SAKATA LA USHOGA: RAIS SAMIA ACHIMBWA MKWARA?/ TUTAMTOA/ HATA BUNGENI WAPO!/ UBISHI WAIBUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #raissamia #kiswahilirahisi #ushoga

Комментарии • 128

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Год назад

    Mr. Onis Asante sana kwa hishima yako . Shoga..Mashoga. ni wanawake..tuu... Marafiki au Fafiki ni wakiume tu. Na Makhanithi ndio hao mnao wazungumza... sasa hivi kwa lugha ya Visiwani.

  • @manyerejacobkapongo9663
    @manyerejacobkapongo9663 Год назад +5

    Hongera Mwanasheria Dedani Kapongo kwa kuchambua sheria na Maadili. Tanzania tungeungana na Mseveni kwisha siyo kulemba

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Год назад +1

      Tumekua waoga mnoo , hatuko katika level za museveni kupinga mambo kwa dhati kwa sasa kila tunalofanya tunakua makini ili tusiwaudhi wazungu

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Год назад

      Ndo matatizo ya Afrika, kama wote tungeungana na Museven hao wazungu wasingefanya lolote . Tuungane ili wajue kama wote tuko serious na huu upuuzi

  • @cosmaslunyembeleka251
    @cosmaslunyembeleka251 Год назад +12

    Wakati wa Makonda walimpinga Sana na watu walivyokuwa wapuuzi walisema eti Ni hisia zake

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 Год назад +8

    Mungu Ni wa ajabu sana
    Makonda alipigwa Vita Sana hata kupoteza ukuu wake wa mkoa kwa sababu ya nguvu ya mashoga.Baada ya kuanzisha kampeni ya kupambana na mashoga akapigwa mikwara Sana Tena na wapinzani, Leo jipu tulilolificha limepasuka, je hatuoni sababu ya kumwomba RC Makonda msamaha, au mdogo haombwi msamaha hata akikosewa? Kwa sakata hili la kuwepo mashoga Tanzania bila shaka Mungu amemtetea Makonda.

    • @lauriankajugusi1776
      @lauriankajugusi1776 Год назад +2

      Mh.Makonda alikuwa kiongozi shujaa! Hatuoni haja ya kuirejesha tunu kwake angali hai? Kazi kwako kiongozi wetu mkuu.Naamini kamanda wa kuiongoza vita hii kiufanisi ni Makonda.

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya846 Год назад +7

    Ila huyu ndugu yangu alievaa Kitenge anajitambua sana tena sana kabisaa namuelewa sanaaa kabisaa

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson1577 Год назад +5

    Na amestukia kuwa utavikatakata vipande na kweli umevikata. Acheni ujinga Dar24
    This issue is very serious.

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 Год назад +4

    Tuwatake hao wanaotetea ushoga ( Marekani),watenge eneo(Jimbo/Mkoa)
    Mashoga na wasagaji wakaishi huko ,ili hasira ya Mungu iwashukie huko.

  • @sirgcomedian4499
    @sirgcomedian4499 Год назад

    Powerful, tuendelee kupiga vita usenge na usagaji.

  • @josefuriro299
    @josefuriro299 Год назад +4

    Anasema kweli Bante nampa asili mia mia 💯 ukweli usi fichwe

  • @josefuriro299
    @josefuriro299 Год назад +2

    that's fact

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn Год назад

    Comde Lumbert ni kwamba suala la maadili ni suala la tangu wahenga. Jamii yetu ilikuwa na utaratibu (instruments) za kuwajibisha yeyote aliyekwenda kinyume na maadili ya jamii hisika. Kwa kumbukumbu ya karibuni, serikali yetu ya awamu ya kwanza ilitekeleza wajibu wake kwa kuishi ya wahenga: walikemea na kuchukua hatua kwa dhati. Mfano. Tungo (muziki, tamthilia), vitabu nk. vyenye maudhui hasi vilipwigwa marufuku. Inaelekea serikali ya leo nyuoyeuptsluwysnyang

  • @pauloearnest
    @pauloearnest Год назад +3

    Onisigala! aache kumumunya uozo hakuna ustaarabu WA kutaja jina Ushoga, Ushoga ni usenge , ufirani , umavi

  • @lusajomadigital-lv2vm
    @lusajomadigital-lv2vm Год назад +7

    mashoga wasagaji wapo mitaani mwetu . tunaishi nao sasa serekali itupe ruhusa tuwapige mawe hadi kufa kama tunavyo wapiga vibaka hadi kufa nazani hii ninzuli sana kuliko kitu chochote kile kuhusu watu hao ni bola wapaki vibaka kuliko mashoga na wasagaji yani mie nina hasila na omba serekali inipe luhusa ya kuwapiga ikishindika nitamuomba mwenyezi mungu anipe luhusa
    ndugu zangu watanzania tusisubili hasila ya mungu ikawaka kama ilivyo waka nchi ya brazil. naomba mungu atusaidie ktk hili. kyala atutulege fijo wakamu bhangu

    • @hamidumwalula4127
      @hamidumwalula4127 Год назад

      Ndg ruhusa ipi wakati watoto wako na jamii vinateketea na sodoma inskuja, wanasiasa wanajali matumbo yao,they dont care, kwani mwizi akiiba simu yako mtaani kwenubona unapiga nduru na mnamshughulikia mpk anavishwa tairi na kuchomwa moto. Sasa kwa ili la ubasha na ushoga unasubiri ruhusa????!!!!! ,mkiwaona mtaani kwenu,piga nduru,tandika bakora,choma moto na waume zao choma moto, haya machafu ndo njia ya kuyamaliza

    • @masudimwinyi7301
      @masudimwinyi7301 Год назад +2

      Sawa kabisa Hawa washenzi watatuponza wote tutaangamizwa na Mungu

    • @jumaothman9449
      @jumaothman9449 Год назад +1

      Bante upo vizuri na upo sahihi mm nahisi tu Hawa watu hawafai kabisa katika nchi yetu

    • @alhadajjmohammedsmith9042
      @alhadajjmohammedsmith9042 Год назад +1

      Mashoga (LGBTQ 🌈)wanajulikana Wala hawajichi, tunawaona Mitaani nk. Inashindikana nini kuwadhibiti ?!

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Год назад +3

    Ni wasenge kuficha ubaya ni machukizo kwa Mungu hao ni wasenge nasi mashoga

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 Год назад +2

    Mchambuzi ninaekupenda sana nchini Tanzania

  • @omanbarka1588
    @omanbarka1588 Год назад +3

    Hata mkitafsili vipi mh mama Samia kaluhisu ushoga tufanyane si si wa kubwa Tanzania Isha uzwa Kwa shetani

    • @alhadajjmohammedsmith9042
      @alhadajjmohammedsmith9042 Год назад

      Mama hajaruhsu, Wacha Unafiki! Kwani Mashoga wameanza leo/aliposhika Madaraka mama?! Makonda alianzisha Kampeni ya Kuwadichua Mashoga na haielewki/haijawekwa Wazi nini Kilicho sababisha Kusitisha/kukomaa Zoezi hilo. Je, ulikuwa Utawala wa mama?!
      Huyo Mzungu na Wake zake wanaoeneza/anae hamasisha Ushoga Kwa kugawa; bidhaa zenye Vichocheo vya kufanya Wanaume Kuwa Mashoga ameingia Nchini ktk Utawala wa Mama?! Taarifa ya Mwakyembe na Maandishi wa Habari inasadikwa Mzungu yupo Tz yapata Mwaka wa 8 Sasa, je Utawala wa mama umeshatimia Miaka 8?!
      Mnataka mama akurupuke kutoa Maamuzi mje kumlaumu !

  • @msafirikushama2193
    @msafirikushama2193 Год назад

    Kuwa mwadilifu ni kufuata misingi ya kanuni au taratibu zinazo kubalika mbele ya Mungu na katika jamii. Uadilifu hujidhihirisha katika tabia, mienendo,misimamo katika imani fulani , pamoja na matendo yanayotendwa na binadamu. Utiifu na Uadilifu ni Kama mtu na mdogo wake.
    Maadili mabaya ni jumla ya mienendo, tabia, matendo na imani mbaya ambazo ni uovu na kinyume na asili ya binadamu.

  • @naftalimhemi4163
    @naftalimhemi4163 Год назад

    Kumcha Mungu ni HEKIMA. Kuacha uovu ni UFAHAMU. Watanzania tuache UOVU.

