Club Africain 0-1 Yanga SC | Highlights | CAF Confederation Cup 09/11/2022

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 сен 2024
  • Goli pekee la Stephane Aziz Ki limeipeleka Yanga hatua ya makundi Kombe la Shirikisho barani Afrika #CAFConfederationCup dhidi ya Club Africain ya Tunisia.
    Ni mechi ya marudiano iliyopigwa kwenye Dimba la Olympic De Rades Tunis nchini Tunisia baada ya mchezo wa mkondo wa kwanza kutoka suluhu.... kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

Комментарии • 464

  • @dazzkid_tz
    @dazzkid_tz 16 дней назад +4

    Leo narudia hii highlight tarehe 28/08/2024 Kama kumbukizi ya mwanzo wa kulisumbua soka la Afrika hii siku nilishangilia badae nikaanza kulia kesho yake ata sauti ya kuongea nilikua sina dah Nakupenda Yanga💛💛💚💚

  • @ecostats51
    @ecostats51 Год назад +10

    Waliobaki huku nyumbani, wametoa sare tena 🤣🤣🤣. What a solid defending from Yannick and Job, what a beautiful sweep goalkeeping from Diarra, what a good approach from Nabi and the whole bench, what a midfielder is Sure boy!!. All of them are extremely in another level!!🙌🙌

  • @user-dd3ek5fh5g
    @user-dd3ek5fh5g 3 месяца назад +6

    Hii ilikuwa ni safari yenye kusisimua kwetu Wananchi 💚💛 nani mwingine amerudi kuangalia hii Highlight Tarehe 8/06/2024 tujuane kwa like👇🏾

  • @tumpemsyani-io7pv
    @tumpemsyani-io7pv Год назад +54

    Alie rudi kuiangalia hii mechi baada ya yanga# kumfumga Malumo# tujuane😂

  • @samuelkakule8038
    @samuelkakule8038 Год назад +7

    Naishabikiya yanga toka Congo DRC. Asante mayele kwa pasi na Asante sana Azizi ki kwa bao.

  • @محمدالطاهركرادم
    @محمدالطاهركرادم Год назад +8

    مبروووك للشباب التنزاني فريق منظم جدا ويستحق أن يتوج بكأس الإتحاد الافريقي ،، تحياتي من السودان .

  • @wangonamuhange8218
    @wangonamuhange8218 Год назад +21

    Wala miogo wenzangu like zihusike hapa

  • @bakarhassan
    @bakarhassan 5 месяцев назад +7

    safari yetu na confidence yetu kwwnye soka la afrika ilianzia hapa

  • @hussamnagila6567
    @hussamnagila6567 Год назад +12

    Yanga .. I love how you beat the tunisian team 😂they always cry for penalties SMH
    We support you .. Hilal fan

  • @mysaramohamed4832
    @mysaramohamed4832 Год назад +12

    No 1 on Trending just wow🔰🔰🔰🔰💚💛💚💛

  • @bakarhassan
    @bakarhassan Год назад +11

    Moja Kati ya mechi kubwa sana ambayo yanga wali wahi kuicheza napenda kuitazama kila wiki

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад +71

    Ushauri kocha wetu mzuri sana anajuwa afanyayo tumpe ushirikiano ktk kushinda na kupoteza tusiwe wepesi wa kumkaripiya yeye viongozi na wachezaji mpira ni kushinda kushindwa na sare.tukubali yote kuna siku tutafrahisana siku kidogo na kuna siku tuudhike ila tusivuke mpaka ktk maneno

  • @MbuyaJrAlvin
    @MbuyaJrAlvin Год назад +19

    Nilivyomuona tu mwamba kageuza jezi bac nikajua tu leo waarabu wataita maji mma mma…. na kwl waliita MMAAA 😂

  • @rashidmalingwa808
    @rashidmalingwa808 Год назад +11

    Cjui kwa nn natoka machozi💚💚💚💚💛💛💪💪

  • @ninahmbonea6248
    @ninahmbonea6248 Год назад +11

    Mimi maoni yangu naipongeza sanaa Azam tv dah!! Tungeona wapi maombo haya live bila chenga...Mungu awape nguvu na uwepo zaidi ili dunia nzima iitizame Azam tv.

