Kudadaaadeki mbonge la track utawaonaa basata ooooh ka2kana ka2kana nini hii nimichano mura big up broo Emanuel mpe hai broo Nassoro mwambie atishe na dude jingine mura
Aiseeee hiki ndio tulikua tumekimiss mzee baba #mpaka wanyoookeee Unajiita shabiki angu halafu unanitukutana we ni shabiki maandazi kamshabikie mama yako Kama umeusikia huuu mstari weka like twende sawa 😂😂😂😂😂😂😂😂
Haya basata fanyeni kazi yenu... Maana nyegezi... Faini m.9.. Je hii.. Sh.ngapi na mnaifungia lini..mm msema kweli.. Fanyeni haki kama hii haifungiwi basi nyegezi nayo.. Iwe huru
wewe ni mpuuzi mmoja yaan nadhan kipindi unatoka na lile linyimbo lako la kwanza lililojaa mitusi basata walikuwa wamelewa mbege .Usingetoboa kuku wewe.Unaumia sana mwenzio kukupiga gap..Si una freenation pambana acha kudis!!!!Hip Hop gan wewe
"Wanambwembwe mitandaon afu kwenye shows amna kitu " "wakina fulani wananinyonya kwani ww una maziwa " ... kama umeelewa amewatukana DIAMOND na WCB like apaa teenzetu
Wale tuliopakubali "shabiki maandaz kamshabikie mamako" gonga like hapa
Sema Mwana mwnywe cap kazngua hcho kpande
Bongo fleva sio bongo movie sikuizi kila malaya wa mjini anataka kuimba,,, hahaha tushawajua ney we ni mot jmn naombeni like zenu bas
Hii ni bonge la ngoma ni balaaaa wanaoamini hii ndio yenyewe gonga like twenzetu
Awamu hii kila kabila litapata Ngoma yake ya kujidai 'VITA NI VITA MURA' Watu wangu wa Mara , Musoma GONGA LIKE KAMA MMEILEWA HII
Tupo kaka,,,,,,ila kenya mbona huwa mnapenda kutusahau,we do also exit right 👍👍👍👍
Qumaaaamake walah! Mwaka huu lazima mav yagonge chupi, u kill it bruh #ney blessed and unstoppable
Wanangu wa 254 mnaomkubali nay tupeni likes zenu hapo,pia Mimi nimemiss ninii...likes
Kama umeangalia zaidi ya mara moja gonga like
Aisha unapenda michano 😂😂😂
Sana
Upo vizur aisha nahisi na michano unajua kabisaa...I wish I could hear ur michano
michano
Naomba namba yako
Kudadaaadeki mbonge la track utawaonaa basata ooooh ka2kana ka2kana nini hii nimichano mura big up broo Emanuel mpe hai broo Nassoro mwambie atishe na dude jingine mura
Huu ndo mziki wako mr ney japo kidogo ulkua umeusahau ila nimeipenda hii kazi nzur mziki mzur na nichano mikali
Asante ney ni kitambo toka niskilize mziki mzuri sikuhizi ujinga ujinga tu hata fid q amejisahau....asante sana hii ndo rington yangu sasa.
Watching from Burundi
Kama wewe ni shabiki Wa Nay pia nipe like twende sambamba
Noma Basata dhoooooooooo
Safi sana Nay. Bora kuwachana tu. Ukiimba nyimbo zenye maana wabongo wanakaza tu. Hamna hata views. Bora hivi hivi. Kaza mwanangu. Michano tu
Aiseeee hiki ndio tulikua tumekimiss mzee baba #mpaka wanyoookeee
Unajiita shabiki angu halafu unanitukutana we ni shabiki maandazi kamshabikie mama yako
Kama umeusikia huuu mstari weka like twende sawa 😂😂😂😂😂😂😂😂
Kweli kk
Nay hadi mashabiki.maandazi umetuchana we kweli noma🤔😃😄😄😃😄 badata msitusumbue ss mashabiki maandaz tumeipenda hiii
Dhoooooooooo
Kudadekiiiii umeuwaaaaaaa hizi ndio mambo yakooo Mr Ney,, tia like hapa
Waaa....this the True Nay wa Enzi zile..+254 gonga like
This is so deep ... Nay killing it👏👏👏
Kali saaana Nay love 💕 from kenya 🇰🇪
True Booooooooyyy Umewauwa Bado bado mpaka mwezi wakuminambili wauone mchungu Angusha MZEE baba We ni moto🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎙🎙🎧🔊🔊🔊🔊🔊💪💪💪 #neyTrueBoy
This goes hard and different Mr. Nay☝️
MICHANO on map BABA YAGA.... Keep it up bro.
