PART2:MCHIMBA MADINI AELEZA JINSI ALIVYOMCHINJA MWENZAKE/NILIMKATA SHINGO/PANGA LILIJAA DAMU/MSIBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 212

  • @abdulhalimhumud1917
    @abdulhalimhumud1917 4 года назад +16

    Wamemdhulumu mwenzao Dah Yaani hakuna kitu kibaya kama tamaa Bora Baada Ya kuuzwa mzigo wangegawa pale pale kila mtu chake ila tamaa kubwa ni Ya Lamek alikua na lake moyoni hakika damu Yake itawazuru Mungu atulinde na Mtihani Ya dunia amen 🙏 binadamu wamekuwa wanyama wakali zaid Ya wanyama Wenyewe

  • @blankakecy2464
    @blankakecy2464 4 года назад +7

    Roho Imeniuma sana jamni Binadamu Sis hatuna utu,unaish na wenzeo unajua mtu kumbe majitu mwitu,Fredy Kaka Angu Rest Easy Damu Yako Haitapotea hivyo hivyo roho yako nzuri ikakuua😫,usimuamin binadamu kikulacho Ki nguoni mwako.mpka Unajieleza Hiv hadharani kaka Angu Ni Hayo Mauwaji Mliyofanya Sijui Kwan Nin Mlifanya Hivyo Mungu Awasamehe ,Nimeumia Sana Fredy Punzika Kaka

  • @njengamichael102
    @njengamichael102 4 года назад +10

    Duh!😯 Walio sema kikulacho kimo nguoni hawakukosea

  • @yasintasamson8198
    @yasintasamson8198 4 года назад +2

    Daviste!! Mungu akupe maisha marefu maana bila ww haya yote tusingeyajua, na vile vile tunajifunza mengi.

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 4 года назад +15

    Maskini fred😢😢😢😢 kweli usimuamini kila mtu ,maana chumvi inafanana na sukari 😥😥😥Mungu amlaze mahali pema🙏🙏🙏

  • @lubambeheneli133
    @lubambeheneli133 4 года назад +7

    D umekosea kumuosha Sula ni boala angeziba sura maana anasimlia jinai hapo anakesi yakujibu. Nitofati na wale wanaotuambia wametoa kafara watoto wao au mama zao. Hii lazma imuletee shida. Wakat hadi hapo anaonekana tayar anahukum ya damu Fred.

  • @eshialabonita7736
    @eshialabonita7736 4 года назад +4

    kwakweli usimuamini mtu katika hii dunia thanks Davistar tunajifunza mengi

  • @innocentpius8083
    @innocentpius8083 4 года назад +7

    Daah inauma sna yani Fred aliwapa mtonyo mara yakwnza kama washikaji inauma sna ..wasinge muua.

  • @mariamukingazi3668
    @mariamukingazi3668 4 года назад +5

    Usimsingizie lameck lameck ungea mzur unge mnongoneza fred

  • @esthermgonja4475
    @esthermgonja4475 4 года назад +23

    Sasa mtu kashanyweshwa kashalala fofofo wamemuua wa nini si wangeenda geto tu wakachukua pesa wakapotea nazo... uhai wa mtu jaman haupatikani

    • @robertndebate5462
      @robertndebate5462 3 года назад

      Yaani ata mm mwenyewe nimewashangaa kazi ilishaisha wao ilikuwa ni kuchukuwa kibunda tu

  • @mrboma4343
    @mrboma4343 4 года назад +2

    Daaaah marafiki wengine mashetani kweli

  • @kalssambaboo9705
    @kalssambaboo9705 4 года назад +10

    Pamoja na hukumuuwa ila umeshiriki kuua natamaa ya sheytwan mala yakwanza kapata pesa kawagaia hata hiyo pia angewagaia mtamkuta kwa allah siku yahukum

  • @matthieulugerero9355
    @matthieulugerero9355 Год назад +1

    Inauma sana jameni, binadamu kabisa si wakaminiwa kamwe. Simjuwe maskinj Fred, bali nafasi yake moyo wangu umeumia zaidi😭😭😭

  • @jonathanntare4787
    @jonathanntare4787 4 года назад +4

    Ndgu zake na FREDY kamateni hili jitu lipo linapatikana, hovyo sana hili Jambazi.

