Alikiba feat Sabaha - Making of Yalaiti (Studio)
HTML-код
- Опубликовано: 18 дек 2023
- Music by Alikiba performing "YALAITI" featuring the living legend Sabah Salum with TAARAB vibes on the beat, the music genre that is loved and adored by people in the coastal area of Eastern part of africa, the song carries a message of love and affection.
Get it now (Yalaiti):ziiki.media/Yalaiti-Alikiba
Stream/Download:linktr.ee/Alikiba
Listen to Alikiba on Digital Streaming:
Audiomack: audiomack.com/alikiba
Apple Music: / alikiba
Boomplay: www.boomplay.com/share/artist...
RUclips: / alikibaofficial
Spotify: open.spotify.com/artist/2nGoK...
Connect with Alikiba on Social Media:
Instagram: / officialalikiba
Facebook: / officialalikiba
Twitter: / officialalikiba
Snapchat: / officialalikiba
TikTok: / officialalikiba
Connect with Sabah Salum on Social Media:
Instagram: / sabaha_salum
+For More Information Booking Alikiba:
Contact:emailalikiba@gmail.com
©2023 Kings Music Records.All Rights Reserved.
#Alikiba #SabahSalum #Yalaiti Видеоклипы
Ilove Alikiba 😢😢😢❤❤❤Am from Somalia 🇸🇴 😍 💖 ❤️ ilike his voice his style ❤❤Ilove him😢😢❤❤❤❤
Hiki ndo mashabiki wa King Kiba tunata tusikilize kabixa 🎉🎉❤
Kumbe sio kazi ndogo sema mama kwa heshima yako ❤❤❤😊
Mimi pia naimba. Huyu mama anaitwa nani? Sabah nani?
@@artisthusnatalal3099 sabah salum
Alikei for real yeeh Baba!!..more love from kenya 🇰🇪
Mama yupo asili mia tisa asili mia haimuwezi jamani hio biti kaimachinja effortlessly🙆🏾♂️🤌🏾🤭🙈
*Wa kwanza tena Mimi jaman gonga like kama unamkubali king 👑💖*
akupe kaz ya kusambazalink Sasa uachane na ujobless
King kiba mnawaka ....Mwenyezi Mungu awatangulie
Mach Allah ! Quelle belle voix Sabah Salum. ❤ de Paris.
Vocalist kapatana na vocalist ilkua lazima iwe kazi kubwa 🔥
Swabaha na alikiba.Gud music keep it up❤❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
MashaAllah 😊
I Appreciate Your Talent 🎉🎉🎉
Video
Masha Allah mother swabah Allah akuhifadhi nakubali gold voice bismillah 3leiky
Good music 🎶
King Kiba 🎉 Mungu akupe vibe km la leo 🙏🙏🙏🙏🙏🎶S.S.C ² -WAC ⁰ (Tar 19/Dec/2023)inshaallah Mola atujaalie mwisho mwema ♥️
Kibaa wewe mwamba kweli kweli nimefuraii sawa kwa kolabo na mama yetu mkongwee
aaaahh hii imenifanya nirudie tena kuskiliza wimbo ..aahh si kwa utamu huu mashaALLAH
King's best collaboration ever
Sauti nzuri bimkubwa Mungu akupe maisha zaidi
Daaa mama yangu sabaha umri umeenda ila sauti mashaallah❤
Mama tunakupenda sana ❤❤
Watching from USA 🇺🇸
Nice talent
Kama una asilimia mia kuhusu huu wimbo kufka mbal gonga like za kutosha❤❤❤❤
King kiba ♥️♥️♥️
Safi sana brother ngoma kaliii
King kiba🎉🎉🎉
Mocco genius 👏 🙌
😍😍
Daaaa hapa ndoo nimeona utam wa hii ngoma
Yebaba Pop It In King Kiba 4real
Ya motoooooo
❤❤❤
The king 👑 kiba
Sabah Sulum Mama wa taarab mwenye heshima.
Sabaha mashaAllah ana connect haraka sana... Ila mmengempa chance na yeye atoe maarifa yake ingekua pambe sana ..... Ila mli coordinate vizuri sana..... Producer kumbe pia alitamani muimbe duet kama nilivyo comment kwa Ile official audio
Nitapataje contacts za huyu mama? Please niambie
Maman congratulations ❤❤
Mama unajuwa sanaaa ❤❤❤
Yee baba!, good job
King 👑 kiba 🔥🔥👑
❤❤❤Oh nice
Mashallah.. so natural
This is How King Doing 😂😂😂
Kenya hapa tuko wengi Kiba kipenzi Cha watu
Duuuh naipenda 🎉🎉
❤🎉❤
❤❤❤❤ tokea Congo RDC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Unaelekea wapi?
Nice song bro
Niko darasani...mawimbi ya kupanda na kushuka na pa kurefusha
safi sana !
Bim mkubwa namkubali sana huyu sabaha salum
Love
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
King ni kiba
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Swabaha mashaAllah sauti kinanda
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Safi sana kina 001
jaman kanyimbo katam mmekafanya kafupi,em fanyeni kingne
King 👑 kiba 🥰
Apewe mauwa yake mamaa Sabah salum
Queen Sabbah is on 🔥 🔥 🔥 i salute🫡
Mfalme! 👑
Mashallh mamat
King ndio huyu ssa
❤❤❤❤
Mziki kazi kwrli kweliiii😅😅😅
😂😂😂
Ubalikiwe kaka ally
Anamfanana raisi samia
Hapana
Kwanza sabah ilibidi apewe kiti kukaa. Manake hawezi kusimama kwa muda ila naona memweka sana kusimama
❤❤
The chris brown of bongo
Mwamba mbna huu Mughanni wa mwanzo haukuwemo Dah Balaa kubwa hili
❤🎉
❤❤❤❤❤🎉
mmziki sio mchezo jamani
Hapa kazi tu mama noma sana😂
GEM!
🔥🔥🔥
😮😮😮😮
Mpeni kiti Bimkubwa akae kidogo 😂❤
Fire
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤
kweli kipaji akizeek
Great thing
Nkombe azeeki maini kama unamkubali mama sabah nipee likes zangu
😮😮😮😮😮
Mocco 🔥
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
❤❤❤❤❤❤
@alikiba huyo komando yoso 😂 yupo kimya kichiz
Hello mate
Bmkubwa anabalaa
R.m.s fashion
mama sabaha unyama mwingi
What?!😮
sabahi sslum ni fundi wa kughani
Aaaaaaaah ni hatar
bi sabaha umekweshiaa mlima mdogo kama huu unashindwa kupandisha pumzi ndogo wakati ulikuwa unapandisha zaidi ya hapo
Respect bruhv! Age does matters fanya yako tuskie juhudi yako....love from 🇰🇪 no hard feelings
Wangapi walimuona kiba akivuta sigara
shisha iyo