PLANET BONGO - MR. NEY : RAYVAN MSAIDIE MADEE KUANDIKA KAISHIWA MISTARI
HTML-код
- Опубликовано: 18 янв 2017
- Rapper mwenye line zenye utata kwenye tungo zake NEY wa MITEGO A.K.A Mr. Ney ameendeleza Tofauti kati yake na MADEE kwa kuikataa Ngoma mpya ya madee #HELA na kumtaka Raymond wa WCB amsaidie rapper huyo kuandika Mistari kwa madai kwamba kaishiwa na Wimbo wake huo hauna mbele wala nyuma lakini alisisitiza kua huo ni mtazamo wake hivyo wananchi wenyewe wataamua.
Hata hivyo Ney bado ameonekana kukaza kuweka wazi Siiri iliyopo kati ya yeye na Matumizi ya Namba #966 ambazo zinahisiwa na wengi kwamba si namba za kawaida huenda anazitumia kiimani na yeye mwenyewe amekiri kwamba ni kweli lakini mwaka huu hautaisha ataweka wazi Siri ya namba hizo zinazoohusiana na Maisha yake. Развлечения
Ney wewe ni mkali Sana Sasa ivi sioni msani mkali Kama wewe bro wewe uwaga naongea Kweli natamani siku moja nikuone mungu azidi kukubariki
Napenda hiyo freestyle it's 966 baby upo vizuri tu
hiyo ngoma mzuri kabisa tupe yako,ndo uongee #HELA mad love madee from kenya.
Dulla planet nakukubali sana mwamba nipo likizo ntarudi mzigoni kutegea sikio #PlanetBongo kutoka mikocheni Dar es laam
umemusahau brother ANGU AY LOV u so much
dah noma sana mr nay hatar sana
Nakubalii sanaaa
Kahuku Fid Umetisha sana Nay.... yan mnooo
noma sana
Nay Naona Kabisa ana bifu ya kichini chini na Madee kiukweli madee alivuma but Wakati wake ulipita this time akubali tu matokeo. Nay yuko juu
Duh, Nimependa freestyles zako #Nay mpaka basi... hushindwi ww.... #RaisiWaManzese
Oy a we ney no💥💥💥💥💥
hujui free style
mweshimu madee si size yako mr freemason
kwa hiyo huyu jamaa anataka kutuaminisha kama yeye ni freemason, 😂😂😂 hizi kiki zingine hizi
madeee juu
hiyo kitu noumas
Makni sana nay
Ney banaaaa
ngoma iko sawa creativity ndo inawachanganya
Wapo noma sana
966......hu noma sana
vizur xan
Bwana ney wa mitego freestyle hawezi
Uko vzr ney
swafiiii
wamitego Nouma nakukubali mwanaume usio ogopa naniiii
YES true boy!
Nna mashaka nae huyu jamaa ni freemasons coz hata mm muda mwingi najiuliza sana #966 ina mana gan ila_______________________ kumkichwaaaa!!!!!!!!!!!!!!!
kaka Ney maneno yako itakua ni freemason
wee jau! bro
Nay yuko vizur
Nay una maneno sanaaaaa nyooooo
Sanaa mwamb uyo mam cio level yak
yaaayaaa Mr pesa
Kwahiyo huyu jamaa anataka kutuambia kuwa anatumia mgongo wa mafreemason kutengeneza jina na biashara yake ilihai yeye siyo freemason? Nah huwezi kutembea na njiti mdomoni siku nzima halafu ushindwe kutafuna. Haiwezekani bro, you are freemason!
Haijaishia hapo umeshindwa bana
kazana mzaziii
nakubal san ney
nay freestyle hawezi
Wametisha
ngoma ya madee iko poa xana
kiki hizi bhana,,yaan huyu jamaa kwny hizo namba hakuna big issue sema anataka tenshen ya watu na kuwaaminisha kuwa kuna kitu behind this,,for real hakuna issue yoyote anakazia tu humo km kiki
😊
🔥🔥🔥
Dah ilikua atareeee
weka muziki acha maneno
true boy sema kama ni Joe makin " mana ww ni true boy but mbona unakuwa muoga,na mwana fa anatumia elimu kuandika haimbi kuhusu watu
Chapati izo zinakuja utakunja au ivo ivo
Mr True Boy
ney bhna
ukweli utabakia pale pale na kila mtu anamawazo yake ukweli ma dee hamna kitu kiufupi ameishiwa abadili fani Hanna namna
Show show
aiseee n nouma sana
munazinguA ayo mambo ya sio bhana
Fid Q hakuna kama yeye Tz, Hapo umeongea point Ney
Yani kanigusa sana
JEAS POW QUIONE unataka nicomment nn?!
Ney freeslyl huwezi kwa I hata. Mimi Hu ifikiii
Wmbi mbaya kwel we boya usimzalau sana madeee bana aaa
huyu ni direction yangu
it is true that rich mavoko kwisa habari yake.
kibur dawa yake kabur! subir..utajuta!
ney kweli yuko filimason 966 ufalume wakishi kina
Nikki mbishi namba moja
#BabaYaga
Nay huwez kufloo 😂😂😂😂 afu unasema eti itazua balaa kiajesas
dk 10 za maangamizi au za stor
mmezingua
Mbona hamueleweki wajomba
966
popopopoa
hahahahahaha true boy ni shiiiiiiiiiidah
kama ngoma ni mbovu ni mbovu hamna la ziada
Apo FQ so poa
nay huwezi hutoshi kwa madee.....ww game yko iko down,madee yuko juu kinoma.
hapana nay ukiacha vitu ambavyo hatujui ww na dee hii ngoma nikal ungeikubalii tu mzee
stephano mwandiga kaka nakukubali.unajua kuwapa ukweli watu
ili boya tu kwa madee
thatha hapo kadhi
hahahahahaha ati Mr Freemason?
Ney usijidanganye huwezi kumfikia MADEE hata chembe ile kichwa nyingine wewe
simkubar huyu mwana balaa
FID Q ni namba 1
huyu jamaa freemason nn
ndoivo
Stop tryin' to be loud as Real Emcees, 'cause you can't do that!
Wimbo hela wa Madee kweli mmbaya
for sure that MADEE Song not good
966 = 666 satanic number.... but i think!
we nin mkali San nay
kuma2 huyu mjinga hamini dini anasali nn popote hapo????
😝😝😝😝
uyo dogo jr hajui kabisa, anaongea mno aisee
hiyo kitu noumas
Ney wewe ni frimasoni
66
hiyo kitu noumas