    • @sophiangowi2134
      @sophiangowi2134 4 года назад +1

      Kweli kbs

    • @kadijajggf9367
      @kadijajggf9367 4 года назад +1

      Ndomana nikamuomba davista asirudi kuhoji mambo kama haya anaweza waletea matatizo wahojiwa

  • @abn8331
    @abn8331 4 года назад +6

    Huyu pumbavu,kama mtu yupo guest na amezima kulikuwa na haja gani ya kumuua,wangeenda gheto kwao wachukue hela wasepe tu.

  • @iranangole7007
    @iranangole7007 4 года назад +2

    Duh pesa hatr htr sana

  • @somoeawadh7774
    @somoeawadh7774 4 года назад +5

    Umefanya makosa Sana my dear kumuonyesha sura... Maoni yangu tu 🙏

  • @veeinn7965
    @veeinn7965 4 года назад +1

    Urimusaliti rafiki yako unge mwambia fred umekosea sana daa R. I.P fred 😢😢😢😢😢

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 4 года назад +8

    Unaona kikulacho ki nguoni mwako,na wema unaponza,jamani huyo Lameck ni binaadam kweli?unamuuwaje mtu asie hatia namna hii.mhh.

  • @jasminegabriel4247
    @jasminegabriel4247 4 года назад +6

    Davi huyu kama alikua haja shikwa ata shikwa kwa sababu hili kosa la mauwaji dah noma

    • @witneyjerry1293
      @witneyjerry1293 4 года назад +3

      Namm naona bora angeficha sura,sasa ndugu zake fred wataona hii clip hapatatosha,atafungwa coz ,ushahidi upo wa kitosha

    • @aminamour5662
      @aminamour5662 4 года назад

      Hichi kisa kinasisimua sana ni miongoni mwa kisa bora kabisa, kwa kweli tunajifunza mengi, hongera kwa ubunifu wako

  • @africandarling6925
    @africandarling6925 4 года назад +2

    Mmhh Aisseh Inauma sana kwa kweli daaa mtajibu nini mbele ya Allaah kisa pesa tu AISSEH

  • @ramlabaruani4202
    @ramlabaruani4202 4 года назад +1

    Dah ukisema wewe unadhambi kumbe kunawenzio kesho kwa mungu watakuwa kuni khaa yallab 🤲 🤲 tupe mwisho mwema

  • @Amina-bq2xe
    @Amina-bq2xe 4 года назад +1

    Rafiki ni mkia wa fisi uki mshiriki ata kufirisi wallah kikulacho kimo kifuani mwako. 😭😭😭

  • @venahsithole6463
    @venahsithole6463 4 года назад +2

    Huyu jamaa kaamua kujitokeza tu huenda anamuona Fred kila wakati ukiota moto na mwizi na wewe ni mwizi

    • @mosesjohnswilla9926
      @mosesjohnswilla9926 5 месяцев назад +1

      Damu ya mtu ni nzito san wataanza kujisema wenyewe

  • @goodgood9370
    @goodgood9370 4 года назад +1

    Yaani imeniuma sana kweli yesu alisalitiwa na watu wake

  • @aminabhitalio8143
    @aminabhitalio8143 4 года назад +19

    Daah aisee dunia hii... Fred roho yake ya huruma imemponza

    • @hebronsdaughter1661
      @hebronsdaughter1661 4 года назад +1

      Nakwambia ila nina imani Mungu alimpokea

    • @ibrahimrukundo3064
      @ibrahimrukundo3064 4 года назад +1

      fedha zahivooo ukizipata hauezi baki karibu na marafiki fedi angeliwatoka mapema fedha nying nikifoooo.

    • @OmanOman-ik9sp
      @OmanOman-ik9sp 4 года назад +1

      Kwakweli roho nzuri ikizidi Sana inaponza

    • @sitiabubakar2892
      @sitiabubakar2892 4 года назад

      Dah! Mumemuuwa vibaya sana

    • @MteuleMabuku
      @MteuleMabuku 4 года назад

      @Riziki Mwanyae.
      Mungu yupi anaeingiza walevi peponi,Maana nna ndugu wengi walevi uniombee awaingize huko peponi.
      Hebu soma hii kwanza.
      1 Corinthians 6:9-10,
      Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
      wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi.

