Munani Nami Viumbe - Swabaha Salum Rmx | MARJAN SEMPA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • FOR MPESA GIFTING - 👉 me.creator.co....
    SEMPAZ SOUNDS Ent...
    For BOOKING=
    EMAIL. Marjansempa@gmail.com
    Cell - +254728011195.... or....+254737307549
    The authentic and genuine traditional Swahili Music, that has its origin in Zanzibar and coastal area of Tanzania. The lyrics (Mashairi) in Taarab music are not just ordinary lyrics they're poems or more precisely it's poetry containing significant and instructively information.
    In fact all Taarab songs follow the formal rules of traditional Swahili poetry, with intricate rhyming schemes. Furthermore Taarab is one of Swahili people ways of delivering messages to specific individual or individuals with very special metaphor or language codes that most likely and mostly only Swahili people can interpret, so even if you understand Swahili that doesn't mean you comprehend the messages behind, contents and significance of Taarab lyrics.
    SONG LYRICS:
    Salamu nimezipata ulotuma kunambia
    Salamu nimezipata ulotuma kunambia
    Nasikia wajinata Leo utanitambia
    Lakini utanikuta Sabaha nakungojea
    Lakini utanikuta sabaha nakungojea
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe jamaa mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Wewe kuku wewe kuku chakula chako jaani
    Wewe kuku wewe kuku chakula chako jaani
    Mimi njia mimi njiwa huletewa mikononii
    Kama hujui uliza mimi nawe bora nani
    Kama hujui uliza mimi nawe bora nani
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe jamaa mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Mahali ukichukizia huzuka kila mazuo
    Mahali ukichukiza huzuka kila mazuo
    Huzidi na miujiza kusudi uvunjwe cheo
    Japo wajipendekeza katu huwi mtu kwao
    Japo wajipendekeza katu huwi mtu kwao
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe jamaa mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Ni bure hamunipati mbio mukaniendea
    Ni bure hamunipati mbio mukaniendea
    Mtakufa na laiti uku mkinishuhudia
    Nimewashinda bahati ndipo mkanichukia
    Nimewashinda bahati ndipo mkanichukia
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe jamaa mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Dunia yetu ya leo si ya watu kusemana
    Dunia yetu ya leo si ya watu kusemana
    Kila alie na lake aombe Rabbi salama
    Kama langu limetota na lako wewe litazama
    Kama langu limetota na lako wewe litazama
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe jamaa mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Mtu akitaka sema kwanza hutizama lake
    Mtu akitaka sema kwanza hutizama lake
    Akazunguka na nyuma kutizama yalokwake
    Hainuki kusimama kutangaza ya mwenzake
    Hainuki kusimama kutangaza ya mwenzake
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe jamaa mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Mwafanya muyatakayo mimi sisemi ya mtu
    Mwafanya muyatakayo mimi sisemi ya mtu
    Yangu yafata mbio komeni roho za kutu
    Kwanza safisheni nyoyo kisha mseme ya watu
    Kwanza safisheni nyoyo kisha mseme ya watu
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe jamaa mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Sijali mimi sijali maovu mkinitangaza
    Sijali mimi sijali maovu mkinitangaza
    Ni mambo tangu akali si mwanzo kujitokeza
    Najua msema kweli kwa wengine huchukiza
    Najua msema kweli kwa wengine huchukiza
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe jamaa mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Nina neno ndugu zangu nawaeleza sikizeni
    Nina neno ndugu zangu nawaeleza sikizeni
    Kutangwa jina langu kwa uzushi mtaani
    Hamnitii machunguu walakwangu si magenii
    Hamnitii machunguu walakwangu si magenii
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe jamaa mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Ukitaka jenga nyumba ukajengee mjini
    Ukitaka jenga nyumba ukajengee mjini
    Nadirisha na dirisha ulielekeze kusini
    Hauna nywele kichwani sasa chanuo la nini
    Hauna nywele kichwani sasa chanuo la nini
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe jamaa mwapita mwanilaumu
    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu
    #MarjanSempa
    #Munani_nami_viumbe
    #SwabahaSalum
    #2022
    @Diamond Platnumz

