Namna ya kugawa mtaji wa Biashara Kitaalam

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • Kuna watu wanafanya Makosa kwa kuchukua mtaji wote kwa kununua bidhaa na kulipia kodi ya frem tu. Hayo ni Makosa. Tena wengine hulipa frem bei kubwa na kuchukua sehemu kubwa ya mtaji na kusahau mambo mengine ya muhimu yanayouza mtaji.
    .
    Hii video nimekuelekeza vizuri vitu vya muhimu kuzingatia unapoanza biashara hasa kugawa mtaji kitaalamu.
    .
    Usije kusahau vitu vya muhimu kama kutenga bajeti ya matangazo maana ndiyo yanaleta wateja. Pia kushindwa kugawa mtaji kitaalamu ndiko kunafanya wengi hawaoni faida wakati wanauza vizuri tu.

Комментарии • 33