  • @mikidadmhando2504
    @mikidadmhando2504 Год назад

    Umesema vema, msemaji umeeleza maana ya shoga kwa mujibu wa kiswahili tofauti na vitabu vya dini kuwa maana nzuri ya neno kuporwa na kupewa maana mbaya sababu ni jinsia gani imejiingiza kwenye tabia gani za kijinsia kama vile mume kwa mume au mke kwa mke kushiriki pamoja tendo la ndoa visivyo halali, sisi tuna Mungu na tunazikubali amri za Mungu kwa namna ya kuishi duniani, kutuambia upumbavu wa katiba yetu kuto kemea hilo, sisi rais hatukubali ujinga huo, na serikali itakayoshindwa kusimamia kuzuia ushoga, tutamlaani na kumtoa madaraka mara moja kwa kumwogopa ALLAH Subhanahu Wataala na yeye ni mkali wa kuadhibu, Magufuli was so direct to promote God's ways in this issue, he was very right, God bless Magufuli

  • @isdorykidago4970
    @isdorykidago4970 Год назад +1

    Msemaji ona hapo nyuma hao wamasai wamechorwa kwenye bendera gani

  • @medicalamon908
    @medicalamon908 Год назад +3

    Ushoga unaleta nini au una matokeo gani katika uumbaji wa Mungu au kusudi la Mungu? Jamani tuache kumuabudu Mungu au kulitaja jina lake kwa unafiki.MUNGU HADHIHAKIWI.Ushoga haukubaliki kwa Mungu na kwa watu wenye Uzalendo na Ufalme na Mamlaka ya Mungu.
    Hos 4:6
    Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
    USHOGA NO, NO, NO

  • @pauloearnest
    @pauloearnest Год назад +3

    Mashoga wote wapigwe risasi

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 Год назад

    Kwanza mungu pia action

  • @KanteTriphone-it5wj
    @KanteTriphone-it5wj Год назад

    Mungu ni shetan

    • @sweetylove9918
      @sweetylove9918 Год назад

      Laanatullah ulaaniwe ww sheitani mmoja ww mshenz shetani babaako namamako ulaaniwe unamtaja aliekuumbaivo ww nizaidi ya shetani izo pumzi zinokufanya uandike utumbo kakupa babako au?

  • @mwigaadam1179
    @mwigaadam1179 Год назад

    Kuna jinsi na jinsia haya Ni maneno mawili tofauti yenye maana mbili tofauti ndugu mtangazaji

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya846 Год назад +3

    Huyu anaehoji wazake ukichunguza sana unaweza kuwaza mengine au nyie mnaonaje?

  • @edwindaniel7306
    @edwindaniel7306 Год назад +2

    Mashoga wote wanyongwe maana hatuna faida nao

  • @bakarithegeoinformatician7406
    @bakarithegeoinformatician7406 Год назад +4

    Hakuna haja ya kuficha Neno lenyewe ni Msenge wingi wake Wasenge

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 Год назад

      Wanatumalizia maneno ya kiswahili 😂
      Urafiki wa Wanawake ndio " shoga
      Litumike jina lao 😂😂

  • @mossesisaack5066
    @mossesisaack5066 Год назад +1

    hatutaki kabisa baba na hatutakubali mambo haya ya laana kwenye nchi yetu

  • @mropeamadeus54
    @mropeamadeus54 Год назад +1

    Mbona hata kile kipindi Cha akili akili kina nembo za ushoga

  • @rwakyenderajulius3861
    @rwakyenderajulius3861 Год назад

    Jinsi Moja siyo jinsia Moja!

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Год назад +1

    Uadilifu hakuna kila mtu anajiangalia mwenyewe lakini janga bado ni kubwa hata ukimfungia mtoto ndani bado atachsngamana na jamii cha msingi ni kupambana Kwa jamii nzima.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад

    Tundu Lissu ndiyo ngome ya washoga .Amsterdam nk wanamsubiri apate ubunge halafu aje kuundeleza usenge.Ahadi ameshapewa ba Lissu .Wananchi tuamke

  • @salvatoryelias3193
    @salvatoryelias3193 Год назад

    Hilii ni tatizo kubwa huko mbee kama litaathiri kwa kias kikubwa

  • @mohamedjakaya5355
    @mohamedjakaya5355 Год назад

    Ni kweli jina lao halisi ni WASENGE kwa kuwa neno shoga ni urafiki usiomaanisha mambo ya kinyaa kama mapenzi ya jansia moja

