Al Merrikh SC 0-2 Yanga SC | Highlights | CAF CL 16/09/2023

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Magoli mawili yote yakifungwa kipindi cha pili, kutoka kwa Kennedy Musonda dakika ya 60 na Clement Mzize dakika ya 79 yameipa Yanga ushindi muhimu ugenini, wakiicha Al Merrikh 2-0 kwenye Uwanja wa Pele, Kigali Rwanda.

Комментарии • 172

  • @baraka8347
    @baraka8347 Год назад +115

    Nipeni na mimi likeeeeee jaman

  • @aminahkhuzwayo-iv1wl
    @aminahkhuzwayo-iv1wl Год назад +8

    Kama unamkubali PACOME.. usisahau kulike jaman leo wa sita!!from 🇿🇦💚💚💚💚💚🔥🔥🔥🔥💛💛💛💛💛💛💛💛

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty7992 Год назад +9

    Mechi za yanga ukiziangalia zinavutia hata km nimarudio ni km live tuu 🎉🎉

    • @lainacemmmwasote1862
      @lainacemmmwasote1862 Год назад

      Sanaaaa🔥🔥🔥hizo movement za pacome aisee.🔥🔥,Ki,Musonda,Aucho,Max,yaan wooote jmn uwiiii🔥🔥🔥🔥Yangaaaa

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 Год назад +14

    Yesu ndiye njia ya KWELI na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini YESU na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende mbinguni.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @NasriAbdillah-pj1jx
    @NasriAbdillah-pj1jx Год назад +4

    Maboya Sana Azam media. Mnacheleweshaje highlights za game ya Yanga

  • @AyubuAyubu-iq2oo
    @AyubuAyubu-iq2oo Год назад +6

    Wa kwanz mm naomben like million 2

  • @omega-gl9wt
    @omega-gl9wt Год назад +8

    Tunaomba wachezaji wote waliosajiliwa wacheze ili viwango vyao vieleweke 😊😊

  • @EltonMmari
    @EltonMmari Год назад +5

    Kwa mara ya kwanza leo ndio nimeona uzalendo 👊🏼👊🏼 big up simba and yanga fans

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Год назад +5

    Me ni yangaa🎉🎉

  • @TithoYusuph-jm1ke
    @TithoYusuph-jm1ke Год назад +3

    Sisi ndo yanga 💚💚💚

  • @salihalash4111
    @salihalash4111 Год назад +4

    This is yanga first ever win vs Almerrikh
    Almerrikh will always be giant of east african club football

  • @KalangaLoiyolengai
    @KalangaLoiyolengai Год назад +7

    Yanga bingwa

  • @clintonhussein
    @clintonhussein Год назад +2

    daaah! kwa yanga hii hatuna nenoo!

  • @AnjelaMwamakula
    @AnjelaMwamakula Год назад +1

    Nawapongeza sana wananchi daimambele nyumamwiko tutafika mbali❤

  • @doneeplus9290
    @doneeplus9290 Год назад +4

    Mzize apewe nafasi zaid ameanza kulomaa ajitahid zaidi kwenye kuzijua njia za pasi na jinsi ya kupokea pasi za mwisho na kuzigeuza kuwa magili sio kila position yeye ni offside au akutane na kipa adhibitiwe

  • @bahatirashid6964
    @bahatirashid6964 Год назад +2

    Leo highlight imekaa sawa laki iongenzwe hadi dk15 itakuwa iko poa sana hata za Nbc league.

  • @stephanocornely130
    @stephanocornely130 Год назад +3

    Ila huyu Aziz Mafunguo n noma sana jmn. Anasumbua sana kumkaba

  • @omega-gl9wt
    @omega-gl9wt Год назад +1

    Striker wa yanga mchezo wa pili wajitahidi kuoiga mipira mbali na keeper sababu keeper ni mrefu😊😊😊.

  • @Gaudencia-wc8jc
    @Gaudencia-wc8jc Год назад +3

    Yanga tam💚💚💚💚💚💛

  • @Said-se2pf
    @Said-se2pf 2 месяца назад +1

    Jaman tuwe tuajikumbusha japo hata kwa wiki malamoja tuuu😅😅😅😅

  • @mnyakitz2007
    @mnyakitz2007 Год назад +3

    Duuh nimeisubiri hii afu nimeidaka juu kwa juuu 😂😂😂

  • @sheysarahnjeno5207
    @sheysarahnjeno5207 Год назад +3

    Yangaaaaa yanguuuu

  • @AHMADA515
    @AHMADA515 6 месяцев назад +3

    Nani kaona ..eti kocha wa yanga nj bakari malima!!! Azam wameandika

  • @beatbyrich2891
    @beatbyrich2891 Год назад +3

    Poor Pitch, high risk of injuries. No more Plastic in football.

