SABAYA ACHANGANYIKIWA NA MASWALI MAHAKAMANI/ AKIRI KUMILIKI SILAHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 248

  • @mohamedkigwehe4025
    @mohamedkigwehe4025 3 года назад +19

    Ukovizuri sana mtangazaji unaonekana umesomeya kabisa kazi yako big up sana 👏👏👏

  • @rosemsima2862
    @rosemsima2862 3 года назад +7

    Mtangazaji uko vizuri sio muda wataanza kukung'ang'ania media tofauti kua makini usipotee

  • @wilbrodwemaonlinetv8379
    @wilbrodwemaonlinetv8379 3 года назад +18

    Mtangazaji uko vizuri big up

  • @alfanimwakipesile19
    @alfanimwakipesile19 3 года назад +9

    Mtangazaji unatangaza vizuri Sana umeitndea haki wasafi tv

  • @lizzyjulie1604
    @lizzyjulie1604 3 года назад +5

    Mtangazaji nimejiona Kama nipo mahakamani, hongera Sana aisee upo vizuri sana

  • @Adeen.1
    @Adeen.1 3 года назад +8

    Mtangazaji umeeleza vizuri kiasi kwamba ningekuwa natakiwa nijibu mtihani baada ya kusikiliza hii habari ningepata 90% au 100% utadhani nilikuwa mahakamani.
    BIG UP Mwandishi wa habari 🙌🙌🙌👌💯

  • @witnessmmari9902
    @witnessmmari9902 3 года назад +1

    Wasafii mkizubaaa Huyumtangazaji mtamkosa kuna vyombovya habarivinamtolea macho hongera

  • @jacobmichael1896
    @jacobmichael1896 3 года назад +4

    Alimdharau Sana hayati mama mwigira mfungeni hata miaka 1.5

  • @carolinejohn1976
    @carolinejohn1976 3 года назад +1

    Mtangazaji .nimeipenda unavoturipotia habar,uko vizuri hongera

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 3 года назад +6

    Mashaa Allah mtagazaji nimekupenda buree 💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋

  • @priscajohn6090
    @priscajohn6090 3 года назад

    Hongera sn kwa utangazaji

  • @gabrielkabato9909
    @gabrielkabato9909 3 года назад

    Uko vizuri ndugu mwandishi

  • @mohamedmnjeja1429
    @mohamedmnjeja1429 3 года назад +4

    Perfect reporter.. 👏👏

  • @philbertemmanuel2882
    @philbertemmanuel2882 3 года назад +20

    Wasafi ❤️❤️❤️ naomba like zenu

    • @erastorjohn2756
      @erastorjohn2756 3 года назад

      Mhh nakuunga mkono kwa kumpongeza huyu mwandixhi katulia kwer kwer wasafi wamuuongezee mxhahara duuu

  • @husseinmmallesa6444
    @husseinmmallesa6444 3 года назад +3

    Free sabaya

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 3 года назад +3

    Huyo reporter ni level zingine soon nakuona ukienda kwenye media za mambele.

  • @asnathurio6557
    @asnathurio6557 3 года назад +2

    Mtangazaji🥰🥰🥰🥰🥰

  • @sakinajuma6158
    @sakinajuma6158 3 года назад +1

    Sabaya Allah anakutosha, ikiwa haya yote ni kweli ulifanya hukumu ipite na uhukumiwe pasipo kudhulumiwa na ikiwa hukufanya haya nakuahidi Allah ninaemuamini atakusaidia na kuondoa mmoja mmoja katika wanao kusulubisha kisha upate amani. Endelea kusubiri na kuomba hukumu ipete bila dhuluma.
    Subiri malipo yako pasipo kupunjwa, haki itendeke kwa idhiini ya Allah!

  • @frankkudana7272
    @frankkudana7272 3 года назад +7

    mtangazaji poa san daaah👊👊👊👊

  • @issamwanga9934
    @issamwanga9934 3 года назад +30

    Mtangazaji nakukubali sana

  • @elishajailosy8346
    @elishajailosy8346 3 года назад

    Uko vzr brother

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani4376 3 года назад +6

    Kongole sana,brother kaka-mtangazaji. Uko vema sana!

