Rafik yako wa karibu ndio aduwi yako . Na katika maisha bora usiwe na rafik uwe na watu wa kusalimiana nao to na kuzungumza usiwe na rafik wa kugandana .
And l agree with someone saying we don't trust friends cause once they no something about you they will use it against you Umesema Kweli l don't have friends at all am own my own.
Aki inahuzunisha sana mbona mtoe mtu uhai wakati yy ni mtu mzuri na kila apatacho mna gaanya isitoshe wazo la kujenga kwao nyinyi ndio mlimpa maskini hakujua ni mtego😰😰😰 tamaa sio nzuri aki
Hey Davista, Thanks for reducing the musical sound now l can hear loud and clear keep it up with your job 💪👍👏 l love the show and learn from it us well...Pole Kwa wale waliopatikana from Kenya.
Davis naipenda kazi yako lakini nakuomba storia moja uwekee links after first story ndio iwee rahisi kwet u kuifuatilia mpaka mwisho. Part1 Part 2 Part 3 link iyampantane
Mambo vipi Bro,hongera kwa kazi nzuri unayoifanya.tunafurahia sana.Ila jambo moja tu,ungetafuta microphone nyingine ziwe mbili kuliko kutumia hio hio moja
Hivi Davista hawa wanaongea kuuwa watu Na unaona sawa kweli. Kwanini hawakamatwi na kufungwa mimi nasikitika kusikiliza story kama hizi maana naona wanafanya ubaya waziwazi na wanaendelea na maisha dha
Hahaha nimecheka Sana Kuna mtu anauliza et devid Hawa watu wanamlipa wakati wewe ukiangaria tu sekunde mmoja pesa yake yy anaikuta kitendo Cha kusikiliza story tu ww. Na mm tayar anaingiza her mwenzio ndio maan anatafuta story nzito iliwatu msikilize hera ziingie hahahah
Yani mnamtoa rohoo mwezenu kwasababu yapesa yenu kwann msifanye bidii mkatafuta zenu milion tuu zakitazania niliona pesa kweli zambihixo narohoo ngumu tena alikuwa akiwapa kilaakipata
Abdallah umesema kweli they are no friends in this world mimi pia nilikuwa na rafiki ambaye alikuwa hana kazi wala bazi ni Kawa na msaidia Kwa kila kitu food,pocket money, lakini akafanikiwa akapata kazi mzuri siku moja nikamwambia nitumie 10k akanitumia na akaniambia nimrudishie na yangu amekula Sana kama angekuwa mzuri angeniachia and she would have told me you,ve been there for now am here for you lakini hakumbuki kule alikotoka Sai Corona imekomesha no job she's jobless so what goes around comes around.
@@devothadavid6995 Mbona sijakujibu vibaya ulivyoniambia nami nikawaza huyu shabiki yangu ameona shida ninayopata nami nikaona nikuombe ninunulie wewe kama shabiki yangu na mpenzi wa kazi zangu,kwahiyo kukuomba msaada wa mic ni kukutukana?
Subhannallah huyo Lamek hakuwa na roho nzuri kabisa why atoe ushauri halafu ageuke daaah binaadam mtihani sana
Aki nimeskia vibaya mbona watu wawe na roho mbaya hivyo
Rafik yako wa karibu ndio aduwi yako . Na katika maisha bora usiwe na rafik uwe na watu wa kusalimiana nao to na kuzungumza usiwe na rafik wa kugandana .
Ni kweli kabisa
Kweli kabisa u rafiki Wa kugandana gandana sio nzuri
Kbs watu wanaroho mbaya
Tunajifunza mengi kupitia mikasa unayotuletea shukran sana kaka Davistar kijana mkini
And l agree with someone saying we don't trust friends cause once they no something about you they will use it against you Umesema Kweli l don't have friends at all am own my own.
Aki inahuzunisha sana mbona mtoe mtu uhai wakati yy ni mtu mzuri na kila apatacho mna gaanya isitoshe wazo la kujenga kwao nyinyi ndio mlimpa maskini hakujua ni mtego😰😰😰 tamaa sio nzuri aki
inasikitisha
Noma sana Aki huyu, jamaa ni hb ama ni macho yangu 😄😄😄
He is handsome
@@salmaluhombero8466 ni mcute tu sana 😄😄😄
Hilo pepo inabidi litoke
Ndugu zangu kumbukeni kuwa pesa za dhuluma hazina faida!.
Hey Davista, Thanks for reducing the musical sound now l can hear loud and clear keep it up with your job 💪👍👏 l love the show and learn from it us well...Pole Kwa wale waliopatikana from Kenya.
NYC job davistaa u deserve a ward good job...najifunza mengi
Davi usikate tamaa tunaelimika sana
Kila nikijitahiidi nijaribu Kuwa wa 1 wapi 😂😂 hongera Mr Facts Kwa Kazi zako namini watz tunaendelea kukufatilia kila sehemu 💯❤️
Mmh! Hapa itakuwa katuchanjia
Simulizi ipo vizuri.
Davistar kijan wako hap mtu mwenye utu wang respect 👊
Huyu ndo Rajabu yule yule wa kufundishwa na majini?
Mbona kama anaturocha😁
%100 MTU MAKINI MR FACTS VERY TRUE NEWS
Davis naipenda kazi yako lakini nakuomba storia moja uwekee links after first story ndio iwee rahisi kwet u kuifuatilia mpaka mwisho.
