SABAYA ACHANGANYIKIWA NA MASWALI MAHAKAMANI/ AKIRI KUMILIKI SILAHA
HTML-код
- Опубликовано: 9 фев 2025
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Ukovizuri sana mtangazaji unaonekana umesomeya kabisa kazi yako big up sana 👏👏👏
Mtangazaji uko vizuri sio muda wataanza kukung'ang'ania media tofauti kua makini usipotee
Mtangazaji uko vizuri big up
Mtangazaji unatangaza vizuri Sana umeitndea haki wasafi tv
Tatizo msharaha unachelewa
@@sponsor7882 😁😁😁😁😁
Mtangazaji nimejiona Kama nipo mahakamani, hongera Sana aisee upo vizuri sana
Mtangazaji umeeleza vizuri kiasi kwamba ningekuwa natakiwa nijibu mtihani baada ya kusikiliza hii habari ningepata 90% au 100% utadhani nilikuwa mahakamani.
BIG UP Mwandishi wa habari 🙌🙌🙌👌💯
Wasafii mkizubaaa Huyumtangazaji mtamkosa kuna vyombovya habarivinamtolea macho hongera
Alimdharau Sana hayati mama mwigira mfungeni hata miaka 1.5
Mtangazaji .nimeipenda unavoturipotia habar,uko vizuri hongera
Mashaa Allah mtagazaji nimekupenda buree 💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋
Hongera sn kwa utangazaji
Uko vizuri ndugu mwandishi
Perfect reporter.. 👏👏
Wasafi ❤️❤️❤️ naomba like zenu
Mhh nakuunga mkono kwa kumpongeza huyu mwandixhi katulia kwer kwer wasafi wamuuongezee mxhahara duuu
Free sabaya
Huyo reporter ni level zingine soon nakuona ukienda kwenye media za mambele.
Mtangazaji🥰🥰🥰🥰🥰
Sabaya Allah anakutosha, ikiwa haya yote ni kweli ulifanya hukumu ipite na uhukumiwe pasipo kudhulumiwa na ikiwa hukufanya haya nakuahidi Allah ninaemuamini atakusaidia na kuondoa mmoja mmoja katika wanao kusulubisha kisha upate amani. Endelea kusubiri na kuomba hukumu ipete bila dhuluma.
Subiri malipo yako pasipo kupunjwa, haki itendeke kwa idhiini ya Allah!
Amiin
Maneno yako Allah Ajalie yawe dua
mtangazaji poa san daaah👊👊👊👊
Mtangazaji nakukubali sana
Yuko vzr kwenye utangazaji, yaan anaeleweka
Uko vzr brother
Kongole sana,brother kaka-mtangazaji. Uko vema sana!
Mnamtetea coz hamumjui tu alivoumiza tena akae uko uko jela malipo duniani big up mahakama na sheria ifate mkondo wake
Wanaomtetea dear hawajui kitu
Nyinyi mnamjua ni michepuko yake achen kutudanganya wakat wote mmemjua baada ya Kuwa kiongoz
Unaumizwa unanini ww kobe
@@frankjosephu5220 kobe ni ww uliepanic kuja kujibu comment yangu pambana na keyboard yako kobe mzee
Gud mtangazaji
Asee mtangazaji upo vizuri sana nakushauri ujiunge kwa Millard Ayo utatusua
Saf na hongera kwa utangazaj mzr
Kijana kz yako nzuri sn aisee hongera kwakipaji chakutangaza
Big Up kwa mtangazaji kwa kweli.
