Al Merrikh SC 0-2 Yanga SC | Highlights | CAF CL 16/09/2023
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Magoli mawili yote yakifungwa kipindi cha pili, kutoka kwa Kennedy Musonda dakika ya 60 na Clement Mzize dakika ya 79 yameipa Yanga ushindi muhimu ugenini, wakiicha Al Merrikh 2-0 kwenye Uwanja wa Pele, Kigali Rwanda.
Nipeni na mimi likeeeeee jaman
Asa like ndo utashiba au ufanyie nin
Hizi apa!
@@petermayala2790😊😊😊😊😊😊😊😊⁰
Kijana wa marungu 🙌🙌😂
Mwanaume umekaa kabsa serious unaomba like. Useless sperm
Kama unamkubali PACOME.. usisahau kulike jaman leo wa sita!!from 🇿🇦💚💚💚💚💚🔥🔥🔥🔥💛💛💛💛💛💛💛💛
Mechi za yanga ukiziangalia zinavutia hata km nimarudio ni km live tuu 🎉🎉
Sanaaaa🔥🔥🔥hizo movement za pacome aisee.🔥🔥,Ki,Musonda,Aucho,Max,yaan wooote jmn uwiiii🔥🔥🔥🔥Yangaaaa
Yesu ndiye njia ya KWELI na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini YESU na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende mbinguni.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
😂😂😂😂,nmependa Mungu akubariki sana
Amen
Maboya Sana Azam media. Mnacheleweshaje highlights za game ya Yanga
Wa kwanz mm naomben like million 2
Tunaomba wachezaji wote waliosajiliwa wacheze ili viwango vyao vieleweke 😊😊
Kwa mara ya kwanza leo ndio nimeona uzalendo 👊🏼👊🏼 big up simba and yanga fans
Me ni yangaa🎉🎉
Sisi ndo yanga 💚💚💚
This is yanga first ever win vs Almerrikh
Almerrikh will always be giant of east african club football
Copium
You are trying to lie yourself!!
Cry more😂😂
Giant my foot 😏😏😏
Check the rank who is bigger😂
Yanga bingwa
daaah! kwa yanga hii hatuna nenoo!
Nawapongeza sana wananchi daimambele nyumamwiko tutafika mbali❤
Mzize apewe nafasi zaid ameanza kulomaa ajitahid zaidi kwenye kuzijua njia za pasi na jinsi ya kupokea pasi za mwisho na kuzigeuza kuwa magili sio kila position yeye ni offside au akutane na kipa adhibitiwe
Leo highlight imekaa sawa laki iongenzwe hadi dk15 itakuwa iko poa sana hata za Nbc league.
Ila huyu Aziz Mafunguo n noma sana jmn. Anasumbua sana kumkaba
Striker wa yanga mchezo wa pili wajitahidi kuoiga mipira mbali na keeper sababu keeper ni mrefu😊😊😊.
Yanga tam💚💚💚💚💚💛
Jaman tuwe tuajikumbusha japo hata kwa wiki malamoja tuuu😅😅😅😅
Duuh nimeisubiri hii afu nimeidaka juu kwa juuu 😂😂😂
Yangaaaaa yanguuuu
Nani kaona ..eti kocha wa yanga nj bakari malima!!! Azam wameandika
Poor Pitch, high risk of injuries. No more Plastic in football.
Mbona highlights za Yanga mmechelewesha nyie wasenge?? , kisa timu lenu la azam lilikandwa hatua za awali na lile chezaji lenu kubwa kama pawa mabula😡
😂😂😂😂
Wasenge wanatamn hata waspost kabisa mech yayamga imeisha kabla yasimb lakn simb imepostowa samoja yamga wanasubl had walale
Ndo walivyo wapuuz hawa lakn timu nyingn ikicheza mapema tu wanarusha
Tatizo watanzania niwavivu kushangilia tubasubir mpaka goli liingie ndo tushangilie ona wenzetu hawapoi !!
Matangazo hayakuwa na ubora tuliouzoea haswa kwenye wide camera.
Yani hii Yanga sio ya kukariri kikosi wala kukariri wa kumkaba, Kikosi chochote kinakanda na mchezaji yeyote anakanda
Ahsante sana Yanga! Endeleeni kututamusha!
