MULIRO mnachotaka kumpokonya Lissu uenyekiti hamtafanikiwa, leo ni damu na jasho hatutawaogopa. Jibuni kwanza ackwilina, bensanane, ali kibao na azori wameuwawa na nani?
Huyu mwehu kweli mkutano kama huo na ulivyo na shida halafu kusiwe na ulinzi na hapo lazima viongozi wa Chadema ndiyo wameomba na hapo kuna shughuli nyingii za kiuchumi zinaendelea wakianza kudundana wawadhuru na watu wengine je kenge kabisa hawa wanachama wasiojielewa
Kama wanalinda maandamano wanakosea wapi kulinda uchaguzi wwenye kauli tata kama wanazoongea baadhi ya wafuasi wenu. Hapo mlipo kuna wawekezaji na mali zao na ninyi hamtabiriki , nani atawajibika endapo uharibifu utajitokeza. Haya Polisi wakiondoka na nyie mkaanza kuzichapa hamtahitaji msaada wa polisi ? Polisi wanalinda mpaka kwenye viwanja vya soka na inategemea wamenusa nini ktk. mkutano huo.
MULIRO mnachotaka kumpokonya Lissu uenyekiti hamtafanikiwa, leo ni damu na jasho hatutawaogopa. Jibuni kwanza ackwilina, bensanane, ali kibao na azori wameuwawa na nani?
Polisi wa Tanzania ni wa ovyo sana hasa huyu JUMANNE Muliro eti unaenda kulinda mkutano wa chadema wa nini wakati mlikuwa mnawaua wanachama wao
Kumbe chadema ni zigo la ooovyoo ! Hamueleweki kabisaa
Huu ni unafik hawa wametumwa kuja kuharibu uchaguzi
Kama,wamekuja polisi ilikuwa vizuri waje na soka
Waende dodoma kama kweli wanataka kulinda
MULIRO mnachotaka kumpokonya Lissu uenyekiti hamtafanikiwa, leo ni damu na jasho hatutawaogopa. Jibuni kwanza ackwilina, bensanane, ali kibao na azori wameuwawa na nani?
Na joji juma mohamed manyoni mkwese
Waende kabisa.
Kwani wew si raia?
Wamekuja kumsaidia mwanachama mwenzao
Watokee kabixa hapo
Kwa nini polisi wa tanzania ufanya kazi kwa unafiki?
Toka m bona kule hakulinda xaxa
Wewe sio mzima mpoeneo gani Tundu Lisu anawapotosheni police analinda usalama popple
Mbwa wewe
Huyu mwehu kweli mkutano kama huo na ulivyo na shida halafu kusiwe na ulinzi na hapo lazima viongozi wa Chadema ndiyo wameomba na hapo kuna shughuli nyingii za kiuchumi zinaendelea wakianza kudundana wawadhuru na watu wengine je kenge kabisa hawa wanachama wasiojielewa
@@MahamuduMgongolwa-rw6ep Hawa watu ni wa ajabu sana!
Wakilindwa shida na wasipolindwa shida!
Waja wana mambo hatari!
Mnataka kututeka mbwa nyie
Hawataki ulinz wa polis wanataka ulinzi wa sungusungu au
Mungu
Hata Mimi nakuunga mkono
Safi sana.
Na hawaondoki maana wanatimiza wajibu wao
Kuiba kura
Jengeni ukumbi wenu!
Hapo kuna mabenk na biashara kubwa za mamilioni@
Mnataka mkigombana mupate njia ya kuibia watu@
Hamueleweki!
Kama wanalinda maandamano wanakosea wapi kulinda uchaguzi wwenye kauli tata kama wanazoongea baadhi ya wafuasi wenu. Hapo mlipo kuna wawekezaji na mali zao na ninyi hamtabiriki , nani atawajibika endapo uharibifu utajitokeza. Haya Polisi wakiondoka na nyie mkaanza kuzichapa hamtahitaji msaada wa polisi ? Polisi wanalinda mpaka kwenye viwanja vya soka na inategemea wamenusa nini ktk. mkutano huo.
Mbowe ni ccm anaurafiki gan
Mbowe ni ccm anaurafiki gan
@GosesGoses-q7j Huyo bado mnaye sana tu!
Musiongee mkamaliza!!!