  • @likeothers2498
    @likeothers2498 4 года назад +3

    Devi story ya leo imenifundisha

  • @ghazalmoha9451
    @ghazalmoha9451 4 года назад +1

    Nimejifunza kitu davista....all in all trust nobady

  • @alimohamedalhinduwaan6742
    @alimohamedalhinduwaan6742 4 года назад +5

    Akili zng znaniambia kwann yule mwanamke acngecheza dili na Fred, akamshtuwa kma rfk zke wamemgeuka?? Naamin angepata zaid kwa fred kulko hio lak 8 aloahidiwa na hyo muuwaj lamek

    • @vaghoghontweki9827
      @vaghoghontweki9827 4 года назад +2

      Tatzo hata hyo dd pengne hakuambiwa kuwa ktachofuata ni mauaji,,yy alipw2 kazi ya kumpa hizo dawa za kulevya

  • @shukridjibril6848
    @shukridjibril6848 4 года назад +12

    Trust nobody IN THIS LIFE BRO.

  • @zoey2635
    @zoey2635 4 года назад +5

    Mimi ndio maana siamini mtu, imani inaponza ,Fredy utu wake umempelekea mauti

  • @sleymohamed3825
    @sleymohamed3825 4 года назад +1

    dahh maisha haya. M/mungu atunusuru na tamaa ya namna hii..

  • @somoeawadh7774
    @somoeawadh7774 4 года назад +3

    Ndio maana mm rafiki yangu ni mamangu tu mulaniwe nyote wawili 😏

  • @aishabeka5562
    @aishabeka5562 4 года назад +4

    Yaan Lamek amenivuruga akil yangu jaman ni ukatil gani waliomfanyia mwenzao..yaan yule unaemwamin ndo anaekusalit uwiii roho imeniuma jaman maskin Fred wema wake umemponza dah

    • @khadijanasimiyu2480
      @khadijanasimiyu2480 4 года назад

      Huyu msimulizi ni mpumbavu, angekataa amwambie Fred i, huyu pia ni muuaji, I hate him with passion lammech angemua pia

  • @hshsh3302
    @hshsh3302 4 года назад +1

    Subhana Allah

  • @jonathanntare4787
    @jonathanntare4787 4 года назад +2

    Askari njooni mmkamate huyu mbwa anakesi ya Jinai ni shetani jambazi mbwa mkubwa, ndgu wa FREDY fanyenj mchakato wa kulikamata hili jitu.

  • @beckooh
    @beckooh 3 года назад +1

    Muongo huyu jamaa
    1.Huwezi meza jiwe la Tanzanite na lipite Kooni.
    2.Kama mlijua mahali pesa mlipozika kwanini msinge mlewesha kisha muende mkaibe hio hela.

  • @salumbunga240
    @salumbunga240 4 года назад +1

    Davistar kijan wako hp mtu mwenye utu wang respect 👊

  • @deelissa2746
    @deelissa2746 4 года назад +1

    Dah na uyo Dada nae ana adhabu yake ameshiriki kwenye iyo ishu

  • @kadijajggf9367
    @kadijajggf9367 4 года назад +1

    Davista kichwa cha Habari na maelezo tofauti

  • @babymansouth1164
    @babymansouth1164 4 года назад

    MunguWanguuu😬😈 wemaGani Amewafanyiaaa mnaenda kumlipaUbayaaa 😭😭Jamanii mngemuachaaa maana tayarii mlikuwa mmeshamleweshaa duh Lameck MtuMbayaaaa 😥😥Kabisaa awakukosea waliosema Mchawii Nduguu Duh YAANI mwenzenu mmemfanya hivo Aya Mmepata niniMpaka today mkowapi 🙆🙆😭😭😭😭😭😫

  • @ashuraabdulmaalik5319
    @ashuraabdulmaalik5319 3 года назад +1

    Dahh hadi nimelia imeniumiza sana Mungu wewe

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 4 года назад +2

    Duh aiseeeeeeeeeeeeee htr sana

  • @lijadeogratius7229
    @lijadeogratius7229 4 года назад +3

    davistaer hii yakuonyesha sura itakukost cku moja.....badilika mzee

    • @sophiangowi2134
      @sophiangowi2134 4 года назад

      Kwel kbs roho inaniuma mnooo ,mkaka mzuri ,dah

  • @sumamelody6197
    @sumamelody6197 4 года назад +2

    Duh...

