DR. SLAA ANAIVAA KAMATI YA BUNGE SAKATA LA MPINA UFISADI WA WAZIRI BASHE NA WENZAKE SUKARI TANZANIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 июл 2024

Комментарии • 29

  • @machujamathias7165
    @machujamathias7165 2 дня назад +5

    Imeniuma Sanaa suala la mpina, cielew TU hii nchii

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 2 дня назад +5

    Kumbe Mpina alikuwa sahihi duh 🙄 🙄 🙄

  • @d.family.choir1799
    @d.family.choir1799 2 дня назад +4

    Du kweli hii nchi ni ya hovyo ee mwenyezi Mungu nipe nafasi skumoja niwe rais wa taifa hili nilinyooshe make naona waliopo siwaelewi kabisa

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 2 дня назад +2

    WaTz amkeni GEN Z hampo TZ??

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 День назад +1

    HAO NI WABUNGEEE KWELI NI VIBARAKA TUU HAO. NJAA YA UTAJIRI WA HARAKA INASUMBUWA SANAA.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 День назад +2

    MUNGU AWALAANI NA KUWATEKETEZA KWA MOTO.

  • @tumainikomba9008
    @tumainikomba9008 День назад +1

    Hii Nchi jaman 😢😢

  • @MelickMwanzalima
    @MelickMwanzalima День назад +1

    Umesikia kauli ya wenyeviwada

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 День назад +3

    JAMANI CHADEMA KWA NINI HAMMWEKI MZEE SLAA ACHUKUWE KITI CHA URAIS ? .

  • @user-su6xu7ks7m
    @user-su6xu7ks7m 17 часов назад +1

    AMUKENI WATANZANIA MAMA NI MWIZI NA ANAFUGA WEZI.

  • @tumainikomba9008
    @tumainikomba9008 День назад

    Mhn......

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y 2 дня назад

    Kumbe mpina alikuwa Sahihi sasa walimlinda waziri Bashe wa nini serikali ya hovyo sana hii

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri7757 День назад

    Hii timu iliyokwenda Dubai ni hatari sana kwa uchumi na raslimali za nchi yetu. Hewa ndio wa Bunge wa Bunge la tano la Magufuri wamebadirika utadhani sio wao!!! Kweli kufanya kazi na watu wanafiki ni hatari sana

  • @user-su6xu7ks7m
    @user-su6xu7ks7m 17 часов назад

    SPEAKER WA MCHONGO.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 День назад

    MIMI NINACHOSHANGAA KWA NINI WANASEMA SERIKALI IKO VIZURI NA HUKU KILA SIKU TUNASIKIA HASARA KWENYE MAKAMPUNI YOTE.

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 День назад

    Viwqavi, nzige, kwereakwerea ni hatari sana wakivamia shamba hula. Kila kitu na. Kkubaki kama jangwa!

  • @user-jc8vt7ct9t
    @user-jc8vt7ct9t 2 дня назад

    MUNGU anafichua madudu yote Nchi yetu inachezewa na kikundi cha watu

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 День назад

    Tatizo lako ni Uyuda eskalioti mlioufanya kula na chama tawala leo mnasema nini??

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 День назад

    Huyu Baba ni Tatizo

  • @froma3732
    @froma3732 2 дня назад +1

    Wewe piga kelele Bashe haendi Atakuwepo Wenye Viwanda watujibu kwani Sukuri ilipotea

    • @hamudshabani7801
      @hamudshabani7801 2 дня назад

      Think and read the line bro

    • @matiredms917
      @matiredms917 2 дня назад

      The guy cannot read between the line because he is blindfolded by his uchawa and shere stupidity and idiocy.​@@hamudshabani7801

    • @MonayLai
      @MonayLai 2 дня назад +1

      Kwani hujaskia wameongea jana na kumsuta Bashe

    • @phabianshimba6791
      @phabianshimba6791 2 дня назад

      Wewe Bado sana ila unajiforce tu kujua mambo

    • @sskondopoleani9616
      @sskondopoleani9616 2 дня назад

      Slaa huna USINGIZI???