PART1:MCHIMBA MADINI AELEZA JINSI ALIVYOMCHINJA MWENZAKE/NILIMKATA SHINGO/PANGA LILIJAA DAMU/MSIBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 124

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 года назад +8

    Subhannallah huyo Lamek hakuwa na roho nzuri kabisa why atoe ushauri halafu ageuke daaah binaadam mtihani sana

    • @hebronsdaughter1661
      @hebronsdaughter1661 4 года назад +1

      Aki nimeskia vibaya mbona watu wawe na roho mbaya hivyo

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 4 года назад +17

    Rafik yako wa karibu ndio aduwi yako . Na katika maisha bora usiwe na rafik uwe na watu wa kusalimiana nao to na kuzungumza usiwe na rafik wa kugandana .

  • @aishabeka5562
    @aishabeka5562 4 года назад +11

    Tunajifunza mengi kupitia mikasa unayotuletea shukran sana kaka Davistar kijana mkini

  • @shainnakamoto5310
    @shainnakamoto5310 4 года назад +6

    And l agree with someone saying we don't trust friends cause once they no something about you they will use it against you Umesema Kweli l don't have friends at all am own my own.

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 4 года назад +6

    Aki inahuzunisha sana mbona mtoe mtu uhai wakati yy ni mtu mzuri na kila apatacho mna gaanya isitoshe wazo la kujenga kwao nyinyi ndio mlimpa maskini hakujua ni mtego😰😰😰 tamaa sio nzuri aki

  • @somoeawadh7774
    @somoeawadh7774 4 года назад +4

    Noma sana Aki huyu, jamaa ni hb ama ni macho yangu 😄😄😄

  • @Mamatonny2065
    @Mamatonny2065 4 года назад +2

    Ndugu zangu kumbukeni kuwa pesa za dhuluma hazina faida!.

  • @shainnakamoto5310
    @shainnakamoto5310 4 года назад +1

    Hey Davista, Thanks for reducing the musical sound now l can hear loud and clear keep it up with your job 💪👍👏 l love the show and learn from it us well...Pole Kwa wale waliopatikana from Kenya.

  • @omarsharifa5606
    @omarsharifa5606 4 года назад +2

    NYC job davistaa u deserve a ward good job...najifunza mengi

  • @evadotv9528
    @evadotv9528 4 года назад +6

    Davi usikate tamaa tunaelimika sana

  • @abdulhalimhumud1917
    @abdulhalimhumud1917 4 года назад +4

    Kila nikijitahiidi nijaribu Kuwa wa 1 wapi 😂😂 hongera Mr Facts Kwa Kazi zako namini watz tunaendelea kukufatilia kila sehemu 💯❤️

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 4 года назад +3

    Simulizi ipo vizuri.

  • @salumbunga240
    @salumbunga240 4 года назад +2

    Davistar kijan wako hap mtu mwenye utu wang respect 👊

  • @wandejumanne5853
    @wandejumanne5853 4 года назад +1

    Huyu ndo Rajabu yule yule wa kufundishwa na majini?
    Mbona kama anaturocha😁

  • @shamimhayat7637
    @shamimhayat7637 4 года назад +1

    %100 MTU MAKINI MR FACTS VERY TRUE NEWS

  • @abbiekale8387
    @abbiekale8387 4 года назад +6

    Davis naipenda kazi yako lakini nakuomba storia moja uwekee links after first story ndio iwee rahisi kwet u kuifuatilia mpaka mwisho.
    Part1
    Part 2
    Part 3 link iyampantane

  • @nurusky
    @nurusky 3 года назад

    Mambo vipi Bro,hongera kwa kazi nzuri unayoifanya.tunafurahia sana.Ila jambo moja tu,ungetafuta microphone nyingine ziwe mbili kuliko kutumia hio hio moja

  • @hudeyyhassan6739
    @hudeyyhassan6739 4 года назад +1

    Good job keep going always ur number1fan😍😘

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero8466 4 года назад +1

    Dah nimejifunza kitu usimuamini mtu yoyote yule omg

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 года назад +1

    Tamaa ni mbaya sana

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 4 года назад +1

    Noma Sana

  • @omarkombo3474
    @omarkombo3474 4 года назад

    Aminia mtu makini ,keep it up ,gob bless you .hope utakuja na Zanzibar pia

  • @farahanafarer7588
    @farahanafarer7588 4 года назад

    Hivi Davista hawa wanaongea kuuwa watu
    Na unaona sawa kweli. Kwanini hawakamatwi na kufungwa mimi nasikitika kusikiliza story kama hizi maana naona wanafanya ubaya waziwazi na wanaendelea na maisha dha

  • @halimamangala6731
    @halimamangala6731 4 года назад +11

    I'm the first one as usual💯

  • @mariamukingazi3668
    @mariamukingazi3668 4 года назад

    Dav mm nipo nje nastor nimekupenda

  • @Diana-SkinCare
    @Diana-SkinCare 2 года назад

    Aki zile vitu nimejifunza na hii youtube haswa kuhusu marafiki🤭

  • @naomiakoth2958
    @naomiakoth2958 4 года назад

    Nice thanks alot bro for the story

  • @evadotv9528
    @evadotv9528 4 года назад +2

    Safi djevado mtamboni

  • @barakakimaro2740
    @barakakimaro2740 4 года назад +2

    Pt 2 wp

  • @happyoshea
    @happyoshea 4 года назад +5

    Bonge la story . Nasubiri part 2
    Davistar kwa hii kazi yako utakuwa unasafiri mikoa mingi sana hadi raha .

