MARIOO AFIKA DUKANI KWA PAULA AFUNGUKA "PAULA HANA MIMBA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 38

  • @abuumohamed7090
    @abuumohamed7090 11 месяцев назад +1

    Uko very smart kwenye kujibu maswali.Jiongeze kwa kujifunza Kiingereza coz ur an international artist now,so you will be having interviews, contracts etc

  • @BAHATIKIBA-ul6wx
    @BAHATIKIBA-ul6wx 11 месяцев назад +1

    Congratulation Bad , Ila Kwa Mimba Hapo Tunakupa Miez Michache Tu Ndo Tunaongey Ukweli

  • @JudithKigalu-ue3in
    @JudithKigalu-ue3in 11 месяцев назад +2

    Songa mbele mtoto ❤❤❤paula

  • @kambonamulungu7974
    @kambonamulungu7974 6 месяцев назад

    Huyo wa nyum y Marioo kam Asake😅😅

  • @nasraniko-mr2lv
    @nasraniko-mr2lv 11 месяцев назад +3

    Mmmmmh kwa hiyo sura ya paula kubadilika alaf asiwe na mimba sio kweli 😅😅😅

  • @KelvinWilliam-h9f
    @KelvinWilliam-h9f 11 месяцев назад

    Pole sana Mario labda ata mdogo ako Ana ata kibanda chanyanya

  • @AntoinetteKimbumnu
    @AntoinetteKimbumnu 11 месяцев назад +3

    ❤❤

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha 11 месяцев назад +3

    Uyo mwenye miwani nyuma ya Mario ndio baunsa😅kha usanii na tambi zake kichwani

    • @Joseph-cw8zx
      @Joseph-cw8zx 11 месяцев назад +1

      😂😂😂 huyo asakeee

  • @SandreAlhlwah-bv1cx
    @SandreAlhlwah-bv1cx 11 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤❤

  • @annagesura8375
    @annagesura8375 11 месяцев назад +1

    juma lokole wew utafika mbinguni umechoka sana leo ni wew tena wakusimama mbele ya hiyo familia hunaga aibu au ndoo utafutaji wenyewe

  • @AnnaMagige
    @AnnaMagige 5 месяцев назад

    Paula bidup

  • @raymondgikaro5818
    @raymondgikaro5818 11 месяцев назад +1

    Ila kuna watu wanajua kula imezama Kama mmakonde Enzi hizo

  • @naomithomas8345
    @naomithomas8345 11 месяцев назад

    We can't hear you

  • @Jangala-os1pz
    @Jangala-os1pz 11 месяцев назад

    Watafungua sana maduka ilo baadae alie

  • @simbajumanne9718
    @simbajumanne9718 11 месяцев назад

    Mama yakoo hata boda boda hana unaenda kusaport madangaaaa

  • @KelvinWilliam-h9f
    @KelvinWilliam-h9f 11 месяцев назад

    Ivi ata aujionei uruma omari jmn awo niwanja wa mjini tayar uxhapigwa duka apo

  • @FridaUdoba-iw2jx
    @FridaUdoba-iw2jx 11 месяцев назад

    🥰🥰🥰😍

  • @mathiasmanonga3939
    @mathiasmanonga3939 11 месяцев назад

    Mario kakamuliwa mpaka hadi huruma hao watoto wa mjini mtamuuliza hamonize

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 11 месяцев назад +1

    Karogwa vibsya marioo mpaka akishtuka kashanyonywa damu

    • @ukhtymdee8557
      @ukhtymdee8557 11 месяцев назад +4

      Tafuta wako na wew mloge mbon wiiivu uta wauwa jaman

    • @QueenSophie-rj7hu
      @QueenSophie-rj7hu 11 месяцев назад +1

      ​@@ukhtymdee8557wanateseka mbwa hawa

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 11 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mwezzireen17
    @mwezzireen17 11 месяцев назад

    Hadi huruma marioo😢😢😂

  • @listerlujiso6009
    @listerlujiso6009 11 месяцев назад

    Hao wengne mbona wanateta na kucheka yan inaonesha wambea

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 11 месяцев назад

    Lokole duh

  • @NiceWatson-y7e
    @NiceWatson-y7e 11 месяцев назад

    Hiv kutoboa pua kwa mwanaume ndo ustaa au me naona hawapendezi na kujitafutia dhamb za bure tu

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 11 месяцев назад

    Sikuhizi simpendi marioo anajisikia sana

  • @sergioramoelbougie1912
    @sergioramoelbougie1912 11 месяцев назад

    🤣🤣

  • @joycekatembo9572
    @joycekatembo9572 11 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤❤