Wamemdhulumu mwenzao Dah Yaani hakuna kitu kibaya kama tamaa Bora Baada Ya kuuzwa mzigo wangegawa pale pale kila mtu chake ila tamaa kubwa ni Ya Lamek alikua na lake moyoni hakika damu Yake itawazuru Mungu atulinde na Mtihani Ya dunia amen 🙏 binadamu wamekuwa wanyama wakali zaid Ya wanyama Wenyewe
Roho Imeniuma sana jamni Binadamu Sis hatuna utu,unaish na wenzeo unajua mtu kumbe majitu mwitu,Fredy Kaka Angu Rest Easy Damu Yako Haitapotea hivyo hivyo roho yako nzuri ikakuua😫,usimuamin binadamu kikulacho Ki nguoni mwako.mpka Unajieleza Hiv hadharani kaka Angu Ni Hayo Mauwaji Mliyofanya Sijui Kwan Nin Mlifanya Hivyo Mungu Awasamehe ,Nimeumia Sana Fredy Punzika Kaka
D umekosea kumuosha Sula ni boala angeziba sura maana anasimlia jinai hapo anakesi yakujibu. Nitofati na wale wanaotuambia wametoa kafara watoto wao au mama zao. Hii lazma imuletee shida. Wakat hadi hapo anaonekana tayar anahukum ya damu Fred.
Pamoja na hukumuuwa ila umeshiriki kuua natamaa ya sheytwan mala yakwanza kapata pesa kawagaia hata hiyo pia angewagaia mtamkuta kwa allah siku yahukum
Yaan Lamek amenivuruga akil yangu jaman ni ukatil gani waliomfanyia mwenzao..yaan yule unaemwamin ndo anaekusalit uwiii roho imeniuma jaman maskin Fred wema wake umemponza dah
Muongo huyu jamaa 1.Huwezi meza jiwe la Tanzanite na lipite Kooni. 2.Kama mlijua mahali pesa mlipozika kwanini msinge mlewesha kisha muende mkaibe hio hela.
Mtu kalewa tena kaekewa dawa ya nini kumuua nyi mngesepa na hela jamaa alikua na Nyota angerudi mgodi apambane apate jiwe lingine.kuliko kupora maiti kwa kunyatia
Guest gani zakisenge senge hivyo ukiagiza chumba niwawili tuu nashangaa mliingia mpaka kwachumba guest AMA nyumba tuu zakawaidaa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭wallah mungu wanawaona Yaheri mngempa dawa zaidi ilimchukue hizo hela haki Mungu atawahukumu kwazamu hiyo pesa haitawasaidia kokote mwezenu mwamutoa rohoo kwamali yake jamani
Kwenye dakika za 11:54 mpaka 13:13 kuna wanyama wanapita nyuma alaf watuwawili wamevaa nguo nyeusi wanarudi....mgongoni mwa mtangazaji na muhojiwa....maajabu sura azionekaniki
Simngemuibia2 mana pesa mlikua mnajua zilipo,,,hayo mazingira yalitosha kabsa kupata hizo pesa bla hata kutoa roho ya bnadam mwenzenu,,Mwenyezi Mungu tusaidie hizi pesa sio kabisa japo tunazitafuta😥
Fred 😭😭😭😭😭😭😭😭😭sikujui ilaimeniuma sana mtuu kukata mwezake nasime kisa jasho yake damu yamtu hailali ikosiku tuu hatawewe utakufahivyo hivyo 😭 nawewe ulikuwa namoyo kweli kama nimm ningeenda kureport police kabisaa ama kusema kwamama fred
Kwa dunia ya sasa better mind your own business...yawatu waachie wenyewe watajua jnsi yakumalza maana binadamu sasahv wamechafukwa roho hakuna iman tenaa trust no bdy
Mali za wizi uwa azidumu ata siku moja yaani kama hela ya freemanson tu ukiwa nawatumikia unakuwa nazo ukitoka kwenye chama tena una filisika, na utakuta hiyo hela akununua ata kibaskeli na njia alizo zitumia azijuwi na zilivyo isha akujuwa kama zimeisha je na alizitumia je 🙄🙄🙄🙄🙄
Wewe ndio mbaya zaidi....wewe shetani mkubwa saaana....inabidi polisi akushike....ukamatwe wewe muuwaji....mchaga wewe....akili mbaya kama waganda na wa kenya.