  • @mkata_umeme_kante
    @mkata_umeme_kante Год назад +9

    Mbona highlights za Yanga mmechelewesha nyie wasenge?? , kisa timu lenu la azam lilikandwa hatua za awali na lile chezaji lenu kubwa kama pawa mabula😡

    • @WitnesKephas
      @WitnesKephas Год назад +1

      😂😂😂😂

    • @ngorshermelody2021
      @ngorshermelody2021 Год назад +1

      Wasenge wanatamn hata waspost kabisa mech yayamga imeisha kabla yasimb lakn simb imepostowa samoja yamga wanasubl had walale

    • @wardah-mb6kb
      @wardah-mb6kb Год назад +1

      Ndo walivyo wapuuz hawa lakn timu nyingn ikicheza mapema tu wanarusha

  • @zaniamohammed2258
    @zaniamohammed2258 Год назад +4

    Tatizo watanzania niwavivu kushangilia tubasubir mpaka goli liingie ndo tushangilie ona wenzetu hawapoi !!

  • @richardmichael7523
    @richardmichael7523 Год назад +3

    Matangazo hayakuwa na ubora tuliouzoea haswa kwenye wide camera.

  • @chacha-255
    @chacha-255 Год назад +5

    Yani hii Yanga sio ya kukariri kikosi wala kukariri wa kumkaba, Kikosi chochote kinakanda na mchezaji yeyote anakanda

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Год назад +3

    Ahsante sana Yanga! Endeleeni kututamusha!

  • @sifauseni6900
    @sifauseni6900 Год назад +1

    Wanainchi mpoooooo 🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @SamLaizar-w5v
    @SamLaizar-w5v Год назад +3

    Waoooo

  • @kafumutv.6082
    @kafumutv.6082 Год назад +2

    Azam ndio mnatuma saiv Yan ad MB zangu ad zmeishaaa mnzingua sana

  • @fra9873
    @fra9873 Год назад +2

    These fields are dangerous for players

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 Год назад +2

    Sijui kolo tulimwaachaje kwenye ngao😅😅, nawaonea huruma sana power dynamo nao watakuja kukutana na mvua sizizoeleweka, mkono utawahusu😂😂😂😂

  • @hamisimkima-un3jk
    @hamisimkima-un3jk Год назад +1

    Wananchiiiiiiiii🎉❤🔥🔥🔥

  • @pmall8867
    @pmall8867 Год назад +2

    Video quality ✋

  • @omega-gl9wt
    @omega-gl9wt Год назад +2

    Yanga walikosa ushirikiano na umakini😂 wangefunga hata goal nne😅 Kigali

  • @AbubakaryAlly-n6n
    @AbubakaryAlly-n6n Год назад +2

    Tumcfie kwa shukuran niyonzima

  • @AdamMapunda-h5v
    @AdamMapunda-h5v Год назад +2

    Namimi.watatu

  • @fra9873
    @fra9873 Год назад +3

    🇹🇿💪🏼

  • @MkaliZuberi-rt3gb
    @MkaliZuberi-rt3gb Год назад +4

    Mwenye kuelewa ameelewa na wasenge hawaelewi

  • @baraka911
    @baraka911 Год назад +3

    Yanga Bingwa

  • @monicasimbamwene2776
    @monicasimbamwene2776 Год назад +6

    Yaani uwanja ni vumbi la mkaa tupu

    • @saidrajab3808
      @saidrajab3808 Год назад

      Ndo uwanja wa nyasi bandia unavyokuwa

  • @nestorymapunda-f6b
    @nestorymapunda-f6b Год назад +2

    Mbona mme chelewa sana azam

  • @ephremmtuya3094
    @ephremmtuya3094 Год назад +3

    Lomalisa alifanya uchoyo wenzako walikuwa wanasubiri uwape pasi

  • @omega-gl9wt
    @omega-gl9wt Год назад +1

    Tunaomba yanga wafanyie mazoezi mengi ya kufunga magoal nje ya 18 ndani ya box,through ball na v-pass also penalty 😅😅😅

