- Видео 16
- Просмотров 47 386
Kigamboni Matengenezo Choir Sda
Добавлен 26 июл 2022
0692534716
Видео
+255692534716 SABATO -KIGAMBONI MATENGEZO SDA CHOIR 4K +254692534716
Просмотров 24515 дней назад
+255692534716 HAKI SAWA - KIGAMBONI MATENGEZO SDA CHOIR 4K +254692534716
Просмотров 27915 дней назад
+255692534716 MBINGUNI - KIGAMBONI MATENGEZO SDA CHOIR 4K +254692534716
Просмотров 23515 дней назад
+255692534716 SODOMA -KIGAMBONI MATENGEZO SDA CHOIR (4K) +254692534716
Просмотров 31115 дней назад
+255692534716 MASHAKA KIGAMBONI MATENGEZO SDA CHOIR 4K +254692534716
Просмотров 39915 дней назад
Kigamboni matengenezo sda choir
Просмотров 69218 дней назад
0692534716 Kuombea maiti Makanisani Misikitini makaburini ni umizimu by Morogoro Matengenezo choir
Просмотров 2,4 тыс.Год назад
0692534716 Mjue wakala wa shetani by Morogoro Matengenezo choir
Просмотров 4,3 тыс.Год назад
0692534716 wapi mmesoma enyi Makanisa ya leo? by Morogoro Matengenezo choir
Просмотров 3,1 тыс.Год назад
Enyi wasabato SDA by Morogoro Matengenezo choir 0692534716
Просмотров 9 тыс.Год назад
Kuishi kwetu Sda Choir 0692534716
Просмотров 4,5 тыс.2 года назад
Kigamboni Sda Choir Waimbaji wa nyimbo za injili kutoka kanisa la waadventista wa siku ya saba.
0692534716 Sikia Ee Israel matengenezo Kigamboni SDA Choir
Просмотров 8 тыс.2 года назад
Kwaya Nyimbo Mtengenezo sda Kigamboni
0692534716 Kostantino by kigamboni matengenezo choir
Просмотров 7 тыс.2 года назад
Kwaya hii ya kigamboni sda ina kuletea nyimbo Kwanjia ya Video
Kifo by kigamboni Matengenezo choir 0692534716
Просмотров 1,4 тыс.2 года назад
KWAYA YA WANAMATENGENEZO KIGAMBONI SDA Wimbo KIFO kinatisha wapendwa
Kwani jumbe zimeisha kwa bible
Tufanye matengenezo ❤
Ufunuo 14:6-12. Watakao shinda hilo pambano wameahidiwa hivi:- Ufunuo 15:2..... Mbarikiwe sana
Learning from your songs
Be blessed dear. Big message.
Nice song
Ninyi na huyo papa kitu kimoja tu alie wambia mtoke mlikokua ninani kama sio shetan
Kanisa la wasabato ilivyo sasa imeiga katoliki karibu kila kitu imesalia tu wahudhurie ibaada jumapili.Kwa mfano utatu mtakatifu miungu watatu,densi watu wanapoimba utupiliwaji mbali mafundisho ya roho ya unabii na kudai yanakera watu.
Mubarikiwe ila wekeni na mkalimani wa lugha ya alama na viziwi wapate ujumbe huu mzuri.
Fundisheni habari za Yesu watu wamjue na kumtii Yesu sio kuhesabu makosa na kukosoa watu pengine hawajui usihukumu usije ukahukumiwa
Wako sahihi
Mko sahihi kabisa
Mungu awe nanyi siku zote
bless you
Amina watumishi wa MUNGU ukweli tuzidi kuusema
Kutoka Mbeya, hongereni kwa wimbo, ila siku ya mwisho Mungu ndo atatenga magugu na ngano.
Ukweli unachukiwa ongezeni nyimbo zingine zaidi ya hizi Aminaaaa kabisa
Ujumbe mzur sana
God bless you guys. This truth is too much Bring it on✍
And the truth shall set you free🙏
Mnaimba vizuri ila mmepotea
watu wa shetni nyie masalio
Hivi sio wewe ndo shetani kuruhusi watu kusuka, kuja kanisani wamevaa vimini
Yaweza kuwa mnausema ukweli. Ila hicho mnachokifanya siyo jukumu la msingi la Mkriasto. Mnaweza kushangaa kuwa ninyi wenyewe mnampinga Kristo bila kujua.
Kanisa la roma isingekuwepo wasabato waaacha injili hivyo ujumbe wao uko roma zaidi hata uislam
Nimebarikiwa jaman
Amen
Hawa Wana matatizo ya kiroho sana
Hata hamvutii hata kidogo sda nikanisa la mungu msipambane nalo hata kwa nyimbo zenu hizo ambazo hazina uvuvio wotewote ule
Kwani wanapambana uo ndio wito wao swala ni moja tu kufika mbinguni ,muonekano wao tu ni kumtafuta Mungu kiundani
@@janethmwihumbo1289ubarikiwe kwa ufunuo uliyo ndani yako
Wanaotetea wanawake watamwabu Malia
@@janethmwihumbo1289 mpendwa usiteseke na kumjibu wakala wa shetani, Neno la Mungu linasema watu wataijua kwel nayo kwel wataikataa, tuna kwa hizi siku za mwisho ukijiweka kiungu unaonekana mshamba, Dunia imefunikwa ba giza maandiko yanatimia
MUNGU awasaidie maana mmepotoka sana huwezi pambana na kanisa la mungu SDA ninyi mrudien mungu rudin nyumban
Biblia imeandika wapi kuwa kanisa la Mungu ni SDA
Aksante sana kwa hio nyimbo from DRC
Pure truth..amen
Semeni..tumechoka na uongo kanisani..semeni ukweli..
