Waliobaki huku nyumbani, wametoa sare tena 🤣🤣🤣. What a solid defending from Yannick and Job, what a beautiful sweep goalkeeping from Diarra, what a good approach from Nabi and the whole bench, what a midfielder is Sure boy!!. All of them are extremely in another level!!🙌🙌
Tusingewasema singer pambana safiiiiii sana wakuu saluted to Yanga AM a Simba fan but Congoleeeeeeeee yanga safiiiiii sana mmetuheshimisha kama simba wanavyofanya 🤝🤝👏👏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mimi maoni yangu naipongeza sanaa Azam tv dah!! Tungeona wapi maombo haya live bila chenga...Mungu awape nguvu na uwepo zaidi ili dunia nzima iitizame Azam tv.
Aksanti sana kwa Azam tv kwa kazi kubwa that you guys always do Congratulations kwa mabingwa wa soccer Tanzania Yanga Africans kwa ushindi mkubwa ugenini keep it up safari bado ndefu
Ushauri kocha wetu mzuri sana anajuwa afanyayo tumpe ushirikiano ktk kushinda na kupoteza tusiwe wepesi wa kumkaripiya yeye viongozi na wachezaji mpira ni kushinda kushindwa na sare.tukubali yote kuna siku tutafrahisana siku kidogo na kuna siku tuudhike ila tusivuke mpaka ktk maneno
Leo narudia hii highlight tarehe 28/08/2024 Kama kumbukizi ya mwanzo wa kulisumbua soka la Afrika hii siku nilishangilia badae nikaanza kulia kesho yake ata sauti ya kuongea nilikua sina dah Nakupenda Yanga💛💛💚💚
Hii highlight yenu haijabeba uhalisia Ni kama inaonesha yanga ilikua imezidiwa na inaonesha vpande ambavyo yanga wanashambuliwa.. Yanga imecheza kwa ustad sana.. Na possesion was fantastik Bildingup from golkpr was nice.. lakn hamjataka kuonesha hvyo Its unfear
@@Zaburi-acha kuota ndoto za mchana makundi yenyew umeingia leo tangu 98 halafu upite direct hadi kubeba kikombe 😂😂😂 ww ulishawah fanya biashara mara moja tu ukawa kama Gsm? Jiongeze
🤷♂🎂🦑🗣🏈⚽🎊🎊🍭🍡🍬🌿🍔🍔 *Mungu alionyesha upendo wake kwetu kwa kumtuma Mwanawe Yesu Kristo, ambaye alikufa na kufufuka kutoka kwa wafu ili kutupa uzima wa milele.* *Pia aliahidi kuponya. mwili wako.* *Ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu* *atakupa uzima wa milele* *(Angalia mbinguni na umuulize Mungu)*
Jambo jema sana watani tukiwa kitu kimoja linapokuja suala la kitaifa binafs nilishangaa kuona baadhi ya mashabik wa Simba wakiishangilia club Africain bt wapo wazalendo ambao wameweka uzalendo mbele Kwa kuijali yanga hata kama n mtani inapendeza uadui wetu kati ya Simba na yanga ukaishia hapa ndani kimataifa tukawa kitu kimoja hongeren wazalendo wa taifa letu la tanzania
Me n mwananchi napokea pongezi za mtani ifike sehem mtu akifanya kitu kzr tusiwe wachoyo wakumpongeza asanteeee naamin ata chama langu la yanga wanaipokea
Waliobaki huku nyumbani, wametoa sare tena 🤣🤣🤣. What a solid defending from Yannick and Job, what a beautiful sweep goalkeeping from Diarra, what a good approach from Nabi and the whole bench, what a midfielder is Sure boy!!. All of them are extremely in another level!!🙌🙌
Naishabikiya yanga toka Congo DRC. Asante mayele kwa pasi na Asante sana Azizi ki kwa bao.
Hii ilikuwa ni safari yenye kusisimua kwetu Wananchi 💚💛 nani mwingine amerudi kuangalia hii Highlight Tarehe 8/06/2024 tujuane kwa like👇🏾
Tar 20 06 2024😂😂😂❤❤
No 1 on Trending just wow🔰🔰🔰🔰💚💛💚💛
Leo tuko Fainale Babe😂💚🔰🖤
مبروووك للشباب التنزاني فريق منظم جدا ويستحق أن يتوج بكأس الإتحاد الافريقي ،، تحياتي من السودان .