  • @slimmuhabesh2400
    @slimmuhabesh2400 Год назад +1

    Mimi Ni Yangaaaa

  • @slimmuhabesh2400
    @slimmuhabesh2400 Год назад +2

    Yanga Bingwaaaa

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Год назад +4

    Wakati sisi tunacheza SOKA, Kule MAKOLO wanacheza YOPE...🤣🤣🤣

  • @donatusmsike4671
    @donatusmsike4671 Год назад +4

    Kama gari linaenda kuzimia fainali

    • @sadatamal3655
      @sadatamal3655 Год назад +1

      Umeonaeee yaani hapa gari linazima final kabisa

  • @chakuboyofficial9720
    @chakuboyofficial9720 Год назад +4

    Mzize ana zinguwa

    • @mohamedmagongo9348
      @mohamedmagongo9348 Год назад +3

      Kwa kweli Mzize anakera sana, kila mechi anakosa magoli ya wazi kabisa!

    • @chakuboyofficial9720
      @chakuboyofficial9720 Год назад +4

      @@mohamedmagongo9348 kumbe una ona niambie sasa zile mechi Ngumu ambazo akuna nafasi nyingi mbona tuta liya ana kosa nafasi nyingi sanaa

    • @petermayala2790
      @petermayala2790 Год назад +1

      Kweli Kuna nafasi aliwekewa na maxi nzengeli mpaka Sasa naifikilia ila mzize alipoteza

    • @chakuboyofficial9720
      @chakuboyofficial9720 Год назад

      @@petermayala2790 wala sio iyo tuu tuta ona nyingi sanaa acha tufurahi lakini ipo siku tuta laumu

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Год назад +2

      Hili walifanyie kazi sasa maana huu sasa usiwe wimbo Selemani anapewa nafasi hazitumii afunge aache utoto bhana akipatikana foward mzuri atachezea benchi we muache tu

  • @RoseMunisi-fy1sq
    @RoseMunisi-fy1sq Год назад +3

    Kiwanja kibovu sanaa...utdhan vumbi la mkaa limejaa

  • @ngorshermelody2021
    @ngorshermelody2021 Год назад +7

    Azam wanataman hata highlight zayanga wasirushe just imagine mech yayanga imetamguliwa kuisha ndonikaisha yasimba lakn yasimba imepostiwa samoja hiohio lakn yanga imekuja kupostiwa satano watu wameshall 😂😂😂 Duh

    • @wardah-mb6kb
      @wardah-mb6kb Год назад +3

      Azam wapuuzi sana wanawachukiia yanga ila timu nyingin ikicheza mapema tu wamerusha

    • @ngorshermelody2021
      @ngorshermelody2021 Год назад +3

      @@wardah-mb6kb Shenziii zao kabisa

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Год назад +1

      Nakubali siroho mbaya zimewajaa kunamawasiliano hapo kati watendaji wa Azam Football club na warusha matangazo ujinga tu ndiomana nchi yetu haipigi hatua kimaendeleo kiuchumi wa kimpila sababu yaubinafsi tu

    • @slimmuhabesh2400
      @slimmuhabesh2400 Год назад

      Azam wanazingua sana hii sio mara ya kwanza ...mara zote hua wanafanya hivi hivi

    • @ngorshermelody2021
      @ngorshermelody2021 Год назад

      @@slimmuhabesh2400 😂hawajasem mpk wasem watake wastake lazm wapost

  • @SifaeliMelita
    @SifaeliMelita Год назад +1

    Kwahiyo kocha wa yanga anaitwa Bakari malima

  • @JamesJacob-pm4rm
    @JamesJacob-pm4rm Год назад +1

  • @EliasHassan9
    @EliasHassan9 Год назад +2

    Kwa nn mmechelewsha hv

  • @GeorgeMoses-n4q
    @GeorgeMoses-n4q Год назад +1

    👏👏👏👏👏

  • @GraceSeveline
    @GraceSeveline Год назад +4

    Pakomee Zuzuwa atalisana

  • @jumaribakare5069
    @jumaribakare5069 Год назад

    Images zenu siku hizi haziko clear

  • @Kimweri_tz
    @Kimweri_tz Год назад +2

    Hii ndo timu ya kushabikia

  • @stephanocornely130
    @stephanocornely130 Год назад +3

    Dah huu mpira wa yanga n nyonya damu aisee.. Ngoja tuone mie nipo paleeeeeeee

    • @EltonMmari
      @EltonMmari Год назад

      Una maanisha nn kaka👀

    • @EltonMmari
      @EltonMmari Год назад

      Bado haujakuridhisha ama

    • @stephanocornely130
      @stephanocornely130 Год назад

      @@EltonMmari kwa mpira wao n vigumu timu pinzani kumiliki mpira. Naona timu nyingi zitapata tabu sana kwa hawa utopolo

