Alikiba - On Fire (Lyrics Video) |REACTION
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Alikiba - On Fire (Lyrics Video)
• Alikiba - On Fire (Lyr...
Subscribe my new 2nd channel / swahilireaction
Support me on
Donate M-PESA : +255745121514
Donate PayPal: www.paypal.com....
👕 Thank you for making these reaction videos possible by supporting my clothing brand, JUST GO 🌎: van-isikaka.creator-spring.com
𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜!
🚩 Remember to subscribe and hit the bell "🔔" icon, so you don't miss out of the crazy vibes reaction.
Thank you for stopping by 😎 Welcome to #Vanisikaka🔥🔥 Swahili reactions , VanVlog and good series that happen weekly 🤘🏽🤘🏽
For branding/ sponsors or any artist that want me to react to their music email me at Vanisikaka@gmail.com 🤘🏽🤘🏽
#Vanisikaka #YouKnowWhaat #SwahiliReaction #Unyamwezi
Support me on
Donate PayPal: www.paypal.com...
Donate Gofundme: www.gofundme.c...
Join this channel to get access to perks:
/ @vanisikaka
Social media
Facebook: / van.isikaka
Instagram: www.instagram....
Tiktok: Vanisikaka
Copyright Disclaimer Under Section 107 of the copyright Act 1976, allowance is made for “fair use” for purposes such as criticism, commenting, news, reporting, teaching, scholarship, and research. Fair use is a use permitted by copyright statue that might otherwise be infringing. Non profit, educational or personal use tips the balance in favor of fair use* ALL RIGHTS BELONG TO THEIR RESPECTIVE OWNERS
Dah vany vibe limemzidi mpaka katukana eti kumam........aliemsikiya agonge like from Zanzibar vany alikiba is your favorite singer
Mama kiba asanti kwa kutuzalia legend 🎉🙏🍃❤️🌍🌍
Kiba ameimprove his English..he is like an Italian wine .. testing sweet as he gets old..king mmoja tu East and central Africa ✅🇰🇪🇰🇪
Yupo Msanii Mmoja Naye Anampenda Sana Alikiba Naye Uwa Anazipitia Sana Izi Sauti Za Kuvuta Na Uwa anazipatia Sana Ni Aslay
Mwenye Bongo fleva yake KING KIBA AKA ALIKIBA Kama unakubaliana na mm uko FIRE
Alikiba is simply amazing, such a talented guy
King 🤴 kiba ni mtu mnoma hata mseme nn huyu mtu yuko noma tunataka song moja asiimbe aseme yooo hadi ina end!!✌️🤣🤣🤣✅
😂😂😂😂,nabado tu ita Hit,tim kiba we are on fire,💥💥💥💥👑💯👍🇰🇪
Daima milele my king ❤❤❤❤ unanikosha moyo
King is dangerous musician of this country all the way from +255
Vanny anampenda sanaa kibaa😂😂😂😂😂😂😂
Ni hatari na nusu ilianza Utu & mahaba ft On Fire🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Alikibaaaaa🥰
King kiba you will stay to be king of bongo flavour dah full unyama 👍
You can tell this dude got too much love for King Kiba no cap‼️❤️
waaaoooh! alikiba mwamba hana mfano...on fire from 254
❤❤❤❤❤❤ king bakuache yako ulisha maliza king en forme ! ! !
Hii ndio nilikua nasubiria❤,alhamdulillah Siku yangu imekamilika vyema
alikiba es un gran artista aquí en tanzania, áfrica oriental y áfrica en general para aquellos que saben que su música es muy romántica, vayan y vean las maravillas del rey kiba
King Kiba mfalme wa wafalme big Up King 👑👑👑👑👑
The legend King Kiba spot on!
Nyimbo nzr san King Kiba tnakusikilz kwa sana 🇲🇿 Bom som gostei muito até
Atusemagi tena Sisi uku kwetu 🇨🇩🇨🇩 tunakukubali sana king wetu imba na fally tusikie butamu ya muziki
King Kama King mfalume antabaki kuwa mfalume pale pale🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Umefanya NI download hii Ngoma
Aki Ka NI marketing unaitendea haki wasanii wanafaa wakuangalie Kwa jicho la tatu🇰🇪🇰🇪🇰🇪
King 👑🔥👑🔥👑👑💯💖
Tim King 👑👑 kiba we are on the fire 😂😂,💥💥💥👑🏆umeuteka,🫀yangu,🥰🥰🥰🥰
The consistency of Alikiba is amazing 🔥🔥🔥
King Kiba..PURE Talent!!
