0692534716 Mjue wakala wa shetani by Morogoro Matengenezo choir

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии • 26

  • @YusuphHombo
    @YusuphHombo 5 месяцев назад +2

    Amina watumishi wa MUNGU ukweli tuzidi kuusema

  • @joshuajames5076
    @joshuajames5076 10 месяцев назад +2

    Ukweli utafichwa mpaka lini,semeni hivy hivy Ukweli tumalize kazi mapema

  • @OduorTony
    @OduorTony 10 месяцев назад +2

    Semeni..tumechoka na uongo kanisani..semeni ukweli..

  • @mwanafbii7
    @mwanafbii7 Год назад +4

    Ukweli ni kweli na hakuna kuuogopa kusema barikiwa sana

    • @KelvinKyambai
      @KelvinKyambai Год назад +1

      Dear brethren blessed be thee, you're very courageous... Nawauga mkono...

  • @NasibuPonela
    @NasibuPonela 11 месяцев назад +1

    Habr mnapatikana wapi mm Niko mkoa waluvuma wilaya yasongea nimewapenda

  • @muchuicollins9840
    @muchuicollins9840 Год назад +2

    Amina! Ukweli usemwe hadharani

  • @rogersnyambane3067
    @rogersnyambane3067 9 месяцев назад +1

    And the truth shall set you free🙏

  • @frankdenambaya2626
    @frankdenambaya2626 Год назад +1

    Amina mbarikiwe maana jumbe kama izi ni kujitoa nafsi

  • @TulaWay
    @TulaWay 8 месяцев назад

    Ujumbe mzur sana

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 9 месяцев назад

    Yaweza kuwa mnausema ukweli. Ila hicho mnachokifanya siyo jukumu la msingi la Mkriasto. Mnaweza kushangaa kuwa ninyi wenyewe mnampinga Kristo bila kujua.

    • @GwandajaGidamejod-w6f
      @GwandajaGidamejod-w6f 2 месяца назад

      Kanisa la roma isingekuwepo wasabato waaacha injili hivyo ujumbe wao uko roma zaidi hata uislam

  • @EmmanuelMikael-in1ej
    @EmmanuelMikael-in1ej Год назад

    Amen mbarikiwe sana

  • @EvgLeonidas
    @EvgLeonidas Год назад

    Barikiwa

  • @JaffOburu
    @JaffOburu 9 месяцев назад

    Amen

  • @SaitotiHinyura
    @SaitotiHinyura 10 месяцев назад

    Ujumbe mzuri sana.Tatizo lenu ni kuwa Mumemwacha Yesu kwa kuliacha kanisa na kuanziasha la kwenu.Hamuoni kama ninyi ni waasi? Mmeamua kulishambulia kanisa la Mungu kama Mbwa mwitu,mnajitaidi kulikosoa mkisahau kuwa Mungu analiangalia sana kanisa kama mboni ya jicho lake.Rudini nyumbani Bwana anawangoja.Acheni kupotosha watu kwa kuuacha ukweli.

    • @janethmwihumbo1289
      @janethmwihumbo1289 10 месяцев назад

      Nikweli usemayo toka utoto wngu adi ukubwa huu sijawai muona anahubiri kamsome kwenye kitabu Cha ufunuo waabudu shetani Wana Jua Hilo ila Wana wa Mungu hamjui usimtete kimwili omba Mungu akufunulie tulikuwa huko wenzio tumetoka

    • @janethmwihumbo1289
      @janethmwihumbo1289 10 месяцев назад

      Ukweli usemwe mbarikiwe waimbaji wengi wanaishia jehnm kisa Imani hiyo

    • @NasibuPonela
      @NasibuPonela 8 месяцев назад

      Pole ndugu wewe nikipofu

    • @sindabahabwoyaanacret660
      @sindabahabwoyaanacret660 8 месяцев назад +1

      Binafsi nipo sda ya general conference lakini kiukweli hili kanisa limeanguka soon natoka huko

    • @claudarajabu
      @claudarajabu 5 месяцев назад

      ​@sindabahabwoyaanacret660 upo sahihi

  • @delickmarco3945
    @delickmarco3945 Месяц назад

    Ninyi na huyo papa kitu kimoja tu alie wambia mtoke mlikokua ninani kama sio shetan

    • @harrisonodiwa7248
      @harrisonodiwa7248 11 дней назад

      Kanisa la wasabato ilivyo sasa imeiga katoliki karibu kila kitu imesalia tu wahudhurie ibaada jumapili.Kwa mfano utatu mtakatifu miungu watatu,densi watu wanapoimba utupiliwaji mbali mafundisho ya roho ya unabii na kudai yanakera watu.

  • @EvgLeonidas
    @EvgLeonidas Год назад

    Kwanza nyie ndio waasi

    • @harrisonodiwa7248
      @harrisonodiwa7248 11 дней назад

      Mungu akusaidie ujue ukweli,mimi nilisikiza Ganoun Diop hapa Nairobi akisema waziwazi kuwa yeye haubiri kamwe ujumbe wa malaika watatu,eti anahubiri Yesu.Waadventista tusiwe vipofu,yapaswa turudi kwenye msingi halisi ya imani.