    • @stephanocornely130
      @stephanocornely130 Год назад

      @@EltonMmari noo nawasifia, jamaa wanakukimbiza mpaka utaachia tu

  • @omega-gl9wt
    @omega-gl9wt Год назад +1

    Tunaomba kocha amuweka max nafasi ya mzize na mzize acheze namba 7

  • @MohammedKhalfan-u5l
    @MohammedKhalfan-u5l Год назад

    Apo sawaaa

  • @boscojmseso7072
    @boscojmseso7072 Год назад +1

    Hiv bakressa umeshidwa kwel kumuomba injinia ukae nae japo kidogo japo lisaa limoja akushaul maana ya timu jins inavyoendeswa kwel umeshidwa siamin Kama umeshidwa

  • @عبداللهالعازمي-ع3ش

    Yao nikiberenge

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 Год назад +1

    Eti waandishi uchwara walikuwa wanaitisha Yanga kuwa El Merrekh wamelidai watapigana Vita vitakatifu. Hawa waandishi watu wa ajabu sana.

  • @MessGeogre
    @MessGeogre Год назад +1

    Skudu Yuko wapi

  • @omega-gl9wt
    @omega-gl9wt Год назад +2

    Tunaomba Mzize asianze kipindi cha kwanza

  • @AgilipinaMashaka
    @AgilipinaMashaka Год назад

    Wako safi

  • @jamessilwamba2862
    @jamessilwamba2862 Год назад +2

    Coach wa Yanga ameandikwa Bakari Malima hapo juu baada ya kutajwa kikosi mmekosea

  • @Julitha-vs9ee
    @Julitha-vs9ee Год назад +2

    Hili goli la Musonda, nimeona umuhimu wa vile walivyokuwa wanafanya mazoezi kwa mikono ila kufunga kwa kichwa kweli Yale ni mazoezi na sio mchezo kama watu walivyokuwa wanaona.......

  • @AbuuAbdilRahmaan
    @AbuuAbdilRahmaan Год назад +2

    WANAOTAKIWA KUTANGAZA MECHI ZA YANGA NI KABOMBE NA MZINGA TU.

    • @lainacemmmwasote1862
      @lainacemmmwasote1862 Год назад

      Baraka Mpenja,Ghalib Mizinga,Aluatan Ramadhan Ngoda,cjui na wengine huko...pira linakua fireeeee🔥🔥🔥lkn hata hawa watafikia huko.

  • @tilltheland5956
    @tilltheland5956 Год назад +1

    sisi wa thinba tunakomenti wapi😅😅😅

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 Год назад +2

    Ndio mutume sai waone vile 🙄🙄

  • @robertoluomba1268
    @robertoluomba1268 Год назад +1

    Nmahhhhh

  • @ernestsinje-ng8hm
    @ernestsinje-ng8hm Год назад +1

    YANGA Utamu tu

  • @FrankRichard-i2y
    @FrankRichard-i2y Год назад +1

    Mpaka waseme bado awajasema

  • @samuelmiryango3524
    @samuelmiryango3524 Год назад +4

    Uwanja wa pumba jamani

  • @minhokid
    @minhokid Год назад +1

    Ndio ndio

  • @RBSMABATI
    @RBSMABATI Год назад +3

    Yanga anapangiwaga na timu za Vita vita Kama wale Zalan😅😅😅😅😅 hadi leo hawajafika kwao😊😅😅😅😅😅

