Balozi Liberata Mulamula: Chanzo cha Mgogoro wa Congo (Part 1)
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- Akizungumza katika mjadala ulioandaliwa na taasisi ya DUPSA katika chuo kikuu cha Dar es Salaam, leo Februari 08, 2025, Balozi Liberata Mulamula amechambua mambo yanayoisumbua Congo:
1. Ukubwa wa nchi na idadi ya watu
2. Utajiri wa nchi ya Congo na jiographia yake
3.Historia ya kiungozi.
Mulamula alikuwa katibu mkuu wa kwanza wa Kongamano la kimataifa la maziwa makuu. Kongamano lililoundwa kwa ajili ya utatuzi wa kudumu wa mgogoro wa Congo.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved.
Shukrani sana Balozi Liberata kwa historia hiyo
Hongera sana Balozi Dr. Leberata Mulamula
Thank you so much Liberata. That's quite a history!! Well explained and clearly understood
Dada, asante sana. Wakola muno.
Mama Uko vizuri
Huyu atapigwa vita naviongozi wa CONGO,kwasababu anazungumza ukweli,m23 wanapigania haki zao mpaka mwisho
Me naona ukubwa siyo tatizo,tatizo ni utawala wa ndani,raslimali ambazo wazungu wanachukua hapo.
Balozi usisahau Congobravile ilikuwa ndani Congo
Jamani
Ili inchi itulie inahitaji vitu vitatu 1). Kusiwe na Ubaguzi 2). Haki iwepo 3) uhuru uwepo.
Baada ya mkutano wa Berlin nchi ya congo walikubaliana iachwe huru Kwa Kila mwenye kuona fursa ya rasilimali asizuiwe. Mberigiji alikiwa kiranja TU na hakuruhusiwa kumzuia yeyote. Tujitahidi kusoma wanazuoni. Tuwasaidie wenzetu wa congo wameteseka Kwa miaka mingi. Ukubwa si sababu. Mifumo ya ndani itazamwe vizuri
44😂
Ni sababu hata marekani inatawalika kwa sababu imegawanyika kwenye majimbo na yana mmlaka ya kufanya mambo yake.
Sasa itabidi makubaliano yale ya tarehe 23 yatekelezwe
Ukubwa siyo tatizo mbona America bara zima hakuna shida watu zaidi ya milioni 300? Sema watawala wenyewe
America ipi? Kusini, kati au kaskazini?
Tatizo congo hakubali kama m23 ni wakongo
Kweli nchi isaidiwe kuwa na jeshi,kisha igawanywe katika mikoa itakayoongozwa na wakuu wanajeshi,kila mkoa ukiwa na kambi ya jeshi, Jeshi liandaliwe kujenga miundombinu mipya ya kiutawala katika mikoa itakayoundwa mf kuanzisha makazi mapya.
Hao wakuu wa mikoa watageuka watawala wa hiyo mikoa na hawatataka kuingiliwa
Hakuna jeshi congo
We get to find solution to this pollution we don't want course once we know it cause
Watuambie kilifichika Nini kwenye mkataba wa march23.maana Ili kina limeficha mengi
Kwa maelezo haya ya mama yetu, ni dhahiri M23 wana haki kabisa, na wala hawapaswi kuchukuliwa kama waasi
Issues za uraia msipotake care nazo mapema baadae ni kizungumkuti. Ona yaliyowakuta Ukraine vs. Urusi ; royalty inakuwa issue....tz pia tusilale
Wale ni raia wa kongo
Yote umesema Mama inaonyesha ni uporaji wa mali ya Kongo ndio sababu Kongo kukosa amani. Mengine yote ni excuses yaku iba.
DR Congo ni kubwa kuliko Akgeria ??? Kwa hiyo data ziluzopo ni feki ??
Balozi yy Mtusi
Mtanzania
Ndiyo ubaguzi tunaokataa huku Tanzania hakuna ubaguzi
America mbona inatawalika?
Hakuna historia Happ hao wataka kuiba madini.hakuna Cha ukabila hapo
Warudishwe kwao pamoja na sehemu yao
Ni ukabila madini wanaomiliki ni wasauzi na wachina na watu wa magaharibi sasa hivi ni ukabila hakuna mgodi unaomilikiwa na Rwanda
Baada ya mkutano wa Berlin nchi ya congo walikubaliana iachwe huru Kwa Kila mwenye kuona fursa ya rasilimali asizuiwe. Mberigiji alikiwa kiranja TU na hakuruhusiwa kumzuia yeyote. Tujitahidi kusoma wanazuoni. Tuwasaidie wenzetu wa congo wameteseka Kwa miaka mingi. Ukubwa si sababu. Mifumo ya ndani itazamwe vizuri