Raymond Omollo asema maandalizi ya sikukuu ya Madaraka uwanjani Masinde Muliro yameshika kasi
HTML-код
- Опубликовано: 14 май 2024
- Katibu katika wizara ya usalama daktari Raymond Omollo amesema kwamba maandalizi ya sikukuu ya Madaraka katika uwanja wa Masinde Muliro kaunti ya Bungoma yameshika kasi.