The Story Book: Je Asili Yetu Ni Sokwe? / Ujue Ukweli Wote ..!!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
    𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
    𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
    𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
    𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
    𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
    𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 526

  • @younglee7643
    @younglee7643 3 года назад +72

    Respect kwa jaml king of history hajawah kuharb nje ndani km zitaekwa tunzo miaka zote zako from Zanzibar

  • @kulwachacha1478
    @kulwachacha1478 3 года назад +75

    Ijumaa n siku inayosubiriwa kwa hamu snaa na watu wengi ngonga like tuenjoy stry

  • @fralex_1276
    @fralex_1276 3 года назад +97

    Very professional. ..Wanamkubali huyu jamaa gonga like hapa

  • @ashirievara8542
    @ashirievara8542 3 года назад +41

    Professor jamal king of the story in Africa #SwahiliNation 🚬🧯🔥🔥🔥

  • @evratvkenya9263
    @evratvkenya9263 3 года назад +19

    wewe ndo sokwe , ila mimi naamini mimi ni kiumbe wa mungu , kama unaamini uliumbwa na mungu gonga like, from nairobi city kenya

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 3 года назад +22

    Mrengwa ni mwafrica kumtowa kwenye ramani ya kukimbizana na maisha(kutothofisha)

  • @cleverofficial5500
    @cleverofficial5500 3 года назад +23

    Respect kwa proffessor Jamal April
    Naomba like zake

  • @mohzuufamily
    @mohzuufamily 3 года назад +9

    Hapa siezi pitwa kabisa hmna profesor kma jamal i like this stories walai the story book is the segmnt for me nani mwengn haizipitwa na story book acoment nd like my people

  • @charlesnyaluke7202
    @charlesnyaluke7202 3 года назад +14

    💕💕🔥💕🔥 blessed professor jamar April 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @jessegabrielkenya1914
    @jessegabrielkenya1914 3 года назад +38

    It 6 asubui jamani ilinipita ucku...wapi like za professor 🇰🇪

  • @nalingigwajeremiah4844
    @nalingigwajeremiah4844 3 года назад +49

    Big up professor wewe Ni the living philosopher!!!

  • @togetherchristiansmedia3437
    @togetherchristiansmedia3437 3 года назад +4

    Mwanadamu aliumbwa na Mungu, Adam ndiye mwanadumu wa kwa kumbwa na Mungu hapa Duniani kisha Hawa, Ever

  • @joelathiambo4312
    @joelathiambo4312 3 года назад +7

    Kutafuta ukweli tutoke nje ya sayansi / historia / dini. Maana mpaka leo bado nadharia zao zote zina pwaya katika akili ya mwanadamu mwenye kufikiri.

  • @lutusigaza2148
    @lutusigaza2148 3 года назад +19

    Kupitia similizi hii nimepata kugundua kwamba wanasayansi wetu wa TANZANIA bado wanasafari ndefu sana kuweza kuwafikia wanasayansi wa ulaya

    • @rishkhkhan3546
      @rishkhkhan3546 3 года назад

      Kivpi

    • @manish-fp1fb
      @manish-fp1fb 3 года назад +1

      Umeona... hehehhe... yaani hii mada wengi wameshindwa kuibeba kiusahihi. Hata prof hapa anachemka... ni kosa sana kusema binadamu ametokana na sokwe.

  • @msabahaproduction2595
    @msabahaproduction2595 3 года назад +34

    Tutao mpigia vote diamond tujuane hapa like zenu

  • @sungurarichard263
    @sungurarichard263 3 года назад +5

    mwanadamu hakutokana na sokwe wanadamu wa mwanzo walikuwa na maumbo tofauti na wa leo kwa sababu ya mazingira ya kale wanadamu walbadilka kulingana na mazingira hata leo bado mabadiriko yanaendelea

  • @blessmsolina3803
    @blessmsolina3803 3 года назад +1

    Siku zote walioitesa Africa wakaona haitoshi nakujiona wa daraja la chini nakuwaaminisha kuwa tumetokana na nyani ilimradi tujione wanyonge zaidi,kwa rangi yetu nzuri isiyonunuliwa mpaka sasa bado wanaendelea nakujifanya ni wema kwetu,ukweli hakuna binadamu aliyetokana na nyani,wote tumeumbwa kwa udongo wamewateza mababu zetu vya kutosha nawachukia Sana wazungu amini nawambia mzungu haitakii mema AFRICA

