...kweli Yanga kiboko, tumelipeka kombe Hadi kwa Simba myama Serengeti nao wakalione, duh jamani jihadharini na kupeana majina ovyo, majina yanaumba!....sasa ona Leo Simba wa ukweli kaliona kombe liko ndani ya gari hastahili hata kukisongelea , akilizogelea anatauawa 😂😂😂😂
Mi binafsi kwa level ya yanga na aina ya uchezaji wa yanga siioni sababu ya Chama tuachane na siasa zisizo na maslahi unakuwa na mchezaji ambaye unatakiwa kumlipa mshahara mkubwa faida yake ndogo dube kumchukua ni sahhi ila Chama mwacheni aende umri,,
wa kwanza leo kutoka KE nipeni like 20
Wakwanza leo nipe like zangu
Yanga raha sana
Mashaaalla amazing nilikuw naisibir kwa hamu mno
Alihamundulih mashaalah 💚💛💚💛yanga Africans daima mbele nyuma mwiko
Kumbe sahiv ni zam ya semaji baada ya rais heris kumaliza mwanzoni mwa mwezi juni ni kaz nzur sana kwa yanga tunatangaza utalii vizur
Woiii nipate likes wananchi 😅💚💚💚
Wa kwanza Leo like zangu jamn
Yanga inatangaza utalii wa inch yetu dunian kote tulio soma chini ya miembe tunaelewa xana mungu ni mwema🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏🙏🙏 yanga bingwa 🙌
Hata huyo simba juu ya mti nimeona tabasam lake wakati akitazama kombe hatar😂😂😂😂😂😂😂
Na hawajasemaa mpaka wasemeeee😅😅😂😂😂yellow 💛 ✨️
Wananchiiii wananchiiii 👍👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💚💚💚💚💚🏆🏆🏆🏆🏆
Wewe tembeza kombe mwenzako anaendeleza ukomedy
Jamn Ahmed ally kankufa mbon simuon
Yanga africans 💪 💚💛💚💛
Ally kamwe Niko congo ntapata KADI au Mpaka niludi tz. Mzaliwa wa morogoro
Shwari 🎉🎉🎉 Daima mbele nyuma mwiko
Naona simba anashangaa kombe
Kama nimemuona Master Jay
Am so inspired 💚💛💚💰🏅
Sisi ni nani.........🔰🔰🔰🔰🧚♀️
Mbona ALY kamwe unataka watu wafe kabla siku zao
Yanga ni moto🎉🎉🎉🎉
Au sio mpo na kombe lililotutesa😢😢 presha juu juu
Yanga rahaaaaaa
Yanga kama maji, usipp yanywa utayakoga 😂
Msemaj mwenye fraha yakwel
Hadi Tembo wanalinga kwa kuliona kombe
bhna ally mbona huyo kolo kapiga miayo alivo liona kombe ana njaa nalo nini
Duu mnakera wapi😂😂
MAKOLOO WANAUMIA SANA
Hii ilikuwa lini
Mpaka waseme makolobwanji
Kama huna .dd mbiri huwezi kuerewa
Ndugu unajua kukeraa sjapata ona😄😄😄😄🌹🌹✔️
💚💛💚💛
This is good 👍💚💚💛💛
alione hakhim hilo
...kweli Yanga kiboko, tumelipeka kombe Hadi kwa Simba myama Serengeti nao wakalione, duh jamani jihadharini na kupeana majina ovyo, majina yanaumba!....sasa ona Leo Simba wa ukweli kaliona kombe liko ndani ya gari hastahili hata kukisongelea , akilizogelea anatauawa 😂😂😂😂
Na simba walete Ngao ya jamii
Amazing
Ndani ya Serengeti good kuitangaza club yetu na nchi yetu.ila hiz tetesi za chama zikoje?
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
nguvu moya yuleeeeeeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mi binafsi kwa level ya yanga na aina ya uchezaji wa yanga siioni sababu ya Chama tuachane na siasa zisizo na maslahi unakuwa na mchezaji ambaye unatakiwa kumlipa mshahara mkubwa faida yake ndogo dube kumchukua ni sahhi ila Chama mwacheni aende umri,,
Kajamaa kasumbufu haka daah!🤣🤣🤣🤣🤣
Yanga yetu❤❤❤😂😂
Ninazehekea kwenye mikono
😂😂
Utopolo bwana washamba sna
Pole sana kolo chakavu cw haya makombe yetu sisi na mapya sio makongwe cw jobe
Kumbe na nyie mnafatilia chanal yetu Safi Sana kolo
😂😂😂😂unaumia ukiw wap kolo😅😅
Yanga bingwa adi 230😁
Kama rahisi jaribu na wewe