CHADEMA WAKATAA ULINZI WA POLISI WAKISEMA HAWATAKI KULIDWA' MULIRO ATIA NENO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 69

  • @ThomasAlute
    @ThomasAlute 11 дней назад +8

    Polisi wa Tanzania ni wa ovyo sana hasa huyu JUMANNE Muliro eti unaenda kulinda mkutano wa chadema wa nini wakati mlikuwa mnawaua wanachama wao

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 11 дней назад +7

    Huu ni unafik hawa wametumwa kuja kuharibu uchaguzi

  • @StephanoGwelino
    @StephanoGwelino 11 дней назад +4

    Kama,wamekuja polisi ilikuwa vizuri waje na soka

  • @salama1113
    @salama1113 11 дней назад +2

    Waende dodoma kama kweli wanataka kulinda

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 11 дней назад +5

    MULIRO mnachotaka kumpokonya Lissu uenyekiti hamtafanikiwa, leo ni damu na jasho hatutawaogopa. Jibuni kwanza ackwilina, bensanane, ali kibao na azori wameuwawa na nani?

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 11 дней назад

    Waende kabisa.

  • @onesmomalifedha4709
    @onesmomalifedha4709 10 дней назад

    Kwani wew si raia?

  • @HijaSaid-t6c
    @HijaSaid-t6c 11 дней назад +1

    Wamekuja kumsaidia mwanachama mwenzao

  • @FREDYMBUGHI-q5k
    @FREDYMBUGHI-q5k 11 дней назад

    Watokee kabixa hapo

  • @donaldmaziku7915
    @donaldmaziku7915 11 дней назад +3

    Kwa nini polisi wa tanzania ufanya kazi kwa unafiki?

  • @FREDYMBUGHI-q5k
    @FREDYMBUGHI-q5k 11 дней назад

    Toka m bona kule hakulinda xaxa

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro 11 дней назад +1

    Wewe sio mzima mpoeneo gani Tundu Lisu anawapotosheni police analinda usalama popple

  • @MahamuduMgongolwa-rw6ep
    @MahamuduMgongolwa-rw6ep 11 дней назад +2

    Huyu mwehu kweli mkutano kama huo na ulivyo na shida halafu kusiwe na ulinzi na hapo lazima viongozi wa Chadema ndiyo wameomba na hapo kuna shughuli nyingii za kiuchumi zinaendelea wakianza kudundana wawadhuru na watu wengine je kenge kabisa hawa wanachama wasiojielewa

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 11 дней назад

      @@MahamuduMgongolwa-rw6ep Hawa watu ni wa ajabu sana!
      Wakilindwa shida na wasipolindwa shida!
      Waja wana mambo hatari!

    • @PauloSevelini
      @PauloSevelini 11 дней назад

      Mnataka kututeka mbwa nyie

  • @MohamedKaburu
    @MohamedKaburu 11 дней назад +1

    Hawataki ulinz wa polis wanataka ulinzi wa sungusungu au

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 11 дней назад

    Hata Mimi nakuunga mkono

  • @NoelChambo
    @NoelChambo 11 дней назад

    Safi sana.

  • @stevenjackson4985
    @stevenjackson4985 11 дней назад +2

    Na hawaondoki maana wanatimiza wajibu wao

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 11 дней назад +5

    Jengeni ukumbi wenu!
    Hapo kuna mabenk na biashara kubwa za mamilioni@
    Mnataka mkigombana mupate njia ya kuibia watu@
    Hamueleweki!

    • @reginaldmapunda6702
      @reginaldmapunda6702 11 дней назад

      Kama wanalinda maandamano wanakosea wapi kulinda uchaguzi wwenye kauli tata kama wanazoongea baadhi ya wafuasi wenu. Hapo mlipo kuna wawekezaji na mali zao na ninyi hamtabiriki , nani atawajibika endapo uharibifu utajitokeza. Haya Polisi wakiondoka na nyie mkaanza kuzichapa hamtahitaji msaada wa polisi ? Polisi wanalinda mpaka kwenye viwanja vya soka na inategemea wamenusa nini ktk. mkutano huo.

