Club Africain 0-1 Yanga SC | Highlights | CAF Confederation Cup 09/11/2022

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 475

  • @ecostats51
    @ecostats51 2 года назад +10

    Waliobaki huku nyumbani, wametoa sare tena 🤣🤣🤣. What a solid defending from Yannick and Job, what a beautiful sweep goalkeeping from Diarra, what a good approach from Nabi and the whole bench, what a midfielder is Sure boy!!. All of them are extremely in another level!!🙌🙌

  • @samuelkakule8038
    @samuelkakule8038 2 года назад +7

    Naishabikiya yanga toka Congo DRC. Asante mayele kwa pasi na Asante sana Azizi ki kwa bao.

  • @IbrahimMohamed-c3c
    @IbrahimMohamed-c3c 7 месяцев назад +9

    Hii ilikuwa ni safari yenye kusisimua kwetu Wananchi 💚💛 nani mwingine amerudi kuangalia hii Highlight Tarehe 8/06/2024 tujuane kwa like👇🏾

  • @mysaramohamed4832
    @mysaramohamed4832 2 года назад +12

    No 1 on Trending just wow🔰🔰🔰🔰💚💛💚💛

  • @محمدالطاهركرادم
    @محمدالطاهركرادم 2 года назад +8

    مبروووك للشباب التنزاني فريق منظم جدا ويستحق أن يتوج بكأس الإتحاد الافريقي ،، تحياتي من السودان .

  • @NoroBarton
    @NoroBarton Год назад +4

    It was simply fantastic 🥰

  • @lawrencephotographyandsafa5955
    @lawrencephotographyandsafa5955 2 года назад +7

    Tusingewasema singer pambana safiiiiii sana wakuu saluted to Yanga AM a Simba fan but Congoleeeeeeeee yanga safiiiiii sana mmetuheshimisha kama simba wanavyofanya 🤝🤝👏👏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @tumpemsyani-io7pv
    @tumpemsyani-io7pv Год назад +55

    Alie rudi kuiangalia hii mechi baada ya yanga# kumfumga Malumo# tujuane😂

  • @lukhanyisonkomonde3371
    @lukhanyisonkomonde3371 5 месяцев назад +3

    Watching Nabi past games for my beloved Chiefs ❤

  • @ninahmbonea6248
    @ninahmbonea6248 2 года назад +11

    Mimi maoni yangu naipongeza sanaa Azam tv dah!! Tungeona wapi maombo haya live bila chenga...Mungu awape nguvu na uwepo zaidi ili dunia nzima iitizame Azam tv.

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 2 года назад +6

    YANGA oyeeeeeeeeeeeeeeeee DAIMA MBELE NYUMA MWIKO CONGRATULATIONS MY TEAM💚💛💚💛💚💛

  • @boazijailos2020
    @boazijailos2020 2 года назад +4

    The Club above all, imagine belong us, this is young Africans the people's Club

  • @lovenesskalenge2683
    @lovenesskalenge2683 2 года назад +6

    Yaan mmetueshimisha sanaaa💛💚💛💚 nawapenda kwa sababu mnapamban had mwisho

  • @yusuphngondo7607
    @yusuphngondo7607 2 года назад +4

    YANGA DAIMA MBELE NYUMA MWIKO congratulations. all and all thanks God you will be with us.

  • @bakarhassan
    @bakarhassan Год назад +11

    Moja Kati ya mechi kubwa sana ambayo yanga wali wahi kuicheza napenda kuitazama kila wiki

  • @moise6735
    @moise6735 2 года назад +1

    Aksanti sana kwa Azam tv kwa kazi kubwa that you guys always do Congratulations kwa mabingwa wa soccer Tanzania Yanga Africans kwa ushindi mkubwa ugenini keep it up safari bado ndefu

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 2 года назад +71

    Ushauri kocha wetu mzuri sana anajuwa afanyayo tumpe ushirikiano ktk kushinda na kupoteza tusiwe wepesi wa kumkaripiya yeye viongozi na wachezaji mpira ni kushinda kushindwa na sare.tukubali yote kuna siku tutafrahisana siku kidogo na kuna siku tuudhike ila tusivuke mpaka ktk maneno

  • @janethmyinga6470
    @janethmyinga6470 2 года назад +6

    No 1 on trending 💚💛

  • @rashidmalingwa808
    @rashidmalingwa808 2 года назад +11

    Cjui kwa nn natoka machozi💚💚💚💚💛💛💪💪

  • @gooleserviceyoutubescandar3450
    @gooleserviceyoutubescandar3450 2 года назад +7

    Ukisema mayelee, Unamalizia Aziz kii, Yanga ALHAMDULILLAH.