  • @abdallahomar5868
    @abdallahomar5868 Год назад +9

    Daaa leo yanga mmeupiga mwingi sanaaaaaaaaaa

  • @zilperoscar7389
    @zilperoscar7389 Год назад +11

    Nabi aligoma kupata aibu mbele ya mke na wtt wake 💚💛💚💛

  • @lovenesskalenge2683
    @lovenesskalenge2683 Год назад +6

    Yaan mmetueshimisha sanaaa💛💚💛💚 nawapenda kwa sababu mnapamban had mwisho

  • @boazijailos2020
    @boazijailos2020 Год назад +4

    The Club above all, imagine belong us, this is young Africans the people's Club

  • @frankkihomboh9756
    @frankkihomboh9756 Год назад +7

    Kama umeloop goli la azizi kiii gonga like twende sawa

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 Год назад +6

    YANGA oyeeeeeeeeeeeeeeeee DAIMA MBELE NYUMA MWIKO CONGRATULATIONS MY TEAM💚💛💚💛💚💛

  • @FaustiniKalyembe
    @FaustiniKalyembe 23 дня назад +4

    Anyone in 2024

  • @gooleserviceyoutubescandar3450
    @gooleserviceyoutubescandar3450 Год назад +7

    Ukisema mayelee, Unamalizia Aziz kii, Yanga ALHAMDULILLAH.

  • @lawrencephotographyandsafa5955
    @lawrencephotographyandsafa5955 Год назад +7

    Tusingewasema singer pambana safiiiiii sana wakuu saluted to Yanga AM a Simba fan but Congoleeeeeeeee yanga safiiiiii sana mmetuheshimisha kama simba wanavyofanya 🤝🤝👏👏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @yusuphngondo7607
    @yusuphngondo7607 Год назад +4

    YANGA DAIMA MBELE NYUMA MWIKO congratulations. all and all thanks God you will be with us.

  • @davidkabwiliza7187
    @davidkabwiliza7187 Год назад +10

    Bado tupo trending mpaka leoo!!!!!!!!

  • @abdymmanga6338
    @abdymmanga6338 Год назад +6

    Yanga wamoto sana mamaee 🙌🏼🔥

  • @lukhanyisonkomonde3371
    @lukhanyisonkomonde3371 9 дней назад +1

    Watching Nabi past games for my beloved Chiefs ❤

  • @samwelngomuo207
    @samwelngomuo207 Год назад +16

    Hii highlight yenu haijabeba uhalisia
    Ni kama inaonesha yanga ilikua imezidiwa na inaonesha vpande ambavyo yanga wanashambuliwa..
    Yanga imecheza kwa ustad sana..
    Na possesion was fantastik
    Bildingup from golkpr was nice.. lakn hamjataka kuonesha hvyo
    Its unfear

    • @mickylifetimes
      @mickylifetimes Год назад +4

      sure it's unfair, na elie upload hii video itakua ndo walewale wa roho za kukunja

    • @ramamtanga3482
      @ramamtanga3482 Год назад +1

      Hakika umeandika ukweli mana walichokionyesha ni kwamba mwanzo mwisho yanga anashambuliwa yani nieri wasingeli upload iyo video

    • @ericbilsen1176
      @ericbilsen1176 Год назад

      @samwel kumbe na wewe umeliona hilo.
      It's really unfair !!!

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 Год назад +2

      @@mickylifetimes itakua ni KOLO LA AZAM NDIO AME UPLOAD

    • @hindisaid2413
      @hindisaid2413 Год назад

      Ila goli limeoneshwa.
      Ufaransa waliwazidi Senegal ki mpira world cup 2002 lakini sen.walishinda😆😆

  • @asyashariffu7717
    @asyashariffu7717 Год назад +45

    Wako wp walisema tunapgw goli 7 km kipanga...naon goli Saba imewageukia wao kizungu yaan 7 kizungu inakuw 1 😅😅😅😅yanga tam😘 ...yanga wenzang gonga like hapa

