KAMALI MOVIE PARTY 1 STARLING -MKOJANI, KINGWENDU, MWALUVANDA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • #kamali #mkojani #movie #comedy

Комментарии • 249

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Год назад +16

    Umbamba ndo basi tena mkojani umezingua sana bro wallah 😔 🇶🇦

  • @josephmgovano3892
    @josephmgovano3892 Год назад +1

    Mkojan acha ukorofi maisha hayaendi kwa kudhurum si utoe hela ya kutosha ili mfanye umbambamba

  • @MohammedAlly-eo5yy
    @MohammedAlly-eo5yy Год назад

    amuna kazi tena wala atufati lii tena kazi zenu mana mutatuchanganya maisha yetu mara ugaigai mara umbambamba mara kamari kiukwwli mwatuzinguwa

  • @sharifusadiki2348
    @sharifusadiki2348 Год назад +1

    Mkojani na geng yake ni wasazi sana umbambaba wamesha tu bloc tayari mafala kweli

  • @jamesjameswisdomtz1577
    @jamesjameswisdomtz1577 Год назад +1

    Mkojani unakubali sana huku kwetu lakini kwasasa basi Tena umba mbamba pamoja na ngumi 21 mbona hatuoni mwendelezo tutakuwa tunajifunza nini 😢😢

  • @jacksonhaggai6771
    @jacksonhaggai6771 Год назад +2

    Kiukwer Mimi Big fani wako sema2 mnazingua mna toa SER nyingi nahaziishi yaniii nyiee 😁 jamani mwatukoshaaaaa. Aaaaa😰😰🔥

  • @nassjog990youtube6
    @nassjog990youtube6 Год назад

    Umbambamba itaruka pitia wasafi be on touch keep waiting,mkojani hajazingua Mashabiki wote wa UMBAMBAMBA &MKOJANI GANG kaeni Kwa kusubiria muendelezo mzuri Sanaa ni biashara kueni na subira

  • @muniraahmedawadh2619
    @muniraahmedawadh2619 Год назад

    Mkojani kaka mbona hatukuelewi ùnaanza vizuri harafu hakuna mwisho

  • @mohamedsalim3498
    @mohamedsalim3498 Год назад +1

    Mkojani mm nakukubali san ila umbamba vip

  • @TEACHERt3y
    @TEACHERt3y Год назад +2

    Mkojani unayumba mie sahiv sio shabiki ako nimeamua zangu kwa madebe lidai samahani njia hii inatoka

  • @DullahDaud-xy1yo
    @DullahDaud-xy1yo Год назад +1

    Kwan mkojan unakwama wapi kaka hatuelewi zinaishaisha vpi filam zako ugai gai umetuacha njian na umbamba. Pia kaka . Aaaaaaaaaaaa.vp banaaaaa

  • @mohaaabdl866
    @mohaaabdl866 Год назад

    Mkojani nimefatikia sana umbambamba kumbe ndio basi ,, inazenguwa mzee

  • @nassorabdallah99
    @nassorabdallah99 Год назад +1

    Mkojani kapata tunzo saiv anatutesa tu anafanya anavyotaka yeye mamb gan sasa mnatoa siriz mnaishia njiani mnatuboa kama mshachoka acheni💔💔💔

  • @jabirabdalla2200
    @jabirabdalla2200 Год назад

    Vp kuhusu umbamba naona jiwe juu ya jiwe sema ziwezinamaliza vizuri isiwe kama movie za kihindi steling anakufa halafu anazaliwa upya.Heshima kwenu mkojani gang

  • @ainsesseverest1136
    @ainsesseverest1136 Год назад +3

    Mkojan umbamba ni story ngumu sana mbona unakwama kwama kila mara sasa hatujamaliza hile watuletea kamari😂😂😂

  • @AbdulaziziRashidy-hk3zi
    @AbdulaziziRashidy-hk3zi Год назад

    Assalam aleikum warahmatu llah wabarakatu mkojan munatuchanganya wateja wenu umbambamba imeishia wap munatuchanganyia vitu vingine kulikon