Комментарии • 246

  • @Rukiaomary-ed4bj
    @Rukiaomary-ed4bj 2 месяца назад +18

    Tunaoskiliza huu wimbo 2024 tujuane hapa

  • @briindiana7306
    @briindiana7306 2 года назад +57

    All lovers wa hii wimbo please let's gather here this 2022❤❤🇰🇪🇰🇪

  • @zalhatabubakar6581
    @zalhatabubakar6581 3 года назад +22

    Oyooooooo ilkua naingojea sanaaaa

  • @abdulhamidkificho5768
    @abdulhamidkificho5768 3 года назад +25

    Salamu nimezipata ulotuma kunambia
    Nasikia wajinata Leo utanitambia
    Lakin utanikuta Sabaha nakungojea
    Lakin utanikuta sabaha nakungojea

  • @zenakhamis5892
    @zenakhamis5892 3 года назад +16

    Dunia yetu yaleo siya watu kusemana.. kila aliena lake aombe rabi salama.. kama langu limetota na lako ww litazama ...dah tamu haki

  • @mohamedipandu1689
    @mohamedipandu1689 3 года назад +25

    Nzuri sana, ila kama itawezekana naomba taarab inayoitwa Shukrani za Punda iliyoimbwa na Bi Eshe Mohammed. Ahsante.

  • @abdulhamidkificho5768
    @abdulhamidkificho5768 3 года назад +28

    Dunia yetu ya leo si ya watu kusemana
    Kila alie na lake aombe Rabbi salama
    Kama langu limetota lako wewe litazama
    Kama langu limetota lako wewe litazama

  • @bintykigan6236
    @bintykigan6236 3 года назад +20

    Yanikumbusha marehemu juma balo mungu amrehemu cz sauti baadhi ya mashairi niya bhalo

    • @mtu.wa3
      @mtu.wa3 3 года назад

      wewe kuku wewe kuku chakula Chako jaani..mimi njiwa mimi njiwa huletewa mikonini! Kama hujui uliza, mimi na wewe bora nani?

  • @faridahabibu3845
    @faridahabibu3845 2 года назад +9

    Wewe kuku wewe kuku chakula chako Jaani Mimi njiwa Mimi njiwa huletewa mikononi kama hujui huliza Mimi nawewe bora Nani💃💃💃💃💃

  • @fatoumaahmed7670
    @fatoumaahmed7670 3 года назад +26

    Nampenda sana sabah salum
    Asante sana

  • @mammylooreuben4800
    @mammylooreuben4800 2 года назад +51

    Nani mwingne anaskiliza hii🔥🔥July 2022

  • @abdulhamidkificho5768
    @abdulhamidkificho5768 3 года назад +17

    Wewe kuku wewe kuku, chakula jaani
    Mimi njiwa Mimi njiwa huletewa mikononi
    Kama hujui uliza Mimi nawe bora nan
    Kama hujui uliza Mimi nawe bora nani

  • @aminajaha3703
    @aminajaha3703 3 года назад +10

    Ahsante mama hauna kazi mbaya🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎈🎈🎈🎈🎈🎈🎈🎈🎈

  • @abdulhamidkificho5768
    @abdulhamidkificho5768 3 года назад +10

    Wewe kuku wewe kuku,,chakula chako jaani
    Mimi njiwa mimi njiwa,huletewa mikononi
    Yaasalaam Aunt Sabah muchacho

  • @user-ny1ut9kw7p
    @user-ny1ut9kw7p Год назад +5

    My favorite song🥰Sabah salum ww n moto nkupnda Bure mom❤❤

  • @zenaal-baalawy3262
    @zenaal-baalawy3262 3 года назад +25

    Mtu akitaka sema kwanza hutizama yake, akageuka na nyuma kutizama yalo yake, hainuki kusimama kutangaza ya wenzake👌

  • @mouhamadbakri9720
    @mouhamadbakri9720 3 года назад +17

    Hii pambe 😍❤️ asingekua sabah nisingesikiliza taraabu jamani

  • @AmCool_
    @AmCool_ 3 года назад +17

    Leo ni tarehe 24/06/2021,
    Hivi sasa saa 18:23'
    Ni siku ya Alhamis
    LIKE 👍🏽

  • @bossbaby5722
    @bossbaby5722 3 года назад +24

    Wapiii swabah weuweeeeee💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽🥳🥳🥳taarab pambeee👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽

  • @ednagodson7540
    @ednagodson7540 3 года назад +9

    Weuweeeeee kwetu rahaaaaaaa teynaaaaaaa

  • @badarahmed1861
    @badarahmed1861 3 года назад +14

    Allah ailaze roho yake pema Marhemu Profesa Juma Bhalo

  • @rizkajuma8424
    @rizkajuma8424 3 года назад +8

    Wewe kuku chakula chako jaani mm njiwa naletewa nyumbani kama hujui uliza mm nawe Bora Nani khaaah