  • @janethmyinga6470
    @janethmyinga6470 Год назад +6

    No 1 on trending 💚💛

  • @mollelluka1379
    @mollelluka1379 Год назад +4

    Yanga hongera kwa kuvunja mwiko wa kuingia hatua ya makundi well done job

  • @user-lb3un8py7n
    @user-lb3un8py7n 11 месяцев назад +3

    It was simply fantastic 🥰

  • @latifahkambi453
    @latifahkambi453 Год назад +7

    Aliyerudia hii mechi Leo tujuane

  • @jumakassim8718
    @jumakassim8718 Год назад +5

    Mipango ya Mungu ni sahihi kuliko ya wanadamu,Makolo mliyoyataka hayakuwa

  • @alex181
    @alex181 Год назад +4

    This is what we want yanga nmependa sana

  • @sospetershijah5619
    @sospetershijah5619 11 месяцев назад +6

    Hii mechi sure boy alikuwa wamoto sana

  • @shomarysaid5055
    @shomarysaid5055 Год назад +3

    Alieedit hii highlight bila shaka ni KOLO moja mjinga, Amekata best momens zote, anatakiwa afukuzwe kazi hafai kua hapo,Kolooo

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 Год назад +4

    Sure Boy
    True definition of Football 👍👍👍👍✅

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 Год назад +10

    Tuliovumilia kuipa moyo timu yetu yujuane

  • @nabeelsombidah3405
    @nabeelsombidah3405 6 месяцев назад +5

    Me nimerudi Tena leo tar 28/02/2024 baada ya kumfunga belouizdad

  • @livingstoneyusuph4235
    @livingstoneyusuph4235 Год назад +6

    Aziz kiiiiiiiiiiiii Yanga tamu bana but Yanga ange kua serious toka mwanzo ange kua club bingwa

  • @panchovalentino3576
    @panchovalentino3576 Год назад +3

    Wananchiiiiii 💚💛🏆🏅💪👏🔥💯✈️ Unyama mwingiiiiii saaana Daima mbele nyuma mwiko 🔥🔥

  • @nasibuyahaya9129
    @nasibuyahaya9129 Год назад +5

    Asanten watan hapo tumepata heshima huko tunaogopw safisan majeshi yet kwa kutu let's hshm

  • @DouglasMassop
    @DouglasMassop Год назад +15

    Aliewadanganya Club africain kuva jezi za makolo ndie kafanya kosa. Sababu wananchi wakionaga tu red and white lazma wampige mtu kama ngoma🤣

  • @ahmedysaidy9874
    @ahmedysaidy9874 Год назад +9

    Kilicho waponza waraabu jezi nyekundu kama Manchester ndio maana wamefungwa

  • @moise6735
    @moise6735 Год назад +1

    Aksanti sana kwa Azam tv kwa kazi kubwa that you guys always do Congratulations kwa mabingwa wa soccer Tanzania Yanga Africans kwa ushindi mkubwa ugenini keep it up safari bado ndefu

  • @edwini6952
    @edwini6952 Год назад +6

    Daima mbele nyuma mwiko congrats kwa yanga Africa

  • @jacksonnicolao8630
    @jacksonnicolao8630 Год назад +2

    Hongera sana Yanga, you made it

  • @braysonpatrick4504
    @braysonpatrick4504 Год назад +24

    Hili kombe yanga anaweza kubeba akiendelea kuwa serious

    • @hildajoel5
      @hildajoel5 Год назад +2

      Nikumbushe tu kuna mazembe huku, pyramid na wengine 😄😄yani club bingwa kwa moto na shirikisho nako kwa moto👌👌

    • @Zaburi-
      @Zaburi- Год назад

      @@hildajoel5 berkane huyo ulimuweka wewe acha kukariri

    • @Zaburi-
      @Zaburi- Год назад

      @@hildajoel5 in fact Yanga anabeba ubingwa huo

    • @hassanmbarouk8654
      @hassanmbarouk8654 Год назад

      @@hildajoel5 mazembe kwako mana Toka Simba iumbwe hajwhi mfunga mazmbe😂

    • @hildajoel5
      @hildajoel5 Год назад +1

      @@Zaburi-acha kuota ndoto za mchana makundi yenyew umeingia leo tangu 98 halafu upite direct hadi kubeba kikombe 😂😂😂 ww ulishawah fanya biashara mara moja tu ukawa kama Gsm? Jiongeze

