Twakupenda sanna Kwa wale msio mjua huyu shekhe anahistoria kubwa tangu akiwa mchanga alikua kabla hajanyonyeshwa mama yake anatia udhu halafu ananyonyeshwa . Shekhe mkubwa huyu tumpende tutafaidika na mengi Maashaallah wachamungu wetu hao ndio maana akazuia mvua kwa kidole Mashaallah.
Ingawa Mimi sikatka masufi Ila linalozungumzwa kuhusu sheykh walidi kumuomba Allah aisitishe mvua ili hilojambo au dharula itekelezeke Hilo linawezekana,,zidisha uchamungu
Sasa huyu ndio kishaweza na aliweza skuile na wewe ulikuwa haupo . Je tuseme vipi?. Kama hupendwi na Allah sw ni weye tu, wengine wana bahati zao wakifanya tu basi Allah sw huwaridhia huwapa watakavyo.
UISLAM UMEKAMILKA HAUKUACHA MVUA MTUME ( S A W) AMEFUNDISHA KUNAPOKUWA NA WINGU LA MVUA DUA GANI USOME NA INAPONYESHA MVUA KALI USOME DUA GANI MAMBO YOTE YAPO WAZI HAKUPEWA MTU MAALUM DUA HIZO .
Kwan nyinyi mnaotaja neno ELIMU mnakuw mnakusudia nn, na je mnajua kwmb elimu ipo ya sawa na nyingine elimu mbovu?, Sasa watu wkikosoa mnasema elimu hamna, mar elimu ndogo, MNAPIMAJE ELIMU KWA WATU WENU MKAWAONA WANA ELIMU SAHIHI NA WENGINE MNAWAITA MAWAHABI HAWANA ELIMU? Acheni maneno y dhulma ndugu zngu
Yani kauli yko hiyo inaonesha hujui kutetea hoja zako, unalalamika elimu, elimu, elimu, wkat we mwnyew nd mvivu wa kusoma nd mana kila mkikatazwa jambo mnalalamika
Alicho kosea baba ni ni kunyosha kidole bila kumtaja alie kua muweza wa yote Allah.Japo hamna balaa kwa hilo.Ata wewe waeza jiombea matatizo yako na ukatarajia matatizo yaishe
@@IssahWanga muweza wa yote kasema, anataka anachokitaka walii wake. Kwahio hio sio hoja. Lakini unajuaje kuna jina la Allah sw alilitaja kimoyo moyo au alisoma kitu kimoyo moyo?. Nafkiri Allah sw pekeake ndio anayajua ya moyoni. Penda kufanya dhana nzuri kabla hujahukumiwa juu ya dhana zako.
Mawahabi wanabisha kitendo cha mvua kutokuendelea kunyesha tatizo leni mawahabi hamna imani hakuna Sheikh wa Kiwahabi anae weza kuomba dua na majibu yakatokea hapo hapo hayupo mana hawana Imani,na mjue mawahabi ni wapinzani wa Uislam
Miungoni mwa watu ambao wanaongoza kwa kutokua na imani na wanaongoza kwa kusaliti waislam wenzao kwasababu ya maokoto na wali ni watu wa bidaa harakati nyingi za maendeleo yana kwama kwa waislam sababu kubwa ni watu wa bidaa wanapenda pesa kuliko maslahi ya dini yake mifano ni mingi tu fanya uchunguzi Tanzania kenya na uganda wanaotumika kurudisha nyuma maendeleo ya kiislam ni watu wa aina gan utapa jibu
ivi nyinyi kuna kiumbe ana weza kuzua nvuwa kweli usufi na ughu rafi una kusumbuweni ujinga wenu mpka muna andika vitu ambavio aha abuu lahabi akusema mpka ibilisi aja wai ongeya ujinga kama uu eti she walidi kaziwia nvua nyinyi kweli ni wa jinga hakuna anae weza kuzuwia nvua zaid ya allah mume skia nyinyi wa jinga....
Hujielewi ww, akili zako zinakutosha mwenyewe, ushaambiwa dua yake ndio imesabibisha hilo, dua yake ndio Allah kaijibu. Au dua nayo bii'da. Maana nyinyi ndio mnajikuta watu wa peponi wenzenu wote makafiri
Sasa mashekhe mnawazarau mtasoma wapi lazima muwe wakaidi mimi nishawahi kuona ustazi wangu maalim abdan mwinyi pembe akiomba dua ya kuzuia mvua kondoa mwaka 2011 sio ilo shekhe ramia wa bagamyo kashafanya karama nyingi kwa uwezo wa Allha sasa kama huamini kua shekhe walidi kafanza dua ya kuzuia mvua utaamini miujiza ya mtume muhamad swa someni sio kubisha bisha tu.