Wamemdhulumu mwenzao Dah Yaani hakuna kitu kibaya kama tamaa Bora Baada Ya kuuzwa mzigo wangegawa pale pale kila mtu chake ila tamaa kubwa ni Ya Lamek alikua na lake moyoni hakika damu Yake itawazuru Mungu atulinde na Mtihani Ya dunia amen 🙏 binadamu wamekuwa wanyama wakali zaid Ya wanyama Wenyewe
Roho Imeniuma sana jamni Binadamu Sis hatuna utu,unaish na wenzeo unajua mtu kumbe majitu mwitu,Fredy Kaka Angu Rest Easy Damu Yako Haitapotea hivyo hivyo roho yako nzuri ikakuua😫,usimuamin binadamu kikulacho Ki nguoni mwako.mpka Unajieleza Hiv hadharani kaka Angu Ni Hayo Mauwaji Mliyofanya Sijui Kwan Nin Mlifanya Hivyo Mungu Awasamehe ,Nimeumia Sana Fredy Punzika Kaka
Hata Mimi imeniuma kweli
Duh!😯 Walio sema kikulacho kimo nguoni hawakukosea
Daviste!! Mungu akupe maisha marefu maana bila ww haya yote tusingeyajua, na vile vile tunajifunza mengi.
Maskini fred😢😢😢😢 kweli usimuamini kila mtu ,maana chumvi inafanana na sukari 😥😥😥Mungu amlaze mahali pema🙏🙏🙏
Amiin
Dunia hii bora ukutane na Simba anaweza akakusamehe...😭😭
D umekosea kumuosha Sula ni boala angeziba sura maana anasimlia jinai hapo anakesi yakujibu. Nitofati na wale wanaotuambia wametoa kafara watoto wao au mama zao. Hii lazma imuletee shida. Wakat hadi hapo anaonekana tayar anahukum ya damu Fred.
kwakweli usimuamini mtu katika hii dunia thanks Davistar tunajifunza mengi
Duh hatri
Daah inauma sna yani Fred aliwapa mtonyo mara yakwnza kama washikaji inauma sna ..wasinge muua.
Usimsingizie lameck lameck ungea mzur unge mnongoneza fred
Sahihi
Sasa mtu kashanyweshwa kashalala fofofo wamemuua wa nini si wangeenda geto tu wakachukua pesa wakapotea nazo... uhai wa mtu jaman haupatikani
Yaani ata mm mwenyewe nimewashangaa kazi ilishaisha wao ilikuwa ni kuchukuwa kibunda tu
Daaaah marafiki wengine mashetani kweli
Pamoja na hukumuuwa ila umeshiriki kuua natamaa ya sheytwan mala yakwanza kapata pesa kawagaia hata hiyo pia angewagaia mtamkuta kwa allah siku yahukum
Inauma sana jameni, binadamu kabisa si wakaminiwa kamwe. Simjuwe maskinj Fred, bali nafasi yake moyo wangu umeumia zaidi😭😭😭
Ndgu zake na FREDY kamateni hili jitu lipo linapatikana, hovyo sana hili Jambazi.
Kweli kbs
Ndomana nikamuomba davista asirudi kuhoji mambo kama haya anaweza waletea matatizo wahojiwa
Huyu pumbavu,kama mtu yupo guest na amezima kulikuwa na haja gani ya kumuua,wangeenda gheto kwao wachukue hela wasepe tu.
Duh pesa hatr htr sana
Umefanya makosa Sana my dear kumuonyesha sura... Maoni yangu tu 🙏
Kwel kbs uyu ni shaidi jmn
Urimusaliti rafiki yako unge mwambia fred umekosea sana daa R. I.P fred 😢😢😢😢😢
Unaona kikulacho ki nguoni mwako,na wema unaponza,jamani huyo Lameck ni binaadam kweli?unamuuwaje mtu asie hatia namna hii.mhh.