Insh allah sudan rafiki
Asanteee saaana
It was simply fantastic 🥰
Tusingewasema singer pambana safiiiiii sana wakuu saluted to Yanga AM a Simba fan but Congoleeeeeeeee yanga safiiiiii sana mmetuheshimisha kama simba wanavyofanya 🤝🤝👏👏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Alie rudi kuiangalia hii mechi baada ya yanga# kumfumga Malumo# tujuane😂
Hahahaaaa
Co kumfunga marumo tu, baada ya YANGA kuingia fainali, maana Safar ilianzia hap na club African alitipa baraka zoooote
Waarabu kwakweri fujo.wanajuwa
😂😂😂
😂😂😂
Watching Nabi past games for my beloved Chiefs ❤
Mimi maoni yangu naipongeza sanaa Azam tv dah!! Tungeona wapi maombo haya live bila chenga...Mungu awape nguvu na uwepo zaidi ili dunia nzima iitizame Azam tv.
YANGA oyeeeeeeeeeeeeeeeee DAIMA MBELE NYUMA MWIKO CONGRATULATIONS MY TEAM💚💛💚💛💚💛
The Club above all, imagine belong us, this is young Africans the people's Club
Swadakta
Yaan mmetueshimisha sanaaa💛💚💛💚 nawapenda kwa sababu mnapamban had mwisho
YANGA DAIMA MBELE NYUMA MWIKO congratulations. all and all thanks God you will be with us.
Moja Kati ya mechi kubwa sana ambayo yanga wali wahi kuicheza napenda kuitazama kila wiki
Aksanti sana kwa Azam tv kwa kazi kubwa that you guys always do Congratulations kwa mabingwa wa soccer Tanzania Yanga Africans kwa ushindi mkubwa ugenini keep it up safari bado ndefu
Ushauri kocha wetu mzuri sana anajuwa afanyayo tumpe ushirikiano ktk kushinda na kupoteza tusiwe wepesi wa kumkaripiya yeye viongozi na wachezaji mpira ni kushinda kushindwa na sare.tukubali yote kuna siku tutafrahisana siku kidogo na kuna siku tuudhike ila tusivuke mpaka ktk maneno
llllllllolllllolllllllolllooool
Kweli sema hawa shabiki mihemko wa Bongo ni ngumu
We mnafki cjuzi ulisema hafai
Kabisa sema watu wengi hawawezi
Umenifurahisha sana. Unajua sana ukweli
No 1 on trending 💚💛
Cjui kwa nn natoka machozi💚💚💚💚💛💛💪💪
Ni furahaaa
Ukisema mayelee, Unamalizia Aziz kii, Yanga ALHAMDULILLAH.
Yanga .. I love how you beat the tunisian team 😂they always cry for penalties SMH
We support you .. Hilal fan
Nabi aligoma kupata aibu mbele ya mke na wtt wake 💚💛💚💛
Mke na wanae Nabi kwani ni WA Tunisia 😂😂😂😂
@@bintik2311 Sasa wewe hujui
🤣🤣🤣
Kama umeloop goli la azizi kiii gonga like twende sawa
Sure Boy
True definition of Football 👍👍👍👍✅
Sure boy
True definition of football
Leo narudia hii highlight tarehe 28/08/2024 Kama kumbukizi ya mwanzo wa kulisumbua soka la Afrika hii siku nilishangilia badae nikaanza kulia kesho yake ata sauti ya kuongea nilikua sina dah Nakupenda Yanga💛💛💚💚
Nipo mim pia
Bado tupo trending mpaka leoo!!!!!!!!