  • @enockmalegesi6358
    @enockmalegesi6358 Год назад +3

    Vivaaaa Young Africans.....
    Tuumefuzu kibabe saaaana hadi raha
    Mpira mwingi na ushindii juu

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 Год назад

      Ila highligts yao wameonyesha yanga wamezidiwa

  • @husseinmustapha6773
    @husseinmustapha6773 Год назад +7

    Muomba mungu achok 🙏🏻🙏🏻

  • @charitymkombozi5900
    @charitymkombozi5900 Год назад +4

    Number 2 on trending 🙌🙌🖤💛💚

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад +2

    Shukran sana yanga kiujumla viongozi na wachezaji mmetuheshimisha mola katusikiya dua zetu mana wengi walitukatiyq tamaa yanga mbele nyuma mwiko.

  • @epafrangweshemi4014
    @epafrangweshemi4014 Год назад +3

    Show me the way! Ni vyema sana. Kazi iendelee!!!!!!!!!

  • @officialmtiamoyo6922
    @officialmtiamoyo6922 Год назад +5

    Hii mechi sichoki kuangalia

  • @emanuelimakundi9747
    @emanuelimakundi9747 Год назад +6

    leo nimerudia tena kuichek hii mech

  • @KeretoErik-gq1hx
    @KeretoErik-gq1hx Год назад +5

    Yanga walicheza vizuri aki

  • @yuscokalulu8716
    @yuscokalulu8716 Год назад +13

    diarra anaipambania san tim yak hongr zang zot zmfikie popt pal alipo

  • @fatmahussein6085
    @fatmahussein6085 Год назад +8

    Walosema yanga itapigwa kama kipangaa waje niwape aftatu wakanywe supu washushiee maumivu😂😂

  • @saidimmbaga56
    @saidimmbaga56 Год назад +3

    Hongera sana wananchi, bora tumewasema, ila sure boy fundi

  • @godfreywilliam9673
    @godfreywilliam9673 Год назад +7

    Muombeni msamaha Azizi kiii na profesa Nabi

  • @hassan7270
    @hassan7270 Год назад +2

    Waarabu wana roho mbaya sana 😥Mtume Muhhammad SAW hakuwa na sifa ya kuwa roho mbaya

  • @Almas120
    @Almas120 18 дней назад +1

    Turning point ❤

  • @capantermkugwa7650
    @capantermkugwa7650 Год назад +4

    yangaaaaa mbele nyuma mwiko daaaa uku Tanzania Kuna kocha watoto wamechana jins ya kocha noma sana

  • @user-rv4wm7ov3s
    @user-rv4wm7ov3s 3 месяца назад +3

    12/06/2024💛💚🙏

  • @shamimujamaly8197
    @shamimujamaly8197 Год назад +5

    Nikiwa kama mfatiliaje kwann mmeanzia dk ya 12 au ...au....au hii mechi ntairudia mpka na mpka ..💚💛💛💛

  • @mcmambo8774
    @mcmambo8774 Год назад +6

    Well-done yanga

  • @deogratiasmaganga4954
    @deogratiasmaganga4954 Год назад +4

    This is yanga,I love yanga

  • @esterwarioba3670
    @esterwarioba3670 Год назад +6

    sure boy kaupiga mwingi sana...