  • @hussamnagila6567
    @hussamnagila6567 2 года назад +12

    Yanga .. I love how you beat the tunisian team 😂they always cry for penalties SMH
    We support you .. Hilal fan

  • @zilperoscar7389
    @zilperoscar7389 2 года назад +11

    Nabi aligoma kupata aibu mbele ya mke na wtt wake 💚💛💚💛

    • @bintik2311
      @bintik2311 2 года назад +1

      Mke na wanae Nabi kwani ni WA Tunisia 😂😂😂😂

    • @mohammedmossi4883
      @mohammedmossi4883 2 года назад

      @@bintik2311 Sasa wewe hujui

    • @mauasaidi872
      @mauasaidi872 2 года назад

      🤣🤣🤣

  • @frankkihomboh9756
    @frankkihomboh9756 2 года назад +7

    Kama umeloop goli la azizi kiii gonga like twende sawa

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 2 года назад +4

    Sure Boy
    True definition of Football 👍👍👍👍✅

  • @dazzkid_tz
    @dazzkid_tz 5 месяцев назад +5

    Leo narudia hii highlight tarehe 28/08/2024 Kama kumbukizi ya mwanzo wa kulisumbua soka la Afrika hii siku nilishangilia badae nikaanza kulia kesho yake ata sauti ya kuongea nilikua sina dah Nakupenda Yanga💛💛💚💚

  • @davidkabwiliza7187
    @davidkabwiliza7187 2 года назад +10

    Bado tupo trending mpaka leoo!!!!!!!!

  • @mollelluka1379
    @mollelluka1379 2 года назад +4

    Yanga hongera kwa kuvunja mwiko wa kuingia hatua ya makundi well done job

  • @wangonamuhange8218
    @wangonamuhange8218 2 года назад +21

    Wala miogo wenzangu like zihusike hapa

  • @shomarysaid5055
    @shomarysaid5055 2 года назад +3

    Alieedit hii highlight bila shaka ni KOLO moja mjinga, Amekata best momens zote, anatakiwa afukuzwe kazi hafai kua hapo,Kolooo

  • @abdallahomar5868
    @abdallahomar5868 2 года назад +9

    Daaa leo yanga mmeupiga mwingi sanaaaaaaaaaa

  • @abdymmanga6338
    @abdymmanga6338 2 года назад +6

    Yanga wamoto sana mamaee 🙌🏼🔥

  • @panchovalentino3576
    @panchovalentino3576 2 года назад +3

    Wananchiiiiii 💚💛🏆🏅💪👏🔥💯✈️ Unyama mwingiiiiii saaana Daima mbele nyuma mwiko 🔥🔥

  • @charitymkombozi5900
    @charitymkombozi5900 2 года назад +4

    Number 2 on trending 🙌🙌🖤💛💚

  • @hassan7270
    @hassan7270 2 года назад +2

    Waarabu wana roho mbaya sana 😥Mtume Muhhammad SAW hakuwa na sifa ya kuwa roho mbaya

  • @asyashariffu7717
    @asyashariffu7717 2 года назад +45

    Wako wp walisema tunapgw goli 7 km kipanga...naon goli Saba imewageukia wao kizungu yaan 7 kizungu inakuw 1 😅😅😅😅yanga tam😘 ...yanga wenzang gonga like hapa

  • @alex181
    @alex181 2 года назад +4

    This is what we want yanga nmependa sana

  • @epafrangweshemi4014
    @epafrangweshemi4014 2 года назад +3

    Show me the way! Ni vyema sana. Kazi iendelee!!!!!!!!!

