Umbambamba itaruka pitia wasafi be on touch keep waiting,mkojani hajazingua Mashabiki wote wa UMBAMBAMBA &MKOJANI GANG kaeni Kwa kusubiria muendelezo mzuri Sanaa ni biashara kueni na subira
Vp kuhusu umbamba naona jiwe juu ya jiwe sema ziwezinamaliza vizuri isiwe kama movie za kihindi steling anakufa halafu anazaliwa upya.Heshima kwenu mkojani gang
Ashakum si Matusi,"Mkojani na Kitale kitu kinawasbua ni Viburi,wanaitajika kueshimu waigizaji wao pamoja na maoni ya mashabiki zao.Lau watajirekebisha basi watakuwa sawa." Wanabugi sababu ya machozi ya baadhi ya wasanii walodhulumiwa katika Gang zao na hao viongozi.Badilikeni ndugu zetu Tasnia ya sanaa muisongeze mbele.
Mkojani narudia Tena badilika ugonvi hautokufiksha popote...!! Hakikisha mnachokipata gawana na wenzio il maisha yasonge!! Hakuna kitu kibaya kama mtu kuish kwa kukusononekea badilka
Haiwezekani, maana ameshamkoroga mmoja ya main character samofi. Hiyo ndio imeisha tayari. Anguko la mkojani hili. Wacha tuendelee kumuangalia tiny white aka zunde
Tunakoelekea mkojani hizi movie zako utaangalia mwenyewe maana unatukosea sana umbambamba imeishia wapi mara flani kaondoka mara hivi tuelewe nini sasa
Kwa mujibu wa refresh ya wasafi tv amehojiwa samofi amesema mkojani hajamlipa mshahara wa miezi 4. Hapa ndo naanza kuelewa kua mkojani ni tatzo ndo mana wengine wanatoka kundini .
Mkojani umepoteza muelekeo sasa, unakatisha huku bila maelezo mashabiki tunashindwa kukuelewa sasa, umekuja na vipicha vya sekunde mbili havieleweki sasa.
Kila tamusilia wakitoa Huwa naangalia mwanzo Hadi mwisho...ila wamezunguwa sana mbona ugaigai tulimaliza yote.ubambamba imekuaje alaf hata kja kutupa tarifa hamna wasenge nyie siangalii kamali pati
Mkojan gang tayr mshaanza kupoteana...hammaliz hili mnaleta hili...hii n ishara ya kuishiwa kwa mwendelezo..angalien wnzenu wakina BENDERA wapo on fire san
Kuendesha kundi ni kazi sana coz unao waendesha wao pia wanahitaji ukubwa yaani ni shida tupu pia pesa viburi ujuaji kuchukuliana mademu hamuwez fika mbali
Mm nimeacha kutizama ujinga zamani tu nilivoona jamaaa haeleweki. Anafanya mpaka mashabiki wake wanamchukia. Vi episode vifupi alafu havitoki kwa mda pia havimalizi .
Umbamba ndo basi tena mkojani umezingua sana bro wallah 😔 🇶🇦
Mkojan acha ukorofi maisha hayaendi kwa kudhurum si utoe hela ya kutosha ili mfanye umbambamba
amuna kazi tena wala atufati lii tena kazi zenu mana mutatuchanganya maisha yetu mara ugaigai mara umbambamba mara kamari kiukwwli mwatuzinguwa
Mkojani na geng yake ni wasazi sana umbambaba wamesha tu bloc tayari mafala kweli
Mkojani unakubali sana huku kwetu lakini kwasasa basi Tena umba mbamba pamoja na ngumi 21 mbona hatuoni mwendelezo tutakuwa tunajifunza nini 😢😢
Kiukwer Mimi Big fani wako sema2 mnazingua mna toa SER nyingi nahaziishi yaniii nyiee 😁 jamani mwatukoshaaaaa. Aaaaa😰😰🔥
Umbambamba itaruka pitia wasafi be on touch keep waiting,mkojani hajazingua Mashabiki wote wa UMBAMBAMBA &MKOJANI GANG kaeni Kwa kusubiria muendelezo mzuri Sanaa ni biashara kueni na subira
Mkojani kaka mbona hatukuelewi ùnaanza vizuri harafu hakuna mwisho
Mkojani mm nakukubali san ila umbamba vip
Mkojani unayumba mie sahiv sio shabiki ako nimeamua zangu kwa madebe lidai samahani njia hii inatoka
Kwan mkojan unakwama wapi kaka hatuelewi zinaishaisha vpi filam zako ugai gai umetuacha njian na umbamba. Pia kaka . Aaaaaaaaaaaa.vp banaaaaa
Mkojani nimefatikia sana umbambamba kumbe ndio basi ,, inazenguwa mzee
Mkojani kapata tunzo saiv anatutesa tu anafanya anavyotaka yeye mamb gan sasa mnatoa siriz mnaishia njiani mnatuboa kama mshachoka acheni💔💔💔
Vp kuhusu umbamba naona jiwe juu ya jiwe sema ziwezinamaliza vizuri isiwe kama movie za kihindi steling anakufa halafu anazaliwa upya.Heshima kwenu mkojani gang
Mkojan umbamba ni story ngumu sana mbona unakwama kwama kila mara sasa hatujamaliza hile watuletea kamari😂😂😂
Assalam aleikum warahmatu llah wabarakatu mkojan munatuchanganya wateja wenu umbambamba imeishia wap munatuchanganyia vitu vingine kulikon
Mkojani tamaa zitakufanya upotee...Haiwezekani hao wasanii wote waondoke kwako...,mambwende,chumvi,samofi
Waheshimuni wenzenu wanaounda Team... Muwe km Mark Angel Comedy,, toka enzi had leo
Naona samofi pia kaenda
Mkojani unatukosea sana unatoa episode nyingi na muafaka wake hatuujui
Kweki kaka mimi nilikuwa nishaanza kumuelewa lkn ananileti down kawa kama kitale, badilika mkojani. 😣
Ashakum si Matusi,"Mkojani na Kitale kitu kinawasbua ni Viburi,wanaitajika kueshimu waigizaji wao pamoja na maoni ya mashabiki zao.Lau watajirekebisha basi watakuwa sawa." Wanabugi sababu ya machozi ya baadhi ya wasanii walodhulumiwa katika Gang zao na hao viongozi.Badilikeni ndugu zetu Tasnia ya sanaa muisongeze mbele.
