mkojani sasa ntakua sifatili movie zako mnatuzengua sana umbaa mbaa mbaa,mbona mnatufanyia hivi kambe hatuna kazi za kufanya, umbaa mbaa mbaa ndio ilishia hivoo au
Yaan kweli yanatuchanganya sana sizan hazimaliz wanaleta mpya wanatuacha njia panda .manake umbambamba sahv wanatuchanganyia habar wanaweka picha zao mchezo cy hata cwaelewi hasa ah .
Sasa samofi yuko wapi ama na yy ashatoka mkojani ngang sasa kilamtu awe na TV yake itakuaje jaman kwani unawafanya nn mkojani Mpaka wanatoka mmoja mmoja ss utabaki na nan🇰🇪🇰🇪🇸🇦
Baba mimi dam dam mkojan nakukubali sana kazi zako
Mzee mzima kingwendu siku sote anacheza kubwa
mkojani sasa ntakua sifatili movie zako mnatuzengua sana umbaa mbaa mbaa,mbona mnatufanyia hivi kambe hatuna kazi za kufanya, umbaa mbaa mbaa ndio ilishia hivoo au
Jamani musikhofu kuhusu umbambamba ipo jikoni inapikwa bila shaka mkojani hawezi kutuacha njiani naamini hilo
Wamegombana na samofi hawa naoo aaaah
Maaana usipo badilika kesho utaskia kamgisha nae kachomoka
Tunamtaka samofi wetu 😢
Mkojani my blood
Mkojani wayumba kaka umbambamba mbn umesimama wacha kutuzingua ww pamoja na meneja wako
Kamari ikikolea chado master na Baruti wanatoka
Haha kamar nice
Mkojan unazingua
Mkojani napenda sana kazi zako ila naomba unijibu swali langu umbambamba ndo basi tena ama?
Tunaonbeni Umba mbamba wetu
Mkojani sisi mashabiki wako tulikupenda sana lakini sasa hatuelewi tutaamia kwa tin white
Jamani mkojani tunaomba mwendelezo WA umbambamba mbona kimyaa
Mkojan umbambamb Iko wap tunataka umbambamb
Jamani umba mbamba tutulie Kuna matatizo yakiufundi kidogo
Rahma Kacheza Kama Pele Credit Kwake Sana
Umepiga baba kingwendu
Pamojaaaa
Badilika mkojani
Jamaa wako sahihi hii series waliianzaga muda san kuipromo so ilikaa 2 ndani
kali sana
Isiwe ankali umegombana na Sanofi pia
Inasemekana mkojani utapeli kauanza tangu anafanya kaz za ujenzi.
❤❤❤
Twasubiria muendelezo wa umbambamba. Alafu muhusika wa ku post video aangalie herufi anazoandika. Hapo ni PART.. SIO PARTY
Ukopa mkojani
Part 1, Part 2, Part 3 • 'PARTY' ni sherehe....... 'PART' ndo sehemu ....
Mnazingua bwana umbambamba vp jaman
Jifunzen kwa MarkAngel,,, pendanen
Movie iko powa lakini!!!! KAMA HAMUWEZI KUTAMKA MANENO YA KISWAHILI VIZURI, SASA MSHINDWE HATA KUYAANDIKA? NI KAMALI AU KAMARI?
😊😊
Si mchezooo
jamani timu mkojani mwa2changanya Sana hii episode mwaeka haraka sn mbona umbambamba umekwama
Samofi kajitoa bn
Yaan kweli yanatuchanganya sana sizan hazimaliz wanaleta mpya wanatuacha njia panda .manake umbambamba sahv wanatuchanganyia habar wanaweka picha zao mchezo cy hata cwaelewi hasa ah .
KUNA MAMBO HAYAPO SAWA NDIO MAANA UMBAMBAMBA IMESIMAMA SAMOFI KAJIENGUA NA YEYE
Umbambamba umenunuliwa asaiv inaluka wasafi tv
Yaani na hata kutupa feedback hataki
Sasa samofi yuko wapi ama na yy ashatoka mkojani ngang sasa kilamtu awe na TV yake itakuaje jaman kwani unawafanya nn mkojani Mpaka wanatoka mmoja mmoja ss utabaki na nan🇰🇪🇰🇪🇸🇦
Ashatoka
Viatu si umebetia wwe sasa mbona upo navyo hpo
🌝🙄🤣
🤣🤣
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂🤣😅😅
❤❤❤
😂😂😂😂😂