  • @bakarhassan
    @bakarhassan 9 месяцев назад +7

    safari yetu na confidence yetu kwwnye soka la afrika ilianzia hapa

  • @estarmbipi447
    @estarmbipi447 2 года назад +4

    YANGA mbele congratulations 🌹🥰💛💚💛💚

  • @jacksonnicolao8630
    @jacksonnicolao8630 2 года назад +2

    Hongera sana Yanga, you made it

  • @samwelngomuo207
    @samwelngomuo207 2 года назад +16

    Hii highlight yenu haijabeba uhalisia
    Ni kama inaonesha yanga ilikua imezidiwa na inaonesha vpande ambavyo yanga wanashambuliwa..
    Yanga imecheza kwa ustad sana..
    Na possesion was fantastik
    Bildingup from golkpr was nice.. lakn hamjataka kuonesha hvyo
    Its unfear

    • @mickylifetimes
      @mickylifetimes 2 года назад +4

      sure it's unfair, na elie upload hii video itakua ndo walewale wa roho za kukunja

    • @ramamtanga3482
      @ramamtanga3482 2 года назад +1

      Hakika umeandika ukweli mana walichokionyesha ni kwamba mwanzo mwisho yanga anashambuliwa yani nieri wasingeli upload iyo video

    • @ericbilsen1176
      @ericbilsen1176 2 года назад

      @samwel kumbe na wewe umeliona hilo.
      It's really unfair !!!

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 2 года назад +2

      @@mickylifetimes itakua ni KOLO LA AZAM NDIO AME UPLOAD

    • @hindisaid2413
      @hindisaid2413 2 года назад

      Ila goli limeoneshwa.
      Ufaransa waliwazidi Senegal ki mpira world cup 2002 lakini sen.walishinda😆😆

  • @enockmalegesi6358
    @enockmalegesi6358 2 года назад +3

    Vivaaaa Young Africans.....
    Tuumefuzu kibabe saaaana hadi raha
    Mpira mwingi na ushindii juu

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 2 года назад

      Ila highligts yao wameonyesha yanga wamezidiwa

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 2 года назад +2

    Shukran sana yanga kiujumla viongozi na wachezaji mmetuheshimisha mola katusikiya dua zetu mana wengi walitukatiyq tamaa yanga mbele nyuma mwiko.

  • @edwini6952
    @edwini6952 2 года назад +6

    Daima mbele nyuma mwiko congrats kwa yanga Africa

  • @danielmussa4101
    @danielmussa4101 2 года назад +4

    Ongereni sana wachezaji wa yanga Africans 🙏 mungu awabaliki sana jumla na kocha wa yanga Africans bwana awe NANYI by Daniel mussa gangaga

  • @saidimmbaga56
    @saidimmbaga56 2 года назад +3

    Hongera sana wananchi, bora tumewasema, ila sure boy fundi

  • @jumakassim8718
    @jumakassim8718 2 года назад +5

    Mipango ya Mungu ni sahihi kuliko ya wanadamu,Makolo mliyoyataka hayakuwa

  • @moramwita890
    @moramwita890 2 года назад +3

    Merci beaucoup bon voyage.Daima mbele Nyuma mwiko

  • @husseinmustapha6773
    @husseinmustapha6773 2 года назад +7

    Muomba mungu achok 🙏🏻🙏🏻

  • @MbuyaJrAlvin
    @MbuyaJrAlvin 2 года назад +19

    Nilivyomuona tu mwamba kageuza jezi bac nikajua tu leo waarabu wataita maji mma mma…. na kwl waliita MMAAA 😂

  • @daudimmary3965
    @daudimmary3965 2 года назад +6

    Yanga daima mbele, nyuma mwiko 😍😍😍😍

  • @shamimujamaly8197
    @shamimujamaly8197 2 года назад +5

    Nikiwa kama mfatiliaje kwann mmeanzia dk ya 12 au ...au....au hii mechi ntairudia mpka na mpka ..💚💛💛💛

  • @livingstoneyusuph4235
    @livingstoneyusuph4235 2 года назад +6

    Aziz kiiiiiiiiiiiii Yanga tamu bana but Yanga ange kua serious toka mwanzo ange kua club bingwa

  • @rugendorunene545
    @rugendorunene545 2 года назад +2

    Beautiful 🇹🇿🇹🇿✔✔💯.