    • @GosesGoses-q7j
      @GosesGoses-q7j 11 дней назад

      Mbowe ni ccm anaurafiki gan

    • @GosesGoses-q7j
      @GosesGoses-q7j 11 дней назад

      Mbowe ni ccm anaurafiki gan

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 11 дней назад

      @GosesGoses-q7j Huyo bado mnaye sana tu!
      Musiongee mkamaliza!!!

    • @Omarimakuka
      @Omarimakuka 11 дней назад

      Nchi yako pekeyako Usalama kwanza

  • @ThomasAlute
    @ThomasAlute 11 дней назад +3

    Kamanda Muliro mjinga sana mbona siku zote hupeleki polisi wengi kulinda mlimacity mjinga wewe

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 11 дней назад

      @@ThomasAlute Wewe ropoka tu!
      Mdomo ni Mali yako!

    • @ThomasAlute
      @ThomasAlute 11 дней назад

      @dorothmsuya1686 ACHA ufala wewe

  • @RichardBituro-x9g
    @RichardBituro-x9g 11 дней назад

    🦁🦁🦁🦁🦁🦁😂😂nguo zinabana

  • @abuubaya7614
    @abuubaya7614 11 дней назад +1

    ILA KWELI POLISI HAWAJAWAHI KUWAPENDA CDM KABXA INALETA MASWALI MENGI KIUHALISIA

  • @markoshem-ij6cf
    @markoshem-ij6cf 11 дней назад

    Wamekja kuja kuiba kura

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 11 дней назад +3

    Wewe bwabwaja tu!
    Kusingekua na amani ungeropoka hapo!
    Hichi ni chama gani???😂😂😂

  • @CornelJeremiah-vv7vj
    @CornelJeremiah-vv7vj 11 дней назад +1

    Hapo kuna jambo

  • @MariamJeremia-u7e
    @MariamJeremia-u7e 11 дней назад

    Polis wanataka nini waende kwenye chama chao ccm si hatuna polic tungekua nao wasingekua wanatuua kama majambaz MUNGU ANAWAONA,

  • @ObeidChamila
    @ObeidChamila 11 дней назад

    Mbwa hii

  • @stevenjackson4985
    @stevenjackson4985 11 дней назад +1

    Mbona polisi wanakuwa kwenye viwanja vya michezo na haujalalamika. Ni ujinga tu ndio unakufanya ufikiri hauhitaji polisi hapo.

    • @markoshem-ij6cf
      @markoshem-ij6cf 11 дней назад

      Uchaguzi wa serikari za mita wariiba kura reo wanakuja iri iweje

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 11 дней назад +1

    Polisi wanawahusu nini ,boksi la kura linahusiana vipi na polisi?😂

  • @SaidiIssa-d6u
    @SaidiIssa-d6u 11 дней назад +2

    Polisi wasachiwe inawezekana wana kura mifukoni

  • @zagambajunior1672
    @zagambajunior1672 11 дней назад +1

    Tumieni akili hpo ni wapi ulipo kwahyo mkianza fujo zenu mharibu biashara zawatu kisa chadema police wanapaswa kuwa hpo hyo nilazima

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro 11 дней назад

    Chadema wacheni hiyo miamuko nyinyi ni qatu qafunjo tu hata s CCM walilindqa police walikuwepo dodoma

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 11 дней назад +2

    Ccm walikua kwenye ukumbi wao acheni kujizima data pimbi nyie!
    Jengeni ukumbi wenu@
    Wengine hapo ni vibaka watajichanganya humo humo!😅😅😅

    • @josephmarole5159
      @josephmarole5159 11 дней назад

      Ukumbi wao,CCM wanabiashara gan za kumiliki hayo mabasi na hzo kumbi???
      Mafisadi

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 11 дней назад

      @josephmarole5159 ccm ni dude kuuubwa!
      Musicale kushindana mtaumia wenyewe!
      Pambaneni na hali zenu na hizo jazba zenu!!