  • @ramadhankakai7303
    @ramadhankakai7303 Год назад

    Mkojani tamaa zitakufanya upotee...Haiwezekani hao wasanii wote waondoke kwako...,mambwende,chumvi,samofi

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 Год назад

    Waheshimuni wenzenu wanaounda Team... Muwe km Mark Angel Comedy,, toka enzi had leo

  • @manchesterunitedfanspage7613
    @manchesterunitedfanspage7613 Год назад +1

    Naona samofi pia kaenda

  • @zeronizosolomon8033
    @zeronizosolomon8033 Год назад +37

    Mkojani unatukosea sana unatoa episode nyingi na muafaka wake hatuujui

    • @mohamedkilemile3058
      @mohamedkilemile3058 Год назад +5

      Kweki kaka mimi nilikuwa nishaanza kumuelewa lkn ananileti down kawa kama kitale, badilika mkojani. 😣

    • @mwalimumlaula6167
      @mwalimumlaula6167 Год назад +6

      Ashakum si Matusi,"Mkojani na Kitale kitu kinawasbua ni Viburi,wanaitajika kueshimu waigizaji wao pamoja na maoni ya mashabiki zao.Lau watajirekebisha basi watakuwa sawa." Wanabugi sababu ya machozi ya baadhi ya wasanii walodhulumiwa katika Gang zao na hao viongozi.Badilikeni ndugu zetu Tasnia ya sanaa muisongeze mbele.

    • @allyjuma1496
      @allyjuma1496 Год назад +3

      Kweli kabica

    • @salimjuma3239
      @salimjuma3239 Год назад +1

      Kwelii labda kaz zimemzid

    • @GK_FILM_PRO
      @GK_FILM_PRO Год назад +1

      Iyo kweli

  • @jonniethomas7788
    @jonniethomas7788 Год назад

    Hapo mzee hatuelewani kamilisha umbambamba kwanza ww vipi

  • @edeskolojelo6116
    @edeskolojelo6116 Год назад

    Dah Mkojani 2nakufatilia Mno Ila Uctukosee Fanyakaz iishe Ndo Uanzishe Nyngne

  • @farukluisussene2421
    @farukluisussene2421 Год назад

    Mkojani unazingua sana episode fupi tulikupenda sana kwetu 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @eliyanorobeth8567
    @eliyanorobeth8567 Год назад

    Mkojani narudia Tena badilika ugonvi hautokufiksha popote...!! Hakikisha mnachokipata gawana na wenzio il maisha yasonge!! Hakuna kitu kibaya kama mtu kuish kwa kukusononekea badilka

  • @fakijuma1979
    @fakijuma1979 Год назад

    mkojani.............. chmvi nyingi katoka. mambwende ka let ... samofi kaleft ttz nn brooooooooooooooooooooooooooooo

  • @cecilmwango-jw4il
    @cecilmwango-jw4il Год назад

    Mkojani gang kwani mlikosana tayari mbona umbambamba haiendelei

  • @halemamoon1782
    @halemamoon1782 Год назад +4

    Kaz safi sana...lkn mkojani tunaomba mwendelezo wa UMBAMBAMBA jmn

    • @dennisevarist
      @dennisevarist Год назад

      Haiwezekani, maana ameshamkoroga mmoja ya main character samofi. Hiyo ndio imeisha tayari. Anguko la mkojani hili. Wacha tuendelee kumuangalia tiny white aka zunde

  • @rajaburamadhani6612
    @rajaburamadhani6612 Год назад

    Tunakoelekea mkojani hizi movie zako utaangalia mwenyewe maana unatukosea sana umbambamba imeishia wapi mara flani kaondoka mara hivi tuelewe nini sasa