  • @sarahtaste2876
    @sarahtaste2876 3 года назад +6

    Mnamtetea coz hamumjui tu alivoumiza tena akae uko uko jela malipo duniani big up mahakama na sheria ifate mkondo wake

    • @irenekitomary7271
      @irenekitomary7271 3 года назад

      Wanaomtetea dear hawajui kitu

    • @islachristabinastaravista8104
      @islachristabinastaravista8104 3 года назад

      Nyinyi mnamjua ni michepuko yake achen kutudanganya wakat wote mmemjua baada ya Kuwa kiongoz

    • @frankjosephu5220
      @frankjosephu5220 3 года назад

      Unaumizwa unanini ww kobe

    • @sarahtaste2876
      @sarahtaste2876 3 года назад

      @@frankjosephu5220 kobe ni ww uliepanic kuja kujibu comment yangu pambana na keyboard yako kobe mzee

  • @babylisa4650
    @babylisa4650 3 года назад

    Gud mtangazaji

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 3 года назад

    Asee mtangazaji upo vizuri sana nakushauri ujiunge kwa Millard Ayo utatusua

  • @salumramadhani4120
    @salumramadhani4120 3 года назад

    Saf na hongera kwa utangazaj mzr

  • @thakibuiddi1857
    @thakibuiddi1857 3 года назад +2

    Kijana kz yako nzuri sn aisee hongera kwakipaji chakutangaza

  • @hujatswai5798
    @hujatswai5798 3 года назад +2

    Big Up kwa mtangazaji kwa kweli.

  • @duweetherapytalk4656
    @duweetherapytalk4656 3 года назад +24

    OYA WAZEE HUYU JAMAA ANATANGAZA VIZURI KINOMA

  • @edsonbalige3702
    @edsonbalige3702 3 года назад +1

    Anyongwee kabisaa

  • @safwazungu2187
    @safwazungu2187 3 года назад +1

    Sabaya alishambiwa mwisowake utafka akaleta jeuri akiona dunia yake mungu asikia vilio vya Wana nchi

  • @dinimanabii833
    @dinimanabii833 3 года назад +1

    Mtangazaji uko vizuri sanaaa

  • @timashali7882
    @timashali7882 3 года назад

    Big up mtangazaji

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 3 года назад +3

    Mtangazaji katulia 💕😘

  • @ebenezernnko8251
    @ebenezernnko8251 3 года назад +3

    Huyo mjinga ujanja ujanja tuu wakili wakili wa serikali yuko makin sana

  • @rodsconehenry4249
    @rodsconehenry4249 3 года назад +1

    Tamthilia Kali sana

  • @aishaaa1757
    @aishaaa1757 3 года назад

    Mtangazaji uko vizuri sana

  • @enockmlimbila275
    @enockmlimbila275 3 года назад +4

    mtangazaji nime kukubali sana ya kwenye utoaji wa habali huna kigugumizi

  • @reginandosi5419
    @reginandosi5419 3 года назад +3

    Mtangazajiiiiiiiii

  • @rossemaryeliya6113
    @rossemaryeliya6113 3 года назад +2

    Mtangaxaji uko juuu ,big up

  • @maelezomaelezo9057
    @maelezomaelezo9057 3 года назад +3

    Nakuelewa baba

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 3 года назад +3

    Mungu atakusaidia sabaya

    • @nicholauskilosa5336
      @nicholauskilosa5336 3 года назад

      Atafungwa huyu jamaa,maana ushahidi wake umekosa mtu wakusapoti hoja zake.Hana shahidi wakuthibitisha hoja zake

  • @erastobartalome2709
    @erastobartalome2709 3 года назад +1

    Kama hujawahi kufika mahakamani au kituo chochote cha police nenda katoe sadaka na uzidi kuomba mungu usifike huku ni heri kusikia tu kwa watu

  • @pendosamwel9289
    @pendosamwel9289 3 года назад +2

    Kazi nzur mtangazaj

  • @lingwamalagila3003
    @lingwamalagila3003 3 года назад

    Hii inatumika naona comment nyingi humu wengi ni walewale

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 3 года назад

    Mnatupigia kelele kila siku kesi ya sabaya tu Kama mnamfunga mfungeni Kama mnamuacha muachane

  • @babusadala5732
    @babusadala5732 3 года назад +1

    ila huyu dereva wa defender anapenda Kulala nayo kaaa kwani hawezi kukata Kona polepole 😁😁😁😁😁😁✋👮jambo afande