Hapa Ney ushanimaliza.... wakashabikie mama zao.... nipeni likes wakali wa Ney
yani mm ata nikicoment xipati like😨😨😨😨😨
Wow 🔥🔥🔥 just love the way u rhyme 🤝
Kazi imekubali...
🇰🇪🇰🇪🇰🇪+254 representing
Your biggest fan from Nairobi Kenya 🇰🇪 🇰🇪 na hawa watu wanaomba likes waache ujinga bana 😜. Kama unakubali gonga like hapa🙈
nasema kaka nay...baba hitila... mjomba benito musolini...rafiki gadafi....🦁🦁🦁🦁🦁 like
Aaaaah broooo michano ya hela yooote bless up bro nay nakukubali kwa michano bro
I'm fans frm South Africa 🇿🇦 Cape Town wynberg, SALUTE Wanangu wa Docha kimala baruti
Mzeee Mwenzangu sasa apa umenirudisha 2006 mzee baba yaga😃😃😃😃woyoooooo izo ndo zetu sasa awa makuma awa watafute pakwenda round hiii
4 sure I really love this guy,especially his voice🎤 keep it up💕💕
freeenation I really like dis guy kwanza mm kama shabiki wake nilikua nimemiss mchano ile mbaya den I head dat there is another one coming
Mbona sichoki kuiangalia na kusikiliza, TRUE BOY is BACK, KAMSHABIKIE MAMA AKOOOOOOOOO
Ngoma kali kwel kama na wewe umelipenda ngonga like hapa
Mimi sio shabiki mandazi, me shabiki damu wa Nay representing +254.
Go Go Go Ney me saut yako tuuuuu ata kama ukiimba Pumba inanikosha barabara
ila Ngoma Hii Ni Konki kabisaaa Ujumbe ushafika kwa walengwa
Wao good song,good message my number one artist nay live from Uganda,message to diamond platinum
duh kweli nimechelewa leo kumbe baba yaga unatukumbuka sana tunacho kimisi kama nawewe umemisi michano like hapa tufurahie michano ijayo hivi karibuni
Nay sio baba akoo....
Gonga like kma wew sio shabiki feki wa nay
from +255 I'm still watching this hit ngoma 2019
Duuuu hii ni zaidi ya komesha ndo maana nalikubali sana hili jamaaa nyimbo zake shidaaaaaasa
Me shabiki wa kweli sio shabiki maandazi so nipeni like zangu
Wah!!!! Napenda hii Mr nay, wish to join you in this game, wape mchano
JAMN HIP HOP KWELI NGUMUU🤣🤣🤣
Emu acha like apa kama umenielewa
hahahaaaaaaa ney we kichaa umenikosha anae sema umebolonga aimbe wake tuone nyambafu sana kamshabikie mama akooooooooooooo
Gonga like kama unawa kubali freenation. 🔥🔥🔥Mrlgtz🔥🔥🔥 nakuelewa kaka. Tutafika tu kikubwa🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
All the way from Sweden.. Wapi likes zangu
BIg brother aisee wew niatar mzee nakuk baliii kinyamaaa ucinisahau me fans wakoo no 1 on this site I like ur freestyle fantastic OM BOY appreciate
Hehehehehehe, unasema wanakunyonya... kwani we una maziwa!! 😁😁😁
Trueeeeeeeeeeee boy!!
Ni shigd shida aseee ... freenation ..... bigup baba la Michano . Wataelewa tuuuuu
Haya basata fanyeni kazi yenu... Maana nyegezi... Faini m.9.. Je hii.. Sh.ngapi na mnaifungia lini..mm msema kweli.. Fanyeni haki kama hii haifungiwi basi nyegezi nayo.. Iwe huru
Yooo this goes so hard nay HMU bro
Edit: you’re fire 🔥🤭🤭🤭🤭
Nakukubali sana mzee piga kazi Mwana #FearLess Mr True boy..