Kweli kabica
Kwelii labda kaz zimemzid
Iyo kweli
Hapo mzee hatuelewani kamilisha umbambamba kwanza ww vipi
Dah Mkojani 2nakufatilia Mno Ila Uctukosee Fanyakaz iishe Ndo Uanzishe Nyngne
Mkojani unazingua sana episode fupi tulikupenda sana kwetu 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Mkojani narudia Tena badilika ugonvi hautokufiksha popote...!! Hakikisha mnachokipata gawana na wenzio il maisha yasonge!! Hakuna kitu kibaya kama mtu kuish kwa kukusononekea badilka
mkojani.............. chmvi nyingi katoka. mambwende ka let ... samofi kaleft ttz nn brooooooooooooooooooooooooooooo
Mkojani gang kwani mlikosana tayari mbona umbambamba haiendelei
Kaz safi sana...lkn mkojani tunaomba mwendelezo wa UMBAMBAMBA jmn
Haiwezekani, maana ameshamkoroga mmoja ya main character samofi. Hiyo ndio imeisha tayari. Anguko la mkojani hili. Wacha tuendelee kumuangalia tiny white aka zunde
Tunakoelekea mkojani hizi movie zako utaangalia mwenyewe maana unatukosea sana umbambamba imeishia wapi mara flani kaondoka mara hivi tuelewe nini sasa
JOTI,MKOJANi,KITALE kuna kitu mkae chini mki tafakari
Wanachanganya sana utaona clip imeandikwa umbambamba ukifungua unakuta sio
Mkojani movie zako zisizo malizika tumezichoka 🙅🏾♂️🙅🏾♂️🙅🏾♂️
Mkojani hongeraa 👍 ila watoa movie nyingi bt umalizi boss mkojani
Mkojani unazingua umbamba ujamaliza kaka
Mkojani unatuletea ukengee umbambambaa ipo wapi au ndio mshike mshike ndege tunduni
Hakuna gang ambayo watu watoke hivi alaf ibaki imara ni lazima itingizike tu
Umbambamba itt wafaa halas ya mkojani Intahaa.bil Hindi iguluna kushnehi 😂😂😂😂
Jamani umba mbamba vp mnatuboa
Mbona hii hatukujua unaileta mkojani unakosea watazamaji cc tunangojea umbambamba kumbe ww Una yako ss ndio imekwisha ama tujueje🇰🇪🇰🇪
Mkojani nae mmmmmmmh kashaanza kuzingua Umbambamba hata sijui tamati yake chaajabu naiona kamali
Unazingua mbaba Ubambamba iko wap
Mnafeli sana, mmefuta umbambamba
Huu Ni Umb mbamba
UmbAmba ilisimama ,kwa sababu ya wasanii kadhaa kutoka kwa mkojani gang
Duuuuu mbn ujamaliza umbamba umeanza kuingne tena
Mkojani unatukosea watanzania umbambamba ujamaliza unaanza nyigine
Kamari ikikolea na baruti chado master wanatoka
Mkojani mbona unatufanyia hivi umbambamba mbona atuiyoni Tena vipi daruweshi ww
Popaaa chukua chako mapema asijekukuzulumu km alivyomzulumu samofi
Wabongo mnazingua kishenzi bora kuangalia season za kikolea kwani umba mba hamjamaliza mnaleta nyingine maliza moja kwanza
Unatuona mafala sana kila siku movie nusu nusu
Yaaani UMBAMBA 😭😭😭😭😭 na sehemu ilipofikiaaa daaaaaaaaaa
Amuerewekii kama unga wa ngano tunataka umbambamba sis acheni zenu izo🤣🤣🤣🤣
Kwa mujibu wa refresh ya wasafi tv amehojiwa samofi amesema mkojani hajamlipa mshahara wa miezi 4. Hapa ndo naanza kuelewa kua mkojani ni tatzo ndo mana wengine wanatoka kundini .