  • @edoedo4973
    @edoedo4973 Год назад

    UKWELI MWESHIMIWA MWAKIEMBE NA DADA YETU WAMELIOKOA TAIFA SEMA SELIKALI WAUSIKAKA NAMBA MOJA KWANINI UY MZUNGU ASIKAMATWE NA WAUSIKA WENGINE WANJULIKANA TULIONA SELIKALI ILIVYO WASHUGHULIKIA PANYA LODI KWA ALAKA SANA HAWA VIPI NDIPO TUNAPOONA SELIKALI INAUSIKA APAWAALIFU WA MAADILI WANAJULIKANA KUNA NINI HAPA

  • @alhadajjmohammedsmith9042
    @alhadajjmohammedsmith9042 Год назад

    Nashawishika kudhani na kusema; "Wamesha tuumiza sana Kwa Misaada yao*. Mfano; Vyandarua, Dawa za Chanjo na Tiba za Magonjwa, Vyakula, Vinyaji nk.

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Год назад +3

    Hapa inaonekana tetizo ni selikari.

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Год назад +2

      Ndio maana yake si inaendesha nchi kwa misaada au ukipenda ita mikopo hiyo sawa na una familia kisha unategemea jirani yako akutunzie familia yako sasa hapo unategemea nn? Zaidi ya kuchezea watoto wako atakavyo mara kamshika matako mara kamtia kidole sasa ukisikia usenge na ujinga Ndio huo na upumbavu ndani yake

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Год назад +1

      @@shinipapaya846 siongezi kitu umemaliza yote

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Год назад +1

      @@Pedeshee01 asante sana ndugu yangu serikari inahusika kwa kila kitu huku wakiogopa kuuwawa wako tayari kulingamiza taifa kwa mambo ya kijinga kabisaa

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Год назад

      @@shinipapaya846 yaani ndugu ukichunguza serikali yenyewe na tamaa wanazoziendekeza hizi hawana hata haya kubomoa jamii zao.kama usipomuelewa jamaa anachokisema wewe ndiyo kilaza.Huyu jamaa kaongea hali halisi ila uovu umefichwa na serikali zetu za Africa kuanzia ya tanzania na nyengine.njaa zao hizi ndiyo zinaendelea kuliteketeza bara letu mpaka tulipofika hapa leo.Kuna watu wamepokea hela kuwafanyia majaribio wenzao madawa hata yasiyofaa na huku tunapoelekea ni hizi hizi serikali waukubalie ushoga uwe ni moja ya haki mradi wapate mikopo na misaada.Wale waliowapa virusi vya ukimwi liberia si kuna watu walikula pesa.Serikali ya tz kuanzia na rais wanaogopa kwanza kutoa kauli kali kwa sababu imezoea kukopa na mkopo.Ukichunguza hapa nchini kuna mivitu ya hovyo inaingizwa sana tz kuanzia midawa ya uzazi n.k wakina mama kwa sasa wanapewa na wasichana watumie mwisho migonjwa ya ajabu tu wakiaminishwa ni salama ni mengi mno ila serikali zimelala mno hazifanyi utafiti wao ni rushwa tu hata kama una bidhaa imeisha muda wewe ukitoa kitu unaiingiza tu.

    • @alhadajjmohammedsmith9042
      @alhadajjmohammedsmith9042 Год назад

      Yaani tunajiangamiza Wenyewe Kwa Unafiki wetu ! Tuaimba Wimbo Wa Taifa Kwa kumtaja Mungu ("Mungu lbariki Tz 🇹🇿...", Na Wimbo Wa Afrika hutajwa Mungu..!), Viongozi Wa Serikali wanaapa Kwa Kumtaja Mungu na Kwa Kushika Vitabu vya Mungu, lakini Serikali hiyohiyo na Watendaji wake ndo Vinara wa kutunga Sheria na Sera, kutoa Leseni, kukusanya Ushoru, Tozo na Kodi za Mapato yatokanayo Biashara/Miradi isompendeza Mungu na Ajabu zaidi Ktk hao Watunga Sera, Sheria na Hukmu (Serikali na Watendaji wake % kubwa na Wakristo na Waislamu/Wanazo Dini, na zinakataza Maovu/Maasi mbalimbali; Ulevi/Pombe, Ukahaba/Zinaa, Kamari, Rushwa, Riba, Matusi, Ushga/Ubasha, Usagaji nk !). Sasa iweje yafumbiwe Macho, Masikio na Vinya na kisiwe na Uwajibikaji wa Kisheria?!
      Ni Fursa/Wakti Sasa tujitambuwe na tubadilike tuwache Mazowea.