    • @GeorgeAlexander-e3k
      @GeorgeAlexander-e3k 11 дней назад

      Tulia ww choko lisu aja kuwanyoosha

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 11 дней назад

      @GeorgeAlexander-e3k Choko mama yangu aliyeshindwa kukufunza adabu!
      Nyooo! Mtaisoma namba!
      Punguzeni matusi na makasiriko!!

  • @KenedyThabiti
    @KenedyThabiti 11 дней назад

    Ila kunawatu wa akili mbovu sana

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga789 11 дней назад +1

    Sasa nyinyi hii nchi ni yenu pekee yenu sasa mki chukua nchi mtatumia jeshi gani au nyinyi ni malaika

    • @PauloSevelini
      @PauloSevelini 11 дней назад

      Kufa sasa naona leo unaipenda chadema leo

  • @MosesMushi-p2p
    @MosesMushi-p2p 11 дней назад +2

    Pimbi hawo hawataki ulizi wa police wanataki kuazisha vurugu mitahaira hawo

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 11 дней назад +1

    Mbowe akishinda anabaki na chama chake peke yake hapo ntajua kweli siasa bora ule ugali na mlenda

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 11 дней назад

    Mkome kabisa mafala nyie hamnazo kabisa mnadsi katiba wakati katiba yenu tu mbowe anaivuruga mtajijua kenge

  • @jamesjahasa3348
    @jamesjahasa3348 11 дней назад +1

    Acha bange zako wewe uwechumbani mwako na mkeo polisi ndio hawawezi kuingilia

    • @mohamedturanardan8871
      @mohamedturanardan8871 11 дней назад

      MULIRO mnachotaka kumpokonya Lissu uenyekiti hamtafanikiwa, leo ni damu na jasho hatutawaogopa. Jibuni kwanza ackwilina, bensanane, ali kibao na azori wameuwawa na nani?

    • @AbubakariTarishi
      @AbubakariTarishi 11 дней назад +1

      Chaguzi za vyama vingine hakunaga fujo,huu uchaguzi wenu unaviashiria vya uvunjifu wa amani.mtalindwa tu

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si 11 дней назад

    Wajinga nyie ,mbona kwenye maandamano mliwapokea! Mna vurugu za kipuuzi

  • @husseinmramba
    @husseinmramba 11 дней назад

    washangaa nn acha mihemko ww wakt ni moja ya kazi yao...

    • @mohamedturanardan8871
      @mohamedturanardan8871 11 дней назад

      MULIRO mnachotaka kumpokonya Lissu uenyekiti hamtafanikiwa, leo ni damu na jasho hatutawaogopa.

  • @kingwandeinvestment8002
    @kingwandeinvestment8002 11 дней назад

    Uyu mjinga

    • @AbubakariTarishi
      @AbubakariTarishi 11 дней назад

      Mtalindwa tu,mtake mistake,mngeufanyia mbinguni.pimbi nyny

  • @adiaygo8546
    @adiaygo8546 11 дней назад +1

    Tafuteni ukumbi wenu chilzi wa kimakondde mnajichanganya kwenye biashara za watu harmful mnalaumu polish kuku nyie

    • @mohamedturanardan8871
      @mohamedturanardan8871 11 дней назад

      MULIRO mnachotaka kumpokonya Lissu uenyekiti hamtafanikiwa, leo ni damu na jasho hatutawaogopa.

  • @SelemaniHamiss
    @SelemaniHamiss 11 дней назад

    Wanaibaga.paka.kura.hao.kwetu.waliada.kura.kituo.chapolis.m.t .d