OYA WAZEE HUYU JAMAA ANATANGAZA VIZURI KINOMA
Anyongwee kabisaa
Sabaya alishambiwa mwisowake utafka akaleta jeuri akiona dunia yake mungu asikia vilio vya Wana nchi
Mtangazaji uko vizuri sanaaa
Big up mtangazaji
Mtangazaji katulia 💕😘
Huyo mjinga ujanja ujanja tuu wakili wakili wa serikali yuko makin sana
Tamthilia Kali sana
Mtangazaji uko vizuri sana
mtangazaji nime kukubali sana ya kwenye utoaji wa habali huna kigugumizi
Mtangazajiiiiiiiii
Mtangaxaji uko juuu ,big up
Nakuelewa baba
Mungu atakusaidia sabaya
Atafungwa huyu jamaa,maana ushahidi wake umekosa mtu wakusapoti hoja zake.Hana shahidi wakuthibitisha hoja zake
Kama hujawahi kufika mahakamani au kituo chochote cha police nenda katoe sadaka na uzidi kuomba mungu usifike huku ni heri kusikia tu kwa watu
Kazi nzur mtangazaj
Hii inatumika naona comment nyingi humu wengi ni walewale
Mnatupigia kelele kila siku kesi ya sabaya tu Kama mnamfunga mfungeni Kama mnamuacha muachane
ila huyu dereva wa defender anapenda Kulala nayo kaaa kwani hawezi kukata Kona polepole 😁😁😁😁😁😁✋👮jambo afande
Muna mutesa bule sabaya wa watu yani hai jamani ebu muogopeni na mungu mbona munamusakama kaka watu pole kaka mungu hawezi kukuacha yani unapitua wakati mungumu muno ila mungu hata kuacha bule sikujuwi sabaya ila siasa izi jamani
Mtangazaj ni next level
Sabaya out
Aliymwagiza kama angejuwa haya yatamtafuna sabaya angeacha wosio kwa walio juu yake ingemsaidia ninachokiona hapa japo sheria siijui sabaya kifungo kinamhusu
Huyu mtangazaji wasafi wamuongezee mshahara maana yuko makini sana kiutangazaji
.tangazaji yupo vzt
Nasoma comment naona mnamsifia mtangazaji tu 😂😂
Hiiiii dunia niyawatu ila akhela nihaki sisi wote tuta kufa tutaicha dunia ingawa dunia nitamu mengine siyajui kwakuwa sijui napiasija somea sheria
Nimesoma comments zing mtangazaj anasifiwa na m sina bud mtangaj upo vzr
Sabayaa ni Usalamaa wa taifaa ... lakn kusemaa haruhusiwi
Una hakika ndugu
@@modesteryohana90 maelezoo yake2 Yanaonyeshaaa ... alitekelezaa kazi kwa maagizoo ya juu sasa yap
Upo vzr mtangazaji unaonekana unafuatilia kwa karibu issue hyo
MSENGE HUYO ALITUMIA VYOMBO VYA DOLA VIBAYA MSENGE SANA
Mhuni sana huyu kama boss wake.
Hii sizon itaisha lini
Uko vizur KAKA
Anaonewa
Alijiamini aliona atafauru
Pole sabaya hayo yoote yataisha tu
Aliekuapisha mkuu WA mkoa humjui duh dharau za Hali ya juu aliemdhalilisha mwingine ni Nani ulimdharau Kwa sababu ni mwanamke ama kweli dharau ni mbaya
Daah Hakika ni hatari
Huyu mtangazaji anafaa sana katika hiyi sekta ya habari za mashtaki na mahakama....anajitahidi sana
Huyu wamwachie huru tuu maana kila kona naona kama kuna shida sana kwenye hii kesi
Mwachieni maana yawezekana kama mfanayakazi wa serikali alitumia madaraka yake kwa kuwaatetea wanachi wake ila beyond the scene wakatokea watu ambao hawakufurahishwa na style yake jamani
Mnapoteza muda mfungeni tu huyu!!!!
Fact man i don't think kama huyu jamaa anakosa kiasi cha kufungwa na waliomtuma ni serikali kwa ajili ya masilahi ya wananchi.
@@charlescharles5057 upuuzi mtupu hivi maslahi ya wananchi ni kuwapora watu na kuwakandamiza wanasiasa?