  • @KabijSaib
    @KabijSaib Год назад

    Mmmmm,,,,jaman mtihan mkubwa,,,,,mwenyez mungu,,atunusuru na laana hii,yan kiukwel hatutaki habar za sodoma na gomora

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 Год назад

    Mnapiga kelele isaidie nini itolewe sheria haraka sana
    Kukemea ni kutangaza
    Akamatwe zifungwe na sheria itoke sio kupiga kelele isaidie nini naona mnatangaz laana kwa wing

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Год назад

    TAMAAA YA MISAAADAA NE PESA NDO INAWASUMBUWA HAO VIONGOZI WETU. MPAKA WANARUHUSU HUU USODOMA NA GOMORA

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Год назад

    Oni si useme tu kuwa ni wasenge na wasagaji? Usiogope sisi tutavumilia ukali wa hilo neno.

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Год назад

    Wapi alipo pigwa mkwara Raisi Samia kuhusu ushoga acheni uhuni

  • @geraldbenjamin9302
    @geraldbenjamin9302 Год назад +2

    Unataka kiongozi akubali kwa lugha gani, mikakunduchi au? Alishasema wakubwa fanyianeni

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 Год назад

      Kiswahili kigum sana kama c mtu wa mwambao. Mfano baba ako akugombe au akupige kwa kutega SHULE' afu akwambie WEE ENDELEA TU NA UTORO WAKO

  • @chrithicksambo2287
    @chrithicksambo2287 Год назад

    Huyo aliyevaa suti ya 30,000 naye ni shoga maana anaongea Takataka

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 Год назад

    Huyu aliyevaa kitenge Yuko sahihi kabisa

  • @platinummarcus1341
    @platinummarcus1341 Год назад +1

    Sasa kama mkuuwa nchi kasema wakubwa wafanyane ila tu wasiwaharibu watoto, je huyo mzungo na hao watu wakamatwaje,?

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Год назад

    Ethiopia na Tanzania imeongoza kwa wasichana wazuri🤔🤔🤣🤣

  • @Amoschidakwa
    @Amoschidakwa Год назад

    Raisi Samia amesha chukua pesa malekani ndiyo maana hatoi maamzi juu ya wasenge

  • @akimu-gl7zp
    @akimu-gl7zp Год назад

    Nao hao wabunge. Wanajadilinn? Waamue tu kua shoga akipatikana anyongwe

  • @mymuamsrrr7884
    @mymuamsrrr7884 Год назад

    Mazeee anayezungusha maneno ndio mabasha wenyewe,msenge ataitwa msenge na Basha Ni Basha n.k. mara nyingi wasenge Ni waathirika aidha wa kubakwa au wakudanganywa na kuingizwa katika tabia hiyo, sasa bc mukitaka kutatua tatizo hili Ni kuwalenga hawo mabasha wenyewe,na tunajua walipo, wapo misikitini Madrasa makanisa kwenye Shule za watoto, n.k.kanisa katoliki ndo balaaa, nahisi na nimesika mpaka Hao mapope Ni mabasha wenyewe na tunajua wanaba watoto wale wanaowabebea vitabu,sio siri.shida iko hapo,mabasha Ni watu wenye nguvu Ni viongizi wa serikali na taasisi zake maraisi na mawaziri n.k.pia wanasheria iyani kina Tundu n.k.kwa hiyo inakuwa na utata tunapiwakemea.,je tunalitatuaje hili.

  • @johnmamba682
    @johnmamba682 Год назад

    Je hao waume wa mashoga wapo wapi? Nao pia wachuliwe sheria

  • @KasindiPapi
    @KasindiPapi Год назад

    Siyo tu Huolanzi ndowanavuta Mbangi ata apakwetu Marekani Mbangi inaruhusiwa. Watu wanavuta mbangi free, jibo letu la Missouri nilikubaliana nasheria iyo yakuVuta mbangi.

  • @kivatirokitojo657
    @kivatirokitojo657 Год назад +1

    Makanisa yetu hatujatoka barabarani Bado Kama wenzetu waislamu

    • @rehemaabinelynyagawa2878
      @rehemaabinelynyagawa2878 Год назад

      Kama hujui kitu ni bora ukae kimya Watumishi wa Mungu wanatembea mikoa kwa mikoa kuomba toba Mungu kakasirika ametoa miezi 12 ya kutubu na sasa imebaki miezi 8 na hakuna mabadiliko Tanzania inaenda kupigwa kipigo na Mungu watu tusipo tubu kwa dhati utaandamana na Mungu anahitaji toba..? Kama Yoha alivyo tumwa Ninawi ndivyo Mungu anataka Tanzania tutubu..

