SIMBA WA AFRIKA
HTML-код
- Опубликовано: 10 окт 2023
- Kwaya ya Bikira Maria Mama wa Shauri Jema, kutoka Parokia ya Kristo Mfalme, Jimbo Katoliki Moshi, wanatukaribisha kutazama wimbo huu wa Simba wa Africa, wimbo maalum wa kumuenzi Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Wimbo: Simba wa Afrika
Mtunzi: Patrick Donge
Waimbaji: Kwaya ya Bikira Maria Mama wa Shauri Jema_Moshi
Audio & Video: RAJO Productions - Видеоклипы
Mwalimu Nyerere anastahiki wimbo bora kama huu, huu ni uzalendo wa kipekee aisee
Asante sana
❤❤❤❤wimbo mtamu mnooo,video quality,natamani Kama mtuletee na ya JPM mwakani❤️😍🙊
Kabisa. JPM pia aimbwe
Asante sana
@@macloudmadegwa414 kweli bhn😢❤❤
JPM jamani tuleteeni nyimbo ya rais wetu
I have played this song more than ten times today....I really love the piece 🥰
Such a perfect solo from the Lady and gentleman 😁👍
Great work...Rajo Productions. I listen 👂 to each and every of your songs .,.Keep it up🤝
Naam! Melody na maneno mazuri. Asanteni na hongereni mwalimu na wanakwaya.
Beautiful voices from the slopes of mount Kilimanjaro. Good job people of God.❤
Thank you
Mwenye Heri Huko mbinguni aiombee tu nchi yetu ya Tanzania iwe na amani siku zote na maendeleo ya wote. 🙏
Wimbo umesimama.
Hongera RAJO Productions
Hongera Donge PH.
Asante sana
Kazi Safi sana Patrick...rajo na waimbaji...Mungu aendelee kumpa pumziko la milele mwl.Nyerere...tumshukuru Mungu kwa ajili ya maisha yake katikati yetu
Shukrani sana
Kazi nzuri kwa wana BMMSJ-Kristo mfalme Mungu azidi kuwatunza.
Barikiwa sana
Kazi safi sana! Hongereni sana wote waliofanikisha kazi hii👏👏.
Namuona pale Levina😊😊🥳🥳
Excellent composition, Production & Artwork.......congratulations 👏
Thank you
Nimevielewa hivyo vichombezo, tum tum tuham tutum tum, nice vocal from Donge.
Barikiwa sana
bless
Wonderful and amazing really congratulations 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 wooooooooooooooooow 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ JPM next song please impressing
Hongera kwa kumuenzi kiongozi wetu Mwalimu Nyerere
Kazi bora sana hongera Rajo production salute mwl Donge
Asante sana
asante kaka
Mwl J.K Nyerere tunajivunia,asanteni Sana wanakwaya na mtunzi wetu RAJO
I love it, the song has a deep mantic.
Hongereni sana kwa wimbo huu wa kumuenzi hayati Nyerere ,,,,,mmetisha sana
Nafurahi kuwa wa kwanza.Wimbo mtamu sana.
Shukrani sana
Simba wa Africa 🌍
Halelluy 🙌 wimbo mzuri sana barikiwa sana 🙏
Kazi safi🔥nimeupenda sana wimbo huu
Hongera Sana Mwl Donge nakukumbuka enzi uko mwandoya
asante @emma
Hongereni sana wanakwaya Kwa wimbo mzuri
Asante sana
Napenda nyimbo zenu ...karibuni kenya
MUNGU Azidi Kutukuzwa zaidi na zaidi. RIP MWALIMU. MBARIKIWE SANA KWA KUMUENZI MWALIMU.
Barikiwa sana
Wimbo mtamu kweli napenda💖😍💕
Barikiwa sana
Asante sana
Waooo hongereni sana kwa wimbo mzuri sana😘
❤❤❤❤🎉wimbo mzuri Sana pokeeni maua yenu
Kazi nzuri, utunzi super👏💪Hongera Mwl. Patrick Donge kwa utunzi. Congrats Rajo Productions👏👏
Shukrani sana
Mwalimu donge hujawai kuniangusha nakukubali sana Mungu ameweka kitu cha pekee una ubunifu mkubwa. Wimbo mzuri sana ❤❤
Asante sana Dada. Tumshukuru Mungu Kwa Pamoja
Woooh! Amazing ❤❤ continue resting JK Nyerere,mbarikiwe kwa wimbo mzuri
Thank you
Kali sana .... hongera mtunzi ...rajo 🔥🔥 umenifanyia huu wimbo justice
Shukrani sana
Ray tuli miss vitu vyako hongera sana rajo
Barikiwa sana
Aisee mmetishaa hatari Mungu awabariki awatie maarifa zaid mtoe na ya JPM mpendwa wetu
Very nice. Rafiki Zangu Grace Lydia Abel na Kizito. Moshi Hoye
Be blessed
Tanzania hoyeeeee... nawapenda sana
Sure
And in general I love catholicism, we give credit where due❤
Wimbo mtamu kweli! May he continue Resting in Peace! Na Ray, ule wimbo wako kwenye TikTok Bado naungoja!😢
Wimbo mtamu.