  • @abouayman8713
    @abouayman8713 3 года назад +11

    taarab sa iv imevamiwa na majike shupa...salut kwako swabah%

  • @muhammadomar1787
    @muhammadomar1787 3 года назад +15

    MTU akitaka sema kwanza hutizama lake,akazunguka na nyuma kutizama yalokwake,haenuki kusimama kutangaza ya mwenzake waiyoooooooo

  • @bestlyrics7411
    @bestlyrics7411 3 года назад +38

    salamu nimezipata ulotuma kunambia x 2
    nasikia wajinataa leo utanitambia
    lakini utanikuta sabaha nakungojea x2
    muna ni mani viumbe mwapita mwanilaumu x4
    Wewe kuku wewe kuku, chakula jaani x2
    Mimi njiwa Mimi njiwa huletewa mikononi
    Kama hujui uliza Mimi nawe bora nan
    Kama hujui uliza Mimi nawe bora nani
    muna ni mani viumbe mwapita mwanilaumu x4
    mahali ukichukiza huzuka kila mazuo x2
    huzidi na miujiza kusudi uvunje cheo
    japo wajipendekeza katu huwi mtu kwao x
    muna ni mani viumbe mwapita mwanilaumu x4
    ni bure hamunipati mbio mkaniendea x2
    mtakufa na laiti huku mkiwashuudia
    zimewashinda bahati ndipo mkanichukia x2
    muna ni mani viumbe mwapita mwanilaumu x4
    dunia yetu ya leo si yawatu kusemana x2
    kila alie nalake aombe rabi salama
    kama langu limetota na lako wewe litazama x2
    muna ni mani viumbe mwapita mwanilaumu x4
    mtu akitaka sema kwanza hutizama lakex2
    akazunguka na nyuma kutazama yalokwakwe
    hainuki kusimama kutangaza yawenzake x2
    muna ni mani viumbe mwapita mwanilaumu x4
    mwafanya muyatakayo mimi siswemi ya mtu x2
    yangu mwayafata mbio komeni roho za kutu
    kwanza safisheni nyoyo kisha museme ya watu x2
    muna ni mani viumbe mwapita mwanilaumu x4
    sijali mimi sijali maovu mkinitangaza x2
    ni mambo tangu angali si mwanzo kujitokeza
    najua msema kweli kwa wengine huchukiza x2
    muna ni mani viumbe mwapita mwanilaumu x4
    nina neno ndugu zangu naweleza sikizeni x2
    kutangazwa jina langu kwa uzushi mitaani
    hamnitii machungu wala kwangu si mageni x2
    muna ni mani viumbe mwapita mwanilaumu x4
    ukitaka jenga nyumba ukajengee mjini x2
    na dirisha na dirisha ulielekeze kusini
    na huna nywele kichwani sasa shanuo la nn x2
    muna ni mani viumbe mwapita mwanilaumu x4

  • @mamitaamashausi5164
    @mamitaamashausi5164 3 года назад +10

    Mnani Na mi viumbe Mwapita mwanilaumuuuuuuuu
    We kuku Chakula chako Jaani
    Mie Njiwa huletewa mikononi ☺

  • @maimunaathman4664
    @maimunaathman4664 3 года назад +15

    Wauh hili goma likua nalitafuta sana Wallah. Shukran Habibi

  • @alithuva7480
    @alithuva7480 3 года назад +5

    Hii kali jamani tamu km nn si choki kuickia keep it up

  • @msiyakwedele828
    @msiyakwedele828 3 года назад +6

    Hauna nywele kichwani sasa shanuo la nini? Halooooooooooooo swabaha umenena hapo

  • @saidiaisha6140
    @saidiaisha6140 3 года назад +6

    Naomba unitumie nimeipenda

  • @user-gt5mi3bv2v
    @user-gt5mi3bv2v 9 месяцев назад +2

    Unabaya nymbo zako pambe

  • @salehnassor8980
    @salehnassor8980 3 года назад +12

    Hii taarab pambeee hongera sana sabaha nakupenda mnoo

  • @rasykizanjbari4996
    @rasykizanjbari4996 3 года назад +4

    Unatisha mama

  • @imanhatibu7771
    @imanhatibu7771 Год назад +4

    2023 na bado ni hit 🔥

  • @kimlee2488
    @kimlee2488 3 года назад +5

    Woyoooooooooooooooooo

  • @LaylatMuhinda-yw1xk
    @LaylatMuhinda-yw1xk 7 месяцев назад +1

    Pambe tyuuu b sabaha anazeeka na utam wke

  • @eqbalarrith4059
    @eqbalarrith4059 3 года назад +14

    @Marjan ...naomba kibao cha 'nyumba njema si mlango fungua uingie ndani'