  • @priscadaniel6459
    @priscadaniel6459 3 года назад +1

    Muna mutesa bule sabaya wa watu yani hai jamani ebu muogopeni na mungu mbona munamusakama kaka watu pole kaka mungu hawezi kukuacha yani unapitua wakati mungumu muno ila mungu hata kuacha bule sikujuwi sabaya ila siasa izi jamani

  • @hassanmugire1497
    @hassanmugire1497 3 года назад +1

    Mtangazaj ni next level

  • @mtuwamwisho.509
    @mtuwamwisho.509 3 года назад

    Sabaya out

  • @leonardemmanuel9249
    @leonardemmanuel9249 3 года назад +3

    Aliymwagiza kama angejuwa haya yatamtafuna sabaya angeacha wosio kwa walio juu yake ingemsaidia ninachokiona hapa japo sheria siijui sabaya kifungo kinamhusu

  • @amosimariba9820
    @amosimariba9820 3 года назад +6

    Huyu mtangazaji wasafi wamuongezee mshahara maana yuko makini sana kiutangazaji

  • @ramadhanishemweta371
    @ramadhanishemweta371 3 года назад +3

    .tangazaji yupo vzt

  • @africantv172
    @africantv172 3 года назад +2

    Nasoma comment naona mnamsifia mtangazaji tu 😂😂

  • @athumanhassani805
    @athumanhassani805 3 года назад +1

    Hiiiii dunia niyawatu ila akhela nihaki sisi wote tuta kufa tutaicha dunia ingawa dunia nitamu mengine siyajui kwakuwa sijui napiasija somea sheria

  • @iranangole7007
    @iranangole7007 3 года назад +1

    Nimesoma comments zing mtangazaj anasifiwa na m sina bud mtangaj upo vzr

  • @gidionkadaraja1403
    @gidionkadaraja1403 3 года назад

    Sabayaa ni Usalamaa wa taifaa ... lakn kusemaa haruhusiwi

    • @modesteryohana90
      @modesteryohana90 3 года назад

      Una hakika ndugu

    • @gidionkadaraja1403
      @gidionkadaraja1403 3 года назад

      @@modesteryohana90 maelezoo yake2 Yanaonyeshaaa ... alitekelezaa kazi kwa maagizoo ya juu sasa yap

  • @marthamwasege1044
    @marthamwasege1044 3 года назад

    Upo vzr mtangazaji unaonekana unafuatilia kwa karibu issue hyo

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 3 года назад

    MSENGE HUYO ALITUMIA VYOMBO VYA DOLA VIBAYA MSENGE SANA

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 3 года назад +2

    Mhuni sana huyu kama boss wake.

  • @mohdabdalla5931
    @mohdabdalla5931 3 года назад +2

    Hii sizon itaisha lini

  • @lordsmenas3267
    @lordsmenas3267 3 года назад +4

    Uko vizur KAKA

  • @fatumamsangi479
    @fatumamsangi479 3 года назад +1

    Anaonewa

  • @ashurahaji9115
    @ashurahaji9115 3 года назад

    Alijiamini aliona atafauru

  • @lowassalaizer9167
    @lowassalaizer9167 3 года назад

    Pole sabaya hayo yoote yataisha tu

  • @asteriambwei3349
    @asteriambwei3349 3 года назад

    Aliekuapisha mkuu WA mkoa humjui duh dharau za Hali ya juu aliemdhalilisha mwingine ni Nani ulimdharau Kwa sababu ni mwanamke ama kweli dharau ni mbaya

  • @sophiapeter1854
    @sophiapeter1854 3 года назад +1

    Daah Hakika ni hatari

  • @alantonio855
    @alantonio855 3 года назад +2

    Huyu mtangazaji anafaa sana katika hiyi sekta ya habari za mashtaki na mahakama....anajitahidi sana

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso5973 3 года назад +4

    Huyu wamwachie huru tuu maana kila kona naona kama kuna shida sana kwenye hii kesi
    Mwachieni maana yawezekana kama mfanayakazi wa serikali alitumia madaraka yake kwa kuwaatetea wanachi wake ila beyond the scene wakatokea watu ambao hawakufurahishwa na style yake jamani

    • @laghanganuwagi49
      @laghanganuwagi49 3 года назад

      Mnapoteza muda mfungeni tu huyu!!!!

    • @charlescharles5057
      @charlescharles5057 3 года назад

      Fact man i don't think kama huyu jamaa anakosa kiasi cha kufungwa na waliomtuma ni serikali kwa ajili ya masilahi ya wananchi.

