SHEIKH OTHMAN MAALIM NA MFANYA BIASHARA MAARUFU WAACHA HISTORIA PEMBA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Kutoka AL FATAH CHARTABLE ASSOCIATION.
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline
    #AlfatahCharitableAssociation
    #ZANZIBAR

Комментарии • 151

  • @dullysavage5939
    @dullysavage5939 2 года назад +1

    Mashalla mwenzimungu akulipe kheri duniani na akhera.

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf 6 месяцев назад +1

    M mungu ampe kheri ishallah

  • @suleimanpandu8955
    @suleimanpandu8955 4 года назад +13

    Maa Shaa Allah ndugu yetu Bopar na Othman Maalim hongereni sana na wengine fuateni nyayo hizi huu ndio Uislam na huu ndio utu Allah atubariki sana

  • @swalehmzee5883
    @swalehmzee5883 2 года назад +1

    Sh othman umenigusa moyo sana nizaidi yakutowa khutba juu ya membari bila shaka Allah amekukubali kwa hilo umefaulu Allah awafanyie wepesi mumeonyesha mfano hauotosahaulika tarehe njema ya uislamu jazakumullwahu khairan

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 3 года назад +2

    Jazakum Allahu Khairaan Kathiraan.

  • @khadijaally7478
    @khadijaally7478 3 года назад +4

    Alhamdulillah wallahi Allah awazidishie maradufu na awape afya njema na moyo na awazhibitishie imani msichoke hakika Allah amewapa kwajili yakusaidia wasiokua nauweze.

  • @alimohd4625
    @alimohd4625 4 года назад +11

    Mashaallah Allah amzidishie amfanyie wepei na ampe MWISHO MWEMA

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 3 года назад +2

    Mungu akubarikini kwenye maisha yenu nyote mlohudhuria. Huu ndio UWISLAM . Nzuri inapendeza WALLAHI..الحمدلله

  • @mohammedhassan-yv9yd
    @mohammedhassan-yv9yd 4 года назад +7

    Masha Allah, Allah abarikie zaidi na nyinyi Al fatah, Allah awalipe kwa juhudi zenu.

  • @aishamuhammad7785
    @aishamuhammad7785 3 года назад +2

    MaashaAllaah waislaam wamefurahi mnoo, baaraqa Rrahmaan

  • @bakarsalimu6418
    @bakarsalimu6418 7 месяцев назад +1

    Mashall mungu awalipe ujira mwema inshallah

  • @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477
    @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477 4 года назад +4

    Maashallah hii ndio imani hasa ya muumin au waumini kwakweli wanaopokea sadaka hizi na nyengine hakuna budi kuwaombea dua zakheri ck zote ili Allah azidishe baraka na rehma zake waweze kuendeleza kheri hizi shukran Al fatah TV online

  • @hemedabry1906
    @hemedabry1906 3 года назад +3

    Mashallah Allah akuzidishie iman

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh6618 3 года назад +2

    Allah akubarik, afya, yako, Mali yako, kazi yako, biashara zako uwe ni wakala mzuri wa Allah kwa kile alicho kubariki a, makusanyo ya Mali yasiowafaa waliokuzunguka ni sawa na adhabu ya kuchunga Mali mwisho wa siku ni kuacha kila kitu baada ya kufa pasi na faida kwa mmiliki, Allah akupe imani ya kweli amin

  • @alimohamedalisaid7040
    @alimohamedalisaid7040 4 года назад +6

    Mashallah x3 mungu akupe afia ameen thuma ameen mashallah mungu amupe zahidi na zahidi ameen thuma ameen