Na hisi huko arusha hakuna kesi zingine ni sabay tu
Upo mawinguni...upo kileleni Advocate Journalist
Hawa akina Sabaya mimi nataka wawekwe ndani. Mamlaka aliopewa Sabaya alikuwa muuwaji alitumia mari 4 yenye nembo ya UN.Wakamfuata Mh.Mbowe kwenye Hoteli yake aliokaa ili wamteke wakamuuwe. Na Magufuli,Polepole na IGP walikuwa wanayajua
Hii headline ...ni kibokooo😂😂😂😂
Usiombe ya kukute ya sikie Kwa sabaya
Funga mtesaji mkuu wa arusha huyo japo miaka 1000
fimbo uliyo mpiga jirani yako ndiyo utakayo pigwa nayo unapo muombea mwenzako mabaya wewe unafikiri nini baada ya maombi yako?kumbuka dunia ni mzunguko kabisa leo kwasabaya kesho kwako nakama sikwako nikwa mwanao au kwa ndugu yako pole sana ndugu yangu kwakuuminzwa na Sabaya ila japo maumivu tuombeane mema ili Mungu wambinguni atubariki katika familia zetu namaombi yetu yatakuwa nakibali mbele za Mungu
Mh wamwachie
Za mwizi arobaini duu wasiomjua sebaya poleni ni best angu lkn kwa vitendo vyako kaa tu ndani my dia umetutesa sana na roho yko mbaya
Dooo ukimuona hafanani
Alikuwa anajua kamaliza kila kitu kuwa kiongozi hahahahahaah
Acha kutudanganya hapa rafik yako wap
@@islachristabinastaravista8104 mjinga wewe namjua sebaya tangu 2015 bdo yuko mwanachama wa uvvccm uko hana hata uongozi ni best angu fala wewe umemjua akiwa kiongozi ananijua kindakindaki kuliko hata wewe fala so kaa tulia kama umjuiii sebaya so huongozi ulimchanganya
@@islachristabinastaravista8104 umjuii sebaya kama tulia wewe unamuona mungu au wenzio tunamuona mtu wa kawaida sana na tunakula tunacheka tunaenjoy ila anamambo yake mwenyewr akili zake zikimtuma na kins silivests wake au nikutajie group Lake lote mshenzi wewe kama unamjua sebaya basi muulize mimi nani okay alsfu atakuambia
POA mtangaZaji
Ujage utangaze kesi ya mbowe
Njia muhongo fupi sana
Weka hoja kwenye namba husika,mbonakma mnatetea upande wa serikali
Ukimaliza hiyo uje kusimulia ya mbowe
Mtangazaji nilijua unasoma mahali
Aliy nikonapambana
Linajichanganya kama zuzu,Sabaya bwana,Jela linaihusu
Mwehu wew
@@mshumbusideogratias9567Kiburi,Ubabe na Dharau zote zile leo General Lengai Ole Sabaya anamwaga machozi Mahakamani!!!hakika maisha yanaenda kasi sana
Hii nchi ..Duu.Sijui atokee nani atusaidie. Mbon hakuhitaji cheti kuelewa alichokua anakifanya Sabaya. Leo eti mfungeni na kwa kazi ya masilahi ya wananchi. Tutapata shida mno kuelewa tunakoelekea
Sabaya unafungwa
Mashaallah mtangazaji saut umejaliwa
Watu bhn mko mnasifia mtangazaji ila kilichotangazwa hamliangalii...
Wasafi acha kutumik😜
Watu wanaomtetea sabaya ni wenzake kama hawakuhusika kwenye matukio ya sabaya aliyoyafanya Moshi na Arusha basi wanafanya matukio kama ya sabaya huko walipo krk majukumu wanayopewa, wanayegeuza kutesa watu na kujipatia fedha haramu nakuhakishieni
Atafungwa huyu jamaa!Hawezi kushinda bila shahidi wakusapoti ushahidi wake.
Mungu Atakusaidia sabaya endelea kumuomba mungu wewe Ulikua mtekelezaji tu Kama mfanya kazi hivyo wamekugeuka hao wakubwa zako Utatoka tu kwa Uwezo wa mungu
@@samwelemuniezi7524 mungu wake amemfunga
Maripo duniani arijigamba sana
Maswali Mengine ni ya kitoto kabisa nyie mahakimu haipaswi kumuhuliza mtu mnzima ni kupotezeana mtu nendeni kwenye maswali ya muhimu ndiyo cha msingi
ayo ndo maswali yanayo mfunga mtu na ukitaka kujua kama ni ya kitoto au la jaribu kushtakiwa na jamuhuri ndo utaelewa
Kwa hivyo wewe ndo unawafundisha kazi?
jama iko hatiani.
Kesi Kama movie vile Duuuh
Kabisa mana duh hatare
Umeonaee
Sabaya utawasababishia wenzio matatizo
Yani huyu akiachiwa itakua jambo la ajabu sana
Jaman sabaya kachakaa😭😭 u HB wote kwisha, Kama kwel hjayafanya hayo makosa utatoka salama lkn Kama kwel unamakosa umekwisha kaka
Mihemuko punguza
Ana u hb gani punguza mihemko dad
Sabaya ameanza kukata ringi. Kitambi yote imeishaaaaa!
Hooo