Je, Mwambao Uliuzwa?! - Makala ya Pili.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 окт 2024

Комментарии • 46

  • @Shaa2r
    @Shaa2r Год назад +7

    Aa,Shukran sana ndugu Istanmbuli kwa kutupa historia yetu.Ninge kuomba ungefanya la busara ukatunga kitabu ama vitabu ili vizazi vijavyo wajue historia ya mji wao.Shukran

  • @chefabdallamasoud290
    @chefabdallamasoud290 Год назад +7

    The truth might be bitter, however , it must be told. Kudos my brother. Keep on enlightening the masses.

  • @aaahadventures4214
    @aaahadventures4214 Год назад +8

    Shida zenu ni zetu Zanzibar 😥

  • @kikalarashid9003
    @kikalarashid9003 Год назад +4

    Ukweli lazima ijulikane. Bora sisi waswahili wa huku TZ, waswahili wa Kenya kwa kweli wamepitia kipindi kigumu!

  • @abdallahmasare3116
    @abdallahmasare3116 Год назад +1

    Usolijua ni usiku wa giza. Shukran mzee wetu.

  • @rosewandebi6496
    @rosewandebi6496 Год назад +1

    Hatukuyajua na tungependa kujua zaidi historia YA MOMBASA panic kwa UJUMLA historia naipenda na kusoma pia,akeny TUNA matatizo YA kujua sana tusiyoyajua.

  • @4JumbeLaShingwaya
    @4JumbeLaShingwaya Год назад +1

    Excellent analysis

  • @nassirsadi3525
    @nassirsadi3525 Год назад +3

    Truth is an offence.mungu akulinde bro.

  • @shabanjuma2616
    @shabanjuma2616 Год назад +1

    Your doing a good work Mzee stanmbuli👏👏.We need people like u

  • @swalehdiesel8340
    @swalehdiesel8340 Год назад +1

    Mashallah....

  • @abubakarrahim8482
    @abubakarrahim8482 Год назад +2

    Mashaa Allah mzee wetu stambuli umetufunza mengi katika historia hii kwa ushahidi yaliyo tokea na wala usishtuliwe na kuudhika kwa wanao tia kasumba na maneno ya chuki sababu hawana ushahidi wowote. Ukweli kila siku utabaki ukweli na ukweli umetu dhihirishia kwa ushahidi. nakutakia umri mrefu na afya mzee wetu Stambuli🌟.

  • @hassankhatibmndima2513
    @hassankhatibmndima2513 Год назад +2

    Kaka ssfi sana.tunaomba nasisi wahuku Tanzania. Tuangarizie mwambao wetu.kuna tetesi tanganyika haina bahari

  • @abdulqadirissa2535
    @abdulqadirissa2535 Год назад +1

    Shukran sana stanbul

  • @medswamedswa5747
    @medswamedswa5747 Год назад +2

    Umefanya vizuri kutuelimisha na tunafuraha tutazidi kufaidika kupitia ukurasa wako wa youtube. Asante sana Sheikh Stambul nakupa kongole.

  • @SaeedBana
    @SaeedBana Год назад

    10:50 historia muhimu sana. Asante kwa juhudi bwana Istambuli

  • @aisharashaad3830
    @aisharashaad3830 Год назад

    و عليكم السلام و رحمة الله و بركاته
    Thank you very much. Tufanyiye hisoriya ya Mombasa izungumziwe vyuwoni na masajid. Jee unacho chuo wewe tuhudhuriye? الله يحفظك في امان الله