  • @abdukadiliissa8076
    @abdukadiliissa8076 4 года назад +5

    Maasha Allah ndugu zetu Sheikhe Uthman Maalim

  • @salmabakar4339
    @salmabakar4339 3 года назад +3

    Mashaalah Allah akuzidishie kheri illa mfike na kisiwa cha fundo

  • @shamilamo9159
    @shamilamo9159 3 года назад +3

    Mashaallah mungu awazidishie

  • @aishasulaiman4144
    @aishasulaiman4144 4 года назад +3

    MaashaAllah maashaAllah Allah akulipen kheyr kubwa hapa dunian n kesho Akhera

  • @khalidhamis5811
    @khalidhamis5811 4 года назад +15

    Al-fatah hongeren San huwa nikiona hivyo nafulah San had machoz yakinitok natamn siku Allah akinipa Nam nitowe kwa wingi Kam huo inshallah namuomba mungu anipe ili Nam nije kufny hivyo inshallah

    • @sharifaali348
      @sharifaali348 4 года назад

      Inshaallah

    • @firdausgreen1391
      @firdausgreen1391 4 года назад +1

      Siyo mbaka uwe nacho kikubwa saaana ndo utoe....waweza toa ata maji ya kunywa au ata ka mkate kalikopo apo jikoni kwako......waweza kuwa na kingi afu usiweze toa ata cent

  • @zainabmkomwa2064
    @zainabmkomwa2064 4 года назад +9

    Mashaallah Allah Akbar Allah awazidishie kikubwa zaid ya icho hongereni sana Shekh Athuman Maalim Allah awajaalie umri mrefu zaidi.

  • @mansooralzakwani6031
    @mansooralzakwani6031 4 года назад +6

    Mashaalah ni kitu cha kheri na cha imani kufanya hivyo.Inshallah Allah awalipe kheri hapa hapa duniani na zaidi huko akhera

  • @mohammedrajabu7449
    @mohammedrajabu7449 4 года назад +3

    Maashaaallah Allah awaongezee zaidi ya mlichotoa

  • @muhammadahmedaliyyu3854
    @muhammadahmedaliyyu3854 4 года назад +6

    😢MA sha Allah Alhamdulillah Mola awajaliye kheri awadhidishie vitendo maqbul 🙏

  • @abdulcharity4868
    @abdulcharity4868 4 года назад +4

    Allah akulipe mr bopar na mungu aizidishie Alfalah kutuonesha nasi tupate moyo wa kutoa

  • @sultannassor9756
    @sultannassor9756 4 года назад +5

    Hongera sana Alfatah kwa kutujuxa menge tusoyajua mungu awalipe kheri nyingi

  • @suleimansaidhamad4428
    @suleimansaidhamad4428 2 года назад +1

    Mashallah kila la kheir

  • @queen-yx8uo
    @queen-yx8uo 3 года назад +2

    Sheikh othman maalim nampenda sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana uhibbuka fil llah

  • @muhammadahmedaliyyu3854
    @muhammadahmedaliyyu3854 4 года назад +4

    Mola awadhidishie khayran 🙏🙏🙏

  • @AhmedAhmed-nb1tn
    @AhmedAhmed-nb1tn 4 года назад +6

    😭😭😭 mashaallah Allah amjaalie bopar kila la kheri katika maisha yake pamoja na mwisho mwema.
    Amiin

  • @othmanal-nabhany9243
    @othmanal-nabhany9243 4 года назад +2

    Mashallah mashalla Mola ambarik sana na atubarik sote waja wake atujaalie tuwe waja wema

  • @moa4122
    @moa4122 7 месяцев назад +1

    Mashaallah Allah azidi kukubarik Bopari na mama yako bi sultana na familia yako mzima Ameen. Kwa kweli ulitoka mbali mpaka ukafika ulipo. Sisahau kabisa tokea uweleni mpaka ukafika Unguja.