Davi huyu kama alikua haja shikwa ata shikwa kwa sababu hili kosa la mauwaji dah noma
Namm naona bora angeficha sura,sasa ndugu zake fred wataona hii clip hapatatosha,atafungwa coz ,ushahidi upo wa kitosha
Hichi kisa kinasisimua sana ni miongoni mwa kisa bora kabisa, kwa kweli tunajifunza mengi, hongera kwa ubunifu wako
Mmhh Aisseh Inauma sana kwa kweli daaa mtajibu nini mbele ya Allaah kisa pesa tu AISSEH
Dah ukisema wewe unadhambi kumbe kunawenzio kesho kwa mungu watakuwa kuni khaa yallab 🤲 🤲 tupe mwisho mwema
Rafiki ni mkia wa fisi uki mshiriki ata kufirisi wallah kikulacho kimo kifuani mwako. 😭😭😭
Huyu jamaa kaamua kujitokeza tu huenda anamuona Fred kila wakati ukiota moto na mwizi na wewe ni mwizi
Damu ya mtu ni nzito san wataanza kujisema wenyewe
Yaani imeniuma sana kweli yesu alisalitiwa na watu wake
Daah aisee dunia hii... Fred roho yake ya huruma imemponza
Nakwambia ila nina imani Mungu alimpokea
fedha zahivooo ukizipata hauezi baki karibu na marafiki fedi angeliwatoka mapema fedha nying nikifoooo.
Kwakweli roho nzuri ikizidi Sana inaponza
Dah! Mumemuuwa vibaya sana
@Riziki Mwanyae.
Mungu yupi anaeingiza walevi peponi,Maana nna ndugu wengi walevi uniombee awaingize huko peponi.
Hebu soma hii kwanza.
1 Corinthians 6:9-10,
Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi.
Devi story ya leo imenifundisha
Mm nimeogopa aiseeee
Nimejifunza kitu davista....all in all trust nobady
Akili zng znaniambia kwann yule mwanamke acngecheza dili na Fred, akamshtuwa kma rfk zke wamemgeuka?? Naamin angepata zaid kwa fred kulko hio lak 8 aloahidiwa na hyo muuwaj lamek
Tatzo hata hyo dd pengne hakuambiwa kuwa ktachofuata ni mauaji,,yy alipw2 kazi ya kumpa hizo dawa za kulevya
Trust nobody IN THIS LIFE BRO.
Mimi ndio maana siamini mtu, imani inaponza ,Fredy utu wake umempelekea mauti
dahh maisha haya. M/mungu atunusuru na tamaa ya namna hii..
Ndio maana mm rafiki yangu ni mamangu tu mulaniwe nyote wawili 😏
Yaan Lamek amenivuruga akil yangu jaman ni ukatil gani waliomfanyia mwenzao..yaan yule unaemwamin ndo anaekusalit uwiii roho imeniuma jaman maskin Fred wema wake umemponza dah
Huyu msimulizi ni mpumbavu, angekataa amwambie Fred i, huyu pia ni muuaji, I hate him with passion lammech angemua pia
Subhana Allah
Askari njooni mmkamate huyu mbwa anakesi ya Jinai ni shetani jambazi mbwa mkubwa, ndgu wa FREDY fanyenj mchakato wa kulikamata hili jitu.
Huyu mbona kukamata ni rahisi tu
Muongo huyu jamaa
1.Huwezi meza jiwe la Tanzanite na lipite Kooni.
2.Kama mlijua mahali pesa mlipozika kwanini msinge mlewesha kisha muende mkaibe hio hela.