wewe ni mpuuzi mmoja yaan nadhan kipindi unatoka na lile linyimbo lako la kwanza lililojaa mitusi basata walikuwa wamelewa mbege .Usingetoboa kuku wewe.Unaumia sana mwenzio kukupiga gap..Si una freenation pambana acha kudis!!!!Hip Hop gan wewe
Eeeh bhaaan ngom Kali san good job my brother
Ney umetisha mzazi kinomanoma
BABA YAGA NOMA MZEE BABA
Ney Ni shidaaaa. Nyimbo za ney zina Content za maana. Bigup
nikuelewa Nay vita in vita mura mwendo huu mtam watu wengine dunian waliletwa ili kuwa chachu ya wanyongee kamua baba
Sikuhizi kila Malaya wa mjini wanataka kuimba 😂 😂 😂 😂
Kazi nzuri @Mr Ney
Umesifiwa mbio ,umepitiliza hadi kwenu , like twende sawa
Vita ni vita mura 👊🏾.. like kama umemwela blaza. Eti mmemiss nn😂
Masikini akipata makalio ulia mbwata mambo ni moto Nay anatumalizia Mwana kiivi yani sema safiiiiiiiiiiiiiii nay
big up Mzee babaa...bonge la ngomaaaaa,watanyooka tu
Ngoma kaliiii mzee baba waache mashabiki madanziii hhhh Michano mitam balaa Kama umeikubal like hapa😋😎
Jembe umetishaa ukoo ndo tunapapenda mzee waukwel wachanee mze baba
Kuna fita muraaa🙌🙌🙌🇹🇿
Qaaaaaliiii sanaaa big up ney wataelwa tu#shabiki maandazi kamshabikie mamako
Sijawai Pata like pls ngoma ya moto sana nipeni like zangu
🙌🔥🔥🔥👌👌 kamshabikie mamaakoooooh
Naomba mshirikishe na Chid Benz kweny michano mingine kama hii... Litakuw bonge la ngoma one..
Mzee baba hadi nimekuogopa muheshimiwa
Haya Sisi wa Kenya tuwait zile Sarakasi za #Basata ...!!!
🔥🔥🇺🇸🇰🇪🇰🇪
Daaaaah the true boy nomaaa,ngom kalii
First comment @Mr nay
sio utani Emmanuel ebariki @ney wa mitegO 🔥🔥 song mkuu 🙏🙋
hongera sana Mr ney tuongeze michano kweli nafurahia nyimbo kama hizi big up sana
Good songs ney mbona humu kilamtu naombeni like mnaombaomba like tu mmekuwa matonya nyinyi Pumbavu
Ney ni noma Sana'a kama unamkubali gonga like yako apo
Ney noma aisee.....naqubaliii......
Kama unamkubali Nay Wamitego,gonga like twende saresare.
Dabiliyusibi hahahaa....asanteee ney nilimic michanooo
kaliiiiiiiiiii..... babaaaaaaa..........
tumerudi pale zamani kama unaamini gonga like apa
+254
ngoma ikopoa
kinoma noma
E..bwana ney...ee
wanyoosheee
kitu michanooo
hii inakuwa amaizing zaidi, napenda nyimbo za nay saana
This is so deep salute you Nay wa #Michano
"Wanambwembwe mitandaon afu kwenye shows amna kitu " "wakina fulani wananinyonya kwani ww una maziwa " ... kama umeelewa amewatukana DIAMOND na WCB like apaa teenzetu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Kweli tulikua tumemiss michano
Kama umeelewa maana ya jogoo hapandi mtungi mpaka atamie cha mkongo gonga like tuende..
Kama umemuelewa huyu jamaa KAMA UMEMUELEWA gonga like ili twende saWA
966,BABA YAGA, TRUEBOY, MICHANOOOOOOOOOOOO
NATABILI ITAKUA HIT SONG
Ney huntuzi mashabiki,,,freshy tu tiajuudi tuko nyuma yako Kenya.
Rangster Mstar Namuelewa sana ney
🔥🔥🔥🔥 Drop official Mr Nay
Mr ney hili goma uliuwa broo yani hii ni nyundo MTU akomboe akazikwe
Big up,Nay mwaaaaaa chanachana bebe
Kilichotokea ni kama hice kulalamikia bajaji kunyimwa liziki kubwa jinga lisilo na shukrani...
Sikuhizi Malaya mjini wote wanataka kuimba😂😂😂
Kazi nzuri @Mr. Ney
254....michano....team ear phones nipe likes za kikwetu.....hii ni noma #babayaga
Ney umenifurahisha kifara eti akina fulan wanakunyonya kwan una maziwa
First Class song ndio mana siachi kumshabikia hiyu jamaa anaigusa jamii hasa
Wacha tulidownload kabla lifungiwe aisee one love from 254
kkkkkkkkkkkkkkk estou feliz por ouvir a grande verdade, muito obrigado por grande hit