Pedejee Sumaku na Mkewe Safina Matelephone, sura ya Simba, wameamua kuachana na mambo ya upedejee baada ya hali kuwa ngumu na kuona kuwa mambo ya masifa hayana nafasi katika kipindi cha sasa.
Kumbe uyu dada bado yupo, kitambo sana ni zaidi ya miaka kumi sasa ndio namuona sasa, nafikir cfatilii sana ndio maana ckujua kama bado yupo kwenye sanaa ya maigizo, anajua sana, kipindi yuko kaole alikuwa anaigiza kama mshambamshamba hivi, 😂😂😂👍 love *sarafina*
Bado narudia Tena na Tena,wanamizengwe mnanizinguwa,muda mliopewa ndio mdogo jamani,mko na ubunifu wa Hali ya juu,hongera, hongera,hongeraaaaaaaaaaaa,Odende from Kenya
Kumbe uyu dada bado yupo, kitambo sana ni zaidi ya miaka kumi sasa ndio namuona sasa, nafikir cfatilii sana ndio maana ckujua kama bado yupo kwenye sanaa ya maigizo, anajua sana, kipindi yuko kaole alikuwa anaigiza kama mshambamshamba hivi, 😂😂😂👍 love *sarafina*
Mkwere ulivyomkaba sass na mzee matata Mungu akulaze mahali pema peponi
Hahahahaha hawa washkaji wako vzr sana
Si angempa talaka tuuu kuliko kumuua hukuuu na cocktails🤣🤣🤣
😃😃😆😆😃😃 mgonjwa vepe,,tatizo ni kongosho
Itv mmenifurahisha sana kuweka hivi vichekesho RUclips,itv daima
Eti nitaonekana nafuga wakongo😂😂😂😂
no life without mizengwe...good sana
😂😂😂🙌🙌🏃♀️🏃♀️🏃♀️Ingia kwenye dozi🤣
Kukalia kiti na ni bibi ya mtu na bwana Ako haikaii vizuri
Hahahahahaaaaa!!!!!!!!!!!!
Noma sana mpaka Magic Powder"'"
Hii nyimbo yangu mpya KIBOMPOLI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 UTANILUSHAJE MI MTUMZIMA UTANIVUNJA,,..apo mmenimaliza mbavu😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
hahaha hahaha...ogopa sanaa kongosho
Raha sana sarafina
safinaaaa w allahi nacheka sana
nzury
😂😂😂😂😂😂mke wangu hujaona roho yangu hapo 😂😂😂😂😂😂😂😂😃😃😃😂🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙌🙌🙌🙌
Arafa Iddy mambo?
😂😂😂😂😂😂😂uwiiiiiiiiii jmn ndo kwanza naanza kuangalia nakutana na KIBOMPOLI hahahahaha jmn wale wakusini wenzangu ebu tujuane anakipenda kibompoliiiiii
kumbe ni wakusini? Yaani wananipa furaha ya hari ya juu huyu dada na mumewe kila sehemu nacheka ile mbaya🤣🤣🤣🤣🤣🤣💖💞💝😍🎉👏👍
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😍
ur the best ....mizengwe
mama we ni mnyalu vadaha
Hehee ingia kwenye dozi
😂😂😂Kongosho
jamani hata huyo mzee mi namkubali saaana
Ati Safina ulifkiriaaa 😂😂😂
Bado narudia Tena na Tena,wanamizengwe mnanizinguwa,muda mliopewa ndio mdogo jamani,mko na ubunifu wa Hali ya juu,hongera, hongera,hongeraaaaaaaaaaaa,Odende from Kenya
Kauze kongosho 🤣🤣😂
Nice
Yaani kapimwa mfuko wa chakula umegeuka chakula hakikai,chadondokea straight tumboni.
hahahahaha hatari sana
Nawapenda sana awa jamaa
hongereni nawa penda sana
😋😋duh mfuko wa chakula umegeuka chakula hakikai
hhhhhh ebn we maringo mbona unabalaa hvyo kwahiyo baada ya kuibiwa vyote ukaamua ufuge kitambi
Et ingia kwenye doz hahahaha hatar
Safii snaaaaaa
Haaaa eti si itakuwa cocktail. ...
Isa
Dah jmny hizi dawa 😂😂😂kwa maelezo ya Doctor zote hizo
hahaha....''mke wangu hujaona roho yangu hapo...''
Mbaka mageck jaman haaaaaaa masiyara ayo hahahaha
Hahahaaa safina kamsukuma mzee WA watu kaanguka kama mgomba maskini hahahaaaa
😂😂😂😂😂😂
Sumaku ni hatari
😂😂😂😂
Ingia kwenye dozi pia WWE!!
noma sana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂my libs
Hahahahahaaaaa😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
“Magic”😂
Haha kweli dawa
hatr sana kifaduro
Josephat Joseph
Ujaiona roho yangu hapo
nomaa sana
Kongosho mtu nduki nyooo
😀😀😀mmh htry
Hi best Sijapatapo kuiona Thanks
😂😂😂😂😂
Kama huna hela ya kutoa ingia kwenye dozi
ha ha haaah!
Moyo wa kutoa unao
safina sokwakuchekesha huko
good
jaman MPE dawa
hahaha mpe dawa mpe dawa
🤣🤣🤣🤣
Huyu dada yuko vzur sana anaitwa salafina
Buslii
PC's
Saf
Ingia kwenye dozi😂😂
Hakipiga chafia sisimizi wanatoka🤣🤣
Hahaha
😁😁😁😁
Rudi Joy
3
Kongosho
Sumaku hatari duuh
Safina umetisha.
Kaambia swala la kongosho kakimbia.
g
Hahahaha
utaponaje
salafina ufwa kweli
akijipigiza ndo anapona
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂yaani nyie kiboko
ugmu wa maisha kipimo cha akili
Noma sana!!!!!!!!!
hhhhhhhhh
Elisha Mathias 33
nawakubali
hahahahahahaha
V
hahaha usitabasam
pendejee salafina
we mbn hukunywa dawa😁😁
utaponaje