Yanga hongera kwa kuvunja mwiko wa kuingia hatua ya makundi well done job
Wala miogo wenzangu like zihusike hapa
Tupooo jamani
Tupoooo 👍🏿👍🏿
Mamaako anaekula muhogo mmoja je n yeye ni mwezetu
Alieedit hii highlight bila shaka ni KOLO moja mjinga, Amekata best momens zote, anatakiwa afukuzwe kazi hafai kua hapo,Kolooo
Daaa leo yanga mmeupiga mwingi sanaaaaaaaaaa
Yanga wamoto sana mamaee 🙌🏼🔥
Wananchiiiiii 💚💛🏆🏅💪👏🔥💯✈️ Unyama mwingiiiiii saaana Daima mbele nyuma mwiko 🔥🔥
Number 2 on trending 🙌🙌🖤💛💚
Waarabu wana roho mbaya sana 😥Mtume Muhhammad SAW hakuwa na sifa ya kuwa roho mbaya
Wako wp walisema tunapgw goli 7 km kipanga...naon goli Saba imewageukia wao kizungu yaan 7 kizungu inakuw 1 😅😅😅😅yanga tam😘 ...yanga wenzang gonga like hapa
💛💚💛💚💛💚💪💪💪
🙏🙏🙏🙏🙏
Wamelala
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ÀNM
This is what we want yanga nmependa sana
Show me the way! Ni vyema sana. Kazi iendelee!!!!!!!!!
safari yetu na confidence yetu kwwnye soka la afrika ilianzia hapa
YANGA mbele congratulations 🌹🥰💛💚💛💚
Hongera sana Yanga, you made it
Hii highlight yenu haijabeba uhalisia
Ni kama inaonesha yanga ilikua imezidiwa na inaonesha vpande ambavyo yanga wanashambuliwa..
Yanga imecheza kwa ustad sana..
Na possesion was fantastik
Bildingup from golkpr was nice.. lakn hamjataka kuonesha hvyo
Its unfear
sure it's unfair, na elie upload hii video itakua ndo walewale wa roho za kukunja
Hakika umeandika ukweli mana walichokionyesha ni kwamba mwanzo mwisho yanga anashambuliwa yani nieri wasingeli upload iyo video
@samwel kumbe na wewe umeliona hilo.
It's really unfair !!!
@@mickylifetimes itakua ni KOLO LA AZAM NDIO AME UPLOAD
Ila goli limeoneshwa.
Ufaransa waliwazidi Senegal ki mpira world cup 2002 lakini sen.walishinda😆😆
Vivaaaa Young Africans.....
Tuumefuzu kibabe saaaana hadi raha
Mpira mwingi na ushindii juu
Ila highligts yao wameonyesha yanga wamezidiwa
Shukran sana yanga kiujumla viongozi na wachezaji mmetuheshimisha mola katusikiya dua zetu mana wengi walitukatiyq tamaa yanga mbele nyuma mwiko.
Daima mbele nyuma mwiko congrats kwa yanga Africa
Ongereni sana wachezaji wa yanga Africans 🙏 mungu awabaliki sana jumla na kocha wa yanga Africans bwana awe NANYI by Daniel mussa gangaga
Hongera sana wananchi, bora tumewasema, ila sure boy fundi
Mipango ya Mungu ni sahihi kuliko ya wanadamu,Makolo mliyoyataka hayakuwa
Merci beaucoup bon voyage.Daima mbele Nyuma mwiko
Muomba mungu achok 🙏🏻🙏🏻
Swadakta
Nilivyomuona tu mwamba kageuza jezi bac nikajua tu leo waarabu wataita maji mma mma…. na kwl waliita MMAAA 😂
Yanga daima mbele, nyuma mwiko 😍😍😍😍
Nikiwa kama mfatiliaje kwann mmeanzia dk ya 12 au ...au....au hii mechi ntairudia mpka na mpka ..💚💛💛💛
😂😂😂😂😂
Aziz kiiiiiiiiiiiii Yanga tamu bana but Yanga ange kua serious toka mwanzo ange kua club bingwa
Kweli
Beautiful 🇹🇿🇹🇿✔✔💯.