  • @mcmambo8774
    @mcmambo8774 2 года назад +6

    Well-done yanga

  • @linnahcasmir5275
    @linnahcasmir5275 Год назад +2

    Mojaa ktk ya mechi iliyonilizaa Sanaa😭😭👈kwa furahaa na machungu

  • @Almas120
    @Almas120 5 месяцев назад +1

    Turning point ❤

  • @capantermkugwa7650
    @capantermkugwa7650 2 года назад +4

    yangaaaaa mbele nyuma mwiko daaaa uku Tanzania Kuna kocha watoto wamechana jins ya kocha noma sana

  • @deogratiasmaganga4954
    @deogratiasmaganga4954 2 года назад +4

    This is yanga,I love yanga

  • @KeretoErik-gq1hx
    @KeretoErik-gq1hx Год назад +5

    Yanga walicheza vizuri aki

  • @godfreywilliam9673
    @godfreywilliam9673 2 года назад +7

    Muombeni msamaha Azizi kiii na profesa Nabi

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 2 года назад

      Kweli wametukanwa sana yani hadi aibu

  • @nasibuyahaya9129
    @nasibuyahaya9129 2 года назад +5

    Asanten watan hapo tumepata heshima huko tunaogopw safisan majeshi yet kwa kutu let's hshm

  • @amaniartsgroup4403
    @amaniartsgroup4403 2 года назад +3

    Hongera sana yanga africa umeiwakilisha vema Tanzania

  • @sospetershijah5619
    @sospetershijah5619 Год назад +6

    Hii mechi sure boy alikuwa wamoto sana

  • @makindamachine
    @makindamachine 2 года назад +4

    Yanga wapo vizuri

  • @braysonpatrick4504
    @braysonpatrick4504 2 года назад +24

    Hili kombe yanga anaweza kubeba akiendelea kuwa serious

    • @hildajoel5
      @hildajoel5 2 года назад +2

      Nikumbushe tu kuna mazembe huku, pyramid na wengine 😄😄yani club bingwa kwa moto na shirikisho nako kwa moto👌👌

    • @Zaburi-
      @Zaburi- 2 года назад

      @@hildajoel5 berkane huyo ulimuweka wewe acha kukariri

    • @Zaburi-
      @Zaburi- 2 года назад

      @@hildajoel5 in fact Yanga anabeba ubingwa huo

    • @hassanmbarouk8654
      @hassanmbarouk8654 2 года назад

      @@hildajoel5 mazembe kwako mana Toka Simba iumbwe hajwhi mfunga mazmbe😂

    • @hildajoel5
      @hildajoel5 2 года назад +1

      @@Zaburi-acha kuota ndoto za mchana makundi yenyew umeingia leo tangu 98 halafu upite direct hadi kubeba kikombe 😂😂😂 ww ulishawah fanya biashara mara moja tu ukawa kama Gsm? Jiongeze

  • @shabilukhatibu9700
    @shabilukhatibu9700 Год назад +5

    2024🎉

  • @DouglasMassop
    @DouglasMassop 2 года назад +15

    Aliewadanganya Club africain kuva jezi za makolo ndie kafanya kosa. Sababu wananchi wakionaga tu red and white lazma wampige mtu kama ngoma🤣

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty7992 2 года назад +12

    Wapi like za kibwana aliokoa mipira mingi ya hatari

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 2 года назад +4

    Hongera yanga hongera Tanzania yanga mko juu sure boy amefanya mengi soka limechezwa waarabu hoi

  • @burudanitiv324
    @burudanitiv324 2 года назад +3

    Pongezi kwa wachezaji wote wa yangaaa god bless us players sasaivi tumeweka heshima

  • @manenoramadhan1432
    @manenoramadhan1432 2 года назад +6

    Refa huyu yuko vizur sana hana presha

  • @tungaraza7794
    @tungaraza7794 Год назад +1

    Kwa kweli kazi haikuwa rahisi

  • @esterwarioba3670
    @esterwarioba3670 2 года назад +6

    sure boy kaupiga mwingi sana...