Mungo awabariki..huu Wimbo ni unwell mtupu..tufungueni macho jameni..Yesu wabariki hawa..watumishi..watuwamekwisha imba lakini dhambi kuu kama hizi wameyaficha juu ya upupa wa pesa..mbarikiwe
Ukweli utafichwa mpaka lini,semeni hivy hivy Ukweli tumalize kazi mapema
Nimependa sana hii kwaya jmn mungu awatie nguvu zisemeni dhambi wazi wazi, kuna watu tunaelewa msikate tamaa, muda umeisha watu hawataki kusikia ukweli
Mmexhanganyikiwa nyie aiseeee
Mungu awasaidie sana muijue kweli
Wewe ndiye umechanganyikiwa,mimi ni msabato lakini ninapoyaona matukio kwenye ibaada,hakika roho wa Mungu haimo tena miongoni mwa kikao linalofaa kuwa takatifu. Ripoti ya pesa inashinda huduma na vitabu vya roho ya unabii huwezipata mtu akiwa nayo hata pastors wenyewe.Matengenezo inahitajika.
Ninyi mwapotea kwa kuwa hamuyajui maandiko wala uweza wa Mungu.Karibuni mrudi kanisani ,mjifunze kwenye Darasa la Ubatizo mfundishwe vizuri maana huu ni uchanga wa kuyajua maandiko.
Pole Bwana Yesu akuokoe na muovu shetani wewe ndo ipo gizani kabisa, km ujaelewa huu mwimbo bas tena giza liko juu yako nakuombea
Ujumbe mzuri sana.Tatizo lenu ni kuwa Mumemwacha Yesu kwa kuliacha kanisa na kuanziasha la kwenu.Hamuoni kama ninyi ni waasi? Mmeamua kulishambulia kanisa la Mungu kama Mbwa mwitu,mnajitaidi kulikosoa mkisahau kuwa Mungu analiangalia sana kanisa kama mboni ya jicho lake.Rudini nyumbani Bwana anawangoja.Acheni kupotosha watu kwa kuuacha ukweli.
Nikweli usemayo toka utoto wngu adi ukubwa huu sijawai muona anahubiri kamsome kwenye kitabu Cha ufunuo waabudu shetani Wana Jua Hilo ila Wana wa Mungu hamjui usimtete kimwili omba Mungu akufunulie tulikuwa huko wenzio tumetoka
Ukweli usemwe mbarikiwe waimbaji wengi wanaishia jehnm kisa Imani hiyo
Pole ndugu wewe nikipofu
Binafsi nipo sda ya general conference lakini kiukweli hili kanisa limeanguka soon natoka huko
@sindabahabwoyaanacret660 upo sahihi
Huu wimbo ni Uongo mtupu.Hakuna ukweli ndani yake.Mmelishwa matango poli.
Waoneshe uongo huoo ili wabadilike.
Habr mnapatikana wapi mm Niko mkoa waluvuma wilaya yasongea nimewapenda
Hata tabia ya kukosoa ni ya Mafarisayo Ingependeza kama huu wimbo mngemtangaza kristo badala kutangaza makosa Mama white anasema ni kumwaibisha kristo kutangaza dhambi ya mkristo
Nyinyi njooni Kwa wasabato mfunzwe kwaya na ujumbe mpewe
Asee mungu awarehem Mana mnacho kiimba hakina hata mantiki
kweli
Jaman, kumbe dunia ina mzigo ais ,ndo ma nino haya?? Kama mmechoka kusali kanisani, au fanyeni biashara ningine hii imewashinda! Tufanyapo matengenezo tuyafanye ndani ya kanisa la Mungu si kuchomoa na kuliacha mtaangamia bure tu!
Mbarikiwe sana watu wa baba kwa kuweka wazi dhambi za baber
Hawa majamaa hawana ujuzi na maandiko na biblia Wana nukuu vibaya Roho ya unabii
Kaka umesolo vzri kumbe roho mtakatifu unamjua alf huyo mkaka aliekaa kwny ngazi kavaa modoooo..😢
Poleni San mnapaswa kusoma tena
Mkajifunze tena wapendwa
Amina
❤amina@aaaaaa kubwa barikiweni, na muende mbali, na Mungu awasaidie mbunge nyimbo zenye ujumbe mkali zaidi
Mbarikiwa sana watu wa Mungu, kwa kusimama na kuzitaja dhambi za baberi
Amen
Amna
Nyie hamna ujumbe