  • @straightkonect1613
    @straightkonect1613 3 года назад +1

    Mtu kalewa tena kaekewa dawa ya nini kumuua nyi mngesepa na hela jamaa alikua na Nyota angerudi mgodi apambane apate jiwe lingine.kuliko kupora maiti kwa kunyatia

  • @AbdulAbdul-pr9qe
    @AbdulAbdul-pr9qe 4 года назад +3

    kweli Lamecky kiboko yao

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 4 года назад

    Guest gani zakisenge senge hivyo ukiagiza chumba niwawili tuu nashangaa mliingia mpaka kwachumba guest AMA nyumba tuu zakawaidaa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭wallah mungu wanawaona
    Yaheri mngempa dawa zaidi ilimchukue hizo hela haki Mungu atawahukumu kwazamu hiyo pesa haitawasaidia kokote mwezenu mwamutoa rohoo kwamali yake jamani

  • @luqmanmohamed9198
    @luqmanmohamed9198 4 года назад +12

    Ur best friend could be ur worst enemy all the way from±254

  • @kadijajggf9367
    @kadijajggf9367 4 года назад

    Davista pls jitaidi sana kutokuwa unahoji baadhi ya matukio unaweza kuwaletea matatizo kwa serekali nawew hutowasaidia

  • @jamilaally3172
    @jamilaally3172 4 года назад +1

    Dah kwer pamoja sana another episode my favourite chanel

  • @farhiyahafidh9072
    @farhiyahafidh9072 4 года назад +1

    Part three please

  • @kalssambaboo9705
    @kalssambaboo9705 4 года назад +6

    Bora hata unge msitua mwenzio kuliko kuuwawa

    • @hebronsdaughter1661
      @hebronsdaughter1661 4 года назад

      Nakwambia angemchanua mapema maskini fred😢😢😢

    • @kalssambaboo9705
      @kalssambaboo9705 4 года назад

      @@hebronsdaughter1661 ndio alikua anaroho nzur hata hiyo pesa angewagaia tuuh ila mitama nasheytwan kisha waingia napesa sijui kama waliitumia

  • @craighoods2107
    @craighoods2107 4 года назад

    Davister,fichanga sura zao then mubadilishe voices zao wanaeza kuwa jailed na government

  • @beatricekweka6683
    @beatricekweka6683 4 года назад +4

    Duuuh mbona hatari....😭😭😭 Aangalie asije kamatwa jamani...🤔🤔🤔

    • @hebronsdaughter1661
      @hebronsdaughter1661 4 года назад +1

      Aki nimtetemeka na machozi nikifikiria alivyo fanyiwa fred😥😥😥😥

    • @beatricekweka6683
      @beatricekweka6683 4 года назад +1

      Uwiii...tenda wema nenda zako...wema hawadumu...Lameki weweeee...😭😭😭

    • @beatricekweka6683
      @beatricekweka6683 4 года назад

      @@hebronsdaughter1661 Acha kabisa yuuuu,...😭😭

    • @beatricekweka6683
      @beatricekweka6683 4 года назад

      @@hebronsdaughter1661 Acha kabisa yuuuu,...😭😭

    • @hebronsdaughter1661
      @hebronsdaughter1661 4 года назад +1

      @@beatricekweka6683 nakwambia aki Mungu tuepushe na marafiki kama lamek,ooh my God it's very painful 😭😭😭😭😭😭

  • @munnawwary757
    @munnawwary757 4 года назад +1

    Subhanallah......binadam km wanyama

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 4 года назад

    Duh bora mngeziiba tu mkatokomea jamani kuliko kumuua duh mtubu mapema jamani Kuna siku ya hukumu iyo roho inawangoja mmemzurumu mwenzenu

  • @ibrahimrukundo3064
    @ibrahimrukundo3064 4 года назад +3

    police imkamate huyo radjabu ili wapelekwe mahkamani.