Ww ndio mjinga usie juwa nvuwa inazuilika nahakun kisichozuilika inla kifot haw ni maulamaa wa annlha ,,kukusomesha ,nakupa ,,hii ,kam nvuw ikianza kunyesha Tia uzu halafu tiy niya som aam yot ile surat kwa ihilaswi ,,uon maajabu ya aannlha mbon din yet nyepesit
nyinyi sio wazima ilo sio elimu ni ujinga unasubutu kusema mtu flani kaziwiya nvuwa ivi ufalme wa nani? ni allah mweny uwezo wa jambo ilo sio uyo shekh wako uo ujizi sio elimu kufru kutakid mtu ana katanga sema ka muomba allah akakata nvua sio ujinga mulio andika apo juuu ata ibilisi aja wai kusema ivi
sasa shekh ndio ka simamisha?? au kamuomba allah ndio uyo allah akasimamisha nvua kwani mutapungukiwa nini mukisema allah ndio mpangiliaji wa kila jambo ivi uoni atari kusema mtu flani kasimamisha mvua ? kwanin usiseme allah kasimamisha nvua baada ya kuombwa ivi iyo nvua nani kasimamisha? ki uwakika ?
Allah katufundisha kukumbusha na kupitiwa ni kawaida mbona ww umesema (huyo Allah)kikawaida si sa hii Allah huwez msemea neno huyo maana yy si mtu (najua hukumaanisha vibaya Ila ulipitiwa kama mwenzio
@@ABUUDARDAAI SIO HATARI KUSEMA WALID KASIMAMISHA MVUA IKIWA KAFANYA NA IMEONEKANA. KWANI TUKISEMA NABIY ISSA AS KAFUFUA NI HATARI?. JAWABU SIO HATARI MTU KUFANYA NA KUSEMWA KWA ALILOBARIKIWA. USHAMBA NI WENU MAWAHABI HAMJABARIKIWA ILA MATUSI. MTUME SAW KAUAMRISHA MWEZI UKAPASUKA PANDE TATU. MTUME SAW NDIO ALIOUPASUA MWEZI KWA AMRI YAKE. MWENYEZI MUNGU SW AMESHAMPENDELEA MTUME WAKE AWE HIVYO. HATA WEWE UKILA PIA TUTASEMA UMEKULA. KWASABABU ALLAH SW NDIO ALIOUBARIKI WEWE UWE NA UWEZO WA KULA. LAKIN KATIKA IMANI YA UISLAMU VYOTE BILA KUTAKA ALLAH SW HAIFANYIKI ILA SI LAZIMA UNAKULA KASEMA ALLAH SW ANANITIA TONGE YA KUA MDOMONI BALI UNAJIBU NAKULA. NYIE MAWAHABI ACHENI UBABAISHAJI NA CHOYO ZENU. ALIEPEWA KAPEWA TUU
@@aymanbuka2319 MTUME SAW HAKUSHINDWA NA JAMBO, BALI MAKAFIRI WANGEMTAKA MTUME SAW AZUIE MVUA ILI WAMUAMINI BASI ANGEZUIA ILA UARABUNI NI JANGWA NA HAWAKUMTAKA AFANYE HIVYO. NA SUALA LA VITA HATA MTUME SAW HAKUSHINDA VITA VYOTE NA KUPIGANA NI AMRI YA UTII NA NI IBADA KWA ALLAH SW. VIPI ANYOSHE KIDOLE ILI IBADA YA JIHADI ISIFANYIKE AU?
Maskini kuna baadhi ya watu ambao hawakusoma ndo wataingia mtegoni kwa kutapeliwa na hzi karama za urongo.....ewe mungu bwana mola waokoe waja wako wasiingie katika hili janga.
Ww tawhed yako ulitoa wapi tawhed tatu hata mtume s a w hajui hio tawhed tatu wala maswahaba hawazijui tawhed tatu mumezitoa wapi nyinyi mawahabi wapotoshaji
Muumini hajisifii kamwe eti kesha faulu wakati hio pepo yenyewe bado hajaipata ila kwa kudra zake Allah, Usimdharau usiejua nafasi yake kwa ALLAH kwakujiona Wewe ni bora kuliko wengine.