  • @Special4uTV
    @Special4uTV 3 года назад +91

    Hii mada nilimuulizaga Mwalimu wangu mmoja nilipokuwa Secondary, kidogo nile vibao.... 😂😂😂

  • @mwanahamisbakar118
    @mwanahamisbakar118 3 года назад +9

    Yote Allah amesha yataja kwenye Quran tukufu akuna mwanadamu aliyetokana na sokwe ila makafili wa kizungu na baadhi yao ndio wanao zusha ivyo lkn yote kwa yote ni kuchafua watu weusi na kumpinga mwenyezi mungu (Allah s.w)

  • @aimeealembe2866
    @aimeealembe2866 3 года назад +7

    Qur an ndo mwisho wa upuuzi allah ashamaliza zamani. Kwaiyo sina Shaka na Hilo

  • @mkaliwao9537
    @mkaliwao9537 3 года назад +4

    #nakubali San #the story book ! Unavyo elezea ni Kwa mpingio mzuri so big up Sana ndugu. Kama una hikubali story book Tia Neno au comments.👌👀🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @godfreymtazama4581
    @godfreymtazama4581 3 года назад +5

    Umetisha proffersor jamaly mustapha 🙏🙏

  • @edwinregeye5985
    @edwinregeye5985 3 года назад +10

    Professor N Mmoja tuuuu Africa

  • @seffsamwel5649
    @seffsamwel5649 3 года назад +5

    I wish all the best of your life and your family jamal April teach us tufundishe kaka, kama unaamini Jamal April ni professor bora zaidi Tanzania na hata Africa gonga like hapa chapu, 👍🇹🇿❤️🙏🙏👏👏

  • @celineofficial5223
    @celineofficial5223 3 года назад +2

    Hivi wazungu wataishi kutudanganya lini, twaelewa science hubishana na mungu zote twajua mwanadamu aliumbwa na mungu kutokana na mavumbi, na iwapo tulitokana na sogwe mbona wasiwachukue wawatoe chembechembe za sogwe na binadamu ili wazalishe mwanadamu huo wote sii kweli,

    • @nshishiponsian8853
      @nshishiponsian8853 3 месяца назад

      aliyetuaminishe yote haya ni mzungu we tulia dawa ikuingie

  • @blueeyes5952
    @blueeyes5952 3 года назад +7

    Wazungu ni mbwa kila kitu wametuambia kuhusu binadamu ni uongo mtupu wao ni makafiri haujui Mungu. Bali nia washirikina kupitia sciences.

    • @leylasalim9380
      @leylasalim9380 3 года назад

      Ni kweli binaadamu wa mwanzo ni baba etu Adam A.S hao wanao sema sokwe mayahud Allah SW aliwadeuza sokwe kutokana na madhambi waliyotatenda

  • @kimsajudo9417
    @kimsajudo9417 3 года назад +22

    Gonga Like Hapa Kama Unakubaliana na Professor Jamal👍

  • @EdnaMuyegu
    @EdnaMuyegu 5 месяцев назад

    Sokwe ni sokwe binadamu ni binadamu
    Kama vile nyati ni nyati ng'ombe ni ng'ombe, Mungu ndo aliumba vitu ziwe ivo😊

  • @amemasudi5735
    @amemasudi5735 3 года назад +52

    Hakuna Binaafamu alietokana na Watu Binaadamu wa mwnzo kaumbwa Nabii Adam huo ndo ukwli tusdnganyane wazngu sio watu wazuri

    • @nasrahabibu2307
      @nasrahabibu2307 3 года назад

      👏👏👏👏👏

    • @t-grapher8856
      @t-grapher8856 3 года назад +12

      hao wazungu ndo walikuletea mada hyo hyo ya Adam. 😅🚶🏼‍♂️we tulia tu

    • @kaybelledavid1673
      @kaybelledavid1673 3 года назад +2

      Mwambie atulie huyo

    • @t-grapher8856
      @t-grapher8856 3 года назад

      @@kaybelledavid1673 katulia huyoo

    • @mussajabili6836
      @mussajabili6836 3 года назад +1

      @@t-grapher8856 nyie kila kitu kupinga unamin ww ulikuwa nyan

  • @panchovalentino5922
    @panchovalentino5922 3 года назад +4

    Daa bonge la kipindi naqubar proffeser Jamaliiiiii💯💯💯

  • @sheffirajab3361
    @sheffirajab3361 4 месяца назад +2

    Wazungu wanatupumbaza wanasema watu weusi tunatokana na sokwe ndio maana sisi ni weusi
    alafu wao wameumbwa na mungu