  • @mashaeliazer7433
    @mashaeliazer7433 4 года назад +2

    Duh!!

  • @yasintajohn1189
    @yasintajohn1189 4 года назад

    Keep it up kaka kaz nzur tuna pata elimu kwel

  • @sashaelias518
    @sashaelias518 4 года назад +1

    Hahaha nimecheka Sana Kuna mtu anauliza et devid Hawa watu wanamlipa wakati wewe ukiangaria tu sekunde mmoja pesa yake yy anaikuta kitendo Cha kusikiliza story tu ww. Na mm tayar anaingiza her mwenzio ndio maan anatafuta story nzito iliwatu msikilize hera ziingie hahahah

    • @zabiyafahmikhamis4873
      @zabiyafahmikhamis4873 4 года назад

      Kumbe hata na mm nilikuwa sijui 😂😂😂

    • @jamesmaneno2281
      @jamesmaneno2281 2 месяца назад

      Watu awajui tunavo sikiliza d anaingiza mtonyo awajui kabsa

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 4 года назад

    Hongera kwa kazi nzuri kaka davistar

  • @Mingoclassic5
    @Mingoclassic5 4 года назад

    Daah rajabuuu

  • @badymsuya6093
    @badymsuya6093 4 года назад +2

    First

  • @kalssambaboo9705
    @kalssambaboo9705 4 года назад +2

    Dooh hatar sana dunia hii napenda rafidh yao waarusha

  • @rajabhussein4088
    @rajabhussein4088 4 года назад

    Daa wajina pole sana

  • @munnawwary757
    @munnawwary757 4 года назад

    Lisonge sir Davita

  • @hamisifereji2769
    @hamisifereji2769 4 года назад

    Nic story

  • @emilianapaskal7319
    @emilianapaskal7319 4 года назад

    Top 10

  • @rosekingalu4403
    @rosekingalu4403 4 года назад +1

    👂🏻 🧕

  • @bundukitv1322
    @bundukitv1322 4 года назад

    Daaa mtihani aisee

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 4 года назад

    Shkuran Kwa ximulizi nzur

  • @jayjayuncle1054
    @jayjayuncle1054 4 года назад +1

    HYu jamaa ni muongo, haiwezekani kumeza dini kubwa hvyo tena la thamani tanzanite,usidanganye mm ni mfanyabshara wa tanzanite niko mereran mwongo hyo!

  • @ummusulaish5586
    @ummusulaish5586 4 года назад

    Tuko pamoja sana bro

  • @faithmakena7720
    @faithmakena7720 4 года назад

    kwan akuna mikasa Kenya

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero8466 4 года назад

    Sasa mbona ameonesha sura yake

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 4 года назад

    Unajitahid mr facts kulike comments zetu

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 4 года назад

    Yani mnamtoa rohoo mwezenu kwasababu yapesa yenu kwann msifanye bidii mkatafuta zenu milion tuu zakitazania niliona pesa kweli zambihixo narohoo ngumu tena alikuwa akiwapa kilaakipata