Swali langu ni moja tu Nabii Muhammad Rehma na Amani zimshukie alisema "musinisifu kama walivyo msifu nabii Issa (AS). Sasa kwa kufanya maulid na kumsifu sanaaa hamuoni hii nihatari mwamtafutia? Kwanini musimswalie tu vishe lazima madufu mara hoo ati alinena na wanyama....sawa tunaamini lkn musimtukuze kihivo kwani alikua mtu tu kama nyinyi
Ww Huna akili mtume s a w alisema musimsifu mukazidisha mukafanya kama manaswara kusema yesu ni mwana wa mungu ila sisi waisilamu twamsifu mtume s a w kwa sifa zake na Allah amemsifu katika quran na kumswalia na malaika ww wahabi soma
@@saba-gv3mj sikia rafiki....kama saudia wenye nasaba na DNA ya moja kwa moja na mtume Muhammad s.a hawafanyi maulidi na hao niwasomi zaidi nyinyi wasambaa na wazaramo ambao babu zenu walikua hawana dini mwasoma maulidi hii si upungufu wa elmu na ulemavu wa imani..... you people need to learn more about Islam
Kasome utaelewa kwanini kuna karama na kwanini mashekh au muumini yoyote mwenye ikhilasw dua yake hujibiwa haraka na Allah Utaacha ubishi na kuwasingizia mashekh mambo ambayo hawajayafanya.
Shida yenu ni wagumu kuelewa na kujifunza uislam sahihi,Badala yake mnabaki kufuata mkumbo na kubisha au kupinga bila hoja na kutukana matusi kwakuambiwa ukweli, Kwani uislam umeruhusu matusi kwa mwislam mwenzako au mtu yoyote? Jadilianeni na wale wenye mlengo tofauti na ninyi kwa hekima na busara sio kutukana mashekh, Kinyume cha hivyo huo utakuwa sio uislam na makusudio yake kwetu.
Kama hawa ndiyo mashekhe uislamu hautatawala hata siku moja. Ndiyo maana mkasherehekea mazazi ya mtume baada kufa kwake . hivi nani ashawahi sherehekea mazazi ya babake baada ya kufa badala kua na huzuni na mkawa wakali kwa makafiri mpaka uislamu urudi katika utawala kazi nikusherehekea tu kila mwaka
@@taurehassan7399 sijui :Wana umwa NINI::MAULIDI YATAZIDI NA NYUMA HAYATA RUDI::;,WAUMIE ANSWA NA NYINGI ZAO KELELE:::;:NIME KUMBUKA KESHO NI MAULIDI YA NYUMBANI KWANGU KARIBUNI SANA::;ENDELEENI KU UMIA MAWAHABI SISI HATU ACHI MAULID
Ni muhimu tu sana kwa wailsamu kubaki kwenye umoja wao wa kidini.... na ibada kama hii isipokuwa na ushahidi wa wazi kwenye sheria bila shaka inawagawa waislamu...kama unavyoona. Na haya ni maafa makubwa sana kama ungejua....kwahivyo shida sikupiga dufu na hayo uyasemayo.... shida ni kwamba jambo hilo limesababisha waislamu kutokuwa kitu kimoja.... na hilo ni maangamivu makubwa sana...
Tatizo la nyie mawahabi munao abudu misalaba mungu utatu ufahamu wenu finyu sana.ndio mtu anaeza zuiya mvua kupitia uwezo wa allah.mbona humshangai nabbii issah alifufua maiti kwa uwezo wa allah na mengi tu aliyafanya.leo mawahabi munajifanya mamwehu wa kumdarau allah kwamba hawwzi fanya kitu kupitia waja wake kweli nashukuru allah kwa kuniepusha na mawahabi nyie mayahudi kweli hisuda zenu zinatisha..
Hamujielewi nyinyi mawahabi yani migombe ww hukuona mvua na amenyosha kidole na akasema haiyendelei na kanyamaza huyu ni wali wa Allah na aya ziko katika quran waja wake Allah wale wema waombacho Allah yuwawakubalia
KWANI WEWE ANSWAR UME LAZIMISHWA USOME MAULIDI???? UME LAZIMISHWA UENDE KWENYE MAULIDI???¿?UME LAZIMISHWA USIKILIZE MAULIDI?????UME LAZIMISHWA UCHANGIE ELA ZA MADUFU?????:::MWAKEREKWA NA NINI???PILI PILI USIO ILA YA KU WASHIA NINI???? MAULIDI YATAZIDI NA NYUMA HAYATA RUDI WA UMIE MAWAHABI NA HUKU WA KI LALAMA;;;;;WEWE BAKI NYUMBANI MAULIDI YA SI KU UMIZE KICHWA
tukio kafanya shekh lakukata nvua au ni allah ndio alio kata nvua nyinyi wa jinga kasomeni aqida sio kuongeya maneno ya ukafiri allah ndio mpangiliaji wa mambo yote sio uyo shekh wenu sema ivi sheikh kamuomba duwa allah akakata nvua sio shekh kakata nvua nyie wajinga
Twakupenda sanna
Kwa wale msio mjua huyu shekhe anahistoria kubwa tangu akiwa mchanga alikua kabla hajanyonyeshwa mama yake anatia udhu halafu ananyonyeshwa .