  • @aguerowakujidai6509
    @aguerowakujidai6509 3 года назад +5

    From Congo Brazzaville watching now

  • @alexwangombe9156
    @alexwangombe9156 2 года назад +3

    Big up Jamal .Nigetaka utuadalie ukweli kuhusu alama ya (M) kwenye kiganja

    • @user-pi3vt1lw5w
      @user-pi3vt1lw5w 9 месяцев назад

      Hii utaipata kwa wachambuzi wa nyota

  • @christiannyamamba9089
    @christiannyamamba9089 3 года назад +2

    Mungu pekee ndo anajua asili yetu mengine ziada tu ya kutaka sifa ya uumbaji na kutaka cheo cha Muumba

  • @NiaKelly-sh4hj
    @NiaKelly-sh4hj 5 месяцев назад

    Nawakubali ✊✊✊ Sana wasafi munatufanya tujuwe mengi Kama tuko wengi tunayo ikubali wasafi gonga like tujuwe the story book ni 💯💯💯💯💯💯💯

  • @darkplatnum9006
    @darkplatnum9006 3 года назад +5

    Wooza woza woza like kwake jamari jamna huy mtu tunamuitaj.zaid humu youtube kuliko.yeye anavyo tuitaj like kwak za kutosha

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 3 года назад +1

    Naomba BASATA (Baraza la Sanaa Tanzania) na BAKITA (Baraza la Kiswahili Tanzania) wampatie TUZO YA HESHIMA Mwandishi Jamal April Professor kwa kutangaza Lugha ya Kiswahili kupitia Fasihi Simulizi za Hadithi nzuri ambazo zina mafunzo na kuongeza maarifa kwa Jamii.

  • @jacksonmfanyakazi1198
    @jacksonmfanyakazi1198 3 года назад +12

    4Th comment: Jamali we ni jini na nusu mzee ❣️❣️❣️❣️❣️❣️

  • @prospermatinya3208
    @prospermatinya3208 3 года назад +7

    The story book is good good, good 👏

  • @_mbuya1242
    @_mbuya1242 3 года назад +9

    Proffessor jamal 🙌🙌🙌🙌

  • @allyndingo1812
    @allyndingo1812 3 года назад +9

    Respect p. Jamal..!!!

  • @zadokasaph5561
    @zadokasaph5561 3 года назад +1

    Jamali nakuombea Mungu uishi maisha marefu napenda simulizi zako.

  • @winniethuo9736
    @winniethuo9736 2 года назад +7

    Yani kuna utamu hivi kwa lugha hii hapa ya kiswahili? Jamal, pokea shukran kwa kazi zako. RUclips is not without you.

  • @user-fy6ck9di1f
    @user-fy6ck9di1f Год назад

    Ahsante sanaaa tuuuu Kwa ujumbe mzuri kuhusu MTU wa kale na mahusiano ya sokwe na species na binadam,.

  • @kennychristian6882
    @kennychristian6882 3 года назад +26

    42 minutes a go leo nimewahi, naombeni like jamani 😊

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 3 года назад +5

    Kwani watu weupe au wazungu na Asia. Hawajielewi et na hawana dini . Wao wanafata maneno ya watu waliotunga vitaabu.

  • @kassimgombejunior3702
    @kassimgombejunior3702 3 года назад +10

    Leo wa pil naitaja like zang

  • @halimanassor2512
    @halimanassor2512 3 года назад +3

    Nakupenda tu

  • @prince70863
    @prince70863 3 года назад +3

    wa 3

  • @abdulishaban6573
    @abdulishaban6573 3 года назад +23

    Very talented man professor I got u brother

  • @Chimbo4
    @Chimbo4 3 года назад +2

    So nyc ...tuandalie pia historia ya kungfu in china

  • @biramsakh9212
    @biramsakh9212 3 года назад +3

    Masokwe ni mayahud waliomkufuru Mungu wakageuzwa masokwe.

  • @shukurumsebaloli
    @shukurumsebaloli 3 года назад +3

    Mimi naona uyo babu wanao mtafuta ni mungu pekee 😂😂 sijuwi nyinyi mnasema aje

  • @aloycemwambwiga2318
    @aloycemwambwiga2318 3 года назад +11

    Heshima kwako!! Haya maelezo ya kitaalamu sana. Mimi ni Archaeologist, mtu wa kawaida atakuelewa vema.

