake kwenye gari aka kimbia na kuliacha kundi la sabaya,still anasema akawasiliana na sabaya akiwa dar baada ya kitenguliwa inakuaje watafutane tena wakati mwanzo alimkimbia,huyu jamaa anajaribu kulipiza kisasi kwa sabaya Ila kwenye maelezo ana jichanganya Sana
@@firdausqutty2067 Linaeleweka kila mwanadam anamapungufu yake mdau ila huyu jamaa sio upigaji wa mali na pesa tu alikuwa anaumiza watu kukata maskio watu bila hofu ya Mungu huyu ndie aliefyeka shamba aliojitolea Mbowe akawalimia bustan ya mboga mboga kila aina ya mboga mboga akawapa kina mama wa Hai ili wajipate kipato chao yeye akaja na kikundi chake akafyekelea mbali kbs alitumia cheo chake kufanya yote hayo upo?
ila hapa kuna ukwel unafichwa, et akatoloka kutoka kwenye gari na wakat alikuwa kafngwa pingu, na baday akapgiwa cm achukue bag aende nalo dar, ina maan kwann walimfunga pingu na kumweka kwenye gari baday hawakufatilia lolot jmn hap kun cotradct kdgo
Martin aliporudishwa kwenye gari alifunguliwa pingu sikiliza kwa makini.Inaonyesha walimfunga ili kumshtua yule mwenye gereji aone ni Polisi .Walitumia hiyo kama gea ya kumtisha mwenye gereji.Wewe husomi tu iyo game ukaunganisha story
Mbona hasemi kila walipokuwa wanafika supermarket ninapofanyia kazi walilazimishwa kuimba nyimbo za dini wakati Sabaya akipiga gitaa na yy analazimisha watu msalimie huyu shikamoo mjeshimiwa hata kama ni mzee??
Mabingwa wa kukataa kuwa Sabaya hakutenda aliyetenda yupo wapi ?.Kuna watu waliokuwa wanasema Sabaya kaonewa na Serekali je kwa maelezo hayo mmesikia ushahidi huo?
Kwani yesu alipo uwawa huku pata KUSOMA alitolewa ushahidi? KAMA MTU KACHOKA KUSUMBULUWA KAMA PETRO LAZIMA ATASEMA NDIVYO SIVYO KWANI MAHAKAMA YA KIGOGO WANA FATA USHAHIDI AU HAKILI ZAO ZITAKAVYO? KUNA USHAHIDI WA SAMIA KUMTETEA STEVE NYERERE ASISUMBULIWE NA MADAWA YA KULEVYA MAHAKAMA IM EFANYA NN? KAMA UNA TAFUTA USHAHIDI WA HAKI? MBOWE ALISEMA HAZARANI KWANINI RAIS ANALINDWA NA LEO WASHA MUUA LKN WA EFANYA KIKI WAKA MUACHIA MBONA HUSEMI UNAINA USHAHIDI WA ADUI YAKO SABAYA
@@jenyyusuph4973 Acha kumfananisha Yesu na huyo muovu wewe .Sina la kukwambia kwani ndipo akili yako ilipokwamia imeganda.Umeandika maneno mengi ila hayana maana Nonsense.Hakili zao ndio nini Mahakama ya Vigogo ipo wapi?kweli wewe umebeba kichwa hewa ni hasara tupu unachanganya mavitu hata hayaeleweki hasara kwa Taifa 🙌
@@leokamil6284 ndio ni mahakama ya kigogo siyo ya wana nchi ni mahakama ya familia ya kigogo KIFUPI wa tz wamehoji tume HOJI tu nataka kujua ninani aliye muhakikishia lisssu maguful HAPONI kwakua mahakama sio ya wana nchi ni ya kigogo waka nyamaza jibu makosa ya sabaya no makubwa kuliko aliyekua anatoa siri za serkali kama sio unafiki? Makosa ya sabaya ni makubwa kuliko kosa la samia kuwa Linda VIJANA wanaojihusisha na madawa ya KULEVYA balaa MAKANISANI misikiti bara barani mateja wanatusumbua unafiki TU WA KUZUNGUSHA MANENO HANA KOSA SABAYA KUBWA KULIKO HAO WENGINE SANA ALISHIKA MAJVAZI YAO JAZIBA CHAFU WENZAO WAO ZAKUZOEA UOVU
Hakuna mkamilifu ktka dunia hii, kila mtu anadhambi, na mtoaji hukumu ni Mungu pekee, haya mengine yanafanywa kwa mamlaka na sheria za nchi, ila hata hao wanaohuku nao watahukumiwa mbinguni.