Shekhe mkubwa huyu tumpende tutafaidika na mengi Maashaallah wachamungu wetu hao ndio maana akazuia mvua kwa kidole Mashaallah.
Mashaallah shekh Allah akujalie kila laheri akuepushie kilala shari
Masha allah... Allah akubariki sheikh walidi bin sheikh omari kawambwa.
Mashallah shekh walidi Mungu akulinde
Allah amuhifadhi sheikh langu na amzidishie karama
Ingawa Mimi sikatka masufi Ila linalozungumzwa kuhusu sheykh walidi kumuomba Allah aisitishe mvua ili hilojambo au dharula itekelezeke Hilo linawezekana,,zidisha uchamungu
Asante unaujua huo ndio uchamungu
Makafiri wamefanikiwa kuwagawa waislamu, yaani mnatukanana nyinyi kwa nyinyi ,
Usufi kazi kweli kweli
Mawahaby inavyo onekana mtu akiomba dua kwa mungu ajaalie mvua isinyeshe bac mvua ikiwa haijanyesha nyinyi mtasema ni uchawi
Tumsalieni mtume Muhammad kwa wingi ndo muhm mengine 2muachie Allaah mwenyewe
Hakuna mtu yeyeto aweza kuzuia mvua kutoka Allah.Jamani tusiendeni sana tutatokq nje ya dira .
Sasa huyu ndio kishaweza na aliweza skuile na wewe ulikuwa haupo . Je tuseme vipi?. Kama hupendwi na Allah sw ni weye tu, wengine wana bahati zao wakifanya tu basi Allah sw huwaridhia huwapa watakavyo.
Hapo shekh alifanya utani kusema kaionesha mvuwa kidole sasa nyiye mnopiga jitafakarini msichukuliye kila kitu sirias
MashaAllah
UISLAM UMEKAMILKA HAUKUACHA MVUA MTUME ( S A W) AMEFUNDISHA KUNAPOKUWA NA WINGU LA MVUA DUA GANI USOME NA INAPONYESHA MVUA KALI USOME DUA GANI MAMBO YOTE YAPO WAZI HAKUPEWA MTU MAALUM DUA HIZO .
Mash Allah
Kama Ana karama afanye jua liwake usiku, masufi mumezidi😂😂😂
Unapoongeya ukaeka utani na maneno mazuri waskilizaji hukuelewa zaidi kuliko ukawa series
Allah akbar
Ukiwa na elim ndogo huwezi jua Hilo kasome Ila usi some ubishi usome elm
Kwan nyinyi mnaotaja neno ELIMU mnakuw mnakusudia nn, na je mnajua kwmb elimu ipo ya sawa na nyingine elimu mbovu?, Sasa watu wkikosoa mnasema elimu hamna, mar elimu ndogo, MNAPIMAJE ELIMU KWA WATU WENU MKAWAONA WANA ELIMU SAHIHI NA WENGINE MNAWAITA MAWAHABI HAWANA ELIMU? Acheni maneno y dhulma ndugu zngu
Yani kauli yko hiyo inaonesha hujui kutetea hoja zako, unalalamika elimu, elimu, elimu, wkat we mwnyew nd mvivu wa kusoma nd mana kila mkikatazwa jambo mnalalamika
Waislam wengi hawajitambuwi baada ya kuungana kujenga uislamu wao wananyooshea vidole huu ni msiba
عربي - نصوص الآيات عثماني : قُلْ يَٰٓأَهْلَ ٱلْكِتَٰبِ لَا تَغْلُواْ فِى دِينِكُمْ غَيْرَ ٱلْحَقِّ وَلَا تَتَّبِعُوٓاْ أَهْوَآءَ قَوْمٍۢ قَدْ ضَلُّواْ مِن قَبْلُ وَأَضَلُّواْ كَثِيرًا وَضَلُّواْ عَن سَوَآءِ ٱلسَّبِيلِ soma iyo aya apo muna lete ukristo kweny uislamu muna kuwa na ghuluwi kwa kusifiya mashekh wanu kama ma naswara muna fanya ujinga kisha muna sema elimuh
من قال في القرآن بغير علم فليتبوأ مقعده من النار. ورواه الترمذي في جامعه و قال عنه: هذا حديث حسن صحيح.
