Nay Wa Mitego - Michano

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • FREE NATION RECORDS PROUDLY PRESENTS MICHANO BY - Baba Yaga (NAY WA MITEGO)
    AUDIO PRODUCED BY DRAMA & MR LG
    FREE NATION 2O18
    ENJOY......

Комментарии • 812

  • @DbashTV
    @DbashTV 5 лет назад +18

    Awamu hii kila kabila litapata Ngoma yake ya kujidai 'VITA NI VITA MURA' Watu wangu wa Mara , Musoma GONGA LIKE KAMA MMEILEWA HII

    • @MohamedAhmed-ht5yi
      @MohamedAhmed-ht5yi 2 года назад +1

      Tupo kaka,,,,,,ila kenya mbona huwa mnapenda kutusahau,we do also exit right 👍👍👍👍

  • @robertmwandambo9785
    @robertmwandambo9785 5 лет назад +49

    Bongo fleva sio bongo movie sikuizi kila malaya wa mjini anataka kuimba,,, hahaha tushawajua ney we ni mot jmn naombeni like zenu bas

  • @dattyamma4630
    @dattyamma4630 5 лет назад +11

    Hii ni bonge la ngoma ni balaaaa wanaoamini hii ndio yenyewe gonga like twenzetu

  • @harunashabani7368
    @harunashabani7368 5 лет назад +4

    Qumaaaamake walah! Mwaka huu lazima mav yagonge chupi, u kill it bruh #ney blessed and unstoppable

  • @reubzdullahboymusic685
    @reubzdullahboymusic685 5 лет назад +3

    Wanangu wa 254 mnaomkubali nay tupeni likes zenu hapo,pia Mimi nimemiss ninii...likes

  • @zawadinjoro9312
    @zawadinjoro9312 5 лет назад

    Hapa Ney ushanimaliza.... wakashabikie mama zao.... nipeni likes wakali wa Ney

  • @desonedesigner4529
    @desonedesigner4529 5 лет назад +2

    Huu ndo mziki wako mr ney japo kidogo ulkua umeusahau ila nimeipenda hii kazi nzur mziki mzur na nichano mikali

  • @littleangelslearn9332
    @littleangelslearn9332 5 лет назад

    Asante ney ni kitambo toka niskilize mziki mzuri sikuhizi ujinga ujinga tu hata fid q amejisahau....asante sana hii ndo rington yangu sasa.

  • @ngoshamc9400
    @ngoshamc9400 5 лет назад +36

    Aiseeee hiki ndio tulikua tumekimiss mzee baba #mpaka wanyoookeee
    Unajiita shabiki angu halafu unanitukutana we ni shabiki maandazi kamshabikie mama yako
    Kama umeusikia huuu mstari weka like twende sawa 😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @dizodi_vituko
      @dizodi_vituko 5 лет назад

      Kweli kk

    • @omarymbalala6224
      @omarymbalala6224 5 лет назад

      Nay hadi mashabiki.maandazi umetuchana we kweli noma🤔😃😄😄😃😄 badata msitusumbue ss mashabiki maandaz tumeipenda hiii

    • @lubnaabubakar2671
      @lubnaabubakar2671 5 лет назад

      Dhoooooooooo

  • @sirchuti
    @sirchuti 5 лет назад

    Diss track kali sanaaaa, Kimange, Hamisa kila Malaya mjini anataka kuimba, Diamond platnumz na mashabiki wake maaandazi. Kama umeelewa michano gonga like

  • @hebronkaziyo1492
    @hebronkaziyo1492 5 лет назад

    Nay sio baba akoo....
    Gonga like kma wew sio shabiki feki wa nay

  • @aishamahundi813
    @aishamahundi813 5 лет назад +135

    Kama umeangalia zaidi ya mara moja gonga like

  • @aruaamon1409
    @aruaamon1409 3 года назад

    Safi sana Nay. Bora kuwachana tu. Ukiimba nyimbo zenye maana wabongo wanakaza tu. Hamna hata views. Bora hivi hivi. Kaza mwanangu. Michano tu

  • @mwandishisimbampole9451
    @mwandishisimbampole9451 5 лет назад +1

    Mzee baba hadi nimekuogopa muheshimiwa

  • @fat-tipsmrhelper7596
    @fat-tipsmrhelper7596 5 лет назад

    nasema kaka nay...baba hitila... mjomba benito musolini...rafiki gadafi....🦁🦁🦁🦁🦁 like

  • @maryamhassan9664
    @maryamhassan9664 5 лет назад

    Go Go Go Ney me saut yako tuuuuu ata kama ukiimba Pumba inanikosha barabara
    ila Ngoma Hii Ni Konki kabisaaa Ujumbe ushafika kwa walengwa