Yaani ndio ana represent Bongo Flava!!
❤❤❤ réaction Yako ata uku DRC tunakubariya , kiba c'est mon artiste préféré
Yn hii unatakiwa unasikiliza uku unadance taratibu kabisa yani slow motionna mubebe furani ivi ❤❤❤❤
Na wenye wanaangalia Raection za Vanisakaa watafika Mbaliii huku 🇰🇪🇰🇪Malindi County Tunakufatilia broh big up
kilifi county
@@cally9848 Eeeh
Kumbe tuko wengi apa🔥🔥🔥
Alikiba e maestro brow
King never disappointed 🤴💥💥💥
Reaction of the year🤣🤣🤣💪💪💪
Mufalme kauwa ❤️🔥🔥🔥🔥🔥 king kiba
Kiba kama kiba
Van u have made me understand this song more than I thought kiba is really king forever,Yani sauti nyororoooo🔥🔥🔥👌👌👌
Kiba anaweza kbs one fire 🔥 it's fire tunakuomba nyimbo mpya ya big fizz ngangari new hit
😂😂Umetsha sana Vany,kabsa Kiba ni siraha tosha ya bongofleva, jamaa ndo identity ya bongomusic ,mwamba hyo🙌🔥
The only one King is on fire as usual!🔥🎶👑💖
Vani iyo vibe yako kwa hii reaction is on fire!🔥🎶💖
Yan siwezi kukaa bila kuskiza reaction zako hasa kwa nyimbo za KingsMusic✌🔥 Am on fire!😂💖
#OnFire#AliKiba#VaniSikaka
Van siku zote mimi hupenda sana reaction zako kwanza hapo kwa kings music daah! uwa unanipagawisha sana. Tena waambie wajue kua King Kiba sio msani. yeye ni mwanamziki bcoz he is so complet when it comes to good music en good vibes for all generations.
Hahahaha 🤣😂 van unatisha mbaya wew nawe so wabongo , hu wa Africa uwamajuu
Tunajivunia kuwa Tim kiba forever,👑🏆💥💥💥👍💯
Huyu 👑kiba ni bigtalent,,musician na Haboi kwenye bongo yake
Kabsa na ndo identity ya bongofleva TZ
@@adamhashimu4462 kabisa tupo haki kumpa maua1⚘💐yake
Sema mwanagu van unajuwa kuimba na ww
Omba collabo moja na kiba
🙌🙌🙌🙌💥💥on fire kingkiba 💥
Bro Leo hii Ngoma imenifanya nichelewe kuingia kzini asubuh nimeisikiliza zaidi ya lisaa limoja mpaka majirani wamekereka😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ngoma kaliiii
KING KIBA
Daah king kiba still on top🎉❤❤❤
I see you go crazy my boy van,,,, That is king on microphone🔥🔥🔥🔥
Wow ni 🔥🔥🔥 asante sana van king kiba 💪🙏
Another day, Another reaction 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Van angalia nyimbo za diamond kama anaweza kufanya ivyo hawezi sauti hana ama apige live show yake hawezi
Bango Nikubwa alafu Taa Zimewaka ....King👑 kama King 👑🔥🔥🔥
King 👑 kiba on fire 🔥🔥
The only king in africa kiba legend in bongo 21yrs bongo industry ❤❤❤❤❤❤❤
Girl she’s on fire 🔥 🔥🔥🔥🔥🔥
Unyamwezi umemjaa king Kiba ...Karibu Meru KenyA 👑.....