Wanainchi mpoooooo 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Waoooo
Azam ndio mnatuma saiv Yan ad MB zangu ad zmeishaaa mnzingua sana
These fields are dangerous for players
Sijui kolo tulimwaachaje kwenye ngao😅😅, nawaonea huruma sana power dynamo nao watakuja kukutana na mvua sizizoeleweka, mkono utawahusu😂😂😂😂
Wananchiiiiiiiii🎉❤🔥🔥🔥
Video quality ✋
Yanga walikosa ushirikiano na umakini😂 wangefunga hata goal nne😅 Kigali
Tumcfie kwa shukuran niyonzima
Namimi.watatu
🇹🇿💪🏼
Mwenye kuelewa ameelewa na wasenge hawaelewi
Yanga Bingwa
Yaani uwanja ni vumbi la mkaa tupu
Ndo uwanja wa nyasi bandia unavyokuwa
Mbona mme chelewa sana azam
Lomalisa alifanya uchoyo wenzako walikuwa wanasubiri uwape pasi
Tunaomba yanga wafanyie mazoezi mengi ya kufunga magoal nje ya 18 ndani ya box,through ball na v-pass also penalty 😅😅😅
Mimi Ni Yangaaaa
Yanga Bingwaaaa
Wakati sisi tunacheza SOKA, Kule MAKOLO wanacheza YOPE...🤣🤣🤣
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🙌🙌
Kama gari linaenda kuzimia fainali
Umeonaeee yaani hapa gari linazima final kabisa
Mzize ana zinguwa
Kwa kweli Mzize anakera sana, kila mechi anakosa magoli ya wazi kabisa!
@@mohamedmagongo9348 kumbe una ona niambie sasa zile mechi Ngumu ambazo akuna nafasi nyingi mbona tuta liya ana kosa nafasi nyingi sanaa
Kweli Kuna nafasi aliwekewa na maxi nzengeli mpaka Sasa naifikilia ila mzize alipoteza
@@petermayala2790 wala sio iyo tuu tuta ona nyingi sanaa acha tufurahi lakini ipo siku tuta laumu
Hili walifanyie kazi sasa maana huu sasa usiwe wimbo Selemani anapewa nafasi hazitumii afunge aache utoto bhana akipatikana foward mzuri atachezea benchi we muache tu
Kiwanja kibovu sanaa...utdhan vumbi la mkaa limejaa
Kapeti hiyo
@@sao4028kapeti iliyo choka
Azam wanataman hata highlight zayanga wasirushe just imagine mech yayanga imetamguliwa kuisha ndonikaisha yasimba lakn yasimba imepostiwa samoja hiohio lakn yanga imekuja kupostiwa satano watu wameshall 😂😂😂 Duh
Azam wapuuzi sana wanawachukiia yanga ila timu nyingin ikicheza mapema tu wamerusha
@@wardah-mb6kb Shenziii zao kabisa
Nakubali siroho mbaya zimewajaa kunamawasiliano hapo kati watendaji wa Azam Football club na warusha matangazo ujinga tu ndiomana nchi yetu haipigi hatua kimaendeleo kiuchumi wa kimpila sababu yaubinafsi tu
Azam wanazingua sana hii sio mara ya kwanza ...mara zote hua wanafanya hivi hivi
@@slimmuhabesh2400 😂hawajasem mpk wasem watake wastake lazm wapost
Kwahiyo kocha wa yanga anaitwa Bakari malima
❤
Kwa nn mmechelewsha hv
👏👏👏👏👏
Pakomee Zuzuwa atalisana
Images zenu siku hizi haziko clear
Hii ndo timu ya kushabikia
Dah huu mpira wa yanga n nyonya damu aisee.. Ngoja tuone mie nipo paleeeeeeee
Una maanisha nn kaka👀
Bado haujakuridhisha ama
@@EltonMmari kwa mpira wao n vigumu timu pinzani kumiliki mpira. Naona timu nyingi zitapata tabu sana kwa hawa utopolo
@@EltonMmari noo nawasifia, jamaa wanakukimbiza mpaka utaachia tu
Tunaomba kocha amuweka max nafasi ya mzize na mzize acheze namba 7
Apo sawaaa
Hiv bakressa umeshidwa kwel kumuomba injinia ukae nae japo kidogo japo lisaa limoja akushaul maana ya timu jins inavyoendeswa kwel umeshidwa siamin Kama umeshidwa
Yao nikiberenge
Eti waandishi uchwara walikuwa wanaitisha Yanga kuwa El Merrekh wamelidai watapigana Vita vitakatifu. Hawa waandishi watu wa ajabu sana.