Well-done yanga
Mojaa ktk ya mechi iliyonilizaa Sanaa😭😭👈kwa furahaa na machungu
Turning point ❤
yangaaaaa mbele nyuma mwiko daaaa uku Tanzania Kuna kocha watoto wamechana jins ya kocha noma sana
This is yanga,I love yanga
Yanga walicheza vizuri aki
Muombeni msamaha Azizi kiii na profesa Nabi
Kweli wametukanwa sana yani hadi aibu
Asanten watan hapo tumepata heshima huko tunaogopw safisan majeshi yet kwa kutu let's hshm
Hongera sana yanga africa umeiwakilisha vema Tanzania
Hii mechi sure boy alikuwa wamoto sana
Yanga wapo vizuri
Hili kombe yanga anaweza kubeba akiendelea kuwa serious
Nikumbushe tu kuna mazembe huku, pyramid na wengine 😄😄yani club bingwa kwa moto na shirikisho nako kwa moto👌👌
@@hildajoel5 berkane huyo ulimuweka wewe acha kukariri
@@hildajoel5 in fact Yanga anabeba ubingwa huo
@@hildajoel5 mazembe kwako mana Toka Simba iumbwe hajwhi mfunga mazmbe😂
@@Zaburi-acha kuota ndoto za mchana makundi yenyew umeingia leo tangu 98 halafu upite direct hadi kubeba kikombe 😂😂😂 ww ulishawah fanya biashara mara moja tu ukawa kama Gsm? Jiongeze
2024🎉
Aliewadanganya Club africain kuva jezi za makolo ndie kafanya kosa. Sababu wananchi wakionaga tu red and white lazma wampige mtu kama ngoma🤣
Wapi like za kibwana aliokoa mipira mingi ya hatari
Hongera yanga hongera Tanzania yanga mko juu sure boy amefanya mengi soka limechezwa waarabu hoi
Pongezi kwa wachezaji wote wa yangaaa god bless us players sasaivi tumeweka heshima
Refa huyu yuko vizur sana hana presha
Kwa kweli kazi haikuwa rahisi
sure boy kaupiga mwingi sana...
Yaani kama xavi jamaa anajua hadi anaboa
Yani mungu hatusaidie mahan kunawatu hawatutakii mema sisi yanga
Haswaa makolo
Sikuamini nilikuwa,na presha mungu ni mwema
Tuliovumilia kuipa moyo timu yetu yujuane
Anyone in 2024
Me nimerudi Tena leo tar 28/02/2024 baada ya kumfunga belouizdad
GHALIB MZINGA🚀
Aliyerudia hii mechi Leo tujuane
Diaraaaaaaaaaa 🙌
02 on trending so far
Hongereni sana watani Yanga,, mumeendeleza kuiwakilisha tz vyema
Uko vizuri wewe kimchezo!!!
Ilikuwa bonge la mechi kwa kweli niliinjoy sana it's me simba
🤷♂🎂🦑🗣🏈⚽🎊🎊🍭🍡🍬🌿🍔🍔 *Mungu alionyesha upendo wake kwetu kwa kumtuma Mwanawe Yesu Kristo, ambaye alikufa na kufufuka kutoka kwa wafu ili kutupa uzima wa milele.* *Pia aliahidi kuponya. mwili wako.* *Ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu* *atakupa uzima wa milele*
*(Angalia mbinguni na umuulize Mungu)*
Amen
Mashabiki wa makolo njoon niwagaie afutatu mkanywe supu
Tending nomber 1
12/06/2024💛💚🙏
Jambo jema sana watani tukiwa kitu kimoja linapokuja suala la kitaifa binafs nilishangaa kuona baadhi ya mashabik wa Simba wakiishangilia club Africain bt wapo wazalendo ambao wameweka uzalendo mbele Kwa kuijali yanga hata kama n mtani inapendeza uadui wetu kati ya Simba na yanga ukaishia hapa ndani kimataifa tukawa kitu kimoja hongeren wazalendo wa taifa letu la tanzania
Simba na Yanga awanaga uadui Kama ufikiliavyo wewe. Simba na Yanga ni watani wa jadi.
moja kati ya mechi yangu bora kwenye kizazi chetu
Hii mechi sichoki kuangalia
a battle 🔥
hongera sana chama langu yanga kwa ushindi wenu hapo Jana ila babu kaju kaupiga mwingi sana pia wachezaji wrote walijutuma ipasavyo
Kilicho waponza waraabu jezi nyekundu kama Manchester ndio maana wamefungwa
asante mungu🙏🙏
leo nimerudia tena kuichek hii mech
Yanga oyeee
James lapulga jr nimerudi hapa kuiangalia tena hii mechii😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Ongereni watani
Me n mwananchi napokea pongezi za mtani ifike sehem mtu akifanya kitu kzr tusiwe wachoyo wakumpongeza asanteeee naamin ata chama langu la yanga wanaipokea