Asante baba wa mbingu na nchu vitus vote vimeubwa na wewe baba tujalie kuujua ukweli wake tupelo loho mtakatifu atuongoze kama ilivokua siku ya pentekosite nasi tujaze loho mtakatifu utuepushe na hila za shetani
Aksante saana Baba MUNGU kwa wema wako na. Neema yako juu yetu daima .....❤❤ kweli hakika ninaogelea na nimetakaswa ndani ya kijito cha damu ya YESU-BW. 🎉🎉🎉........ ni wako MUNGU Baba daima. TENZI ZA ROHONI uniweka uweponi ❤❤❤ BW-MUNGU atukuzweeeee. na awape .... ... kheri na amani siku zote.
E mungu tusaidiye tupiganie mfame WA ajabu usitupite na waweka mama yangu lusia mwawalo na mama mkwe Wangu wapiganie yesu kiristu baba Hakuna kinacho shindikana kwako🙏🙏🙏🙏🙏
Hasante wapendwa wa mungu kwa kunifarije katika tenzi la Rohoni mbarikiweni na mungu na awape kibali cha kumtumikia katika hizo nyimbo na awape zingine kama hizi lli tusidi kunipandisha lmani thank your so much
Mungu usinipite.Nioshe na Damu yake Yesu iliomwagika pale msalabani.Damu ya ukoo mbaya ikatike.Niendelee na Damu nzuri ya upendo,Raha,Amani kwa viazi vyangu vinne.
Usipite baba unapo fungulia wengine milango ya kazi baba usinipite amen
Usifiwe msalaba asifiwe mwongozi acha jina lako liimidiwe utujalie mema na unijalie bibi mwema❤❤
Asante baba wa mbingu na nchu vitus vote vimeubwa na wewe baba tujalie kuujua ukweli wake tupelo loho mtakatifu atuongoze kama ilivokua siku ya pentekosite nasi tujaze loho mtakatifu utuepushe na hila za shetani
❤
❤
❤❤❤❤❤❤❤
Amina
Amiin
Amina
Usinipite ee nwokozi wa maisha yang siku1 niwe mwimbaji wa nyimbo za injili. Ee mwenyez mungu nisaidie
Merci beaucoup Mon seigneur 🙏 Jésus Christ 🙏
Seigneur aide Mon fiancé à accomplir sa mission j'ai confiance en toi Jésus Christ 🙏 naku liliya baba
Uwe mnyunyizi wang mungu wang ww ujuaye ya silini mwang
Ahsante Yesu ahsante Mungu Baba wa Mbinguni muumba mbingu na inch kwa wema wako tunaishi nakupata amani ndani yako Halleluyaah🙌🙌🙌🙌🙌
Utabaki kuwa mungu milele na milele Amina.
To wegigbul
Haleluya Mungu azidikuinuliwa
Milele Na milele Amen
Amen 🙏 nabarikiwa Moyo wangu Kwasi nyimbo munguawabariki awatie ngufu
Aksante saana Baba MUNGU kwa wema wako na. Neema yako juu yetu daima .....❤❤ kweli hakika ninaogelea na nimetakaswa ndani ya kijito cha damu ya YESU-BW. 🎉🎉🎉........ ni wako MUNGU Baba daima. TENZI ZA ROHONI uniweka uweponi ❤❤❤ BW-MUNGU atukuzweeeee. na awape ....
... kheri na amani siku zote.
Rehema zake na utukufu wake na ujulikane Kwa mataifa yote .. amen
Kweli kabisa , Yesu usinipite unaposuru wengine ❤❤ Ameen.
Hallelujah yesu bwana asifiwe milele na Milele 🙌 👏
😢😢😢😢 Mungu usinipite
Popote na Yesu ntakwenda.
,l
Abarikiwe mtunzi.unaniguse mengi.Yesu apewe sifa.Amen
Hakika utukufu ni kwa Mungu tunaburudika ktk kijito cha tenzi 🙏🙏🙏
Ee mkomboz wang niinue kama unavyowainua wengne ktk Kuta Gaza neno lako kwa njia ya nyimbo
Mèsi anpil bondye Pou gras ou pa kite mwen bon sovè koute kwiye mw kan ou okipe lèzòt yo pa pase mwen mwen mèsi jezi papa mw santi'm beni
E mungu tusaidiye tupiganie mfame WA ajabu usitupite na waweka mama yangu lusia mwawalo na mama mkwe Wangu wapiganie yesu kiristu baba Hakuna kinacho shindikana kwako🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akubariki sana mungu akujalie maisha mema na kazi njema❤❤❤❤❤
Kweli hizi nyimbo zinabariki mungu ni mwema
Unapozuru wengi usinipite baba🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Utukufu ni wako Mungu pokea mana unadtahili
Ahsante kwa kuenjilisha mungu awabariki kwaya nzimakwa ujumla
Usinipite mwokozi
Asante kwa huo nyimbo na bubujiki sana Mungu azidi kuwainua
Thank you for blessing us barikiwa sana sana❤❤
Amen amen ubarikiwe sanaa usinipite mwokoz unapoguza wengine usinipite mwokoz wangu
Muombe mungu kwa Kila jambo
Amen amen 🙏🙏
Nionapo Amani kama
Request
Ee mungu skia maombi yangu nkiwa Saudi 🇸🇦 rinda my husband akiwa Qatar 🇶🇦 Ee baba yangu skia maombi ya wana wako naomba nakuamini🙏
Hakka wewe ni Mungu wa kweli na waajabu
Nakombolewa na damu ya yesu Mimi mwana wake kweli Amina
Sifa ni zako milele Mungu wangu❤, feeling blessed 🙏😇
Baba naomba unikumbuke siwezi bila wewe❤
Ahsante mungu kwa rehema yako
Iman ya bwana ikae pamoja nasi milele Amen.