Alicho kosea baba ni ni kunyosha kidole bila kumtaja alie kua muweza wa yote Allah.Japo hamna balaa kwa hilo.Ata wewe waeza jiombea matatizo yako na ukatarajia matatizo yaishe
@@IssahWanga muweza wa yote kasema, anataka anachokitaka walii wake. Kwahio hio sio hoja. Lakini unajuaje kuna jina la Allah sw alilitaja kimoyo moyo au alisoma kitu kimoyo moyo?. Nafkiri Allah sw pekeake ndio anayajua ya moyoni. Penda kufanya dhana nzuri kabla hujahukumiwa juu ya dhana zako.
Shaitwani rajiim
allah atunusuru
Hahaha make apo kwanza ncheke
Mawahabi wanabisha kitendo cha mvua kutokuendelea kunyesha tatizo leni mawahabi hamna imani hakuna Sheikh wa Kiwahabi anae weza kuomba dua na majibu yakatokea hapo hapo hayupo mana hawana Imani,na mjue mawahabi ni wapinzani wa Uislam
Miungoni mwa watu ambao wanaongoza kwa kutokua na imani na wanaongoza kwa kusaliti waislam wenzao kwasababu ya maokoto na wali ni watu wa bidaa harakati nyingi za maendeleo yana kwama kwa waislam sababu kubwa ni watu wa bidaa wanapenda pesa kuliko maslahi ya dini yake mifano ni mingi tu fanya uchunguzi Tanzania kenya na uganda wanaotumika kurudisha nyuma maendeleo ya kiislam ni watu wa aina gan utapa jibu
ivi nyinyi kuna kiumbe ana weza kuzua nvuwa kweli usufi na ughu rafi una kusumbuweni ujinga wenu mpka muna andika vitu ambavio aha abuu lahabi akusema mpka ibilisi aja wai ongeya ujinga kama uu eti she walidi kaziwia nvua nyinyi kweli ni wa jinga hakuna anae weza kuzuwia nvua zaid ya allah mume skia nyinyi wa jinga....
Hujielewi ww, akili zako zinakutosha mwenyewe, ushaambiwa dua yake ndio imesabibisha hilo, dua yake ndio Allah kaijibu. Au dua nayo bii'da. Maana nyinyi ndio mnajikuta watu wa peponi wenzenu wote makafiri
Sasa mashekhe mnawazarau mtasoma wapi lazima muwe wakaidi mimi nishawahi kuona ustazi wangu maalim abdan mwinyi pembe akiomba dua ya kuzuia mvua kondoa mwaka 2011 sio ilo shekhe ramia wa bagamyo kashafanya karama nyingi kwa uwezo wa Allha sasa kama huamini kua shekhe walidi kafanza dua ya kuzuia mvua utaamini miujiza ya mtume muhamad swa someni sio kubisha bisha tu.
Ww ndio mjinga usie juwa nvuwa inazuilika nahakun kisichozuilika inla kifot haw ni maulamaa wa annlha ,,kukusomesha ,nakupa ,,hii ,kam nvuw ikianza kunyesha Tia uzu halafu tiy niya som aam yot ile surat kwa ihilaswi ,,uon maajabu ya aannlha mbon din yet nyepesit
nyinyi sio wazima ilo sio elimu ni ujinga unasubutu kusema mtu flani kaziwiya nvuwa ivi ufalme wa nani? ni allah mweny uwezo wa jambo ilo sio uyo shekh wako uo ujizi sio elimu kufru kutakid mtu ana katanga sema ka muomba allah akakata nvua sio ujinga mulio andika apo juuu ata ibilisi aja wai kusema ivi
Ubishi kusonga mbele
Mimi pia nishamuona shekhe ivoivo alisoma dua ikasimama
sasa shekh ndio ka simamisha?? au kamuomba allah ndio uyo allah akasimamisha nvua kwani mutapungukiwa nini mukisema allah ndio mpangiliaji wa kila jambo ivi uoni atari kusema mtu flani kasimamisha mvua ? kwanin usiseme allah kasimamisha nvua baada ya kuombwa ivi iyo nvua nani kasimamisha? ki uwakika ?