Mwalimu Nyerere my hero.
Be blessed
I enjoy listening to this song...i listen to it on a daily basis as many times as i can
I agree, very enjoyment
Kazi imesimama sana. kwakifupi ni kazi nzuri sana.
Good one tunaomba na wa JPM
Rajo production kazi umetanga ipasavyo, Mungu awabariki Rajo production
Be blessed
Hongereni Sana nyimbo nzuri sana
Asante sana
Big up mnooo..
Mmetisha enyeweee...
😂❤❤❤❤ kuna jambo juu ya hii kàzi ...
Baadae ndo mtaelewa ,,,,..
Saiv hamtalionaaa...
Barikiwa sana
Simba wa africa....so nice ❤❤
Thank you
Kazi zuri sn Mungu awabariki
🎉 watoto wa Mama. Hongera Kwa kazi nzuriiii
Asante sana
Very nice job! Thank you to you musicians! it is so amazing! I like the melody!
Wooow kazi safi wombo mtamu
Asante sana
Wimbo Bora sana
Mmetisha uko vzr sana
Hongereni kwa wimbo mzuri🎉
Barikiwa sana
Hongera sana kwa wimbo wa shujaa ❤❤❤
Asante sana
❤❤❤ kaz nzur saan amina sanaaa
Barikiwa sana
Rajo production kazi nzuri!! Quality!
Shukrani sana
Kazi nzuri. Hongera sana🎉🎉
Asante sana
❤❤❤❤❤ Tanzania
it had been a long time you didn't give us joyce,finally here you are
Hongereni wimbo mzuri sana❤❤
Asante sana Veronica
Simba wa Afrika,safi sanaaa
Asante sana
Hongera kwa wimbo mzuri
Asante sana
Nice job walimu
Hongereni sana kwa kazi nzuri,,,
Asante sana
Nice song be blessed ❤❤❤❤
Great job bro💯 Mungu akutunze 🙏👏👏🔥❤
To our special and beloved President Julius Kambarage Nyerere, we ask you in heaven to continue to help, support, encourage and protect the people in Tanzania and by letting them live in peace and love each other. More than that we ask you to provide peace in the whole world. Amen
Good work
Thank you
Amina, wimbo mzuri
Asante sana
Huu ni uzalendo mkubwa. Asanteni sana na hongereni Mungu awabariki
Amina
Uko vizuri, hongereni
Asante sana
Hongera kwa kazi nzuri.
Shukrani sana
Kazi nzuri sana ❤it. Kumbukeni jembe
Barikiwa
🙏🙏🙏🙏🙏♥️Julias Kambarage Nyerere
Kaka ray unatubarik sana nyimbo zimetulia ongera sana kwa kazi nzuri
Shukrani sana
Great job,i'm very excited with this song
Thank you
From keñya good job
Thank you
Safi sana🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kusema kweli kenya inafaa kuiga watanzania nyimbo zenu zina maudhui halisi
Asante sana
Good work🎉
Thank you! 😊
Hii imeenda ❤❤
Barikiwa sana
Kazi safi 🎉👏👏👏💯
Asante sana
Safi sanaaa ❤
Asante
Kazi nzuri hongera Sana❤❤❤
Barikiwa sana
🙏🙏
Kazi Safi 🎉
Asante sana
safi sanaaaaaaa
Wow! sweet sweet sweet.....do you have other songs?
Congratulations
Wow wow wow ❤❤❤
Be blessed
kali sana ndungu
Barikiwa sana
Kazi iliyosafi sana.
Asante sana
Kazi nzuri kaka yetu Ray....mungu akuzidishie hekima
Barikiwa sana
Mkuu hongereni sana
Shukrani sana
Much love from Kenya ❤
Thank you
Bro kazi imetukuka sana hii
Asante sana
Bravooooo!
Be blessed
Ni kwelii kabisa
Huyu baba ataendelea kuishi mioyoni mwetu
Next ni JPM
Kabisa..
🔥🔥🔥💯 kazi nzurii
Hatareee👍♥️🔥