  • @shabilukhatibu9700
    @shabilukhatibu9700 7 месяцев назад +5

    2024🎉

  • @estarmbipi447
    @estarmbipi447 Год назад +4

    YANGA mbele congratulations 🌹🥰💛💚💛💚

  • @danielmussa4101
    @danielmussa4101 Год назад +4

    Ongereni sana wachezaji wa yanga Africans 🙏 mungu awabaliki sana jumla na kocha wa yanga Africans bwana awe NANYI by Daniel mussa gangaga

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 Год назад +4

    Hongera yanga hongera Tanzania yanga mko juu sure boy amefanya mengi soka limechezwa waarabu hoi

  • @manenoramadhan1432
    @manenoramadhan1432 Год назад +6

    Refa huyu yuko vizur sana hana presha

  • @moramwita890
    @moramwita890 Год назад +3

    Merci beaucoup bon voyage.Daima mbele Nyuma mwiko

  • @jamessanga6768
    @jamessanga6768 3 месяца назад +2

    James lapulga jr nimerudi hapa kuiangalia tena hii mechii😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty7992 Год назад +12

    Wapi like za kibwana aliokoa mipira mingi ya hatari

  • @linnahcasmir5275
    @linnahcasmir5275 Год назад +2

    Mojaa ktk ya mechi iliyonilizaa Sanaa😭😭👈kwa furahaa na machungu

  • @abdulladosantosjr
    @abdulladosantosjr 5 месяцев назад +4

    Hii mechi ilikuwa dume kwel kwel mixer nongwq za waarabu daah, Daima mbele nyuma mwiko

  • @daudimmary3965
    @daudimmary3965 Год назад +6

    Yanga daima mbele, nyuma mwiko 😍😍😍😍

  • @dripcornersports4272
    @dripcornersports4272 Год назад +8

    2023 tuko nayo

  • @haibasalehe3889
    @haibasalehe3889 Год назад +5

    Diaraaaaaaaaaa 🙌

  • @bakarhassan
    @bakarhassan 10 месяцев назад +3

    moja kati ya mechi yangu bora kwenye kizazi chetu

  • @halimahamis7370
    @halimahamis7370 Год назад +6

    Hawa waarabu walikuwa wananiudhi tangu mechi ya kwanza leo mbona hawakulalalala kama wamebemendwa yanga tamu

  • @amaniartsgroup4403
    @amaniartsgroup4403 Год назад +3

    Hongera sana yanga africa umeiwakilisha vema Tanzania

  • @makindamachine
    @makindamachine Год назад +4

    Yanga wapo vizuri

  • @claudiayohana6576
    @claudiayohana6576 Год назад +5

    Mashabiki wa makolo njoon niwagaie afutatu mkanywe supu

  • @aronjonathan3297
    @aronjonathan3297 11 месяцев назад +6

    Tangu sku hyo yanga haimuogop mwarabu

  • @nassmapande8674
    @nassmapande8674 Год назад +6

    Tending nomber 1

  • @kottaflavour7055
    @kottaflavour7055 5 месяцев назад +5

    Tutamfunga mamelodi in nsha Allah

  • @rugendorunene545
    @rugendorunene545 Год назад +2

    Beautiful 🇹🇿🇹🇿✔✔💯.

  • @kaisamwalyosi7344
    @kaisamwalyosi7344 Год назад +3

    Yani mungu hatusaidie mahan kunawatu hawatutakii mema sisi yanga

  • @hairuibrahim1303
    @hairuibrahim1303 Год назад +3

    02 on trending so far

  • @burudanitiv324
    @burudanitiv324 Год назад +3

    Pongezi kwa wachezaji wote wa yangaaa god bless us players sasaivi tumeweka heshima

  • @UmmyMsafiri
    @UmmyMsafiri Месяц назад +3

    Yaan yangu humu tu

  • @hansmrope3632
    @hansmrope3632 Год назад +5

    Yanga anaingia makundi mtani anateseka na droo na singida hahahahaaa Ng'ala Ng'ala wananchi

  • @chameleoncorpesprit2986
    @chameleoncorpesprit2986 Год назад +20

    Coach wa club African aliye hospitalini akipata taharifa hii, ugonjwa una ji double 😂

  • @erickmichaelmugele2107
    @erickmichaelmugele2107 Год назад +5

    Aziz ki...kama hapigi sana ila huwa ni kamba😂😂😂😂

  • @elishatitus945
    @elishatitus945 Год назад +2

    hongera sana chama langu yanga kwa ushindi wenu hapo Jana ila babu kaju kaupiga mwingi sana pia wachezaji wrote walijutuma ipasavyo