Nchi yako pekeyako Usalama kwanza
Kamanda Muliro mjinga sana mbona siku zote hupeleki polisi wengi kulinda mlimacity mjinga wewe
@@ThomasAlute Wewe ropoka tu!
Mdomo ni Mali yako!
@dorothmsuya1686 ACHA ufala wewe
🦁🦁🦁🦁🦁🦁😂😂nguo zinabana
ILA KWELI POLISI HAWAJAWAHI KUWAPENDA CDM KABXA INALETA MASWALI MENGI KIUHALISIA
Wamekja kuja kuiba kura
Wewe bwabwaja tu!
Kusingekua na amani ungeropoka hapo!
Hichi ni chama gani???😂😂😂
Hapo kuna jambo
Polis wanataka nini waende kwenye chama chao ccm si hatuna polic tungekua nao wasingekua wanatuua kama majambaz MUNGU ANAWAONA,
Mbwa hii
Mbona polisi wanakuwa kwenye viwanja vya michezo na haujalalamika. Ni ujinga tu ndio unakufanya ufikiri hauhitaji polisi hapo.
Uchaguzi wa serikari za mita wariiba kura reo wanakuja iri iweje
Polisi wanawahusu nini ,boksi la kura linahusiana vipi na polisi?😂
Polisi wasachiwe inawezekana wana kura mifukoni
Tumieni akili hpo ni wapi ulipo kwahyo mkianza fujo zenu mharibu biashara zawatu kisa chadema police wanapaswa kuwa hpo hyo nilazima
Chadema wacheni hiyo miamuko nyinyi ni qatu qafunjo tu hata s CCM walilindqa police walikuwepo dodoma
Ccm walikua kwenye ukumbi wao acheni kujizima data pimbi nyie!
Jengeni ukumbi wenu@
Wengine hapo ni vibaka watajichanganya humo humo!😅😅😅
Ukumbi wao,CCM wanabiashara gan za kumiliki hayo mabasi na hzo kumbi???
Mafisadi
@josephmarole5159 ccm ni dude kuuubwa!
Musicale kushindana mtaumia wenyewe!
Pambaneni na hali zenu na hizo jazba zenu!!
Tulia ww choko lisu aja kuwanyoosha
@GeorgeAlexander-e3k Choko mama yangu aliyeshindwa kukufunza adabu!
Nyooo! Mtaisoma namba!
Punguzeni matusi na makasiriko!!
Ila kunawatu wa akili mbovu sana
Sasa nyinyi hii nchi ni yenu pekee yenu sasa mki chukua nchi mtatumia jeshi gani au nyinyi ni malaika
Kufa sasa naona leo unaipenda chadema leo
Pimbi hawo hawataki ulizi wa police wanataki kuazisha vurugu mitahaira hawo
Mbowe akishinda anabaki na chama chake peke yake hapo ntajua kweli siasa bora ule ugali na mlenda
Akishinda Mbowe maana yake amepigiwa kura.
Mkome kabisa mafala nyie hamnazo kabisa mnadsi katiba wakati katiba yenu tu mbowe anaivuruga mtajijua kenge
Acha bange zako wewe uwechumbani mwako na mkeo polisi ndio hawawezi kuingilia
MULIRO mnachotaka kumpokonya Lissu uenyekiti hamtafanikiwa, leo ni damu na jasho hatutawaogopa. Jibuni kwanza ackwilina, bensanane, ali kibao na azori wameuwawa na nani?
Chaguzi za vyama vingine hakunaga fujo,huu uchaguzi wenu unaviashiria vya uvunjifu wa amani.mtalindwa tu
Wajinga nyie ,mbona kwenye maandamano mliwapokea! Mna vurugu za kipuuzi
washangaa nn acha mihemko ww wakt ni moja ya kazi yao...
MULIRO mnachotaka kumpokonya Lissu uenyekiti hamtafanikiwa, leo ni damu na jasho hatutawaogopa.
Uyu mjinga
Mtalindwa tu,mtake mistake,mngeufanyia mbinguni.pimbi nyny
Tafuteni ukumbi wenu chilzi wa kimakondde mnajichanganya kwenye biashara za watu harmful mnalaumu polish kuku nyie
MULIRO mnachotaka kumpokonya Lissu uenyekiti hamtafanikiwa, leo ni damu na jasho hatutawaogopa.
Wanaibaga.paka.kura.hao.kwetu.waliada.kura.kituo.chapolis.m.t .d