  • @Randomlycrashes
    @Randomlycrashes Год назад +1

    JOTI,MKOJANi,KITALE kuna kitu mkae chini mki tafakari

  • @saidmohammed2405
    @saidmohammed2405 Год назад +1

    Wanachanganya sana utaona clip imeandikwa umbambamba ukifungua unakuta sio

  • @abubakarmpawenayo2318
    @abubakarmpawenayo2318 Год назад

    Mkojani movie zako zisizo malizika tumezichoka 🙅🏾‍♂️🙅🏾‍♂️🙅🏾‍♂️

  • @yassirmbwana4867
    @yassirmbwana4867 Год назад

    Mkojani hongeraa 👍 ila watoa movie nyingi bt umalizi boss mkojani

  • @damianjohn3356
    @damianjohn3356 Год назад +1

    Mkojani unazingua umbamba ujamaliza kaka

  • @mohamedmanshufu-qi7gf
    @mohamedmanshufu-qi7gf Год назад +1

    Mkojani unatuletea ukengee umbambambaa ipo wapi au ndio mshike mshike ndege tunduni

  • @barwaniamani1951
    @barwaniamani1951 Год назад +1

    Hakuna gang ambayo watu watoke hivi alaf ibaki imara ni lazima itingizike tu

  • @hassansaid3833
    @hassansaid3833 Год назад +2

    Umbambamba itt wafaa halas ya mkojani Intahaa.bil Hindi iguluna kushnehi 😂😂😂😂

  • @azizaaziza7996
    @azizaaziza7996 Год назад +6

    Jamani umba mbamba vp mnatuboa

  • @Fununu933
    @Fununu933 Год назад

    Mbona hii hatukujua unaileta mkojani unakosea watazamaji cc tunangojea umbambamba kumbe ww Una yako ss ndio imekwisha ama tujueje🇰🇪🇰🇪

  • @fredyjohn7499
    @fredyjohn7499 Год назад

    Mkojani nae mmmmmmmh kashaanza kuzingua Umbambamba hata sijui tamati yake chaajabu naiona kamali

  • @abubakarhamad4191
    @abubakarhamad4191 Год назад +1

    Unazingua mbaba Ubambamba iko wap

  • @RomeoCryptos
    @RomeoCryptos Год назад +2

    Mnafeli sana, mmefuta umbambamba

  • @najmajoneke7413
    @najmajoneke7413 Год назад +1

    Huu Ni Umb mbamba

  • @HassanJuma-zz4it
    @HassanJuma-zz4it Год назад

    UmbAmba ilisimama ,kwa sababu ya wasanii kadhaa kutoka kwa mkojani gang

  • @benedictocletus6284
    @benedictocletus6284 Год назад +1

    Duuuuu mbn ujamaliza umbamba umeanza kuingne tena

  • @mabulatv3792
    @mabulatv3792 Год назад

    Mkojani unatukosea watanzania umbambamba ujamaliza unaanza nyigine

  • @aishaomarry6996
    @aishaomarry6996 Год назад

    Kamari ikikolea na baruti chado master wanatoka

  • @uuuuiiii3917
    @uuuuiiii3917 Год назад +1

    Mkojani mbona unatufanyia hivi umbambamba mbona atuiyoni Tena vipi daruweshi ww

  • @modelthedon548
    @modelthedon548 Год назад

    Popaaa chukua chako mapema asijekukuzulumu km alivyomzulumu samofi

  • @yusufuhemedy7210
    @yusufuhemedy7210 Год назад +2

    Wabongo mnazingua kishenzi bora kuangalia season za kikolea kwani umba mba hamjamaliza mnaleta nyingine maliza moja kwanza

  • @saidmwinyi7062
    @saidmwinyi7062 Год назад +1

    Unatuona mafala sana kila siku movie nusu nusu
    Yaaani UMBAMBA 😭😭😭😭😭 na sehemu ilipofikiaaa daaaaaaaaaa

  • @aronyhussein8545
    @aronyhussein8545 Год назад +3

    Amuerewekii kama unga wa ngano tunataka umbambamba sis acheni zenu izo🤣🤣🤣🤣

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 Год назад

    Kwa mujibu wa refresh ya wasafi tv amehojiwa samofi amesema mkojani hajamlipa mshahara wa miezi 4. Hapa ndo naanza kuelewa kua mkojani ni tatzo ndo mana wengine wanatoka kundini .