Allah katufundisha kukumbusha na kupitiwa ni kawaida mbona ww umesema (huyo Allah)kikawaida si sa hii Allah huwez msemea neno huyo maana yy si mtu (najua hukumaanisha vibaya Ila ulipitiwa kama mwenzio
Neno la muandikaji si neno la she he achaaa ufalaaa huyó alieandika kichwa cha habar kaandika kibiasharaaa kuaa utazamee kukujua lililopo
@@ABUUDARDAAI SIO HATARI KUSEMA WALID KASIMAMISHA MVUA IKIWA KAFANYA NA IMEONEKANA. KWANI TUKISEMA NABIY ISSA AS KAFUFUA NI HATARI?. JAWABU SIO HATARI MTU KUFANYA NA KUSEMWA KWA ALILOBARIKIWA. USHAMBA NI WENU MAWAHABI HAMJABARIKIWA ILA MATUSI. MTUME SAW KAUAMRISHA MWEZI UKAPASUKA PANDE TATU. MTUME SAW NDIO ALIOUPASUA MWEZI KWA AMRI YAKE. MWENYEZI MUNGU SW AMESHAMPENDELEA MTUME WAKE AWE HIVYO. HATA WEWE UKILA PIA TUTASEMA UMEKULA. KWASABABU ALLAH SW NDIO ALIOUBARIKI WEWE UWE NA UWEZO WA KULA. LAKIN KATIKA IMANI YA UISLAMU VYOTE BILA KUTAKA ALLAH SW HAIFANYIKI ILA SI LAZIMA UNAKULA KASEMA ALLAH SW ANANITIA TONGE YA KUA MDOMONI BALI UNAJIBU NAKULA. NYIE MAWAHABI ACHENI UBABAISHAJI NA CHOYO ZENU. ALIEPEWA KAPEWA TUU
@@ABUUDARDAAI
Wewe unashangaa mvua kuondolewa na Sheikh Walid hata wewe waweza kuokoa watu wako na moto
ACHENI KIDANGANYA WATU!
MASUFI KAZI KUDANFANYA WATU TU!!
HWANA MUDA WA KIUFUNDISHA DINI YA SAWA SAWA KWA WATU!!
Ww njoo madrasa ziko watu wasoma ww wahabi ndio hutaki kusoma ni ushabiki
Kabis jitu linaandika eti sheikh amezuia mvua ujing myup
Masufi tuwaombee dua
Sufiii
Acheni kudanganya watu
Mwenye channel Sasa mbona unatuletea new history Wacha urongouwwe mche allah ,hwa ndio sufiya ni warongo
😂😂😂Anyooshe na ghaza azuie vita😂
Haswaa maana sasa amemshinda mtume huyu eeh😂😂😂
😅😅😅😅😅 eti shee ka nyosh kidole
@@aymanbuka2319 MTUME SAW HAKUSHINDWA NA JAMBO, BALI MAKAFIRI WANGEMTAKA MTUME SAW AZUIE MVUA ILI WAMUAMINI BASI ANGEZUIA ILA UARABUNI NI JANGWA NA HAWAKUMTAKA AFANYE HIVYO. NA SUALA LA VITA HATA MTUME SAW HAKUSHINDA VITA VYOTE NA KUPIGANA NI AMRI YA UTII NA NI IBADA KWA ALLAH SW. VIPI ANYOSHE KIDOLE ILI IBADA YA JIHADI ISIFANYIKE AU?
Maskini kuna baadhi ya watu ambao hawakusoma ndo wataingia mtegoni kwa kutapeliwa na hzi karama za urongo.....ewe mungu bwana mola waokoe waja wako wasiingie katika hili janga.
@@Khalid-mf3iu LETE KARAMA ZAKO ZA KWELI TUZIONE. NA KAMA HUNA BASI MUONGO NI WEWE.
Usufu huu😂
Tujifunze tusikimbiliye kukoment bila kujuwa maana ama lengo la mtu
Kwa hakika hakuna awezae kuzuiya mvuwa ila mola
Upumbavu tu huu
Hamna.tauhidi.masikini.masufi.hatari.Allah.awaongozi
Ww tawhed yako ulitoa wapi tawhed tatu hata mtume s a w hajui hio tawhed tatu wala maswahaba hawazijui tawhed tatu mumezitoa wapi nyinyi mawahabi wapotoshaji
Asalam alaikum watanzania acheni kometi za kuza lilishana mtume wa allah hakuwa na maneno ya kutukanana nyiye mna nini
Muumini hajisifii kamwe eti kesha faulu wakati hio pepo yenyewe bado hajaipata ila kwa kudra zake Allah, Usimdharau usiejua nafasi yake kwa ALLAH kwakujiona Wewe ni bora kuliko wengine.