  • @kaisamwalyosi7344
    @kaisamwalyosi7344 2 года назад +3

    Yani mungu hatusaidie mahan kunawatu hawatutakii mema sisi yanga

  • @AminaAmina-cr8jq
    @AminaAmina-cr8jq Год назад +2

    Sikuamini nilikuwa,na presha mungu ni mwema

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 2 года назад +10

    Tuliovumilia kuipa moyo timu yetu yujuane

  • @FaustiniKalyembe
    @FaustiniKalyembe 5 месяцев назад +4

    Anyone in 2024

  • @nabeelsombidah3405
    @nabeelsombidah3405 11 месяцев назад +5

    Me nimerudi Tena leo tar 28/02/2024 baada ya kumfunga belouizdad

  • @HabibuMohamedlujuo
    @HabibuMohamedlujuo 4 месяца назад +2

    GHALIB MZINGA🚀

  • @latifahkambi453
    @latifahkambi453 Год назад +7

    Aliyerudia hii mechi Leo tujuane

  • @haibasalehe3889
    @haibasalehe3889 2 года назад +5

    Diaraaaaaaaaaa 🙌

  • @hairuibrahim1303
    @hairuibrahim1303 2 года назад +3

    02 on trending so far

  • @bakarihatibu4587
    @bakarihatibu4587 2 года назад +2

    Hongereni sana watani Yanga,, mumeendeleza kuiwakilisha tz vyema

  • @BarakaKimaro-nl9nk
    @BarakaKimaro-nl9nk 4 месяца назад +3

    Ilikuwa bonge la mechi kwa kweli niliinjoy sana it's me simba

  • @janwizzarak207
    @janwizzarak207 2 года назад +8

    🤷‍♂🎂🦑🗣🏈⚽🎊🎊🍭🍡🍬🌿🍔🍔 *Mungu alionyesha upendo wake kwetu kwa kumtuma Mwanawe Yesu Kristo, ambaye alikufa na kufufuka kutoka kwa wafu ili kutupa uzima wa milele.* *Pia aliahidi kuponya. mwili wako.* *Ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu* *atakupa uzima wa milele*
    *(Angalia mbinguni na umuulize Mungu)*

  • @claudiayohana6576
    @claudiayohana6576 2 года назад +5

    Mashabiki wa makolo njoon niwagaie afutatu mkanywe supu

  • @nassmapande8674
    @nassmapande8674 2 года назад +6

    Tending nomber 1

  • @DenisChuwa-p7i
    @DenisChuwa-p7i 7 месяцев назад +3

    12/06/2024💛💚🙏

  • @timotheohhando2421
    @timotheohhando2421 2 года назад +3

    Jambo jema sana watani tukiwa kitu kimoja linapokuja suala la kitaifa binafs nilishangaa kuona baadhi ya mashabik wa Simba wakiishangilia club Africain bt wapo wazalendo ambao wameweka uzalendo mbele Kwa kuijali yanga hata kama n mtani inapendeza uadui wetu kati ya Simba na yanga ukaishia hapa ndani kimataifa tukawa kitu kimoja hongeren wazalendo wa taifa letu la tanzania

    • @saliminyusuph6122
      @saliminyusuph6122 2 года назад

      Simba na Yanga awanaga uadui Kama ufikiliavyo wewe. Simba na Yanga ni watani wa jadi.

  • @bakarhassan
    @bakarhassan Год назад +3

    moja kati ya mechi yangu bora kwenye kizazi chetu

  • @official_mtiamoyo
    @official_mtiamoyo Год назад +5

    Hii mechi sichoki kuangalia

  • @fra9873
    @fra9873 2 года назад +4

    a battle 🔥

  • @elishatitus945
    @elishatitus945 2 года назад +2

    hongera sana chama langu yanga kwa ushindi wenu hapo Jana ila babu kaju kaupiga mwingi sana pia wachezaji wrote walijutuma ipasavyo

  • @ahmedysaidy9874
    @ahmedysaidy9874 2 года назад +9

    Kilicho waponza waraabu jezi nyekundu kama Manchester ndio maana wamefungwa

  • @sokisigrace6836
    @sokisigrace6836 2 года назад +1

    asante mungu🙏🙏

  • @emanuelimakundi9747
    @emanuelimakundi9747 Год назад +6

    leo nimerudia tena kuichek hii mech

  • @isiakaabby2179
    @isiakaabby2179 2 года назад +5

    Yanga oyeee

  • @jamessanga6768
    @jamessanga6768 7 месяцев назад +2

    James lapulga jr nimerudi hapa kuiangalia tena hii mechii😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @mkamagangi6997
    @mkamagangi6997 2 года назад +2

    Ongereni watani

    • @timotheohhando2421
      @timotheohhando2421 2 года назад +1

      Me n mwananchi napokea pongezi za mtani ifike sehem mtu akifanya kitu kzr tusiwe wachoyo wakumpongeza asanteeee naamin ata chama langu la yanga wanaipokea