Sasa iyi nini tena umbamba mume ipotezea moja kwa moja
Mbona hautumaliziii story mkojani........ina maaana umbambamba ndo basi au
Mbno mmeanza nyingne Ankali mkojani na umbambamba haujaisha
Sisi ndo waangaliaji mnatuchanganya atuelew tushike ipi mnazingua
Jamen mkojan umbmbamba VIP mnatuboa buwana😢😢😢😢
Kule kwajilani bendela inazid kunogaaa 🔥🏃🏿♀️
Na expect umbamba mkuu...nini ilifanyika... hope hii iko sawa though..from Kenya
Sawa kipaj unacho Tena Cha uhakika. Lakin kipaj bila watu nisawa na bulee mzee badilka
Mashabiki naona tunalalamika tu, ila huenda kuna matatizo tele yametokea, mfano kuibiwa kwa mchezo wote wa umbambamba, nakadhalik
Kwa io kwanza tujue nini sababu ndipo tutoe lawama na sio kulaumu tu 1 kwa 1
Mkojani jmn mbn unatutesah hv jmn broo tuambie bc umefeli wap
Mkojan ckuelew ,umbambamba nayo ikowap
Mkojani fire 🔥 🔥 🔥
Malizia hyo mbambamba kwanza bas
Umbamba ndy imeishaje unazingua kaka hadi naona uvivu kuangalia na hii bcz naona utaishia njian kama umbamba 😂
Mkoian msanii mzur sn ila unatuondolea ladha sis wadau umba mba vp ten kule
Popa mzee was ugaigai
Mkojani umepoteza muelekeo sasa, unakatisha huku bila maelezo mashabiki tunashindwa kukuelewa sasa, umekuja na vipicha vya sekunde mbili havieleweki sasa.
Kuna riziki hapa kwahyo kumejaa fitna mkojani tengeneza management imara ambayo itakufanya ukae vzuri na wasanii wako bila hivyo gang itakushinda
Kila tamusilia wakitoa Huwa naangalia mwanzo Hadi mwisho...ila wamezunguwa sana mbona ugaigai tulimaliza yote.ubambamba imekuaje alaf hata kja kutupa tarifa hamna wasenge nyie siangalii kamali pati
Mkojan gang tayr mshaanza kupoteana...hammaliz hili mnaleta hili...hii n ishara ya kuishiwa kwa mwendelezo..angalien wnzenu wakina BENDERA wapo on fire san
Naona mkojani unalewa sifa sasa umeanz kuwa nakiburi kama umeshindwa kutoa umbamba
Jamaa kajisahau uyu
Mkojani gang hatuwaelewi munatoa episode nying na mwafaka wenu haueleweki
Mkojani unayaacha majembe brand inashuka
Aah mkojani umeyumbaaa umbamba vp sasa unapoteza thaman yak
Unafeli wapi mkojani mashabiki zako unatukosea umbambamba umeishia wapi
Umba mba mmeamua kuutoa kwenye move kuuleta kwenye uharisia sasa 🤣
Samofi ongeni na chumvi nyingi na mambwende mmalize tofauti zenu tunasubiri series ya swaumu zetu
Chado master is back
Loo mwatubowesha kweli
Vip mushachoka kutuletea umbamba au ayidia zimeisha
Jaman watu wamevurugwa naumbambambaa
wanaboa sana
Uyo mukojani tangu vijana wake wameanza kumukimbia anachanganyikiwa kila siku
mov ina dkk 9 mkojani umeshachoka
Ankali unatukosea wadau wako kbs lakini hatutoacha kukufwatilia labda uamue kuacha kuigiza.
Hiii so mpya ya zaman
Ndio umbambamba umeukatisha na hakuna taarifa yoyote ile
Mkojan umbamba umeipeleka wap
Dakika 9
Tamaa mbele jaman umbamba haijaisha
Tupo pamoja sem umbamba mba umetukatisha stimu
Wakwanzaaaa
Hamna swaga nyie mmeshindwa kuiendeleza umbamba ilikuw kali Alf mnaishia katikat tunahamia kwa bendera
Kuendesha kundi ni kazi sana coz unao waendesha wao pia wanahitaji ukubwa yaani ni shida tupu pia pesa viburi ujuaji kuchukuliana mademu hamuwez fika mbali
Mkojani umekoregeka hujielewi
Jamani umbambamba😮
Mm nimeacha kutizama ujinga zamani tu nilivoona jamaaa haeleweki. Anafanya mpaka mashabiki wake wanamchukia. Vi episode vifupi alafu havitoki kwa mda pia havimalizi .
Chado master 🔥🔥🔥🔥