  • @hashimumwinyi2239
    @hashimumwinyi2239 Год назад

    Hawa pale complex watakula tanoo

  • @MohammedKhalfan-u5l
    @MohammedKhalfan-u5l Год назад

    😮

  • @AnethKato
    @AnethKato Год назад +2

    Diara wewe ni nyan ama maan unanikoxha xana

  • @MpalestinaYahaya-kf7iq
    @MpalestinaYahaya-kf7iq Год назад +1

    Files

  • @jimmymasaki286
    @jimmymasaki286 Год назад

    Yanga 🎉🎉🎉 ipewe mau yake😅😅

  • @sankaadeo
    @sankaadeo Год назад +1

    Yangaa Rahaa tupu

  • @SundayBeda
    @SundayBeda Год назад +1

    Boc Jana kaongea kauli mbili tu za uhakika tusubiri vitendo

  • @simonmjema7352
    @simonmjema7352 Год назад

    Mtangazaji ni mtu wa pwani😅

  • @fargakoigip6029
    @fargakoigip6029 Год назад

    Azam TV hua hamkosi baya kwa YANGA yaani Kocha wa YANGA ni Bakari Malima? jina la Kocha wa El Merrekh mnalipatia kuliandika jina lake tena nirefu kweli hila la Miguel Gamondi linawshinda mpaka mumwite Bakari Malima?

    • @mkude
      @mkude Год назад

      Hayo ni mambo ya kimakosa tu.wanaubaya gani Kwa yanga? Sisi wanayanga tunajua Azam wapo haki kabisa

    • @fargakoigip6029
      @fargakoigip6029 Год назад

      @@mkude ukiwa mwanaYANGA haujitangazi km hivi, Azam wanatumia fedha wanazozipata kwa mkataba wa kibatili wa miaka 10 na TFF kuibomoa YANGA leo wanae Djuma Shaaban, Bangala na Feisal na wote hawakuondoka vizuri YANGA,....

    • @mkude
      @mkude Год назад

      @@fargakoigip6029 ninachoangalia mimi Azam anamchango mkubwa sanaaa kwenye soka.tuache fitina na maneno maneno kama wanawake

  • @ValerianaMgani
    @ValerianaMgani Год назад +1

    Kula chuma hicho

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo Год назад +1

    Zamareki wabovu sana

    • @piliMuhammed-so3pg
      @piliMuhammed-so3pg Год назад +2

      Tulishakubaliana kua ligi ya mabingwa hakuna timu mbovu au mambo yamebadilika saiv

    • @happynessowani6098
      @happynessowani6098 Год назад +3

      Amesahau huyo 😂😂😂😂 mkumbushe walisema ligi ya mabingwa haina wabovu

    • @alicenice1711
      @alicenice1711 Год назад

      ​@@piliMuhammed-so3pg😂😂😂😂😂😂

    • @mkude
      @mkude Год назад

      😂😂😂😂😂 wamesahau tulivyofika fainali wakasema time zote tulizo pangiwa nazo nyepesi hata wale wa algeri.matokea yake wa algeri wamempiga Al Ahli na kuchukua kombe Kwa Yanga hii kila timu tutakayokutana nayo mtasema wabovu😂😂😂😂

  • @MkaliZuberi-rt3gb
    @MkaliZuberi-rt3gb Год назад

    Yanga mpaka sasa ajacheza mech yoyote ya maana anacheza na timu ambazo ni kama yeye mwenyewe yanga

    • @husseinmejja8041
      @husseinmejja8041 Год назад +2

      Yanga iko bora hata ukibisha

    • @laurencematitah7046
      @laurencematitah7046 Год назад +4

      Wewe Fala Sana, hata mpira hujui, kwanza wewe sio shabiki ni mshangiliaji unaongea kisa droo ya kubahatisha, kwa hili Simba la kikuzi cjui utafika wapi, kama sio kujinyonga cjuiii!

    • @Fransiskongara-kc3cv
      @Fransiskongara-kc3cv Год назад +3

      Hata Simba bwana, timu ya kushinda wanatoa sare

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Год назад +6

      Kiufupi Kila Timu inaonekana nyanya kutokana na UBORA wa YANGA...mtasema wote manyanya mpk FAINALI.!

    • @christapapollo5737
      @christapapollo5737 Год назад +3

      Kama ile simba ya ngao ya Jamii,mkashinda kwa penalty,yanga walikuwa wepesi mkashindwa kuwafunga dk 90.

  • @mbugetv
    @mbugetv Год назад

    Wamenunuw mechi tu hao yanga

  • @GODLOVEDANIEL-gq1jv
    @GODLOVEDANIEL-gq1jv Год назад

  • @hashimumwinyi2239
    @hashimumwinyi2239 Год назад

    Hawa pale complex watakula tanoo

  • @GODLOVEDANIEL-gq1jv
    @GODLOVEDANIEL-gq1jv Год назад