  • @mwanahawa6362
    @mwanahawa6362 3 года назад +2

    Boss

  • @famitoissa5706
    @famitoissa5706 3 года назад +5

    Binaadamu wa Kwanza ni mnabii Adam na sio nyani, na kama unaaminilo basi nyani ni babu yako wewe unae amini Hilo laana wa mungu nyie, Adam hajawai kuwa nyani ata siku 1 pumbavu zenu.

    • @fahadmudi472
      @fahadmudi472 3 года назад

      Sasa unamwambia nani

    • @chipagafashion
      @chipagafashion 3 года назад

      Huyo adam ulimjulia kutoka wap😂😂😂😂 hao hao wazung

  • @anselimswai8973
    @anselimswai8973 3 года назад +2

    Nice

  • @rashowshine7849
    @rashowshine7849 3 года назад +4

    Nakubalisana professor na chama langu wasafi👍👍👍👍

  • @binjmwinyirain1133
    @binjmwinyirain1133 3 года назад +5

    Professor uje utuambie hizo njia za kugundua umri wa vitu vya kale maana tumeganda kwenye carbon14 tuu. Utuambie na uhakika wake ukweli wake kuhusu udongo mifupa na hata sasa wanvyotumia kugundua umri wa mtu hususani wachezaji wanaodanganya miaka

  • @chrisboya7137
    @chrisboya7137 3 года назад +21

    I was waiting for this today

  • @shugikwigomba3160
    @shugikwigomba3160 3 года назад +1

    Biblia inasema. Mungu akasema tumuumbe Mutu kwa mufano wetu .ASA kama Mungu aliumba mtu ama sokwe? 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @disantojevnco2718
    @disantojevnco2718 3 года назад +3

    Hi I am watching from Buguruni city centre Tz Dar

  • @benedictalex6838
    @benedictalex6838 3 года назад +1

    Respect kwako Kaka unajua mpaka unakera wasafi media inabidi wakujengee sanamu

  • @history360xtra4
    @history360xtra4 3 года назад +8

    Jamal April
    Likes zenu jamani

  • @bakaryCMD
    @bakaryCMD 2 года назад +1

    Your great professor of all time

  • @Androids1307.
    @Androids1307. 2 года назад +1

    Hakuna ushahidi wa kudhibitisha kwamba mwanadamu alitoka kwa sokwe. It is a theory not a fact. Ni maoni tu. Dunia na vyote vilivyomo viliumbwa na Mungu. Easy and simple

  • @ramadhanihamisi3522
    @ramadhanihamisi3522 3 года назад +1

    kama kweli binadamu wakwanza nyani jee binadamu wapili hawa jee nae alikua nani

  • @saidswalehe2907
    @saidswalehe2907 3 года назад +4

    Hakuna binaadam aliyetokana na sokwe tusichukue akil za wazungu waongo wakubwa mbona hakuna masokwe wazungu wapo weus tu

  • @musruabdallah3563
    @musruabdallah3563 3 года назад +3

    Jamali 🔥🔥.wasafi🔥🔥🔥💪💪👍

  • @timochazze9845
    @timochazze9845 3 года назад +1

    ❤❤❤🔥🔥🔥 professor unatisha sana. Huwa ninakukubali sana

  • @saidimkopi9273
    @saidimkopi9273 2 года назад

    Asalaamualaykum haliyako mzima na kuweka sawa mwanadamu wakwanza nimwqnadam hizo Historia zawatu niupotoshashi Mungu Kanumba viumbe vyote kisha Akavipa majina iweje 🐟 samaki kaumbwa samaki tu namwamadam nimwqnadam tu

  • @mahadboy5124
    @mahadboy5124 3 года назад +2

    sokwe ni binaadam ambao hawajitambui ambao hawaja xom vitabu ya din wana sikiliza stry Adam ndo binaadam wa kwanza na ameumbwa kutokana na udongo xaa nyny sokwe watu mujuane

  • @akimjuma2026
    @akimjuma2026 3 года назад +5

    Like zangu jaman

  • @kabolya03
    @kabolya03 3 года назад +2

    jamal
    wew ni the great
    💯💯💯💯💯nakupa kaka

  • @user-fo5tf1zx3l
    @user-fo5tf1zx3l 10 месяцев назад

    Story iko makin Sana big up kwako jmar

  • @KBYofficial
    @KBYofficial 3 года назад +4

    Namkumbuka MTIGA we want him back I love to hear voice of this two gentleman Jamal and MTIGA

