@@sabihaibrahim143 sasa mbona wanitukana wakati mm ni muislam kindaki2? Nimemrekebisha kumbuka lbd haelewi. Wengi wao ambao sio waislam wanasema Mungu moja tu. Sio kweli M'mungu wetu ni wa hakhi na mmoja hana utatu. Haya Roho na ikutulie.
@@mwawekomiuda9779huyu hakukuelewa ameelewa pengine umemaanisha na waislamu tuna amini ktk utatu mtakatifu 😅 ndo ameelewa hivyo so tumsamehw N Allah atuongoze sote ameen yaarab
Umeongea vizuri sana dr kumbuka
MAASHAALLAH...BIG UP BRO.... #NIMEKUELEWA... Allah akulinde na akuzidishie kila jema..INSHAALLAH...🙏🤲🤲
Mashaallah mtangazaji umependeza kuvaa hijab kuliko makofia unayovaa
Nikweli kaka matajiri wajifunze kusaidia wanyonge na Yakima nasio machawa wanaoweza kutafuta na wanavyo
😂😂😂😂 jamani machawa siwale wanokaa kwenye nywele? Au wako machawa wengine???? Au ni kupe hao??? 😂😂😂😂
Ni kweli Kumbuka❤❤❤
Ati kwenda hija umra au hija nanyì nyinyi kambae muko usingizini
Sio sihiri ni Siri ukisema sihiri tafsiri yake ni uchawi
😂
Sio hija.. ni umra
Dr kumbuka , Hapana waislam na wasokua waislam hatuamini Mungu mmoja mpaka kiama.
nyoo waislamu tunajua mungu mmoja labda nyiye
@@sabihaibrahim143 sasa mbona wanitukana wakati mm ni muislam kindaki2? Nimemrekebisha kumbuka lbd haelewi. Wengi wao ambao sio waislam wanasema Mungu moja tu. Sio kweli M'mungu wetu ni wa hakhi na mmoja hana utatu. Haya Roho na ikutulie.
@@mwawekomiuda9779 pole si kukuelewa itakuwa
@@mwawekomiuda9779huyu hakukuelewa ameelewa pengine umemaanisha na waislamu tuna amini ktk utatu mtakatifu 😅 ndo ameelewa hivyo so tumsamehw N Allah atuongoze sote ameen yaarab
Sihiri ni Uchawi, Au Umemaanisha Nini Wewe na Mwiijaku ndy WaleWale
Kwendraa
Mtangazaji ukiwa hujuwi usiseme. Hijah gani inofanywa sasa😂😂 Ni Umrah. Semeni Mungu awahidi wacheni kusema watu kila mtu na amali yake.
Haya nayo ni magazijuto ( ) / * + - = watumiaji wa iftar wameangalia Zaid msosi kuliko ibada muangalie muandazi anatumia mkono gani kuweka chakula🤭
😢😢
😂
Pesa alipew na GSM.KWahiyo ni za haramu?
😂😂😂😂😂😂😂