SHEIKH OTHMAN MAALIM NA MFANYA BIASHARA MAARUFU WAACHA HISTORIA PEMBA.
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Kutoka AL FATAH CHARTABLE ASSOCIATION.
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Mashalla mwenzimungu akulipe kheri duniani na akhera.
M mungu ampe kheri ishallah
Maa Shaa Allah ndugu yetu Bopar na Othman Maalim hongereni sana na wengine fuateni nyayo hizi huu ndio Uislam na huu ndio utu Allah atubariki sana
Sh othman umenigusa moyo sana nizaidi yakutowa khutba juu ya membari bila shaka Allah amekukubali kwa hilo umefaulu Allah awafanyie wepesi mumeonyesha mfano hauotosahaulika tarehe njema ya uislamu jazakumullwahu khairan
Jazakum Allahu Khairaan Kathiraan.
Alhamdulillah wallahi Allah awazidishie maradufu na awape afya njema na moyo na awazhibitishie imani msichoke hakika Allah amewapa kwajili yakusaidia wasiokua nauweze.
Mashaallah Allah amzidishie amfanyie wepei na ampe MWISHO MWEMA
Aamiyn
Amiin
Mungu akubarikini kwenye maisha yenu nyote mlohudhuria. Huu ndio UWISLAM . Nzuri inapendeza WALLAHI..الحمدلله
Masha Allah, Allah abarikie zaidi na nyinyi Al fatah, Allah awalipe kwa juhudi zenu.
MaashaAllaah waislaam wamefurahi mnoo, baaraqa Rrahmaan
Mashall mungu awalipe ujira mwema inshallah
Maashallah hii ndio imani hasa ya muumin au waumini kwakweli wanaopokea sadaka hizi na nyengine hakuna budi kuwaombea dua zakheri ck zote ili Allah azidishe baraka na rehma zake waweze kuendeleza kheri hizi shukran Al fatah TV online
Mashallah Allah akuzidishie iman
Allah akubarik, afya, yako, Mali yako, kazi yako, biashara zako uwe ni wakala mzuri wa Allah kwa kile alicho kubariki a, makusanyo ya Mali yasiowafaa waliokuzunguka ni sawa na adhabu ya kuchunga Mali mwisho wa siku ni kuacha kila kitu baada ya kufa pasi na faida kwa mmiliki, Allah akupe imani ya kweli amin
Mashallah x3 mungu akupe afia ameen thuma ameen mashallah mungu amupe zahidi na zahidi ameen thuma ameen
Maasha Allah ndugu zetu Sheikhe Uthman Maalim
Mashaalah Allah akuzidishie kheri illa mfike na kisiwa cha fundo
Mashaallah mungu awazidishie
MaashaAllah maashaAllah Allah akulipen kheyr kubwa hapa dunian n kesho Akhera
Al-fatah hongeren San huwa nikiona hivyo nafulah San had machoz yakinitok natamn siku Allah akinipa Nam nitowe kwa wingi Kam huo inshallah namuomba mungu anipe ili Nam nije kufny hivyo inshallah
Inshaallah
Siyo mbaka uwe nacho kikubwa saaana ndo utoe....waweza toa ata maji ya kunywa au ata ka mkate kalikopo apo jikoni kwako......waweza kuwa na kingi afu usiweze toa ata cent
Mashaallah Allah Akbar Allah awazidishie kikubwa zaid ya icho hongereni sana Shekh Athuman Maalim Allah awajaalie umri mrefu zaidi.
Ameen
Aamiyn
Mashaalah ni kitu cha kheri na cha imani kufanya hivyo.Inshallah Allah awalipe kheri hapa hapa duniani na zaidi huko akhera
Maashaaallah Allah awaongezee zaidi ya mlichotoa
😢MA sha Allah Alhamdulillah Mola awajaliye kheri awadhidishie vitendo maqbul 🙏
Allah akulipe mr bopar na mungu aizidishie Alfalah kutuonesha nasi tupate moyo wa kutoa
Hongera sana Alfatah kwa kutujuxa menge tusoyajua mungu awalipe kheri nyingi
Mashallah kila la kheir
Sheikh othman maalim nampenda sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana uhibbuka fil llah
Mola awadhidishie khayran 🙏🙏🙏
😭😭😭 mashaallah Allah amjaalie bopar kila la kheri katika maisha yake pamoja na mwisho mwema.
Amiin
Mashallah mashalla Mola ambarik sana na atubarik sote waja wake atujaalie tuwe waja wema
Mashaallah Allah azidi kukubarik Bopari na mama yako bi sultana na familia yako mzima Ameen. Kwa kweli ulitoka mbali mpaka ukafika ulipo. Sisahau kabisa tokea uweleni mpaka ukafika Unguja.
Allah awabariki kwakuwasaidia weslamu wenzetu🙏🙏🙏🙏💕
Bopar mashallah mungu akubarik ishallah
Mashaallah allah akupe kila la Mr bopar akuokee na ria
Ma shaallh♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Allah awajaalie kher kubwa Allah amjaalie bopar moyo wa kutoa amjaalie maisha mema duanian na akhera
Dah mungu akulipe kila la kheri father
Mashaallah Allah akuzidishieni umri wenye afya njema nyote muliojitolea kutoa kwa ajili ya Allah
ALLAH awazidishie kila la kheri
Mashaallah alhamdulillah Allah akupe moyo huwo huwo wakutowa inshaallah
Allah awalipe kwakilaa hatuwa ishaa Allah
Mashaallah hii vdeo imeniathiri sana mpka Bopar mwnywe amechukua mzgo na kuupeleka na shekh Othman maalim Allah akuekeni na Akulipeni wema wenu
Bopari mbona msuka makangale hueelekeii
Masha'Allah!!