  • @hannanmohammed2284
    @hannanmohammed2284 3 года назад +9

    Piga kelele kwa Saba akeee....ngoma Kali sna

  • @shamimali396
    @shamimali396 3 года назад +10

    Hongera dadaangu.....

  • @jidraphwaitiki1734
    @jidraphwaitiki1734 3 года назад +5

    1z

  • @sadatkawambo1148
    @sadatkawambo1148 3 года назад +3

    Pambeeeeee ukoseagi

  • @ktggtvgvtghadijaalifanichi1301
    @ktggtvgvtghadijaalifanichi1301 2 года назад +2

    Hapo chacha utajuwa hujuwi

  • @salunarashid6202
    @salunarashid6202 3 года назад +10

    Wawooh

  • @user-sv2or7xc3u
    @user-sv2or7xc3u 6 месяцев назад

    Pambe mama wetu jaman piga kelele Kwa mama weweweeeeeeeeeeeeeeh ❤

  • @munaisa5850
    @munaisa5850 2 года назад +4

    Santaa swabaha

  • @Monaish___mooon
    @Monaish___mooon 3 года назад +5

    Wewe kuku chakuka jaan mm njiwa uletewa mkononi👌👌👌💕💕

  • @SharifuMalinyingi
    @SharifuMalinyingi 3 месяца назад

    Mambo ya nyumbani hya kama mtu hayupo hku hana tabia hana tabia hawez kurai hana ladha ya mpñz anateseka👰🧑‍🚀