  • @beatricejeremiah3735
    @beatricejeremiah3735 3 года назад +4

    I like u professor jamal👍✌✌❤

  • @willyjulius3304
    @willyjulius3304 3 года назад +2

    Wasafiiiii

  • @pauljohn4585
    @pauljohn4585 3 года назад

    𝑊𝑒 𝑛𝑒𝑖𝑡𝒉𝑒𝑟 𝐶𝑟𝑒𝑎𝑡𝑒𝑑 𝑛𝑜𝑟 𝐸𝑣𝑜𝑙𝑣𝑒𝑑 ..𝑤𝑒 𝑗𝑢𝑠𝑡 𝑎𝑝𝑝𝑒𝑎𝑟 𝑡𝑜 𝑐𝑒𝑙𝑒𝑏𝑟𝑒𝑡 𝑙𝑖𝑓𝑒

  • @hamisimkima117
    @hamisimkima117 Год назад

    Jamani e! Nazd kuamini Qur'an 👈 Ndie kitabu cha Haki kutoka kwa Allah 👈 Ametueleza ndani ya Qur'an kwamba Waliofanya kufuru miaka hiyo Allah akawageuza Manyani yani Masokwe Sura ya pili Baqara leo wanasayans wanaangaika kutafuta Ukweli rejeeni kwa Allah na Mtume Muhammad Hapo ndio Mwisho wa Matatzo 🙏🏿

  • @prince70863
    @prince70863 3 года назад +3

    nimewah gonga like

  • @kimsajudo9417
    @kimsajudo9417 3 года назад +19

    Big up bro Jamal, Professor 🙌

  • @davidmalahya6232
    @davidmalahya6232 3 года назад +5

    Professor💪💪💪💪

  • @slimmahmoud2310
    @slimmahmoud2310 3 года назад +2

    Professor

  • @RizikidjelaaMpelo-t8b
    @RizikidjelaaMpelo-t8b 3 дня назад +1

    😮😮

  • @ismailchidako7595
    @ismailchidako7595 3 года назад +8

    Professor 💥💥

  • @edgaredward5438
    @edgaredward5438 3 года назад +1

    Jamal April. ... hukosei mzee baba

  • @allysaidi1044
    @allysaidi1044 3 года назад +1

    Nakubali shule imelala

  • @immtm4930
    @immtm4930 3 года назад +1

    M.Mungu akupe kila la kheri Prof jamal.. nashkuru nimepata nakala ya kitabu cha "the origin of species" PDF.

  • @officialprincebaro6983
    @officialprincebaro6983 3 года назад +1

    Inabidi ujitaidi piya kutafsi kwa kingereza ila ulimwengu huwa unakuelewa na baadhi ya watu piya kuelemika...
    Nina huhakika utakuwa mmoja wa mchambuzi bora ulimwenguni
    Professor jamali...
    Kuna baadhi ya history itawasaidia sana watu kuelemika na huta trending sana..

  • @stanleydimaria3038
    @stanleydimaria3038 2 года назад

    Yani Braza we ni hatari sana unajua sana ila yule kijana wako Mtiga sijui yuko wapi yule ni motoo

  • @mussajabili6836
    @mussajabili6836 3 года назад

    Namkubari sana jamari apry Aya uyo sokwe kaumbwa na nani

  • @amanikayagwa6883
    @amanikayagwa6883 2 года назад

    Nakubali

  • @wilbrightkisamo8560
    @wilbrightkisamo8560 7 месяцев назад

    Nakubali professor

  • @gmuthami
    @gmuthami 11 месяцев назад

    Cool😊😮

  • @nurddinmahmud5052
    @nurddinmahmud5052 3 года назад +4

    Professor 🙏🙏

  • @hassanikombe9053
    @hassanikombe9053 3 года назад +2

    duuuh,.basi kuna uwezakano mkubwa kuna binaadam kipindi icho walifanya mapenzi na sokwe,...?? muingiliano wa vinasaba ukaleta matokeo kama ayo

  • @saviolasylevester9590
    @saviolasylevester9590 3 года назад +1

    Jamaaal ... professor..

  • @opqsweetbert9598
    @opqsweetbert9598 3 года назад +2

    Wazungu sio watu wazur

  • @wilfredkuyonza675
    @wilfredkuyonza675 3 года назад +1

    Kama ilivyokua kwa stori za masokwe hizi nazo ni stori na nadharia zilizoletwa na wazungu wapagani wasiomcha Mungu wa kweli wametumiwa na shetani kuendelea kumdanganya mwanadamu ili asiamini uwepo wa Mungu wa mbinguni alieumba mbingu na nchi na kila kiumbe na kwa jinsi yake