Nooron alaanoor!!
Jazakallah kheir
Mashaallah Allah atawalipa kesho Ahera Allah humma Amiin
Yaa Allah awajaalie muwe miongoni mwa waja wa peponi ma pia muwayixame na watu wa mjini nao jamn shida wanazo iangalieni tibirinzi au kariakooo
😭😭😭 Nalia kwafuraha mfanya biashara na Sheikh othmani maalim na woote mlioshirikiwooote ktk Kheri Allah awazidishie kila la kheri Allahumma Aamiin 🙏
Allah akulip kila la kheri katik maisha yako inshaallah
Mashallah Allah awalipe
Safi sana
Mashallah Allah awalipe kheri
Mashallah
mashallah jazaka llahu kheir
Masha Allah
Allah awalipe zaidi ya mnachokitoa 🤲
mashallahw mashallahw Allahw Aqbr Alhw Aqbar
Mashaallah tabarakallah Allah awabarik
😭😭😭😭Hakika nawa penda kwa Ajili YA ALLAH Mtukufu 💞
Mashallah Said nassir bopar, tupate matajiri 100 wenye moto kama hawa basi znz hakutakuwa na mtu atakaye lala njaa
Kweli tupate watu MAKARIM kama hapa... Mungu akuzidishiye Amin.
Bopar Mashallah Mungu akuzidishie zaidi
Yaa mungu atakulipa pepo kwa uwezo wake ya rabiii
MashaAllah Tabarak Llah.
Napogeza sanaaa Al Fatah TV. na Sheikh Othman na kakangu Said bopal nawaombeya Allah awabarik na awape maisha mazuri hapa na kesho Akhera Ameen Ameen
Maa shaAllah tabarakallah
Wallah machoz yamenitoka Allah awazidishie zaid ya mlivyotoa😭😭😭😭😭😭
Aamiyn
Manshallah manshallah
mashallah mungu azidi kumzidishia amfungulie azidi kusaidia watu ampe mwisho mwema yeye na familiya yake na amuingize peponi firdausi bila ya hesabu ya rabbi
MashaAllah MashaAllah Allah amzidishie Bopar
Mashallah mzee Bopari
Wapemba wamekaza mashaallah
Allah atakulipa kheri
Mola awazidishie na atupe nasi hima ya kutoa kwa ajili ya Allah
MashaAllah 🥰🥰🥰
maashaallah maashaallah
Mungu atakulipa bopar na Shekh othmn maalin
Allah awalipe kheri innshaallah
Allah awazidishie bopar
MashaAllah
Furaha yangu imezidi adi machozi yamenitoka allah awalipe in shaa llah
NI KHYR KUBWA SANA
ABDALLAH MWINYI AJIFUNZE KUPITIA HIIII MBUNGE ALOREJESHEWA VYAKULA VYAKE
Allah akuzidishie Boppar usiwe kama kinna Mo Dewj na GSM ukapoteza muda buree
Mashaallah mr bopar
Allah akuzidishie kheri akuepushie shari
Uwe hivo hivo ngangari
Mlipaji ni kahari
Kwa watu waso na kiburi
Wewe umechukua nambari
Maasha,Allah
Tabaraka rrahman
Allah amzdshye moy wa iman
Allah akulipe janna kakaangu
Kina langu ni muhsin kwakweli huu nimfano mkubwasana ambao unafaa kuigwa kwamatajiri wengine boss kushiriki nakubeba mzigo begani sijawahikabisa kuona hii ndio marayanguyakwanza mungu ambariki amzidishie na awabariki waislamu wote amiin
Mashallah alhamdulillah
Jazakhalau kheir
mashallah
Bopar yupo na mwanazuoni pembezoni mwake hawezi kuharibikiwa insha Allah na ndivo alivofanya halifa omar abdul azizi kuwa nao karibu na wanachuoni
@@doctasuly5249 Jazzallahu Khair
Allah awalipe kheri
Ameen.
Bopar ni mtu na nusu M/mungu amlipe kheri inshallah
Ameen Ameen ya ALLAH
eee huyu anaetowa sadaka na yeye anabeba kuwagaiya watu duuu mungu mkubwa allhamdulillah
huyoo bopa mungu amjaze kheri sijaona mfanowake kubeba mwenyewe Mtume SW ndivyo alivyo fanya
Tz mpeni Uraia Shehe Othman Maalim
Sina lakusema natamani kulia kwa furaha ila machozi yangu wacha yadondokee moyoni allwah awape toufiq
Wallahi naona wivu wanachokifanya hawa alfatah na Bopar. Natamani niungane
Huyu Bopar Allah amzidishie huyu sio kama Mo dewj kufadhili upuuzi tu
Jamani....mimi ni mkristo....balaa bukoba...mmm jammmmany wewe bwana ktk hili Mungu wa Ibrahim....akitazama...na akifanyiwa ayo ayo ndugu yangu!!!
Machozi yananitoka wallahi ee molla wangu mpe pepo bopar
Mashaallah 🥰🌹
Asalam alykum niwaombe mashekhezangu hatakigoma ok awaislam tenawenyehalingumu hataswaumuyawoipovibaya kumbenasisiunawaombeniswadaka
Walahi anabeba mwenyewe mizigo
Naomba namba ya. Bopar. Mm np shengejuuu.