  • @agiraali7693
    @agiraali7693 6 месяцев назад

    Allah awabariki kwakuwasaidia weslamu wenzetu🙏🙏🙏🙏💕

  • @hamdanseifslum1669
    @hamdanseifslum1669 4 года назад +4

    Bopar mashallah mungu akubarik ishallah

  • @mohammednassor3081
    @mohammednassor3081 3 года назад +2

    Mashaallah allah akupe kila la Mr bopar akuokee na ria

  • @AihmAli-d8x
    @AihmAli-d8x 7 месяцев назад +1

    Ma shaallh♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @abdulharith5642
    @abdulharith5642 4 года назад +3

    Allah awajaalie kher kubwa Allah amjaalie bopar moyo wa kutoa amjaalie maisha mema duanian na akhera

  • @kassimaliyy5490
    @kassimaliyy5490 3 года назад +2

    Dah mungu akulipe kila la kheri father

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime5717 4 года назад +4

    Mashaallah Allah akuzidishieni umri wenye afya njema nyote muliojitolea kutoa kwa ajili ya Allah

  • @aishaally2730
    @aishaally2730 4 года назад +3

    ALLAH awazidishie kila la kheri

  • @mussabinnassory8760
    @mussabinnassory8760 3 года назад +2

    Mashaallah alhamdulillah Allah akupe moyo huwo huwo wakutowa inshaallah

  • @twahrhamid3941
    @twahrhamid3941 3 года назад +3

    Allah awalipe kwakilaa hatuwa ishaa Allah

  • @aliomar255
    @aliomar255 4 года назад +6

    Mashaallah hii vdeo imeniathiri sana mpka Bopar mwnywe amechukua mzgo na kuupeleka na shekh Othman maalim Allah akuekeni na Akulipeni wema wenu

  • @nadirmahfoudh1812
    @nadirmahfoudh1812 4 года назад +5

    Masha'Allah!!
    Nooron alaanoor!!

  • @AhmedSaid-xz3kj
    @AhmedSaid-xz3kj 3 года назад +2

    Jazakallah kheir

  • @aishakinia4957
    @aishakinia4957 4 года назад +2

    Mashaallah Allah atawalipa kesho Ahera Allah humma Amiin

  • @BimkubwaOthman
    @BimkubwaOthman 6 месяцев назад +1

    Yaa Allah awajaalie muwe miongoni mwa waja wa peponi ma pia muwayixame na watu wa mjini nao jamn shida wanazo iangalieni tibirinzi au kariakooo

  • @mohammedrajabu7449
    @mohammedrajabu7449 4 года назад +3

    😭😭😭 Nalia kwafuraha mfanya biashara na Sheikh othmani maalim na woote mlioshirikiwooote ktk Kheri Allah awazidishie kila la kheri Allahumma Aamiin 🙏

  • @dogojb5889
    @dogojb5889 3 года назад +1

    Allah akulip kila la kheri katik maisha yako inshaallah

  • @masoudidadi7369
    @masoudidadi7369 3 года назад +2

    Mashallah Allah awalipe
    Safi sana

  • @mubaarakothman5912
    @mubaarakothman5912 4 года назад +4

    Mashallah Allah awalipe kheri

  • @suleimanmohamed4367
    @suleimanmohamed4367 3 года назад +3

    Mashallah

  • @alimuhsin6655
    @alimuhsin6655 4 года назад +4

    mashallah jazaka llahu kheir

  • @fadhilarajabu1440
    @fadhilarajabu1440 3 года назад +1

    Masha Allah
    Allah awalipe zaidi ya mnachokitoa 🤲

  • @khatibujuma4933
    @khatibujuma4933 Год назад +1

    mashallahw mashallahw Allahw Aqbr Alhw Aqbar

  • @faizunmohd9839
    @faizunmohd9839 4 года назад +2

    Mashaallah tabarakallah Allah awabarik

  • @muhammadahmedaliyyu3854
    @muhammadahmedaliyyu3854 4 года назад +6

    😭😭😭😭Hakika nawa penda kwa Ajili YA ALLAH Mtukufu 💞

  • @salumnassor6555
    @salumnassor6555 4 года назад +10

    Mashallah Said nassir bopar, tupate matajiri 100 wenye moto kama hawa basi znz hakutakuwa na mtu atakaye lala njaa

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 3 года назад

      Kweli tupate watu MAKARIM kama hapa... Mungu akuzidishiye Amin.