    • @kivatirokitojo657
      @kivatirokitojo657 Год назад

      @@rehemaabinelynyagawa2878 Toba na kupaza sauti vyote tunavihitaji viende kwa pamoja unasema sijui Nini Sasa, kwani hao waislamu hawaombi vyote wanafanya wanaandamana na sala za Toba wanafanya sote Kama taifa tuwe kitu kimoja tusilipe nafasi jambo hili la kishetani

    • @rehemaabinelynyagawa2878
      @rehemaabinelynyagawa2878 Год назад

      @@kivatirokitojo657 wewe unajua Mungu anataka toba ya aina gani toka mwezi wa kwanza watu wanaomba kwa nini kama kitu rahisi Mungu bado hajatusamehe mpka sasa? Hebu ingia TENGWA TV: KASILIZE :TOBA SI KITU RAHISI KAMA UNAVYO FIKIRIA

  • @seifjuma4252
    @seifjuma4252 Год назад

    Am uy Mzee wa suti una Experience ya kweli ya kujibu Swali international Tz unafaa ue Speaker wa Bunge Kwa jins unvy jb swali kielim zaid

  • @bryanmagee5681
    @bryanmagee5681 Год назад

    Mama tafadhali toka kama mseveni utumbie msimamo wa taifa letu la Tanzania. Tuna weza bila mikopo na fedha ya usenge. Kidumu chama cha Mapinduzi. Hatutaki laana ya utalii wa wasenge.

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 Год назад

    Kwa mfano hapa Ugiriki mambo hayo ya ushoga ni kawaida lakini cha ajabu ukikutwa unafanya mapenzi na mtoto wa kike hajafika miaka 22 basi utafungwa jela miaka 30 si unaona hizo ndiyo sheriya zao

  • @shaabanmrisho-ko5fg
    @shaabanmrisho-ko5fg Год назад

    Halafu huyu mtangazaji ni mshenzi sana nakata baadhi ya maneno ya mchungaji
    OVYO sana huyu mtangazaji

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh6618 Год назад

    Heshimu binaadamu wenyewe kwanza halafu ndio uzungumzie haki za binaadamu ubinaadam ni kama mashine na kinachofanywa na binaadamu ndo kinahusishwa na haki, tuna maumbile kama Mwenyezi Mungu alivyokuumba, maendeleo yeyote yasiharibu wala kubadilisha stahiki, heshima na taratibu za asili ulivzoumbwa nazo kinyume chake mnyama atakua bora kuliko wewe

  • @tunsumegideonmwamboneke9639
    @tunsumegideonmwamboneke9639 Год назад

    Mi naomba tuanze kuwakamata mabadha ili wawe wa mfano ktk kukomesha vitendo hivi. Akikamatwa shoha ahojiwe amtaje bwana ake kisha afuatiliwe na kuoneshwa mfano ili vitendo hivi vikome. Maana tumengangana kuwashutumu wangese utadhani wanajishughulikia wenyewe, tafuta hao washughulikiaji na sio kwa wanaume tu hata kwa wanawake, shubamitttt🤬🤬

  • @masudimwinyi7301
    @masudimwinyi7301 Год назад

    Hatutaki kabusaa ushoga tutapambana mpk kufa adi kieleweke ushoga na usagaji Ni mwiko ktk nchi yetu hatutaki kabisa kabisa aaaaaaa

  • @lusekeloemmanuel4569
    @lusekeloemmanuel4569 Год назад

    Mtaaani kwetu nikimkuta shoga namchalaza viboko

  • @hamidumwalula4127
    @hamidumwalula4127 Год назад +1

    Kila mtaa tuunde kikosi kazi cha kuwasafisha, nchi nzima uone km utaona tena ushenzi huo, wanasiasa wao ni kujaza matumbo yao, ndio maana unaona hata upinzani kwa ili wako kimya(peoples power)iko wpi kwa hili, tujilinde wenyewe, la sivyo familia zetu na taifa linateketea

    • @rkplatnumzrkplatnumz6952
      @rkplatnumzrkplatnumz6952 Год назад

      Kwani awo wapinzni ndo wapo madarakani waliopo madalakani wanafanya nn acha uwozo boya ww

  • @beatricerweyemamu5540
    @beatricerweyemamu5540 Год назад

    Apigwe mawe...huyo mzungu...