Skudu Yuko wapi
Tunaomba Mzize asianze kipindi cha kwanza
Wako safi
Coach wa Yanga ameandikwa Bakari Malima hapo juu baada ya kutajwa kikosi mmekosea
Hili goli la Musonda, nimeona umuhimu wa vile walivyokuwa wanafanya mazoezi kwa mikono ila kufunga kwa kichwa kweli Yale ni mazoezi na sio mchezo kama watu walivyokuwa wanaona.......
WANAOTAKIWA KUTANGAZA MECHI ZA YANGA NI KABOMBE NA MZINGA TU.
Baraka Mpenja,Ghalib Mizinga,Aluatan Ramadhan Ngoda,cjui na wengine huko...pira linakua fireeeee🔥🔥🔥lkn hata hawa watafikia huko.
sisi wa thinba tunakomenti wapi😅😅😅
😂😂😂 jiulizee
Ndio mutume sai waone vile 🙄🙄
Nmahhhhh
YANGA Utamu tu
Mpaka waseme bado awajasema
Uwanja wa pumba jamani
Tena pumba za mpunga
Ndio ndio
Yanga anapangiwaga na timu za Vita vita Kama wale Zalan😅😅😅😅😅 hadi leo hawajafika kwao😊😅😅😅😅😅
Kwan unaumia😀
😂😂😂😂
Kwahiyo unataka kusema waliendelea kucheza na timu zinazotoka vitani mpaka final ya shirikisho
Yaan hujitambui vizuri we
Hawa pale complex watakula tanoo
😮
Diara wewe ni nyan ama maan unanikoxha xana
Files
Yanga 🎉🎉🎉 ipewe mau yake😅😅
Yangaa Rahaa tupu
Boc Jana kaongea kauli mbili tu za uhakika tusubiri vitendo
Mtangazaji ni mtu wa pwani😅
Watu Wa pwan wapoje
Azam TV hua hamkosi baya kwa YANGA yaani Kocha wa YANGA ni Bakari Malima? jina la Kocha wa El Merrekh mnalipatia kuliandika jina lake tena nirefu kweli hila la Miguel Gamondi linawshinda mpaka mumwite Bakari Malima?
Hayo ni mambo ya kimakosa tu.wanaubaya gani Kwa yanga? Sisi wanayanga tunajua Azam wapo haki kabisa
@@mkude ukiwa mwanaYANGA haujitangazi km hivi, Azam wanatumia fedha wanazozipata kwa mkataba wa kibatili wa miaka 10 na TFF kuibomoa YANGA leo wanae Djuma Shaaban, Bangala na Feisal na wote hawakuondoka vizuri YANGA,....
@@fargakoigip6029 ninachoangalia mimi Azam anamchango mkubwa sanaaa kwenye soka.tuache fitina na maneno maneno kama wanawake
Kula chuma hicho
Zamareki wabovu sana
Tulishakubaliana kua ligi ya mabingwa hakuna timu mbovu au mambo yamebadilika saiv
Amesahau huyo 😂😂😂😂 mkumbushe walisema ligi ya mabingwa haina wabovu
@@piliMuhammed-so3pg😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 wamesahau tulivyofika fainali wakasema time zote tulizo pangiwa nazo nyepesi hata wale wa algeri.matokea yake wa algeri wamempiga Al Ahli na kuchukua kombe Kwa Yanga hii kila timu tutakayokutana nayo mtasema wabovu😂😂😂😂
Yanga mpaka sasa ajacheza mech yoyote ya maana anacheza na timu ambazo ni kama yeye mwenyewe yanga
Yanga iko bora hata ukibisha
Wewe Fala Sana, hata mpira hujui, kwanza wewe sio shabiki ni mshangiliaji unaongea kisa droo ya kubahatisha, kwa hili Simba la kikuzi cjui utafika wapi, kama sio kujinyonga cjuiii!
Hata Simba bwana, timu ya kushinda wanatoa sare
Kiufupi Kila Timu inaonekana nyanya kutokana na UBORA wa YANGA...mtasema wote manyanya mpk FAINALI.!
Kama ile simba ya ngao ya Jamii,mkashinda kwa penalty,yanga walikuwa wepesi mkashindwa kuwafunga dk 90.
Wamenunuw mechi tu hao yanga
Oh umejuaje na ulikuwa bize na mechi yako
Utasem saan na badooooo
Nawe pia umenunua ndiyo maana ukapata sare aibu tupu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hawa pale complex watakula tanoo