Mwamba unatisha sana,shavu linakuusu kinoma nomaa,mchambuaji wa kimataifa.. Imeisha hyoooooooooo
Huyu msenge anaimba bana tuache utani khaaaaaaaaa
Tunaomba reaction #2 yah huu wimbo,special verses ya 2......kau kbsa King 👑 kma kawa
Muziki una vitu vingi vya kuzingatia ila king kiba mkatili Yani kwenye sanaa akuachi salama 🔥🔥🔥🔥🔥 kaka we ni mwana sanaa Fanya ufungue chuo Cha music tz watu wajifunze 1❤
King 👑 kiba
Nyimbo kali sanaaaa❤❤❤❤
King 👑 is on fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Dah noma na nusu on fire
yeah baba🎉🎉🎉bado sijapata wakumfananisha nae🔩
Iyo ngoma ni fire 🔥🔥🔥🔥 kweri jamani
Ata mm hii nyimbo nimelia kwahzo njia mamaee😅😄nyimbo unalia kwa furaha dadeq
Hatar sana
Only one king❤❤
Unyama n mwingi snaaa king Kiba kauwa balaaa🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Huyu jamaa hufanya reaction za ngoma nyingi ila za Alikiba ndio anaweka bidii zaidi... Huyu team kings kabisa
Kumbe na wewe umeona eeh!!😂😂😂
Ata kama atakuwa king kiba fan wew inakuhusu nini jaman iko hivi tuelewane jambo moja kila mtu anajambo analo lipenda linalo mgusa mpk kumoyo kwhy jamaa akiwa fan wa king kiba tusi complicate
@@SwahiliAmbasador954 mimi pia ni team Kiba so nafurahi kuona wenzangu
Tim kiba forever 👑🏆💥💯👍,tunampeda Hadi moyo hauwezi kujizuiya,vanisike,👊, Big up bro tuko pamoja❤❤
Tim kiba forever 👑🏆💥,nahatunanga maringo tunapendana sote,, vanisike 👊 Big up bro ❤❤❤,sisi Tim kiba ndo tuko,upo Kama unaumwa kaka tunakukaribisha Tim kiba forever
🔥🔥🔥🔥 noma
King kwa upande wa music ndio GOT wetu
King of bong freva
1. Ngangari by Big Fizzo
2. Nyash by Kingorongoro Ft Big Fizzo
3. Kukadirisha by Easy Boy ft B-Face, Dj Philibity & Mo'w Kanzie
4. Shema by kidum
5. Ntivyakunze by Kirikou-Akili
6. Darling by Monia Fleur ft Mo'w kanzie
7. Legend remix by Lino G ft B-Face, Drama T, El Pro & Dj Philibity
The king of love 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nakukubali kizizi my brother
King noma sana jamaa anujuwa sana💪💥🔥🇲🇿
Fundi wa mziki mzuri huyu jamaa
Kiba boa música gosto muito de ti alikiba
Waooo boa trabalho big boss kiba💪
Unyama back to back 💯
Beat ✅
Melody ✅
Verses ✅
Tones ✅
Definition of talent 👏
Good Music from King kiba
Missed your reaction. Kiba on fire.
Nakubali sana mkali wa Melody huyo Alikiba but fanya reaction ya ngoma ya Harmonize zanziba
King hkuna zaidi yko ww n mtu mzima # 🔥🔥🔥
King kiba on 🔥🔥
Kaka hadi umetukana kingkiba sio poa 🔥🔥🔥
Nasemajee Van ww ni chawa wa mfalme😄🔥 unatixhaa sana blood
Sisi team kiba. Hatunaga papala na mfalme tunajua nini analeta Kwa fans wake
Hakuna kama kingi mungu azidi kutunza maana tutapata wapi laha kama hizi
Yaan King kiba kama ed shareen iv daah huyu mwamba noma sana
Fundiíiii alwayz ,,,kibaaa🔥🔥🔥🔥
izo njia anapita yeye mwenyewe tukama ile ya unconditional yeye na saut sol noma
🤴 👑 🤴 king kiba
Nikua nakusubilia kabisa juu ili ligoma nikali sasaaa yeeeeeebaba 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
King kiba 👑 ni M'falme kwili kwelii 🇰🇲🇰🇲
Na wakimsikiza alikiba watafka mbali pia 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂on fire 🔥 🔥 🔥 🔥
Van Isikaka pia ww hauboi nina kukubali nikupe maua💐⚘yako kaka
Hii ngoma ni 🔥 🔥 🔥
Maamaaaaaaa hiiiiiiiiiiiiii jamaa hataliiiiiiii sana♥️♥️♥️♥️♥️🩸🩸🩸💯💯🌹🌹🌹🔥🔥🔥🔥
King moto fire
Sempre rei é unico 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