  • @PendoKyande-dt6mb
    @PendoKyande-dt6mb Год назад

    Mashoga wapingwe wapumbav hawa

  • @shaabanmrisho-ko5fg
    @shaabanmrisho-ko5fg Год назад

    Wachambuzi vichwa vimejaa umagharibi mtupu hamna kazi hapo

  • @habibarashdi2250
    @habibarashdi2250 Год назад

    Truuu

  • @izamahmasaki4795
    @izamahmasaki4795 Год назад

    ndg mtangazaji huyo bw anaezungumza name anaficha kitu Gani au name no kati ya hao waliolipwa pesa ? ajibu TU kuwa kiswahili Sanofu ni msenge Ili watanzania waelewe na usagaji ni usenge was like . tuache kufichaficha alafu watoto waone ni msamiati . huo no ulawiti

  • @masudimwinyi7301
    @masudimwinyi7301 Год назад

    Watanzania tunalia na serekari yetu mbn inachelewesha Sana kutoa maamuzi makali Sana ili wenye Tania izo wasche kabisa mambo hayo ya kishetani tusipolikemea vikali Jambo hili tutaangamia Mungu atatuhukumu vikali Sana kwa majanga tusioyajua

    • @kiri5807
      @kiri5807 Год назад

      Serekali inaingia pesa nyingi sana kuendeleza ushoga nchini . Hata yule makamo wa rais wa marekani alipokuja juzi kajua hayo . Yule bibi ni ushabiki mkubwa wa ushoga marekani .

  • @geraldbenjamin9302
    @geraldbenjamin9302 Год назад +1

    Mguu tuuite mguu hakuna haja ya kusema kanyagio period.

    • @geraldbenjamin9302
      @geraldbenjamin9302 Год назад

      @Majer Yale ni matako

    • @donaldmachisu3626
      @donaldmachisu3626 Год назад +1

      Sasa mashaka yangu makubwa kuhusu matumizi ya condom,yanatiamia vijana wengi wadogo kiumri wanalalamika kuhusu kukosa nguvu za kiume baada ya matumizi ya condom, nikiunganisha na hili suala ambalo waafrika tunalazimishwa kuupokea ushoga naona hapo kuna jambo Nia na lengo lao wazungu kutupunguza au kuondoa kabisa kizazi Cha kiafrika tuamke tuamke tuamke.

    • @josephntungiye6232
      @josephntungiye6232 Год назад

      Nimekuelewa brother 😢

    • @pandmlekwajecha8765
      @pandmlekwajecha8765 Год назад

      ​@@donaldmachisu3626 @ Upo sahihi umeliona hili Mungu akubariki
      Wazungu wana njia nyingi sana za kuharibu JAMII

  • @Amoschidakwa
    @Amoschidakwa Год назад

    Raisi Samia toa maamzi katka swala la mashoga muunge mkono mseveni

  • @akimu-gl7zp
    @akimu-gl7zp Год назад

    Wawe wanauwawa tu

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 Год назад

    Yani Leo nikiambiwa nitoe hukumu juu ya hili kuwa wakusanya na kuwachoma Moto wazima wazima yani nipeni hiyo kazi Jamani Kama ni laana kuuwa wacha inile mm Kama mnaogopa nipeni hiyo kazi niwakusanye wate au tuwapakie kwenye malori tuka watupe wani kwenye mito yenye mamba 🤦🏼‍♀️🤦🏼‍♀️

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Год назад

    Siyo busara ni dhamira

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Год назад

    Msikate Maneno yake acha Amwage Radhi acha akemee Manina Mashoga wauwawe...Tunaitaka Serikali iwakamate watuhumiwa Wote waliotajwa kwenye Report ya Mzee Mwakyembe...kuwakalia Kimya TAFSIRI yake..basi wenye Mamlaka wana INTERESTED..?
    Dar 24 Msijitie Utakatifu acha Akemee USENGE..mbona Neno USAGAJI hamlikemei..?
    Ila Mtangazaji Uko vizuri kwa Mahojiano