Sasa ilikuwaje alale kwny kota wakati alienda Dar kumuona baba mdogo? Kama aliagizwa apeleke begi si angelitoa na kuondoka? Kwanini alale hili jambo kwake litakuwa gumu kwake! Mungu akamuonekanie tuu jamani
Huyu jamaa ni muongo anasema alifungwa pingu na baada yake alimtoloka inakuaje amletee begi dar vile vile haiombe makama urinzi kwamba Sabaya ni mbaya sijamwelewa kabisa
hahahahahaaaa et n mtu hatar sana, kwan sabaya anataka kumfanyeje tena huko, itakuwa hyo watson anajua ukwl ndo maan anaomba ulinz sabay anajua anawez kumwaga ubuyu wote wa ukwel hahahahaaa
Aisee kwel. Wee ni msomi storry yotee. Umepiga. Kwa kichwaa duuuh🙌🙌 salute broh
Kaka Mashaallah Iko siku nitafika arusha na nitakutafuta kaka Inshaallah ,mm Niko kisiwa Cha pemba Karibu sna kaka kwetu Inshaallah,
Wewe jamaa ni hatari sana maongezi yote hayo ulikariri hahaha smart and genius presenter
Kweli ww muandishi msomi🙌🙌🙌
Huyu jamaa is more than genius hapaswi hutangaza kwny viji block kama hivi anatakiwa apate kazi BBC
We jamaa ni hatari 🔥🔥
Hongera sana Mwandishi Msomi.., Matumaini yangu siku moja nikuone BBC
Mashallah big up muandishi msomi🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kweli uko vizuri, unatiririka utadhani wewe ndiye Watson, hongera sana
Kiloba skole baba Maashallah Allah mkubwa umekaliliyote hayokichani daa hichokipaji kabisa unacho unampizani wenginewataiga ila hapo kwako stop❤️❤️
Huyu kijana ni hatari hamna mfano. Hiki kipaji Cha kushika mambo si cha kawaida
@@whimsymaverick3057 Sana yani sijawahi onawalakusikia Mungu mkubwa Sana
Iyo mutu imesoma.iko byeee
Mwandishi wa habari msomi wa Tanzania nzima
sabaya kichwa kimekuwa kama cha kuku😅😅😅😅😅😅
Mtangazaji makini sana. Keep it up 👏🏼
Uko vizuri kijana
Mwandishi msomi🔥🔥🔥
huyu jamaa ni professional kuyakumbuka yote hayo
Anasema alipo kua peke ake kwenye gari aka kimbia na kuliacha kundi la sabaya,still anasema akawasiliana na sabaya akiwa dar baada ya kitenguliwa inakuaje watafutane tena wakati mwanzo alimkimbia,huyu jamaa anajaribu kulipiza kisasi kwa sabaya Ila kwenye maelezo ana jichanganya Sana
Tunaomba musimuweke gereza moja na hao wengine watamnyonga
Alikosa nini kwani
Ahsante sana mwandishi msomi
Kijana atakuwa ameshauliwa sana au amejishauli sana ameona kupambana Serikali ni hatari sana akaamua kusema ukweli safi sana
Umetisha Dana kurumbwa uko vizuri
Very smart and passionate presenter.
Mtangazaji nimekukubali sana una kipaji
Mungu akutunze mtangazaji
Jamaa anajua kuwasilisha sana
Mtangazaji safiiii!
Huyu muandishi mzuri sana
muandishi noma sana
Inauma Sabaya unateseka Sana ni basitu Mungu afanye wepesi yaishe utoke
Hajafikia hata robo ya mateso alowafanyia watu na Bado
Hanifa hivi husikii au unajifanya kiziwi
@@leokamil6284 HILO NDIO TATIZO LA WATU KASIKIA LAKINI ANA COMENT UTUMBO.
MUNGU GANI ATAMPA UWEPESI HUYO MBWA SABAYA?? MUNGU ATAMPA WEPESI WATSON KWA KUSEMA UKWELI SIO HUYO MBWA SABAYA 50 + 30 = 80 DADEKI.