  • @ioaniskapodistirio6057
    @ioaniskapodistirio6057 4 года назад

    Kwenye dakika za 11:54 mpaka 13:13 kuna wanyama wanapita nyuma alaf watuwawili wamevaa nguo nyeusi wanarudi....mgongoni mwa mtangazaji na muhojiwa....maajabu sura azionekaniki

  • @witneyjerry1293
    @witneyjerry1293 4 года назад +2

    Rafiki wa kweli ni YESU PEKEE na siyo watu wa dunia hii,maana wa dunia wamesaidiwa na fred,lakini wamemgeuka na kumtoa roho,!

  • @Sarah-hl9lr
    @Sarah-hl9lr 4 года назад +3

    Leo nmewai....!!! Napata funzo

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 4 года назад +1

    Pole kakaangu pamoja sanaa

  • @mwananassor1415
    @mwananassor1415 4 года назад +2

    Dah!
    ni msibakwakweli.

  • @shainnakamoto5310
    @shainnakamoto5310 4 года назад

    Mwenye huruma hana bahati wahenga walisema maana hudhulumiwa all the time

  • @dotosalim5090
    @dotosalim5090 4 года назад +3

    Aitakuwi kumuamini mtu duniaii

  • @naomiakoth2958
    @naomiakoth2958 4 года назад +1

    Wah the story is so distabing wah never trust anybody 😢😢😢😢😢😢

  • @samiaarimkonekonko5096
    @samiaarimkonekonko5096 3 года назад

    Izo pesa zenyewe bado anazo poree sana kaka yangu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @mwidadiabdalla3564
    @mwidadiabdalla3564 4 года назад +1

    Tamaa mbaya sanaa.

  • @eshalibaba1195
    @eshalibaba1195 4 года назад +3

    Team kuchelewa nipo apa

  • @zabiyafahmikhamis4873
    @zabiyafahmikhamis4873 4 года назад

    Huyu nae kila kitu anamsingizia lamick wakati wote walikuwa kitu moja mana kama angelikuwa hataki yote hayo uwezo wakukataa nao

  • @samiaarimkonekonko5096
    @samiaarimkonekonko5096 3 года назад

    Duniani usimuamini mtuu kwakweri sisi binadam😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @vaghoghontweki9827
    @vaghoghontweki9827 4 года назад

    Simngemuibia2 mana pesa mlikua mnajua zilipo,,,hayo mazingira yalitosha kabsa kupata hizo pesa bla hata kutoa roho ya bnadam mwenzenu,,Mwenyezi Mungu tusaidie hizi pesa sio kabisa japo tunazitafuta😥

  • @kokayusuph5954
    @kokayusuph5954 4 года назад

    Bila shaka mwisho wa story na huyu jamaa anaye simulia atakuwa naye kazungukwa na kudhulumiwa vizur tu na huyo lameck,,,tamaa huwa Haina kikomo

  • @jumanneswalehe1118
    @jumanneswalehe1118 4 года назад

    Lamec ninom ulion waliv msumbua wakina yavuzi😅😅😅

  • @germainndayishimiye8684
    @germainndayishimiye8684 4 года назад +1

    Kweli mungu awalipe watu wenye huruma,kila siku mtu ukitenda mema unalipwa mabaya

    • @deusdeodavid5360
      @deusdeodavid5360 4 года назад

      Shetani hapendi watu wema kwaio anafnya juu chini kuwaangusha

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 4 года назад

    Toba mungu atusitiri yaarabi tamaa MBAYA kesho utasema nini maana wewe umeshiri mungu akusamehe💔💔💔

  • @LifeofSalmah
    @LifeofSalmah 4 года назад +2

    😊story Nzuri

  • @rashidjuma144
    @rashidjuma144 4 года назад

    Davistar mata huyo jamaa hajafikiria mbali kachukua maazi mgufu Sanaa ila kabakiwa na majuto ni mjukuu🐝🍁

  • @emmanelly6864
    @emmanelly6864 4 года назад +1

    Yesu wangu!