  • @luqmanmohamed9198
    @luqmanmohamed9198 4 года назад

    Taama mbaya sana

  • @innocentpius8083
    @innocentpius8083 4 года назад

    Pesa nishidah

  • @H-moneybags
    @H-moneybags 4 года назад

    Part 2 ipo wapi

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero8466 4 года назад

    Millioni hamsini duh

  • @mbwanaomary4504
    @mbwanaomary4504 4 года назад +1

    Wakwa

  • @roseuwambe8089
    @roseuwambe8089 4 года назад +1

    Duu jiwe la milioni 50 lilimezwa🤔🤔🤔

  • @alimohamedalhinduwaan6742
    @alimohamedalhinduwaan6742 4 года назад

    Hyu si bilioner laiza 😂😂😂

  • @blankakecy2464
    @blankakecy2464 4 года назад

    Party 2 Dav

  • @Nyapara1
    @Nyapara1 4 года назад

    Lete 2 kabla hatuja poaa

  • @halimamangala6731
    @halimamangala6731 4 года назад

    Dm nasubiri muendelezo kwa hamu sana

  • @tonywambua9505
    @tonywambua9505 4 года назад +1

    Nice again

  • @saadiaali5609
    @saadiaali5609 4 года назад

    Nauliza davister watu hao wakutisha kutowa uhai watu unawatowa wapi

  • @shainnakamoto5310
    @shainnakamoto5310 4 года назад

    Abdallah umesema kweli they are no friends in this world mimi pia nilikuwa na rafiki ambaye alikuwa hana kazi wala bazi ni Kawa na msaidia Kwa kila kitu food,pocket money, lakini akafanikiwa akapata kazi mzuri siku moja nikamwambia nitumie 10k akanitumia na akaniambia nimrudishie na yangu amekula Sana kama angekuwa mzuri angeniachia and she would have told me you,ve been there for now am here for you lakini hakumbuki kule alikotoka Sai Corona imekomesha no job she's jobless so what goes around comes around.

  • @marryoscar745
    @marryoscar745 4 года назад

    Ndo maana sinaga marafiki mimi

  • @aboudjuma523
    @aboudjuma523 4 года назад

    Leo we 17 imenibid kukoment kabla ya kusikiliza😅😅😅

    • @roseuwambe8089
      @roseuwambe8089 4 года назад

      😂😂😂😁😁😁🙌🙌🙌🙌

    • @hebronsdaughter1661
      @hebronsdaughter1661 4 года назад

      Tuko sawa mm huja kuitikia register den kuwatch badae😂😂😂😂

  • @fatmaalrshdii7615
    @fatmaalrshdii7615 4 года назад

    Mtu makini katika ubora wako tuwelimishe kaka

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 4 года назад

    😢😲😨😤

  • @nattiemargie5663
    @nattiemargie5663 4 года назад +1

    Hiki kimlio kinaboaaaaa.. usikiweke😡

    • @bundukitv1322
      @bundukitv1322 4 года назад

      Hicho kimlio ndio kinaleta aptait sasa Kama hujui😃

    • @nattiemargie5663
      @nattiemargie5663 4 года назад +1

      Bunduki TV kwangu hapana kama hujui😂

    • @bundukitv1322
      @bundukitv1322 4 года назад

      @@nattiemargie5663 😃😃😃

  • @agathamnyambwa3003
    @agathamnyambwa3003 4 года назад

    Mmhsasanawazaga HIV hukukwenyemedia c watamkamata kwahilo kosa

  • @devothadavid6995
    @devothadavid6995 4 года назад

    wee nae davista nunua mike nyingine kila mtu awe na yake huchoki mkono?

    • @DavistarMataMediaDM
      @DavistarMataMediaDM  4 года назад +2

      Ninunulie

    • @devothadavid6995
      @devothadavid6995 4 года назад +2

      Davistar Mata Media ni ushauri tu naona km unachoka mkono hayo sio majibu kwa wateja wako kwan baya lipi hapo?

    • @DavistarMataMediaDM
      @DavistarMataMediaDM  4 года назад +3

      @@devothadavid6995 Mbona sijakujibu vibaya ulivyoniambia nami nikawaza huyu shabiki yangu ameona shida ninayopata nami nikaona nikuombe ninunulie wewe kama shabiki yangu na mpenzi wa kazi zangu,kwahiyo kukuomba msaada wa mic ni kukutukana?

    • @somoeawadh7774
      @somoeawadh7774 4 года назад

      @@DavistarMataMediaDM I will buy 4 you 😄

    • @khadijatonge3636
      @khadijatonge3636 4 года назад

      @@DavistarMataMediaDM 😂😂😂nimecheka

  • @kisalaTV
    @kisalaTV 4 года назад

    Kweli kikulacho kinguoni mwako

  • @blingnetcyber5286
    @blingnetcyber5286 4 года назад

    pap !!

  • @kashuradiocles1068
    @kashuradiocles1068 4 года назад

    Nimechelewaa

  • @esterelias8189
    @esterelias8189 4 года назад

    Hiyo kazi ni ngumu sana nimewahi kuifanya nikiwa na miaka 15...

    • @butondodavid2105
      @butondodavid2105 4 года назад

      C nwanamke wewe umeifanyaje

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 4 года назад +1

      @@butondodavid2105 hahahahahaha ulijuwa wanafanya wanaume tu??

    • @butondodavid2105
      @butondodavid2105 4 года назад

      @@esterelias8189 itabid nawewe utoe mkasa wako

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 4 года назад +1

      @@butondodavid2105 hahahahahaha nani atanifikia huku..nina mikasa mingi mno

    • @butondodavid2105
      @butondodavid2105 4 года назад

      @@esterelias8189 huko unaish milele wewe lete mkasa au tuma no

  • @sophiaalexander6025
    @sophiaalexander6025 4 года назад

    Mtu makini penda wewe

  • @hudeyyhassan6739
    @hudeyyhassan6739 4 года назад

    Good job keep going always ur number1fan😍😘

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 4 года назад

    Noma Sana