    • @laghanganuwagi49
      @laghanganuwagi49 3 года назад +1

      @@charlescharles5057 upuuzi mtupu hivi maslahi ya wananchi ni kuwapora watu na kuwakandamiza wanasiasa?

  • @agneswilbard9059
    @agneswilbard9059 3 года назад +1

    Na hisi huko arusha hakuna kesi zingine ni sabay tu

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 3 года назад +2

    Upo mawinguni...upo kileleni Advocate Journalist

  • @imsimk.khamis574
    @imsimk.khamis574 3 года назад

    Hawa akina Sabaya mimi nataka wawekwe ndani. Mamlaka aliopewa Sabaya alikuwa muuwaji alitumia mari 4 yenye nembo ya UN.Wakamfuata Mh.Mbowe kwenye Hoteli yake aliokaa ili wamteke wakamuuwe. Na Magufuli,Polepole na IGP walikuwa wanayajua

  • @fanuelymgabe3814
    @fanuelymgabe3814 3 года назад

    Hii headline ...ni kibokooo😂😂😂😂

  • @hamisiyangakozwe2609
    @hamisiyangakozwe2609 3 года назад +2

    Usiombe ya kukute ya sikie Kwa sabaya

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 3 года назад +3

    Funga mtesaji mkuu wa arusha huyo japo miaka 1000

    • @mariaalenge2106
      @mariaalenge2106 3 года назад

      fimbo uliyo mpiga jirani yako ndiyo utakayo pigwa nayo unapo muombea mwenzako mabaya wewe unafikiri nini baada ya maombi yako?kumbuka dunia ni mzunguko kabisa leo kwasabaya kesho kwako nakama sikwako nikwa mwanao au kwa ndugu yako pole sana ndugu yangu kwakuuminzwa na Sabaya ila japo maumivu tuombeane mema ili Mungu wambinguni atubariki katika familia zetu namaombi yetu yatakuwa nakibali mbele za Mungu

  • @wilsonsendema954
    @wilsonsendema954 3 года назад

    Mh wamwachie

  • @febbyedward3008
    @febbyedward3008 3 года назад +3

    Za mwizi arobaini duu wasiomjua sebaya poleni ni best angu lkn kwa vitendo vyako kaa tu ndani my dia umetutesa sana na roho yko mbaya

    • @rukiaiddyyahaya9506
      @rukiaiddyyahaya9506 3 года назад

      Dooo ukimuona hafanani

    • @febbyedward3008
      @febbyedward3008 3 года назад

      Alikuwa anajua kamaliza kila kitu kuwa kiongozi hahahahahaah

    • @islachristabinastaravista8104
      @islachristabinastaravista8104 3 года назад +1

      Acha kutudanganya hapa rafik yako wap

    • @febbyedward3008
      @febbyedward3008 3 года назад

      @@islachristabinastaravista8104 mjinga wewe namjua sebaya tangu 2015 bdo yuko mwanachama wa uvvccm uko hana hata uongozi ni best angu fala wewe umemjua akiwa kiongozi ananijua kindakindaki kuliko hata wewe fala so kaa tulia kama umjuiii sebaya so huongozi ulimchanganya

    • @febbyedward3008
      @febbyedward3008 3 года назад

      @@islachristabinastaravista8104 umjuii sebaya kama tulia wewe unamuona mungu au wenzio tunamuona mtu wa kawaida sana na tunakula tunacheka tunaenjoy ila anamambo yake mwenyewr akili zake zikimtuma na kins silivests wake au nikutajie group Lake lote mshenzi wewe kama unamjua sebaya basi muulize mimi nani okay alsfu atakuambia