@@salimmalaka256 Mi nadhani hawa sijui walikua wakipewa kula na huyo jamaa,yaani hawataki kuona ukweli ambao upo wazi hao ni sawa na jongoo yaani
Watetezi wa Sabaya mnasemaje hapo??😂😂😂
huyu jmaaaa amekalili au anasoma hapo mbele mbona km anakalili mambo mengi sana
Hicho kichwa kweli sio masihara
Sabaya anakula uzee wake akiwa kijana baada ya kuchezea ujana wake
HAPA HUYU MWANDISHI ANASOMA MAHALA
Mungu wa Danielle Yuko kazini sabaya mungu atafanya muujiza amen
Mnamtetea muuaji mnajua nyie huyu acha Avenue alichokipanda
@@mofatv5565 KWELI BROO
MIUJIZA NDIO HIYO KESHAPIGWA 30 ANGOJE MINGINE 50 IWE 80.
Mungu wa Daniel hatetei Majambazi kama Sabaya acha ujinga
Muujiza wa nini?kuua watu au?
Yaani hata kama hatuna akili.hawa wote ni majambazi
Takataka haoo majambazi
BBC swahili hamumuoni huyu mwandishi jamani huyu sio wa kua muandishi wa viji TV online ni kumkosea
Mfalme Suleiman aliomba Hekima,viongozi na watawala wengi siku hizi Wana jisahau Sana na kutumia akili zao,hayo ndio matokeo take.
Napenda unavyotoa taarifa
Kupitia kwaresma hii BABA wa mbinguni ukatende jambo juu ya wanao
nilijua unasoma ila nimegundua kwamba umeelewa unachokisema
Pole dana sabay
Pole sana,sabay
MUNGU amsaidie SABAYA
Dahh..kwa maelezo hayo ya Watson Sasa napata picha kwann wakili alimkataa..sababu sio maslahi sababu Ni kuogopa kuchomoa betri
Mbowe kaachiwa yuko kazini kumumaliza Sabaya
Acha wafu wazike wafu wao mbowe ametokea wapi hapo
Mbowe anahusika vipi hapa we Mwehu??
Aliyemfunga Sabaya ni Serikali au ni Mbowe?? tumia akili.
Kichaa wew
@@stephanomoses7694 kichaa ni wewe usiyoyaona yanayoendelea kwa sasa. Mbowe anaimba tu hana visasi. Rohoni mwake madudu ya visasi yamejaa.
Serekali imlinde huyo kijana asijeuawa
Thx 4 da show 🙏
Asili.haipotei.hats.baba.take.alitesa.watu.uzuri.anayashuhudia
Mi wa 2
Mungu mwema atamsaidia Sabaya hilo tu
Mungu atamtendea aliyotendea wengine
Nimajambaz hasa huyo mdg mweusi alinipokonya pesa na kofia akaitipa mtoni
@@asiabakari2768 sasa jambazi anapokonya kofia na kutupa mmmmh!!!!!!Asaia Bakari msangi
@@neemaloy889 unajua alikuwa anasifa sana tulikutan club
@@neemaloy889 nilivaa kofia Kali nzur San si msingizii huyo kijan kwakwel 😀nilimuogopa sana
Duh kwakweli ni mambo mengi ya kipuuzi yalikuwa yanafanyika aisee
YASITOKEE YA MTWARA, KUUA ILI ILI USHAHIDI USITOLEWE WOTE, MLINDENI HUYU KIJANA ATOE USHAHIDI NA UKWELI HUU HADI MWISHO,
Ndo kitu nimewaza
Sabaya utakoma kudhulumu watu
Sabaya.asulubiwe.
dunia ina mambo meng sana
Haki anazofanyiwa sabaya wangefanyiwa watuwote hakuna mtuu angekuwa jela
Huyu kijana kama alichosema ni kweli inaonekana alikuwa anatumwa tu bila yeye kujua anatumwa kutimiza uhalifu.
sasa hapo uhalifu upi aliiufanya wakupeleka pampu garage ama kupelekwa garage ili kupata ukweli wa bai ya pampu ?
Bro uwe unaandaa makala tuwe tunasikia sauti nasio unatusimulia Kaka Babu mkombe
Unakula ulichovuna! Km ulithulumu
Kweli mwandishi msomi👮🏾
Ili swala mbona lipo wazi uyu mjomba alikuwa mpigaji
Alikuwa mtu hatari sana sio kdg
Acha kuhukumu mtoaji hukumu ni Mungu pekee, sisi sote tu wadhambi.
@@firdausqutty2067 uelewa wako mdogo wapi nimehukumu?