  • @salem9874
    @salem9874 4 года назад +4

    Bopar Mashallah Mungu akuzidishie zaidi

    • @BimkubwaJuma-ew5dg
      @BimkubwaJuma-ew5dg 6 месяцев назад

      Yaa mungu atakulipa pepo kwa uwezo wake ya rabiii

  • @mufid707
    @mufid707 3 года назад +2

    MashaAllah Tabarak Llah.
    Napogeza sanaaa Al Fatah TV. na Sheikh Othman na kakangu Said bopal nawaombeya Allah awabarik na awape maisha mazuri hapa na kesho Akhera Ameen Ameen

  • @amenamaashaallahyasheikh3457
    @amenamaashaallahyasheikh3457 4 года назад +3

    Maa shaAllah tabarakallah

  • @fatumamwinyi8898
    @fatumamwinyi8898 4 года назад +7

    Wallah machoz yamenitoka Allah awazidishie zaid ya mlivyotoa😭😭😭😭😭😭

  • @ashirafuyazid6988
    @ashirafuyazid6988 3 года назад +2

    Manshallah manshallah

  • @saidhassanahmed4
    @saidhassanahmed4 4 года назад +1

    mashallah mungu azidi kumzidishia amfungulie azidi kusaidia watu ampe mwisho mwema yeye na familiya yake na amuingize peponi firdausi bila ya hesabu ya rabbi

  • @mamawa3mamawa321
    @mamawa3mamawa321 4 года назад +1

    MashaAllah MashaAllah Allah amzidishie Bopar

  • @dullahamoud6037
    @dullahamoud6037 4 года назад +4

    Mashallah mzee Bopari

  • @alhamdulillahalhamdulillah7529
    @alhamdulillahalhamdulillah7529 2 года назад +1

    Wapemba wamekaza mashaallah

  • @alimselem7056
    @alimselem7056 3 года назад +2

    Allah atakulipa kheri

  • @swabriali4583
    @swabriali4583 4 года назад +12

    Mola awazidishie na atupe nasi hima ya kutoa kwa ajili ya Allah

  • @mundhiraliy1307
    @mundhiraliy1307 3 года назад +4

    MashaAllah 🥰🥰🥰

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 3 года назад +2

    maashaallah maashaallah

  • @BimkubwaJuma-ew5dg
    @BimkubwaJuma-ew5dg 6 месяцев назад

    Mungu atakulipa bopar na Shekh othmn maalin

  • @fatmarashid0005
    @fatmarashid0005 4 года назад +2

    Allah awalipe kheri innshaallah

  • @queen-yx8uo
    @queen-yx8uo 3 года назад +1

    Allah awazidishie bopar

  • @samsungj7pro64gb5
    @samsungj7pro64gb5 3 года назад +2

    MashaAllah

  • @shakirashakira-gc2yw
    @shakirashakira-gc2yw Год назад

    Furaha yangu imezidi adi machozi yamenitoka allah awalipe in shaa llah

  • @ahlanwasahlan373
    @ahlanwasahlan373 3 года назад +2

    NI KHYR KUBWA SANA

  • @gavanaimrani6777
    @gavanaimrani6777 3 года назад +2

    ABDALLAH MWINYI AJIFUNZE KUPITIA HIIII MBUNGE ALOREJESHEWA VYAKULA VYAKE

  • @mussasaid4955
    @mussasaid4955 3 года назад +2

    Allah akuzidishie Boppar usiwe kama kinna Mo Dewj na GSM ukapoteza muda buree

  • @mohammednassor3081
    @mohammednassor3081 3 года назад

    Mashaallah mr bopar
    Allah akuzidishie kheri akuepushie shari
    Uwe hivo hivo ngangari
    Mlipaji ni kahari
    Kwa watu waso na kiburi
    Wewe umechukua nambari