Kwenye kumeza jiwe na Mimi nimeshtuka
Davistar kijan wako hp mtu mwenye utu wang respect 👊
Dah na uyo Dada nae ana adhabu yake ameshiriki kwenye iyo ishu
Davista kichwa cha Habari na maelezo tofauti
MunguWanguuu😬😈 wemaGani Amewafanyiaaa mnaenda kumlipaUbayaaa 😭😭Jamanii mngemuachaaa maana tayarii mlikuwa mmeshamleweshaa duh Lameck MtuMbayaaaa 😥😥Kabisaa awakukosea waliosema Mchawii Nduguu Duh YAANI mwenzenu mmemfanya hivo Aya Mmepata niniMpaka today mkowapi 🙆🙆😭😭😭😭😭😫
Dahh hadi nimelia imeniumiza sana Mungu wewe
Duh aiseeeeeeeeeeeeee htr sana
davistaer hii yakuonyesha sura itakukost cku moja.....badilika mzee
Kwel kbs roho inaniuma mnooo ,mkaka mzuri ,dah
Duh...
Mtu kalewa tena kaekewa dawa ya nini kumuua nyi mngesepa na hela jamaa alikua na Nyota angerudi mgodi apambane apate jiwe lingine.kuliko kupora maiti kwa kunyatia
kweli Lamecky kiboko yao
Guest gani zakisenge senge hivyo ukiagiza chumba niwawili tuu nashangaa mliingia mpaka kwachumba guest AMA nyumba tuu zakawaidaa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭wallah mungu wanawaona
Yaheri mngempa dawa zaidi ilimchukue hizo hela haki Mungu atawahukumu kwazamu hiyo pesa haitawasaidia kokote mwezenu mwamutoa rohoo kwamali yake jamani
Ur best friend could be ur worst enemy all the way from±254
💯💯
Kweli kabisa.
Davista pls jitaidi sana kutokuwa unahoji baadhi ya matukio unaweza kuwaletea matatizo kwa serekali nawew hutowasaidia
Dah kwer pamoja sana another episode my favourite chanel
Part three please
Bora hata unge msitua mwenzio kuliko kuuwawa
Nakwambia angemchanua mapema maskini fred😢😢😢
@@hebronsdaughter1661 ndio alikua anaroho nzur hata hiyo pesa angewagaia tuuh ila mitama nasheytwan kisha waingia napesa sijui kama waliitumia
Davister,fichanga sura zao then mubadilishe voices zao wanaeza kuwa jailed na government
Duuuh mbona hatari....😭😭😭 Aangalie asije kamatwa jamani...🤔🤔🤔
Aki nimtetemeka na machozi nikifikiria alivyo fanyiwa fred😥😥😥😥
Uwiii...tenda wema nenda zako...wema hawadumu...Lameki weweeee...😭😭😭
@@hebronsdaughter1661 Acha kabisa yuuuu,...😭😭
@@hebronsdaughter1661 Acha kabisa yuuuu,...😭😭
@@beatricekweka6683 nakwambia aki Mungu tuepushe na marafiki kama lamek,ooh my God it's very painful 😭😭😭😭😭😭
Subhanallah......binadam km wanyama
Duh bora mngeziiba tu mkatokomea jamani kuliko kumuua duh mtubu mapema jamani Kuna siku ya hukumu iyo roho inawangoja mmemzurumu mwenzenu
police imkamate huyo radjabu ili wapelekwe mahkamani.
Kwenye dakika za 11:54 mpaka 13:13 kuna wanyama wanapita nyuma alaf watuwawili wamevaa nguo nyeusi wanarudi....mgongoni mwa mtangazaji na muhojiwa....maajabu sura azionekaniki
Rafiki wa kweli ni YESU PEKEE na siyo watu wa dunia hii,maana wa dunia wamesaidiwa na fred,lakini wamemgeuka na kumtoa roho,!
Leo nmewai....!!! Napata funzo
Pole kakaangu pamoja sanaa
Dah!
ni msibakwakweli.
Mwenye huruma hana bahati wahenga walisema maana hudhulumiwa all the time
Aitakuwi kumuamini mtu duniaii
Wah the story is so distabing wah never trust anybody 😢😢😢😢😢😢
Izo pesa zenyewe bado anazo poree sana kaka yangu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Tamaa mbaya sanaa.