  • @vincentmbuyi5128
    @vincentmbuyi5128 Год назад +1

    Sasa iyi nini tena umbamba mume ipotezea moja kwa moja

  • @osamadbanarab5162
    @osamadbanarab5162 Год назад +2

    Mbona hautumaliziii story mkojani........ina maaana umbambamba ndo basi au

  • @officialmaswaga4720
    @officialmaswaga4720 Год назад

    Mbno mmeanza nyingne Ankali mkojani na umbambamba haujaisha

  • @rainohazard2453
    @rainohazard2453 Год назад

    Sisi ndo waangaliaji mnatuchanganya atuelew tushike ipi mnazingua

  • @gres1182
    @gres1182 Год назад +1

    Jamen mkojan umbmbamba VIP mnatuboa buwana😢😢😢😢

    • @jacksonhaggai6771
      @jacksonhaggai6771 Год назад

      Kule kwajilani bendela inazid kunogaaa 🔥🏃🏿‍♀️

  • @tuwa7690
    @tuwa7690 Год назад +5

    Na expect umbamba mkuu...nini ilifanyika... hope hii iko sawa though..from Kenya

  • @eliyanorobeth8567
    @eliyanorobeth8567 Год назад

    Sawa kipaj unacho Tena Cha uhakika. Lakin kipaj bila watu nisawa na bulee mzee badilka

  • @masterplan9203
    @masterplan9203 Год назад

    Mashabiki naona tunalalamika tu, ila huenda kuna matatizo tele yametokea, mfano kuibiwa kwa mchezo wote wa umbambamba, nakadhalik

    • @masterplan9203
      @masterplan9203 Год назад

      Kwa io kwanza tujue nini sababu ndipo tutoe lawama na sio kulaumu tu 1 kwa 1

  • @marselinosong1656
    @marselinosong1656 Год назад

    Mkojani jmn mbn unatutesah hv jmn broo tuambie bc umefeli wap

  • @silvesterfesto2457
    @silvesterfesto2457 Год назад +1

    Mkojan ckuelew ,umbambamba nayo ikowap

  • @daudimweta
    @daudimweta Год назад +9

    Mkojani fire 🔥 🔥 🔥

  • @fauziayassin7987
    @fauziayassin7987 Год назад

    Malizia hyo mbambamba kwanza bas

  • @mourinejackson218
    @mourinejackson218 Год назад

    Umbamba ndy imeishaje unazingua kaka hadi naona uvivu kuangalia na hii bcz naona utaishia njian kama umbamba 😂

  • @adamadnan6491
    @adamadnan6491 Год назад +1

    Mkoian msanii mzur sn ila unatuondolea ladha sis wadau umba mba vp ten kule

  • @modelthedon548
    @modelthedon548 Год назад

    Popa mzee was ugaigai

  • @oscarezekiel1826
    @oscarezekiel1826 Год назад

    Mkojani umepoteza muelekeo sasa, unakatisha huku bila maelezo mashabiki tunashindwa kukuelewa sasa, umekuja na vipicha vya sekunde mbili havieleweki sasa.

  • @sassboy9360
    @sassboy9360 Год назад

    Kuna riziki hapa kwahyo kumejaa fitna mkojani tengeneza management imara ambayo itakufanya ukae vzuri na wasanii wako bila hivyo gang itakushinda

  • @ibundatv9545
    @ibundatv9545 Год назад

    Kila tamusilia wakitoa Huwa naangalia mwanzo Hadi mwisho...ila wamezunguwa sana mbona ugaigai tulimaliza yote.ubambamba imekuaje alaf hata kja kutupa tarifa hamna wasenge nyie siangalii kamali pati

  • @godfreysangawe5489
    @godfreysangawe5489 Год назад +1

    Mkojan gang tayr mshaanza kupoteana...hammaliz hili mnaleta hili...hii n ishara ya kuishiwa kwa mwendelezo..angalien wnzenu wakina BENDERA wapo on fire san

  • @josephatrobert9588
    @josephatrobert9588 Год назад

    Naona mkojani unalewa sifa sasa umeanz kuwa nakiburi kama umeshindwa kutoa umbamba