  • @mishidede5473
    @mishidede5473 4 года назад

    Nafsi Ina msuta na Ina muhuma sanaaa🙄🙄lakini mungu ashakusamehe🙏🙏 kwa kuogea ukweli

  • @Wamikogo
    @Wamikogo 4 года назад +3

    Leo nimechelewa jaman

  • @martinandugai2340
    @martinandugai2340 4 года назад +2

    Au macho yangu

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 4 года назад

    Fred 😭😭😭😭😭😭😭😭😭sikujui ilaimeniuma sana mtuu kukata mwezake nasime kisa jasho yake damu yamtu hailali ikosiku tuu hatawewe utakufahivyo hivyo 😭 nawewe ulikuwa namoyo kweli kama nimm ningeenda kureport police kabisaa ama kusema kwamama fred

  • @titinmbega4128
    @titinmbega4128 4 года назад +1

    Waah mnashinda youtube😁😁

  • @ethanuk9437
    @ethanuk9437 4 года назад +1

    Duh ! Heheh nomaaa

  • @shanyabdul2386
    @shanyabdul2386 4 года назад +3

    Kwa dunia ya sasa better mind your own business...yawatu waachie wenyewe watajua jnsi yakumalza maana binadamu sasahv wamechafukwa roho hakuna iman tenaa trust no bdy

  • @mwesigwaannte1658
    @mwesigwaannte1658 4 года назад +1

    😭😭😭😭 sina La kusema ila nimejifunza kitu hapo 😭😭😭

  • @roseuwambe8089
    @roseuwambe8089 4 года назад +1

    😪😪😪tamaa mbaya 😭😭😭😭😭

  • @kiyanawilonge1664
    @kiyanawilonge1664 4 года назад +1

    Number one

  • @esterabonga7947
    @esterabonga7947 4 года назад

    Mali za wizi uwa azidumu ata siku moja yaani kama hela ya freemanson tu ukiwa nawatumikia unakuwa nazo ukitoka kwenye chama tena una filisika, na utakuta hiyo hela akununua ata kibaskeli na njia alizo zitumia azijuwi na zilivyo isha akujuwa kama zimeisha je na alizitumia je 🙄🙄🙄🙄🙄

  • @mwambakakudji6288
    @mwambakakudji6288 4 года назад +2

    Wewe ndio mbaya zaidi....wewe shetani mkubwa saaana....inabidi polisi akushike....ukamatwe wewe muuwaji....mchaga wewe....akili mbaya kama waganda na wa kenya.

    • @peterdaniel9050
      @peterdaniel9050 4 года назад +1

      Mjinga wwe,usitukane majirani kwani walikubaka?

    • @likeothers2498
      @likeothers2498 4 года назад

      Mbwa Sana ww ama uyo mganga wA Kenya hakukutimizia mambo yako

  • @farhadhassansaid1297
    @farhadhassansaid1297 4 года назад +2

    Huyu jamaa kama vile aliathirika kiaina, manake venye anasimilia aisee

  • @kelvinmchau8815
    @kelvinmchau8815 4 года назад

    MADHARA YA ADAM KULA TUNDA LA MTI WA UJUZI WA MEMA NA MABAYA

  • @omaniallybakari2372
    @omaniallybakari2372 4 года назад

    OK ,davistar. Good jobu.

  • @zuchukhan8751
    @zuchukhan8751 4 года назад

    bora uwe na urafik na jin kuliko wanaadam 🙇

  • @rosemarry2020
    @rosemarry2020 3 года назад

    Wewe ni mwogo bwana nawe umeshiriki kiasi kikubwa sana,kwa nn ucngemkatalia huyo lameck?m50 tu utoe uhai wa mtu

  • @deusdeodavid5360
    @deusdeodavid5360 4 года назад

    Hii ni kweli? Sasa si atakamatwa iwapo hawakupatikana wauwaji kipindi hicho

  • @rukiabari9431
    @rukiabari9431 4 года назад

    Hiii si kesi eti inaaisha apa uyo lamek ashikwe... Serikali na hii channel muwe fair kwa uyu jamaa ashikwe uyo lamek

  • @mwashumcubwa1928
    @mwashumcubwa1928 4 года назад +1

    Wamwisho 🙆‍♀️🙆‍♀️

  • @florachuwa301
    @florachuwa301 4 года назад +1

    Daaaah