@@firdausqutty2067 Linaeleweka kila mwanadam anamapungufu yake mdau ila huyu jamaa sio upigaji wa mali na pesa tu alikuwa anaumiza watu kukata maskio watu bila hofu ya Mungu huyu ndie aliefyeka shamba aliojitolea Mbowe akawalimia bustan ya mboga mboga kila aina ya mboga mboga akawapa kina mama wa Hai ili wajipate kipato chao yeye akaja na kikundi chake akafyekelea mbali kbs alitumia cheo chake kufanya yote hayo upo?
@@manjaruu1575 kama wakwako ulivyokua mfinyu, na kama unauhakika alikua mpigaji basi mlikuanae pamona
ila hapa kuna ukwel unafichwa, et akatoloka kutoka kwenye gari na wakat alikuwa kafngwa pingu, na baday akapgiwa cm achukue bag aende nalo dar, ina maan kwann walimfunga pingu na kumweka kwenye gari baday hawakufatilia lolot jmn hap kun cotradct kdgo
Umeona ee yaaani Mungu yupo kazin
@@neemaloy889 huyu dogo kuna kit anakijua ndo maan sabaya kaona anajitetea mwenyew kahic anaweza kuchomoa betri
@@martinmaryogo3676 hiyo ni gang ya kutenda uovu
Martin aliporudishwa kwenye gari alifunguliwa pingu sikiliza kwa makini.Inaonyesha walimfunga ili kumshtua yule mwenye gereji aone ni Polisi .Walitumia hiyo kama gea ya kumtisha mwenye gereji.Wewe husomi tu iyo game ukaunganisha story
@@neemaloy889 KIZIWI WEWE.
Kaka ya leo sijaona
Ajieleze vizuri alitoroka then akawa na sabaya tena kila kitu huwa kina mwisho
Mchongo tu mbowe yuko nje atafanya kila kitu
Kwelinwewe msomi unasikiliza na unaelewa
Mbona hasemi kila walipokuwa wanafika supermarket ninapofanyia kazi walilazimishwa kuimba nyimbo za dini wakati Sabaya akipiga gitaa na yy analazimisha watu msalimie huyu shikamoo mjeshimiwa hata kama ni mzee??
Hahahaaa hapo kwenye kuimba nyie jaman
serkal mnashindwa kudili na wahalifu wanaibia raiya na wanauwa kilasiku na madereva wanao sababisha ajali kwa uzembe mnashikilia vijana wasio na hatia
Mkisikia waandishi wenye taaluma yake ni huyu sasa... sio juma lokole na libabalevo
👏
Sialimtoroka jamani
Mabingwa wa kukataa kuwa Sabaya hakutenda aliyetenda yupo wapi ?.Kuna watu waliokuwa wanasema Sabaya kaonewa na Serekali je kwa maelezo hayo mmesikia ushahidi huo?
Kwani yesu alipo uwawa huku pata KUSOMA alitolewa ushahidi? KAMA MTU KACHOKA KUSUMBULUWA KAMA PETRO LAZIMA ATASEMA NDIVYO SIVYO KWANI MAHAKAMA YA KIGOGO WANA FATA USHAHIDI AU HAKILI ZAO ZITAKAVYO? KUNA USHAHIDI WA SAMIA KUMTETEA STEVE NYERERE ASISUMBULIWE NA MADAWA YA KULEVYA MAHAKAMA IM EFANYA NN? KAMA UNA TAFUTA USHAHIDI WA HAKI? MBOWE ALISEMA HAZARANI KWANINI RAIS ANALINDWA NA LEO WASHA MUUA LKN WA EFANYA KIKI WAKA MUACHIA MBONA HUSEMI UNAINA USHAHIDI WA ADUI YAKO SABAYA
@@jenyyusuph4973 Acha kumfananisha Yesu na huyo muovu wewe .Sina la kukwambia kwani ndipo akili yako ilipokwamia imeganda.Umeandika maneno mengi ila hayana maana Nonsense.Hakili zao ndio nini Mahakama ya Vigogo ipo wapi?kweli wewe umebeba kichwa hewa ni hasara tupu unachanganya mavitu hata hayaeleweki hasara kwa Taifa 🙌
@@jenyyusuph4973 Tafadhali nenda shule kwanza hujui kuandika
@@leokamil6284 uzuri ume elewa
@@leokamil6284 ndio ni mahakama ya kigogo siyo ya wana nchi ni mahakama ya familia ya kigogo KIFUPI wa tz wamehoji tume HOJI tu nataka kujua ninani aliye muhakikishia lisssu maguful HAPONI kwakua mahakama sio ya wana nchi ni ya kigogo waka nyamaza jibu makosa ya sabaya no makubwa kuliko aliyekua anatoa siri za serkali kama sio unafiki? Makosa ya sabaya ni makubwa kuliko kosa la samia kuwa Linda VIJANA wanaojihusisha na madawa ya KULEVYA balaa MAKANISANI misikiti bara barani mateja wanatusumbua unafiki TU WA KUZUNGUSHA MANENO HANA KOSA SABAYA KUBWA KULIKO HAO WENGINE SANA ALISHIKA MAJVAZI YAO JAZIBA CHAFU WENZAO WAO ZAKUZOEA UOVU
Hakuna mkamilifu ktka dunia hii, kila mtu anadhambi, na mtoaji hukumu ni Mungu pekee, haya mengine yanafanywa kwa mamlaka na sheria za nchi, ila hata hao wanaohuku nao watahukumiwa mbinguni.