  • @Kiduly001
    @Kiduly001 Год назад +2

    Jamaa kajisahau uyu

  • @alexnzunda8315
    @alexnzunda8315 Год назад

    Mkojani gang hatuwaelewi munatoa episode nying na mwafaka wenu haueleweki

  • @sadamumohammedi8552
    @sadamumohammedi8552 Год назад

    Mkojani unayaacha majembe brand inashuka

  • @mirageayotv
    @mirageayotv Год назад

    Aah mkojani umeyumbaaa umbamba vp sasa unapoteza thaman yak

  • @abdallahhamic3586
    @abdallahhamic3586 Год назад

    Unafeli wapi mkojani mashabiki zako unatukosea umbambamba umeishia wapi

  • @godfreyathumani9912
    @godfreyathumani9912 Год назад

    Umba mba mmeamua kuutoa kwenye move kuuleta kwenye uharisia sasa 🤣

  • @mwinyikombomwasamani976
    @mwinyikombomwasamani976 Год назад

    Samofi ongeni na chumvi nyingi na mambwende mmalize tofauti zenu tunasubiri series ya swaumu zetu

  • @jamesjameswisdomtz1577
    @jamesjameswisdomtz1577 Год назад +4

    Chado master is back

  • @SolomonKanzoo-dw1wd
    @SolomonKanzoo-dw1wd Год назад

    Loo mwatubowesha kweli

  • @fesal5302
    @fesal5302 Год назад +1

    Vip mushachoka kutuletea umbamba au ayidia zimeisha

  • @MaryamMgawe
    @MaryamMgawe 5 месяцев назад

    Jaman watu wamevurugwa naumbambambaa

  • @KigomaKgm-bm6bu
    @KigomaKgm-bm6bu Год назад +3

    wanaboa sana

  • @zainabubakari4117
    @zainabubakari4117 Год назад

    Uyo mukojani tangu vijana wake wameanza kumukimbia anachanganyikiwa kila siku

  • @rashidkhamisjuma3714
    @rashidkhamisjuma3714 Год назад +2

    mov ina dkk 9 mkojani umeshachoka

  • @saidilome-ue2df
    @saidilome-ue2df Год назад

    Ankali unatukosea wadau wako kbs lakini hatutoacha kukufwatilia labda uamue kuacha kuigiza.

  • @naseebchande2922
    @naseebchande2922 Год назад

    Hiii so mpya ya zaman

  • @allymasms4140
    @allymasms4140 Год назад

    Ndio umbambamba umeukatisha na hakuna taarifa yoyote ile

  • @AbdulRashid-vi1wg
    @AbdulRashid-vi1wg Год назад +1

    Mkojan umbamba umeipeleka wap

  • @schoolshamba
    @schoolshamba Год назад

    Dakika 9

  • @aronjonathan3297
    @aronjonathan3297 Год назад +2

    Tamaa mbele jaman umbamba haijaisha

  • @ractboy8453
    @ractboy8453 Год назад

    Tupo pamoja sem umbamba mba umetukatisha stimu

  • @mrishoomary7941
    @mrishoomary7941 Год назад +3

    Wakwanzaaaa

  • @dullyyasinn7051
    @dullyyasinn7051 Год назад

    Hamna swaga nyie mmeshindwa kuiendeleza umbamba ilikuw kali Alf mnaishia katikat tunahamia kwa bendera

  • @shivobs4485
    @shivobs4485 Год назад

    Kuendesha kundi ni kazi sana coz unao waendesha wao pia wanahitaji ukubwa yaani ni shida tupu pia pesa viburi ujuaji kuchukuliana mademu hamuwez fika mbali

  • @abdulazizshadau8082
    @abdulazizshadau8082 Год назад +1

    Mkojani umekoregeka hujielewi

  • @rehemakatundu7027
    @rehemakatundu7027 Год назад +2

    Jamani umbambamba😮

  • @preciouslanguagecentre8918
    @preciouslanguagecentre8918 Год назад +1

    Mm nimeacha kutizama ujinga zamani tu nilivoona jamaaa haeleweki. Anafanya mpaka mashabiki wake wanamchukia. Vi episode vifupi alafu havitoki kwa mda pia havimalizi .

  • @michaeltheophile7035
    @michaeltheophile7035 Год назад +1

    Chado master 🔥🔥🔥🔥