  • @abdhully3974
    @abdhully3974 3 года назад +19

    Finally marjan 🤗🤗💯💯

  • @BosheniFaisary-hd7tr
    @BosheniFaisary-hd7tr 9 месяцев назад

    Noma sana pro max

  • @aminasaid7657
    @aminasaid7657 3 года назад +4

    Pambeeeee viumbe munani

  • @Monaish___mooon
    @Monaish___mooon 3 года назад +8

    Salamu nimezipata jmn munani na miviumbe👌👌👌

  • @aminamollel5725
    @aminamollel5725 3 года назад +6

    Munani nami viumbe mwapita mwanilaumu, Sempaaaaaaaaaa

  • @JinaMakame-vq8mq
    @JinaMakame-vq8mq 2 месяца назад

    Wewewwee swabahaa unanipa amani ya moyoo

  • @likedatshorty
    @likedatshorty 3 года назад +6

    Hukosei bi Sabah ❤️

  • @KENNEDYWAFULA-rd5rj
    @KENNEDYWAFULA-rd5rj 3 месяца назад

    Masha Allah habibi

  • @nashdawood410
    @nashdawood410 Год назад +3

    Mashaallah mpaka leo hii ikiekwa harusini hakuna anayekaa❤

  • @shakilawanjiku9013
    @shakilawanjiku9013 Год назад +2

    ✋mimi hapa

  • @mfalmemwinyi9474
    @mfalmemwinyi9474 3 года назад +15

    Asanteeee

  • @XPOSED255
    @XPOSED255 7 месяцев назад

    wazanzibari wenzangu mupooooooooo

  • @halimakawina4589
    @halimakawina4589 3 года назад +15

    Asante marjan napenda sana hii nyimbo

  • @sabrinasab2910
    @sabrinasab2910 3 года назад +7

    Mambo yng ayoooo😘😘

  • @aishajuma6216
    @aishajuma6216 2 года назад +4

    Daaah MashaAllah nimeshaitafuta sana

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 Год назад +1

    Kula chumaaa hicho mama umetishaa sanaaa

  • @mariamsaid1130
    @mariamsaid1130 3 года назад +75

    Only legends listening to this 2021

  • @saidsirya6716
    @saidsirya6716 3 года назад +5

    Aaah jamaniii 2021 tupo bado huku

  • @kelevinally2962
    @kelevinally2962 3 года назад +2

    Tenaaaaaaaaaaa habary ndoiyo hapana chezea swabaha

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 3 года назад +9

    Maneno kunntu👌😘

  • @KhadijaKhadija-fw4nj
    @KhadijaKhadija-fw4nj 3 года назад +5

    Wapiii sabahaaa❤

  • @fatumachengo6390
    @fatumachengo6390 3 года назад +22

    Munani nami viumbeeee mwapita mwanilaumu 2021 still a hit taarabu

  • @saumujumbe7685
    @saumujumbe7685 3 года назад +3

    Hii noma

  • @user-vr2cq8ot5r
    @user-vr2cq8ot5r 9 месяцев назад +1

    Ninakumbukabali

  • @mohamedsalehibrahim6291
    @mohamedsalehibrahim6291 3 года назад +3

    Mwaka gani hiyo

  • @saidahmed8292
    @saidahmed8292 3 года назад +11

    🔥🔥🔥🔥

  • @user-lu5ny9pg5l
    @user-lu5ny9pg5l Год назад

    Jameni,hongela

  • @amriyalibent8441
    @amriyalibent8441 3 года назад +4

    Mwapita mwanilaumu

  • @suzanamwita-fr4wq
    @suzanamwita-fr4wq 2 месяца назад +1

    Nikoapa nakusubli😂😂😂😂😂

  • @dhuhurasaid2596
    @dhuhurasaid2596 3 года назад +2

    Imepenya iyo pambe tuu

  • @josphinedarani6203
    @josphinedarani6203 3 года назад +4

    Nyce song mum

  • @quincemoreen1263
    @quincemoreen1263 2 года назад +7

    Sawa sawa congrats dadangu 😍😍🔥🔥

  • @user-vr2cq8ot5r
    @user-vr2cq8ot5r 9 месяцев назад

    Mimi mwanahamisi amani dsm

  • @kiparaused
    @kiparaused 3 года назад +2

    Oyoooooooooo

  • @sabahiali6021
    @sabahiali6021 3 года назад +4

    Nice somo

  • @superdeeboy6100
    @superdeeboy6100 3 года назад +1

    Hii pambe san nakubali

  • @StellaAlly
    @StellaAlly 4 месяца назад +1

    Mama unajua pongezi kwako 🤲

  • @Lucia-vz3rm
    @Lucia-vz3rm 3 года назад +1

    Na bado 😅

  • @kiduozuberi3867
    @kiduozuberi3867 3 года назад +2

    Swabahaa weeee

  • @yusufkibwana5789
    @yusufkibwana5789 Год назад +3

    All time best taarab GOAT

  • @SaumuMohammedMohammed
    @SaumuMohammedMohammed 26 дней назад

    Nami mmoja wao❤😂

  • @hildanjeri2248
    @hildanjeri2248 2 года назад +6

    Still on top🎤🎤🎤🎤🎤munani nami viumbe jamaaaaaaaaaaa

  • @user-lu5ny9pg5l
    @user-lu5ny9pg5l Год назад

    Taarab safi

  • @AyshaAhmedMohamed
    @AyshaAhmedMohamed 9 дней назад

    Naupenda

  • @user-cn5oz1cl9c
    @user-cn5oz1cl9c Год назад +1

    pambeeeeee❤❤❤❤❤ wabaya mutaiju

  • @doricewanjala6494
    @doricewanjala6494 Год назад +2

    💓🔥💓🔥🔥❣️💯💯munanii nami viumbeeee

  • @SolomonNganga-f1v
    @SolomonNganga-f1v Месяц назад +1

    ❤❤❤SPECIAL REQUEST YAKE ZAM ZAM

  • @RehemaMpeli-dt9vm
    @RehemaMpeli-dt9vm Год назад +1

    Unabaya maaa yet2💞💞pambeee2👌

  • @mariamadam5016
    @mariamadam5016 3 года назад +4

    Mamamaàaaaaaaaaaa🤸🤸🤸

  • @ghaniyashaban8737
    @ghaniyashaban8737 3 года назад +2

    Mambo ya kipwani jb hoyeeee

  • @MohamedIbrahim-if1mc
    @MohamedIbrahim-if1mc Год назад

    Viumbe wazito kweli

  • @rukiaally9284
    @rukiaally9284 3 года назад +6

    Jaman mbon niki dowloard inakataa tunaipataj

  • @fatumabakari6595
    @fatumabakari6595 24 дня назад +1

    Imenigusa.....