Hahaha wewe unanuksi wewe unanuksi na wewe mwenye kashati ka mchele mchele unanuksi na boss unanuksi na saa pia inanuksu hahahaha hahahaha nice job Dada Angu wastara nimeenjoy xna hii move
Huyu masumbuko ana Nini lakini 🤣🤣🤣🤣ameshinda tabia Hahahaha Mtu na nguvu zako wapenda vya bure Kwa lazima 😂😂😂😂pwaaaaa pole yako .... ila unaweza kuchekesha Hongera sana 👏👏👏👏
Napenda san kuangalia movie za hyu sister mungu alimpa kipaji kweli pole san Dada
Hongera. Dada
Wastara Movie zake Azichuji!!..zoteee!..ni Nzuri!..she is my Favorite...# 1
nc muvi nakupenda wastar napia napenda kazizako huwaga azikosei Ongera dada
Kumbe mtu aeza mfanyia mwenzake kitu kibaya mpaka shetani akasirike....Da Wastara nakupendaje kipenzi...
Wastara. Uko sw asante sna na washirika wote
Ndio maana huwa nakupenda tu sana wastara uko sawa asante
Hahaha wewe unanuksi wewe unanuksi na wewe mwenye kashati ka mchele mchele unanuksi na boss unanuksi na saa pia inanuksu hahahaha hahahaha nice job Dada Angu wastara nimeenjoy xna hii move
Nimelia jaman ndoa ngum sana hongera wastara kwa mapambano
Aziza Mohamed Sana mwanaume anabugu huyu looh
😅😅😅😅😅 Huyu Masumbuko alitimia mpaka akapitiliza,Maa Shaa Allah Hongera Wastara.
Alitimiza miezi kakaako
wow dada yangu hongera unakipaji kwakwel
wastara napwnda sana kazi zako
Mashaallah kazi nzuri wastara penda ww sana
Movie ilikuwa fupi lakini imeishia vizuri kama kawaida ya Movie za Wastara!..ni Kata Mti panda Mti!!..tokea mwanzo hadi mwisho!..Good Job!
Umetisha mama ww ndo mkali wao ujawahi kosea Mungu akutie nguvu wastara
asante sana wastara kwakutuamsha in sha allah tunaweza love's
Una moyo mke janaume kama siku nying nishasepa kwenu 🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Jamani nimeipenda wastara kiboko🙏🙏🙏🙏🙏
Wanaume Wa Hivi Ni Wazinzi Kinyama Aseeee
Alitimiza miezi kwenye kuzaliwa😁😁
Wanaume wapenda kitonga Mpooo, mwanaume kazi bahnaa 💪💪🏋️♂️🏋️♂️
Hongera sana wastara na mwanao kafanana na babaake.
Ni mwanae kweli kumbe
Mashaallah MTT wa sajuki kafanana mpaka raha
Huyo ndo mtoto wa sajuki
😊👍
mashallah move nzuri💖
You so funny Wastara . Kakako alitimiza myezi kweli kwenye kuzaliwa
I love your movie so much it has so many advice
Ugitaka kujua samani ya ndoa acika uone
I respect you madam hero God be with you
Shukran sana kwa movie nzuri
asante wastara
Ametimiza miezi kwa ya kuzali 😂😂😂😂kama umesikie ivyo gonga like twende sawa
Big up wastara💕🌸
huyu angekuwa mmewangu saizi tungekuwa tumeshagawana majengo ya serikali zamani Sana
😂😂😂 eti na saa inanuksi khaa
🤣 🤣 🤣 🤣 Big up washirik
Jamani nzuriii
Tatizo.wanaume wakibebwa wanajuwaga hawata shushwa Kumbe mwanamke ni mtu m moja jeulisana anapenda mala moja ana acha mala moja
Ashura Rasheed yes mamy umenena
Ksbisa👌
😀😀
Hhhhhhhhh nice music
Dalali unanifulahisha sana
Kabs
Ndoa inachangamoto mingi. Hata kama hujapitia lazima utayapitia.hekma ni kuvumilia ila sivyio
Yeah iko poa ila hii itakuwa ya zamani kwa sababu siku ya mwisho nasikia eti wastara kakatwa miguu daa inauma sana
Ahsante sana nawapenda sana
Ndoa mtiani
Iyo funzo kabisa kwa wanaume wakaidi
Huyu masumbuko ana Nini lakini 🤣🤣🤣🤣ameshinda tabia Hahahaha Mtu na nguvu zako wapenda vya bure Kwa lazima 😂😂😂😂pwaaaaa pole yako .... ila unaweza kuchekesha Hongera sana 👏👏👏👏
Masumbuko unaniboa bana nini kupiga makelelee yote umechemsha punguza ukali
Daaaaaaah myama vile hata kwa stail iyo penz alinogi boss sawa mwanaume uwe mkal ila duuh so kiiv lazma ujue nae kaziliwa ety
Shemeji kaka ako alitimiza miez 9 kweli hahaahaha
duh hyu mume kichomi. etii had saa ina nuksi
lop you Mrs Juma
Shukrani sana dada wastara
Kama ni ndoa hii hapana jamani siku moja ningeondoka huo sio wivu ni hatari
Mashaallah nzuri inamafunzo tele
Wow sorry sana Babbbaa
Movie nzuri sana inamafunzo mm binafsi imenifunza kitu mume wangu ako hivyo copy right asanteni sana
Hahaha hahaha sijuw comments nn zaid yakutheka tu mume ukali wote pesa za kodi atafute mkeo fyuuuuuuu
mung tupe subra tuweze kuwavumilia waume zetu amn
Nassir Omar amiin
Mume mwenye gubu kama hili ipo siku namvizia amelala nampaka super gluu midomo yake 🤐🤐
Mwana mume unamwenda wazimu wewe namupenda Muke wako tu
😃😃
Nic muvi👌🔥🔥🔥🔥🔥
Kumbe mwanaume suruali
Hahahahahahahaha
Haaahaaaa jaman uwiii
Maashallah
dada wastar tuwekee pat 2
Hili libaba vlipendi linafujo mpaka linaharibu movie
mume kichomi khaaaa 😂😂😂😂
Eti amevaa mchele mchele na alivyo mweusi😂
Zuri cna
Movi imebamba xaan ila fupi xan
😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅😅
Umevaa mchele mchele
Hahahaha
Ni mwana ume makali eeeeeeee ah
Cheupe dawa
😂😂😂😂😂😂