Team kuchelewa nipo apa
Huyu nae kila kitu anamsingizia lamick wakati wote walikuwa kitu moja mana kama angelikuwa hataki yote hayo uwezo wakukataa nao
Duniani usimuamini mtuu kwakweri sisi binadam😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Simngemuibia2 mana pesa mlikua mnajua zilipo,,,hayo mazingira yalitosha kabsa kupata hizo pesa bla hata kutoa roho ya bnadam mwenzenu,,Mwenyezi Mungu tusaidie hizi pesa sio kabisa japo tunazitafuta😥
Bila shaka mwisho wa story na huyu jamaa anaye simulia atakuwa naye kazungukwa na kudhulumiwa vizur tu na huyo lameck,,,tamaa huwa Haina kikomo
Lamec ninom ulion waliv msumbua wakina yavuzi😅😅😅
Kweli mungu awalipe watu wenye huruma,kila siku mtu ukitenda mema unalipwa mabaya
Shetani hapendi watu wema kwaio anafnya juu chini kuwaangusha
Toba mungu atusitiri yaarabi tamaa MBAYA kesho utasema nini maana wewe umeshiri mungu akusamehe💔💔💔
😊story Nzuri
Siyo nzuri Ila Ina sikitisha
Davistar mata huyo jamaa hajafikiria mbali kachukua maazi mgufu Sanaa ila kabakiwa na majuto ni mjukuu🐝🍁
Yesu wangu!
Nafsi Ina msuta na Ina muhuma sanaaa🙄🙄lakini mungu ashakusamehe🙏🙏 kwa kuogea ukweli
Leo nimechelewa jaman
Au macho yangu
Fred 😭😭😭😭😭😭😭😭😭sikujui ilaimeniuma sana mtuu kukata mwezake nasime kisa jasho yake damu yamtu hailali ikosiku tuu hatawewe utakufahivyo hivyo 😭 nawewe ulikuwa namoyo kweli kama nimm ningeenda kureport police kabisaa ama kusema kwamama fred
Waah mnashinda youtube😁😁
Duh ! Heheh nomaaa
Kwa dunia ya sasa better mind your own business...yawatu waachie wenyewe watajua jnsi yakumalza maana binadamu sasahv wamechafukwa roho hakuna iman tenaa trust no bdy
😭😭😭😭 sina La kusema ila nimejifunza kitu hapo 😭😭😭
😪😪😪tamaa mbaya 😭😭😭😭😭
Number one
Mali za wizi uwa azidumu ata siku moja yaani kama hela ya freemanson tu ukiwa nawatumikia unakuwa nazo ukitoka kwenye chama tena una filisika, na utakuta hiyo hela akununua ata kibaskeli na njia alizo zitumia azijuwi na zilivyo isha akujuwa kama zimeisha je na alizitumia je 🙄🙄🙄🙄🙄
Wewe ndio mbaya zaidi....wewe shetani mkubwa saaana....inabidi polisi akushike....ukamatwe wewe muuwaji....mchaga wewe....akili mbaya kama waganda na wa kenya.
Mjinga wwe,usitukane majirani kwani walikubaka?
Mbwa Sana ww ama uyo mganga wA Kenya hakukutimizia mambo yako
Huyu jamaa kama vile aliathirika kiaina, manake venye anasimilia aisee
Kwa sababu ya kutoa roho ya mtu
@@likeothers2498 ndio hivo
MADHARA YA ADAM KULA TUNDA LA MTI WA UJUZI WA MEMA NA MABAYA
OK ,davistar. Good jobu.
bora uwe na urafik na jin kuliko wanaadam 🙇
Wewe ni mwogo bwana nawe umeshiriki kiasi kikubwa sana,kwa nn ucngemkatalia huyo lameck?m50 tu utoe uhai wa mtu
Hii ni kweli? Sasa si atakamatwa iwapo hawakupatikana wauwaji kipindi hicho
Hiii si kesi eti inaaisha apa uyo lamek ashikwe... Serikali na hii channel muwe fair kwa uyu jamaa ashikwe uyo lamek
Wamwisho 🙆♀️🙆♀️
Daaaah