  • @hamisipatrick4542
    @hamisipatrick4542 3 года назад +2

    POA mtangaZaji

  • @godlovekilasi6250
    @godlovekilasi6250 3 года назад

    Ujage utangaze kesi ya mbowe

  • @manjaruu679
    @manjaruu679 3 года назад +6

    Njia muhongo fupi sana

  • @yusufjuma3773
    @yusufjuma3773 3 года назад +5

    Weka hoja kwenye namba husika,mbonakma mnatetea upande wa serikali

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 3 года назад

    Ukimaliza hiyo uje kusimulia ya mbowe

  • @mikatejunior1362
    @mikatejunior1362 3 года назад

    Mtangazaji nilijua unasoma mahali

  • @allymbwambo6820
    @allymbwambo6820 3 года назад

    Aliy nikonapambana

  • @felixhaule7071
    @felixhaule7071 3 года назад +3

    Linajichanganya kama zuzu,Sabaya bwana,Jela linaihusu

    • @mshumbusideogratias9567
      @mshumbusideogratias9567 3 года назад

      Mwehu wew

    • @felixhaule7071
      @felixhaule7071 3 года назад

      @@mshumbusideogratias9567Kiburi,Ubabe na Dharau zote zile leo General Lengai Ole Sabaya anamwaga machozi Mahakamani!!!hakika maisha yanaenda kasi sana

    • @charlescharles5057
      @charlescharles5057 3 года назад

      Hii nchi ..Duu.Sijui atokee nani atusaidie. Mbon hakuhitaji cheti kuelewa alichokua anakifanya Sabaya. Leo eti mfungeni na kwa kazi ya masilahi ya wananchi. Tutapata shida mno kuelewa tunakoelekea

  • @maggie7701
    @maggie7701 3 года назад +1

    Sabaya unafungwa

  • @ayushjhay1979
    @ayushjhay1979 3 года назад

    Mashaallah mtangazaji saut umejaliwa

  • @meditation884
    @meditation884 3 года назад

    Watu bhn mko mnasifia mtangazaji ila kilichotangazwa hamliangalii...

  • @yusufjuma3773
    @yusufjuma3773 3 года назад +3

    Wasafi acha kutumik😜

  • @immanuelinvocavith1498
    @immanuelinvocavith1498 3 года назад +3

    Watu wanaomtetea sabaya ni wenzake kama hawakuhusika kwenye matukio ya sabaya aliyoyafanya Moshi na Arusha basi wanafanya matukio kama ya sabaya huko walipo krk majukumu wanayopewa, wanayegeuza kutesa watu na kujipatia fedha haramu nakuhakishieni

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa5336 3 года назад +4

    Atafungwa huyu jamaa!Hawezi kushinda bila shahidi wakusapoti ushahidi wake.

    • @samwelemuniezi7524
      @samwelemuniezi7524 3 года назад

      Mungu Atakusaidia sabaya endelea kumuomba mungu wewe Ulikua mtekelezaji tu Kama mfanya kazi hivyo wamekugeuka hao wakubwa zako Utatoka tu kwa Uwezo wa mungu

    • @aloycemacha9894
      @aloycemacha9894 3 года назад

      @@samwelemuniezi7524 mungu wake amemfunga

  • @rashidiathumani2300
    @rashidiathumani2300 3 года назад

    Maripo duniani arijigamba sana

  • @happynesskibona6658
    @happynesskibona6658 3 года назад +5

    Maswali Mengine ni ya kitoto kabisa nyie mahakimu haipaswi kumuhuliza mtu mnzima ni kupotezeana mtu nendeni kwenye maswali ya muhimu ndiyo cha msingi

    • @kipsjr3664
      @kipsjr3664 3 года назад

      ayo ndo maswali yanayo mfunga mtu na ukitaka kujua kama ni ya kitoto au la jaribu kushtakiwa na jamuhuri ndo utaelewa

    • @africanmandetraveler2847
      @africanmandetraveler2847 3 года назад

      Kwa hivyo wewe ndo unawafundisha kazi?

  • @rukundoibrahim807
    @rukundoibrahim807 3 года назад +2

    jama iko hatiani.

  • @farajitz10
    @farajitz10 3 года назад

    Kesi Kama movie vile Duuuh

  • @kassimukipingu5343
    @kassimukipingu5343 3 года назад +1

    Sabaya utawasababishia wenzio matatizo

  • @christiannyamamba9089
    @christiannyamamba9089 3 года назад +1

    Yani huyu akiachiwa itakua jambo la ajabu sana

  • @gradnessshitindishitindi4881
    @gradnessshitindishitindi4881 3 года назад +2

    Jaman sabaya kachakaa😭😭 u HB wote kwisha, Kama kwel hjayafanya hayo makosa utatoka salama lkn Kama kwel unamakosa umekwisha kaka

  • @nazanasa6108
    @nazanasa6108 3 года назад +1

    Sabaya ameanza kukata ringi. Kitambi yote imeishaaaaa!

  • @adildube775
    @adildube775 3 года назад +1

    Hooo