Swali langu ni moja tu Nabii Muhammad Rehma na Amani zimshukie alisema "musinisifu kama walivyo msifu nabii Issa (AS). Sasa kwa kufanya maulid na kumsifu sanaaa hamuoni hii nihatari mwamtafutia? Kwanini musimswalie tu vishe lazima madufu mara hoo ati alinena na wanyama....sawa tunaamini lkn musimtukuze kihivo kwani alikua mtu tu kama nyinyi
Ww Huna akili mtume s a w alisema musimsifu mukazidisha mukafanya kama manaswara kusema yesu ni mwana wa mungu ila sisi waisilamu twamsifu mtume s a w kwa sifa zake na Allah amemsifu katika quran na kumswalia na malaika ww wahabi soma
@@saba-gv3mj sikia rafiki....kama saudia wenye nasaba na DNA ya moja kwa moja na mtume Muhammad s.a hawafanyi maulidi na hao niwasomi zaidi nyinyi wasambaa na wazaramo ambao babu zenu walikua hawana dini mwasoma maulidi hii si upungufu wa elmu na ulemavu wa imani..... you people need to learn more about Islam
Leo ndo nimejuwa kuwa masufi wachawi
Wewe mwehu uwalii pia hujui? Wasema uchawi balaa sana
Kasome utaelewa kwanini kuna karama na kwanini mashekh au muumini yoyote mwenye ikhilasw dua yake hujibiwa haraka na Allah Utaacha ubishi na kuwasingizia mashekh mambo ambayo hawajayafanya.
Maneno tele porojo hamna kitu
Makafiri wamewanunuwa wafuasi wa Muhammad binul Wahhabi ndio sababu
kumbe anaweza kuzuia mvua, mbona tunapoihitaji wakati nchi inapita wakati wa ukame haishi? Masufi akili zenu zimeingia virusi gani?
Ww wahabi tulia marangapi ukame umekuja na watu wakusanya mpaka wanyama na wakaomba na Allah akaleta mvua soma ww wahabi wacha porojo
Shida yenu ni wagumu kuelewa na kujifunza uislam sahihi,Badala yake mnabaki kufuata mkumbo na kubisha au kupinga bila hoja na kutukana matusi kwakuambiwa ukweli, Kwani uislam umeruhusu matusi kwa mwislam mwenzako au mtu yoyote? Jadilianeni na wale wenye mlengo tofauti na ninyi kwa hekima na busara sio kutukana mashekh, Kinyume cha hivyo huo utakuwa sio uislam na makusudio yake kwetu.
Kama hawa ndiyo mashekhe uislamu hautatawala hata siku moja. Ndiyo maana mkasherehekea mazazi ya mtume baada kufa kwake . hivi nani ashawahi sherehekea mazazi ya babake baada ya kufa badala kua na huzuni na mkawa wakali kwa makafiri mpaka uislamu urudi katika utawala kazi nikusherehekea tu kila mwaka
Wewe mkali umefanya nini?
Wamfananisha Mtume na babako 😢
Watcha kuzaliwa mbona mnaadhimisha kifo cha baba yenu?
Mwambieni anyooshe kidole asimamishe vita GAZZA kma kweli ana karama 😂....huu ni utapeli wa kuwatia wajinga ambao hawakusoma mtegoni
Wewe umepambana na Kafiri yupi?Na unapambana nae kakufanya nini soma Dini yako uifahamu vilivyo sio kuburuzwa
MAULIDI TWA SOMA SISI;;MADUFU TWA PIGA SISI::KASDA TWA IMBA SISI;;MAULIDI TWA IMBA SISI;;;HAYA NYINYI ANSWAR MWA UMIA NINI???MWA KEREKWA NINI???: NYINYI ANSWAR MSI PIGE TUACHENI SISI:::POVU LANINI
Hata Mimi nawashangaa waumia Nini pilipili ipo shamb yawawasha wao hahahahahahahag
@@taurehassan7399 sijui :Wana umwa NINI::MAULIDI YATAZIDI NA NYUMA HAYATA RUDI::;,WAUMIE ANSWA NA NYINGI ZAO KELELE:::;:NIME KUMBUKA KESHO NI MAULIDI YA NYUMBANI KWANGU KARIBUNI SANA::;ENDELEENI KU UMIA MAWAHABI SISI HATU ACHI MAULID
Ni muhimu tu sana kwa wailsamu kubaki kwenye umoja wao wa kidini.... na ibada kama hii isipokuwa na ushahidi wa wazi kwenye sheria bila shaka inawagawa waislamu...kama unavyoona. Na haya ni maafa makubwa sana kama ungejua....kwahivyo shida sikupiga dufu na hayo uyasemayo.... shida ni kwamba jambo hilo limesababisha waislamu kutokuwa kitu kimoja.... na hilo ni maangamivu makubwa sana...