  • @nasranassor6796
    @nasranassor6796 4 года назад +1

    Maasha,Allah
    Tabaraka rrahman

  • @hamadiabdalla396
    @hamadiabdalla396 3 года назад +1

    Allah amzdshye moy wa iman

  • @HhRt-m5z
    @HhRt-m5z 6 месяцев назад

    Allah akulipe janna kakaangu

  • @mahsinkhaturush9620
    @mahsinkhaturush9620 4 года назад +4

    Kina langu ni muhsin kwakweli huu nimfano mkubwasana ambao unafaa kuigwa kwamatajiri wengine boss kushiriki nakubeba mzigo begani sijawahikabisa kuona hii ndio marayanguyakwanza mungu ambariki amzidishie na awabariki waislamu wote amiin

  • @ablatuny5406
    @ablatuny5406 4 года назад +2

    Mashallah alhamdulillah

  • @amissilongane4614
    @amissilongane4614 4 года назад +1

    Jazakhalau kheir

    • @ghanimaali4507
      @ghanimaali4507 4 года назад

      mashallah

    • @doctasuly5249
      @doctasuly5249 4 года назад

      Bopar yupo na mwanazuoni pembezoni mwake hawezi kuharibikiwa insha Allah na ndivo alivofanya halifa omar abdul azizi kuwa nao karibu na wanachuoni

    • @idrisasaidmbegu7789
      @idrisasaidmbegu7789 4 года назад

      @@doctasuly5249 Jazzallahu Khair

  • @saomyhao5299
    @saomyhao5299 4 года назад +3

    Allah awalipe kheri

  • @RashidAbbas-zy6xx
    @RashidAbbas-zy6xx 7 месяцев назад +1

    Bopar ni mtu na nusu M/mungu amlipe kheri inshallah

  • @chulizeyladin909
    @chulizeyladin909 4 года назад +2

    Ameen Ameen ya ALLAH

  • @ibrahimdabo7163
    @ibrahimdabo7163 3 года назад +4

    eee huyu anaetowa sadaka na yeye anabeba kuwagaiya watu duuu mungu mkubwa allhamdulillah

  • @jumahory3069
    @jumahory3069 4 года назад +2

    huyoo bopa mungu amjaze kheri sijaona mfanowake kubeba mwenyewe Mtume SW ndivyo alivyo fanya

  • @ghulamjuma2883
    @ghulamjuma2883 4 года назад +2

    Tz mpeni Uraia Shehe Othman Maalim

  • @mbarakaiddi8209
    @mbarakaiddi8209 3 года назад +4

    Sina lakusema natamani kulia kwa furaha ila machozi yangu wacha yadondokee moyoni allwah awape toufiq

  • @hajiha6507
    @hajiha6507 3 года назад +3

    Wallahi naona wivu wanachokifanya hawa alfatah na Bopar. Natamani niungane

  • @mussasaid4955
    @mussasaid4955 3 года назад +5

    Huyu Bopar Allah amzidishie huyu sio kama Mo dewj kufadhili upuuzi tu

    • @mpendwacravery126
      @mpendwacravery126 3 года назад

      Jamani....mimi ni mkristo....balaa bukoba...mmm jammmmany wewe bwana ktk hili Mungu wa Ibrahim....akitazama...na akifanyiwa ayo ayo ndugu yangu!!!

  • @tausiramadhani4259
    @tausiramadhani4259 3 года назад +1

    Machozi yananitoka wallahi ee molla wangu mpe pepo bopar

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo 2 года назад

    Mashaallah 🥰🌹

  • @HusseniKifulu
    @HusseniKifulu 6 месяцев назад

    Asalam alykum niwaombe mashekhezangu hatakigoma ok awaislam tenawenyehalingumu hataswaumuyawoipovibaya kumbenasisiunawaombeniswadaka

  • @saidsalum9587
    @saidsalum9587 3 года назад +1

    Walahi anabeba mwenyewe mizigo

  • @SalumuMnzava-s4y
    @SalumuMnzava-s4y 6 месяцев назад

    Naomba namba ya. Bopar. Mm np shengejuuu.