Huyu chalii Kuna siku alipigwa makofi kwa sababu ya kunuka miguu na sabaya pamoja na walinzi wake
Wasiomjua sabaya wanamtetea😆😆😆😆😆
Mmh
daaaa siku ya kufa nyani miti yote huteleza jamanii
Duuh mpeni ulinzi huyo kijana
Chamoto atakiona mbwa huyu katesa sana watu
Upo vizur kaka wewe ni mwandishi
🤣🤣huyo dogo aache uongo yn hapo arusha yeye ndo alikuwa chawa wa sabaya na kumtaftia mademu, anagombana na watu ovyo kisa n mtu wa sabaya
duuh kumbe 😃😃
Alaaa! Kumbe ni msaliti
mhhh
hiki sio kichwa ni kacompyuta ...tunajua mahkaman watu hawarecord umeyaweka kichwa...UNAJUA
Kweri nimeamini wario jera siwote wanakosa wengine wasingiziw
HAKI NA UKWELI VITAKUWEKA HURU DAIMA. BORA UMEMRUDIA MUNGU NA KUSIMAMIA UKWELI
Toa namba yako tukupe sadaka
jamaa aliota kiburi!
Sasa ilikuwaje alale kwny kota wakati alienda Dar kumuona baba mdogo? Kama aliagizwa apeleke begi si angelitoa na kuondoka? Kwanini alale hili jambo kwake litakuwa gumu kwake! Mungu akamuonekanie tuu jamani
Malipo nihapa hapa Duniani analipwa kwa alichokitenda
Hawa ndio waaandishi wa habari jamaa hasomi seehem kakaliii yotee UPO VIZURI sana
Mwisho wa ubaya ni aibu
Sasa kama alikimbia baada ya kutolewa wenge ilikuaje Tena ukakubali utumwe ulete begi dar mmhhh Kuna kitu hapo katikati sio bure
Kabisa
Kesi ni inamrorongo mrefu hii du🤔Allah arete wepesi palipokua pagum
Michongo tu
NA BQDO ATACHONGWA MINGINE 50.
ATAFUTIWE SEHEMU YAKE MAALUMU, UKWELI NI HAKI JAPO UNAUMA KWA WATENDA UBAYA NA WAONGO
walio uwa mtwara vp
Atavuna Alichokipanda
Hapotu ni maelezo ya kuthibitisha ukweli. Kwani sabaya hana hana wasaidizi
Wababe wengi wamepita sio Huyo dogo tu sema limemkuta!
Wwx
Nadhifu
Duuu
H I'm
Huyu jamaa ni muongo anasema alifungwa pingu na baada yake alimtoloka inakuaje amletee begi dar vile vile haiombe makama urinzi kwamba Sabaya ni mbaya sijamwelewa kabisa
hahahahahaaaa et n mtu hatar sana, kwan sabaya anataka kumfanyeje tena huko, itakuwa hyo watson anajua ukwl ndo maan anaomba ulinz sabay anajua anawez kumwaga ubuyu wote wa ukwel hahahahaaa
Yaani wewe umekuja kuona mgonjwa dar imekuwaje ukalale huko? Si angekabidhi begi na kuondoka?
Hii kesi hata haieleweki ina utata mwingi mno, kwa nini hana maslahi na Sabaya na anatumika hivyo? Amepewa pump wakati hata gereji ilipo haijuwi?
Mi nahisi huyu dogo tamaa imemponza
Nadhifu