  • @akimu-gl7zp
    @akimu-gl7zp Год назад

    Mwakyembe nahuyodada wanauchungu na taifa

  • @judithandembwisye-zg4gu
    @judithandembwisye-zg4gu Год назад

    Toka atutoke mangu Tanzania ni vulugo tu kila kona. Mungu eeeeh

  • @petrowayesu2053
    @petrowayesu2053 Год назад

    MWANDISH Nawe mjinga kwanin Unakata mameno alio ongea Kwani Mfiraji biblia inaficha jambo ma Shoga ni wa Firaji acha kukwepesha Maneno

  • @kusagaonlinetv3983
    @kusagaonlinetv3983 Год назад

    Kama serikali haichukui hatua watupe ruhusa sisi wananchi tuwauwe mashoga wenyewe msituletee haki za binadamu ila hizi sasa mnatuletea haki za ushoga kwani Mungu alivyo waangamiza Sodoma na gomola alikua hajui haki za waja wake

  • @lusajomadigital-lv2vm
    @lusajomadigital-lv2vm Год назад

    mie naomba selekali iwachukulie hatua kali wenyenyumba wanao wapangisha vyumba mashoga na wasagaji naomba huo msako uanze mala moja kwasaka katka nyumba

  • @ibrahimdotto5234
    @ibrahimdotto5234 Год назад

    We utakuwa mnyakyusa tu ,huwezi kumkamata mtu kwa hisia za mtu, asili ya wanasiasa huwa ni waongo na wanafanya Kiki.yeye kwani hakuwako siku zote huko nyuma na kulizungumzia mpaka Ameamua kusema sasa? Ni kataka kuharibu taswira ya nchi tu,Kuna mambo mengi muhimu kwa mendeleo ya kuzungumzia mbona mnayakuza sana.

    • @josephntungiye6232
      @josephntungiye6232 Год назад +1

      Du! Kumbe hatawewe nishoga 😮😮

    • @pandmlekwajecha8765
      @pandmlekwajecha8765 Год назад

      Dotto
      kaka tuwache usha ikiwa
      JANGA hilooo
      Wazungu wao wamesha malizana
      Sasa wanaharibu DUNIA yote
      Hasa ni AFRIKA
      Kwa malengo yao malengo yao malengo

  • @masudimwinyi7301
    @masudimwinyi7301 Год назад

    Nakukubali Sana ndugu yangu km kiongozi atakaekubali Jambo hili la ushoga alaaniwe na Mungu tutamuombea dua baya Sana ili yamkute mazito makubwa ya hukumu ya Mungu

  • @davidbochela1441
    @davidbochela1441 Год назад

    MAMA TUSAIDIE...FANYA JAMBO

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Год назад +1

      Jiulize kwanza kwa nn walimuuwa Magufuli usikute hata ww @David B ndio mliokuwa mnakesha kumtukana Magufuli sasa hiyo ndio faida yake na Jiulize pia kwa nn hawataki kutunga sheria kali kama vile UGANDA 🇺🇬 ?

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Год назад

      Mama kasema sio kazi yake, hayo mambo yanaanzia kwenye familia so habari ndo hiyo? Raisi tunaye.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Год назад

      ​@@shinipapaya846tunaogopa tutakosa misaada. Magufuli alikuwa anasema tujitahidi kuwa na uchumi mzuri ili tujitegee tusitegemaa misaada lakini mama yeye kayapuuza yote anaona awarambe wazungu tupate misaada 😂

  • @ramauo4410
    @ramauo4410 Год назад

    Mimi nasema utakapo muhona shoga uwa usisubili serekali

  • @davidlewis4044
    @davidlewis4044 Год назад

    Bante wewe ni shujaa unayeishi. Mungu azidi kukulinda

  • @DrKhamisiIbrahim
    @DrKhamisiIbrahim Год назад

    ruclips.net/video/jzP0J_Ynm3A/видео.html Vita dhidi ya ushoga

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 Год назад +2

    Machoko Hao mnaficha nini sasa kwamba hatujui majina yao😏😏😏😏

    • @BenardSambilo
      @BenardSambilo Год назад

      Raisi wetu mpendwa mama samia tunaomba ujitokeze na utowe tamko kuhusu watu hao kabla mambo hajafika mbali

    • @BenardSambilo
      @BenardSambilo Год назад

      Kitakachofuata ni wananchi kukosa mwelekeo na kuanza kujichukulia sheria mkononi hatimaye magereza yatajaa wafungwa

  • @ezekielmatondane714
    @ezekielmatondane714 Год назад

    Hatuna lahis tunazobi tu