Aa,Shukran sana ndugu Istanmbuli kwa kutupa historia yetu.Ninge kuomba ungefanya la busara ukatunga kitabu ama vitabu ili vizazi vijavyo wajue historia ya mji wao.Shukran
Hatukuyajua na tungependa kujua zaidi historia YA MOMBASA panic kwa UJUMLA historia naipenda na kusoma pia,akeny TUNA matatizo YA kujua sana tusiyoyajua.
Mashaa Allah mzee wetu stambuli umetufunza mengi katika historia hii kwa ushahidi yaliyo tokea na wala usishtuliwe na kuudhika kwa wanao tia kasumba na maneno ya chuki sababu hawana ushahidi wowote. Ukweli kila siku utabaki ukweli na ukweli umetu dhihirishia kwa ushahidi. nakutakia umri mrefu na afya mzee wetu Stambuli🌟.
و عليكم السلام و رحمة الله و بركاته Thank you very much. Tufanyiye hisoriya ya Mombasa izungumziwe vyuwoni na masajid. Jee unacho chuo wewe tuhudhuriye? الله يحفظك في امان الله
ASSALAAMU ALEYKUM MZEE YANGU MOMBASA BELONGS TO BAJUNI PEOPLE WHY PEOPLE HATE US TOO SAD 😢😢😢😢😢😢 MY ALLAH WILL HELP US INSHALLAH AMEEN AMEEN AMEEN ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Inategemea ni kwale sehemu gani haswa maana ipo sehemu za milimani na ipo sehemu za chini baharini.... Robert matano anatokea kwale juu milimani haswa zaidi ya maili 3
Naelewa ndugu yangu. Lakini, kwa mujibu wa maelezo niliyonayo inamaanisha Kwale yote kwa kuwa hakukuwa na mwakilishi mwengine kutoka sehemu hiyo! Na, hizo zilikuwa hila na njama za Waimgereza tu.
Ushauri tu. Usitumie muda mwingi kwenye kitambulisho. Pili, zama kwenye maada moja kwa moja, mtandao ni gari la kasi, huku kila mtu ana haraka. Una nafasi ya kutoa elimu, usiipoteze kwa kutumia mbinu zisizo mwafaka na kizazi cha sasa.
ukweli ni kuwa mzee wako ndio alikuwe mbele kuiuza mombasa kisha asitosheke akatulea ushia east africa kwa mara ya kwanza.familia yenu imetugawanya kwa mali na dini yetu.
Aa,Shukran sana ndugu Istanmbuli kwa kutupa historia yetu.Ninge kuomba ungefanya la busara ukatunga kitabu ama vitabu ili vizazi vijavyo wajue historia ya mji wao.Shukran
The truth might be bitter, however , it must be told. Kudos my brother. Keep on enlightening the masses.
Shukran bro.
Shida zenu ni zetu Zanzibar 😥
Ukweli lazima ijulikane. Bora sisi waswahili wa huku TZ, waswahili wa Kenya kwa kweli wamepitia kipindi kigumu!
Usolijua ni usiku wa giza. Shukran mzee wetu.
Hatukuyajua na tungependa kujua zaidi historia YA MOMBASA panic kwa UJUMLA historia naipenda na kusoma pia,akeny TUNA matatizo YA kujua sana tusiyoyajua.
Excellent analysis
Truth is an offence.mungu akulinde bro.
Your doing a good work Mzee stanmbuli👏👏.We need people like u
Ahsanta sana ndugu.
Mashallah....
Mashaa Allah mzee wetu stambuli umetufunza mengi katika historia hii kwa ushahidi yaliyo tokea na wala usishtuliwe na kuudhika kwa wanao tia kasumba na maneno ya chuki sababu hawana ushahidi wowote. Ukweli kila siku utabaki ukweli na ukweli umetu dhihirishia kwa ushahidi. nakutakia umri mrefu na afya mzee wetu Stambuli🌟.
Nashukuru sana kwa kunielewa.
Kaka ssfi sana.tunaomba nasisi wahuku Tanzania. Tuangarizie mwambao wetu.kuna tetesi tanganyika haina bahari
Shukran sana stanbul
Umefanya vizuri kutuelimisha na tunafuraha tutazidi kufaidika kupitia ukurasa wako wa youtube. Asante sana Sheikh Stambul nakupa kongole.
Shukran sana ndugu yangu.
10:50 historia muhimu sana. Asante kwa juhudi bwana Istambuli
Shukran sana. Du'a zenu muhimu.
و عليكم السلام و رحمة الله و بركاته
Thank you very much. Tufanyiye hisoriya ya Mombasa izungumziwe vyuwoni na masajid. Jee unacho chuo wewe tuhudhuriye? الله يحفظك في امان الله
Allah ibarik fik
Ahsaant ndugu yangu Stanbul
و عليكم السلام
Nakushukuru
🙏🙏🙏🙏
ASSALAAMU ALEYKUM MZEE YANGU MOMBASA BELONGS TO BAJUNI PEOPLE WHY PEOPLE HATE US TOO SAD 😢😢😢😢😢😢 MY ALLAH WILL HELP US INSHALLAH AMEEN AMEEN AMEEN ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
At least 1k people watch uwafikie
Inategemea ni kwale sehemu gani haswa maana ipo sehemu za milimani na ipo sehemu za chini baharini....
Robert matano anatokea kwale juu milimani haswa zaidi ya maili 3
Naelewa ndugu yangu. Lakini, kwa mujibu wa maelezo niliyonayo inamaanisha Kwale yote kwa kuwa hakukuwa na mwakilishi mwengine kutoka sehemu hiyo! Na, hizo zilikuwa hila na njama za Waimgereza tu.
Nime furahi sana stambull
Toboa……..!
Kwani hivi waarabu ni waafrika?
Real Arabs are part of Africa. The omanis and Yemeni can claim Africa because they are part of Africa.
There are many black Arabs even the Barawi can claim and be rightfully Africans. Example the Barawi. There are many others in Sudan.
Kwa ufafanuzi
Mzee unapoteza Muda mrefu kuelezea vitu kidogo
Ni muhimu aeleze Kwa kina
Ushauri tu. Usitumie muda mwingi kwenye kitambulisho. Pili, zama kwenye maada moja kwa moja, mtandao ni gari la kasi, huku kila mtu ana haraka. Una nafasi ya kutoa elimu, usiipoteze kwa kutumia mbinu zisizo mwafaka na kizazi cha sasa.
ukweli ni kuwa mzee wako ndio alikuwe mbele kuiuza mombasa kisha asitosheke akatulea ushia east africa kwa mara ya kwanza.familia yenu imetugawanya kwa mali na dini yetu.
Hujui kutangaza ww??
Napenda kuhishimu maoni yako. Lakini, si wewe utowe kanda yako tukusikiye ukitangaza?!
Ndio nyinyi ukweli una wauma, umuhimu ni ukweli anao sema na si muhimu anavyo tangaza.
hasemi utakacho kisikia,ywasema upasacho kisikia.waama wataka kinyume na hayo,sikiza BBC
Wesonga wewe ni Mganda.... please keep off.
@@maragolihistory2118 Wewe mshamba, mm naitwa Wasonga na sio Wesonga kama jina hili hujalisikia Kenya wewe sio Mkenya