Part1
Part 2
Part 3 link iyampantane
Mambo vipi Bro,hongera kwa kazi nzuri unayoifanya.tunafurahia sana.Ila jambo moja tu,ungetafuta microphone nyingine ziwe mbili kuliko kutumia hio hio moja
Good job keep going always ur number1fan😍😘
Dah nimejifunza kitu usimuamini mtu yoyote yule omg
Tamaa ni mbaya sana
Noma Sana
Aminia mtu makini ,keep it up ,gob bless you .hope utakuja na Zanzibar pia
Hivi Davista hawa wanaongea kuuwa watu
Na unaona sawa kweli. Kwanini hawakamatwi na kufungwa mimi nasikitika kusikiliza story kama hizi maana naona wanafanya ubaya waziwazi na wanaendelea na maisha dha
Kwel kabisa
I'm the first one as usual💯
Dav mm nipo nje nastor nimekupenda
Mfuate akuoe
Aki zile vitu nimejifunza na hii youtube haswa kuhusu marafiki🤭
Nice thanks alot bro for the story
Safi djevado mtamboni
Pt 2 wp
Bonge la story . Nasubiri part 2
Davistar kwa hii kazi yako utakuwa unasafiri mikoa mingi sana hadi raha .
Happy miss
@@butondodavid2105 Hello
@@happyoshea hupitwi
@@butondodavid2105 Sipitwi hata siku moja 😀
Hahaaaa
Duh!!
Keep it up kaka kaz nzur tuna pata elimu kwel
Hahaha nimecheka Sana Kuna mtu anauliza et devid Hawa watu wanamlipa wakati wewe ukiangaria tu sekunde mmoja pesa yake yy anaikuta kitendo Cha kusikiliza story tu ww. Na mm tayar anaingiza her mwenzio ndio maan anatafuta story nzito iliwatu msikilize hera ziingie hahahah
Kumbe hata na mm nilikuwa sijui 😂😂😂
Watu awajui tunavo sikiliza d anaingiza mtonyo awajui kabsa
Hongera kwa kazi nzuri kaka davistar
Daah rajabuuu
First
Dooh hatar sana dunia hii napenda rafidh yao waarusha
Daa wajina pole sana
Lisonge sir Davita
Nic story
Top 10
👂🏻 🧕
Daaa mtihani aisee
Shkuran Kwa ximulizi nzur
HYu jamaa ni muongo, haiwezekani kumeza dini kubwa hvyo tena la thamani tanzanite,usidanganye mm ni mfanyabshara wa tanzanite niko mereran mwongo hyo!
Tuko pamoja sana bro
kwan akuna mikasa Kenya
Sasa mbona ameonesha sura yake
Unajitahid mr facts kulike comments zetu
Yani mnamtoa rohoo mwezenu kwasababu yapesa yenu kwann msifanye bidii mkatafuta zenu milion tuu zakitazania niliona pesa kweli zambihixo narohoo ngumu tena alikuwa akiwapa kilaakipata
Taama mbaya sana
Pesa nishidah
Part 2 ipo wapi
Millioni hamsini duh
Wakwa
Duu jiwe la milioni 50 lilimezwa🤔🤔🤔
😅😅😅😅😅
Hyu si bilioner laiza 😂😂😂
Party 2 Dav
Lete 2 kabla hatuja poaa
Dm nasubiri muendelezo kwa hamu sana
Nice again
Nauliza davister watu hao wakutisha kutowa uhai watu unawatowa wapi
Adi mimi nashangaa
Abdallah umesema kweli they are no friends in this world mimi pia nilikuwa na rafiki ambaye alikuwa hana kazi wala bazi ni Kawa na msaidia Kwa kila kitu food,pocket money, lakini akafanikiwa akapata kazi mzuri siku moja nikamwambia nitumie 10k akanitumia na akaniambia nimrudishie na yangu amekula Sana kama angekuwa mzuri angeniachia and she would have told me you,ve been there for now am here for you lakini hakumbuki kule alikotoka Sai Corona imekomesha no job she's jobless so what goes around comes around.
Ndo maana sinaga marafiki mimi
Leo we 17 imenibid kukoment kabla ya kusikiliza😅😅😅
😂😂😂😁😁😁🙌🙌🙌🙌
Tuko sawa mm huja kuitikia register den kuwatch badae😂😂😂😂
Mtu makini katika ubora wako tuwelimishe kaka
😢😲😨😤
Hiki kimlio kinaboaaaaa.. usikiweke😡
Hicho kimlio ndio kinaleta aptait sasa Kama hujui😃
Bunduki TV kwangu hapana kama hujui😂
@@nattiemargie5663 😃😃😃
Mmhsasanawazaga HIV hukukwenyemedia c watamkamata kwahilo kosa
wee nae davista nunua mike nyingine kila mtu awe na yake huchoki mkono?
Ninunulie
Davistar Mata Media ni ushauri tu naona km unachoka mkono hayo sio majibu kwa wateja wako kwan baya lipi hapo?
@@devothadavid6995 Mbona sijakujibu vibaya ulivyoniambia nami nikawaza huyu shabiki yangu ameona shida ninayopata nami nikaona nikuombe ninunulie wewe kama shabiki yangu na mpenzi wa kazi zangu,kwahiyo kukuomba msaada wa mic ni kukutukana?
@@DavistarMataMediaDM I will buy 4 you 😄
@@DavistarMataMediaDM 😂😂😂nimecheka
Kweli kikulacho kinguoni mwako
pap !!
Nimechelewaa
Hiyo kazi ni ngumu sana nimewahi kuifanya nikiwa na miaka 15...
C nwanamke wewe umeifanyaje
@@butondodavid2105 hahahahahaha ulijuwa wanafanya wanaume tu??
@@esterelias8189 itabid nawewe utoe mkasa wako
@@butondodavid2105 hahahahahaha nani atanifikia huku..nina mikasa mingi mno
@@esterelias8189 huko unaish milele wewe lete mkasa au tuma no
Mtu makini penda wewe
Good job keep going always ur number1fan😍😘
Noma Sana