  • @MA-ht7po
    @MA-ht7po Год назад +1

    Allah ibarik fik

  • @ahmedrashid7638
    @ahmedrashid7638 Год назад +2

    Ahsaant ndugu yangu Stanbul

  • @aisharashaad3830
    @aisharashaad3830 Год назад

    و عليكم السلام
    Nakushukuru

  • @alimzee
    @alimzee Год назад

    🙏🙏🙏🙏

  • @chinaboyzanzibar5328
    @chinaboyzanzibar5328 Год назад

    ASSALAAMU ALEYKUM MZEE YANGU MOMBASA BELONGS TO BAJUNI PEOPLE WHY PEOPLE HATE US TOO SAD 😢😢😢😢😢😢 MY ALLAH WILL HELP US INSHALLAH AMEEN AMEEN AMEEN ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @salimmachila5736
    @salimmachila5736 Год назад +1

    At least 1k people watch uwafikie

  • @TheKroyox
    @TheKroyox Год назад +1

    Inategemea ni kwale sehemu gani haswa maana ipo sehemu za milimani na ipo sehemu za chini baharini....
    Robert matano anatokea kwale juu milimani haswa zaidi ya maili 3

    • @stambuliwash.abdillahinass8123
      @stambuliwash.abdillahinass8123  Год назад +1

      Naelewa ndugu yangu. Lakini, kwa mujibu wa maelezo niliyonayo inamaanisha Kwale yote kwa kuwa hakukuwa na mwakilishi mwengine kutoka sehemu hiyo! Na, hizo zilikuwa hila na njama za Waimgereza tu.

  • @abdulqadirissa2535
    @abdulqadirissa2535 Год назад +1

    Nime furahi sana stambull

  • @Kitwitwi
    @Kitwitwi Год назад +2

    Toboa……..!

  • @balusilunganyi1387
    @balusilunganyi1387 Год назад +1

    Kwani hivi waarabu ni waafrika?

    • @maragolihistory2118
      @maragolihistory2118 Год назад

      Real Arabs are part of Africa. The omanis and Yemeni can claim Africa because they are part of Africa.

    • @maragolihistory2118
      @maragolihistory2118 Год назад

      There are many black Arabs even the Barawi can claim and be rightfully Africans. Example the Barawi. There are many others in Sudan.

  • @abdulqadirissa2535
    @abdulqadirissa2535 Год назад +1

    Kwa ufafanuzi

  • @RashidAhmed-h7t
    @RashidAhmed-h7t 5 месяцев назад

    Mzee unapoteza Muda mrefu kuelezea vitu kidogo

  • @bluekenya4825
    @bluekenya4825 Год назад

    Ushauri tu. Usitumie muda mwingi kwenye kitambulisho. Pili, zama kwenye maada moja kwa moja, mtandao ni gari la kasi, huku kila mtu ana haraka. Una nafasi ya kutoa elimu, usiipoteze kwa kutumia mbinu zisizo mwafaka na kizazi cha sasa.

  • @Nature-xe7lu
    @Nature-xe7lu Год назад

    ukweli ni kuwa mzee wako ndio alikuwe mbele kuiuza mombasa kisha asitosheke akatulea ushia east africa kwa mara ya kwanza.familia yenu imetugawanya kwa mali na dini yetu.

  • @chriswasonga1782
    @chriswasonga1782 Год назад

    Hujui kutangaza ww??

    • @stambuliwash.abdillahinass8123
      @stambuliwash.abdillahinass8123  Год назад +9

      Napenda kuhishimu maoni yako. Lakini, si wewe utowe kanda yako tukusikiye ukitangaza?!

    • @Shaa2r
      @Shaa2r Год назад +4

      Ndio nyinyi ukweli una wauma, umuhimu ni ukweli anao sema na si muhimu anavyo tangaza.

    • @nidaquincy3275
      @nidaquincy3275 Год назад +3

      hasemi utakacho kisikia,ywasema upasacho kisikia.waama wataka kinyume na hayo,sikiza BBC

    • @maragolihistory2118
      @maragolihistory2118 Год назад

      Wesonga wewe ni Mganda.... please keep off.

    • @chriswasonga1782
      @chriswasonga1782 Год назад

      @@maragolihistory2118 Wewe mshamba, mm naitwa Wasonga na sio Wesonga kama jina hili hujalisikia Kenya wewe sio Mkenya