Masufi acheni polojo na ujinga na uongo
Porojo ni ww uwache ww kipofu si mvua imenyesha ameinua kidole imeacha huyu ni mja mwema wacha uhasidi ww wahabi
Porojo ni ww uwache ww kipofu si mvua imenyesha ameinua kidole imeacha huyu ni mja mwema wacha uhasidi ww wahabi
Tatizo la nyie mawahabi munao abudu misalaba mungu utatu ufahamu wenu finyu sana.ndio mtu anaeza zuiya mvua kupitia uwezo wa allah.mbona humshangai nabbii issah alifufua maiti kwa uwezo wa allah na mengi tu aliyafanya.leo mawahabi munajifanya mamwehu wa kumdarau allah kwamba hawwzi fanya kitu kupitia waja wake kweli nashukuru allah kwa kuniepusha na mawahabi nyie mayahudi kweli hisuda zenu zinatisha..
Issa ndio kinyago gan chief😂😂😂 hatukijui hicho kinyago sisi😅 em tutolee watu wa hovyo na kuwafananisha na Yesu wetu mpumav we
@@Izikiel55 pole sikujua kama wewe ni kafiri umevamia hapa haya basi baki na yesu wako.
Hahahha Hahahha huwo ni uongo Hahahha acheni usufi ati amezuia mvua Hahahha wajinga nyinyi Hahahha 😂😂😂😂😂😂😂😂
Ndio masalafi wakiwaaambia hawa watu hawafai, nyinyi mnaonaaa mnasumbuliwaa,, hivi nyinyi wafuasi wa hawa wazushi mnajielewa kweli?!!!
Usalafi ni ukafiri kwa mujibu wa Quran Zukhrufa 55-56
Hamujielewi nyinyi mawahabi yani migombe ww hukuona mvua na amenyosha kidole na akasema haiyendelei na kanyamaza huyu ni wali wa Allah na aya ziko katika quran waja wake Allah wale wema waombacho Allah yuwawakubalia
@@omaraliomar1671soma hio aya na utafsiri usije ukawa ww kafiri tu
الشيطان سول لهم وأملالهم
KWANI WEWE ANSWAR UME LAZIMISHWA USOME MAULIDI???? UME LAZIMISHWA UENDE KWENYE MAULIDI???¿?UME LAZIMISHWA USIKILIZE MAULIDI?????UME LAZIMISHWA UCHANGIE ELA ZA MADUFU?????:::MWAKEREKWA NA NINI???PILI PILI USIO ILA YA KU WASHIA NINI???? MAULIDI YATAZIDI NA NYUMA HAYATA RUDI WA UMIE MAWAHABI NA HUKU WA KI LALAMA;;;;;WEWE BAKI NYUMBANI MAULIDI YA SI KU UMIZE KICHWA
tukio kafanya shekh lakukata nvua au ni allah ndio alio kata nvua nyinyi wa jinga kasomeni aqida sio kuongeya maneno ya ukafiri allah ndio mpangiliaji wa mambo yote sio uyo shekh wenu sema ivi sheikh kamuomba duwa allah akakata nvua sio shekh kakata nvua nyie wajinga
Usiwatukane waeleweshe tu hupungukiwi kitu maneno mzuri ni swadaqha
@@abdularuffin9308 ujinga sio tusi ujinga ni ukosefu wa elimu afu ni hali ya kila kiumbe uzaliwa na ujinga kisha akisomeshuwa ujuwa kwaio sja tusi mtu
Nami nasisitiza wajinga haswaaaa
Kua muelewa usiwee MJINGA ww unotoa coment hii Sasa ulitegemeaa hio Dua ya kuzuia NVUA aisome baba Yako au mwalm wako ?
Alie andika sheik akatisha mvua kwa ishara ya kidole ni nani 😂😂 sasa mjinga ni nani hapa??