Asante mungu
Ee mungu wangu nakuamini, maombi yangu najua wayackia
🙄i am glad for worship via songs may God raise up
Great
Bravo
Mungu ni Mkubwa
Mungu ni Mnoma
Usinipite Yesu
Abarikiwe YESU kristo mnazareti kwa nyimbo nzuri hizi
Songs zimennice sana Mungu awabariki
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭I felt low until I bumped into this collection, such a blessing to my heart.🇰🇪😭😭
AM blessed SAUDI ARABIA 🇸🇦 watching ❤❤❤❤❤30th April 2023
Barikiwa binamu ,# Kenya family...❤
Mungu azidi kulinda nchi yetu
Yesu naomba usinipite unaposuru wengine wenye shida kama SA kwangu🙏🙏.
yesu atukuzwe
Usifiwe msalaba so touching. Be blessed
It's a very good old time religion it gives revival to my soul and faith in our Lord Jesus Christ.
Roho yangu na iwe kwako enzini
Nimekombolewa na damu ya Y esu
Mungu usinipite❤
Kwaa Neema yake nafurahia 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ninamshukuru mungu kwa Kila kitu nikiwa nafatilia tenzi hizi
Thanks mg lord
Mungu we ndo kila kitu kwangu
Hasante wapendwa wa mungu kwa kunifarije katika tenzi la Rohoni mbarikiweni na mungu na awape kibali cha kumtumikia katika hizo nyimbo na awape zingine kama hizi lli tusidi kunipandisha lmani thank your so much
Baraka tele kwangu. Mungu awabariki
Usinipite yesu nakuhitaji kila dakika uwe karibu nami
Asante yesu wangu mwema tuongoze ili siku moja tufurahi na wewe huko mbinguni
Usinipite baba unapo bariki wengine
The ONLYONE WE must praise all day long is our Saviour Jésus-Christ
I am listening and feeling blessed ☺️ many key words of faith are here to drive a non believer to start believing. Yesu Bwana
Amen🙏🙏🙏🙏
Yeah, am listening 🎧 too! What a blessing....
Amen nyimbo zenye utakatifu
Salama Rohoni hio wimbo uniguza moyo wangu
😢Asate yesu kwa kurejesha aman katita maisha yagu tena
❤❤❤❤Utukufu wa Mungu
Eee bwana nionekanie mwanao na family yangu ktk mapito magumu nnayopitia Ameni
Usinipite Yesu ninapovuka mwaka wa 2024
ahsante jehova kwa kuturehemu utukumbuke wakati unawaudhuru wengine
Asante kwa upendo wako mkubwa kwenye maisha yangu MUNGU
bwana ni mwema wakati wote.wakati wote bwana ni mwema
Aksanti Baba kwa upendo wako uhimidiwe milele
Tunusulu Dhabi zetu nautujalie kuuono ufalume wake wz mbinguni
Mungu usinipite.Nioshe na Damu yake Yesu iliomwagika pale msalabani.Damu ya ukoo mbaya ikatike.Niendelee na Damu nzuri ya upendo,Raha,Amani kwa viazi vyangu vinne.
For sure usinipite Jesus Kaa nami
😭😭😭😭😭😭 baba nakuomba sikia kiliyo changu nipo chini ya mi guuu yako
Mungu mwenye nguvu nakuomba unisikie maombi yangu yote ninayo lia
Tufunze kutii sauti zako YESU kwetu
T🎉
❤❤❤❤ppp❤❤L
Usinipite mwokozi wangu uniponye roho na mwili wangu 🙏
Ee Mungu sikia maombi yangu, bariki familia yangu na kazi zangu za shamba zikabarikiwe na wewe.inua uchumi wangu kwa njia zote zikupendezazo
Mungu naomba uxinpite maan peke yangu siwez😮😅
Amen amen 🙏 🙏
Katika matesô yanayozidi nyumbani usinipite Bwana
Yesu nakuhitaji katika maisha yangu nienende pamoja nawe.
Mungu acha aitwe mungu tu.
Beat kalenjin hymns mix
Hakika mungu nimwema sana
Mung naomb usinipit me na mchumb wang tuvuke salm pka kufung ndoa AMENI
Usiniache bwana nusaidie baba unapozuru wengne usinupite baba🙏🙏🙏😭😭
Jina la bwana yesu kristo asifiwe nyimbo hizi zinaniimarisha ki roho mungu akubariki mutu wamungu
once i just listen to these powerful mixes my wounded heart gets bandaged ,,,be blessed men of God
lets spread His gospel
Mungu muaminifu tunashukuru kwa kutuamsha salama nakutupa kibali cha kiona sikuhii iliyopendeza machonipetu Amen
Jina la Yesu lisifiwe,Bwana Yesu awabariki.
God you're wonderful God, mungu wangu nitembelee
Eh Bwana MUNGU wangu Nami usinipite
❤❤❤reminds me my mum and Anglican church
pamoja na wewe MUNGU daima