  • @francisc.mwinami9916
    @francisc.mwinami9916 5 лет назад

    nikuelewa Nay vita in vita mura mwendo huu mtam watu wengine dunian waliletwa ili kuwa chachu ya wanyongee kamua baba

  • @HabilyTech
    @HabilyTech 5 лет назад +204

    Wale tuliopakubali "shabiki maandaz kamshabikie mamako" gonga like hapa

    • @erickmuli1030
      @erickmuli1030 5 лет назад

      Sema Mwana mwnywe cap kazngua hcho kpande

  • @polykappetoriboy3464
    @polykappetoriboy3464 5 лет назад

    254....michano....team ear phones nipe likes za kikwetu.....hii ni noma #babayaga

  • @ntawurusigajaphetomari882
    @ntawurusigajaphetomari882 5 лет назад +25

    Watching from Burundi
    Kama wewe ni shabiki Wa Nay pia nipe like twende sambamba

  • @augustinemakete4438
    @augustinemakete4438 5 лет назад +2

    Kazi imekubali...
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪+254 representing

  • @EliyacostantinoPius
    @EliyacostantinoPius 5 лет назад

    wewe ni mpuuzi mmoja yaan nadhan kipindi unatoka na lile linyimbo lako la kwanza lililojaa mitusi basata walikuwa wamelewa mbege .Usingetoboa kuku wewe.Unaumia sana mwenzio kukupiga gap..Si una freenation pambana acha kudis!!!!Hip Hop gan wewe

  • @issajohn8983
    @issajohn8983 5 лет назад +20

    Kudadaaadeki mbonge la track utawaonaa basata ooooh ka2kana ka2kana nini hii nimichano mura big up broo Emanuel mpe hai broo Nassoro mwambie atishe na dude jingine mura

  • @sangoyaniyamati8008
    @sangoyaniyamati8008 5 лет назад

    Aaaaah broooo michano ya hela yooote bless up bro nay nakukubali kwa michano bro

  • @edwardbakhoya9030
    @edwardbakhoya9030 8 месяцев назад +1

    This is so deep ... Nay killing it👏👏👏

  • @westmahiza6764
    @westmahiza6764 5 лет назад

    Duuuu hii ni zaidi ya komesha ndo maana nalikubali sana hili jamaaa nyimbo zake shidaaaaaasa

  • @edwardbakhoya9030
    @edwardbakhoya9030 8 месяцев назад +1

    This goes hard and different Mr. Nay☝️

  • @cashbizzoofficial4067
    @cashbizzoofficial4067 5 лет назад +1

    Mr ney hili goma uliuwa broo yani hii ni nyundo MTU akomboe akazikwe

  • @petermaniche1009
    @petermaniche1009 5 лет назад

    Naomba mshirikishe na Chid Benz kweny michano mingine kama hii... Litakuw bonge la ngoma one..

  • @tonymnyamatv8483
    @tonymnyamatv8483 5 лет назад +1

    True Booooooooyyy Umewauwa Bado bado mpaka mwezi wakuminambili wauone mchungu Angusha MZEE baba We ni moto🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎙🎙🎧🔊🔊🔊🔊🔊💪💪💪 #neyTrueBoy

  • @jildow4533
    @jildow4533 5 лет назад

    Kama unamkubali Nay Wamitego,gonga like twende saresare.

  • @2116-n
    @2116-n 5 лет назад +1

    Mbona sichoki kuiangalia na kusikiliza, TRUE BOY is BACK, KAMSHABIKIE MAMA AKOOOOOOOOO

  • @mosamossile9113
    @mosamossile9113 2 года назад +2

    I'm fans frm South Africa 🇿🇦 Cape Town wynberg, SALUTE Wanangu wa Docha kimala baruti

  • @dzosam4462
    @dzosam4462 5 лет назад +6

    Kudadekiiiii umeuwaaaaaaa hizi ndio mambo yakooo Mr Ney,, tia like hapa

  • @michoourassa1907
    @michoourassa1907 5 лет назад

    Jembe umetishaa ukoo ndo tunapapenda mzee waukwel wachanee mze baba

  • @lusekelomnange
    @lusekelomnange 5 лет назад

    Nakukubali sana mzee piga kazi Mwana #FearLess Mr True boy..

  • @daniellala4951
    @daniellala4951 5 лет назад +4

    Ngoma kali kwel kama na wewe umelipenda ngonga like hapa

  • @salmasuleyman951
    @salmasuleyman951 5 лет назад

    Mamaa yangu mesange sent🏃🏃🏃🏃🏃🏃umewafikia

  • @habarinamichezo6427
    @habarinamichezo6427 5 лет назад

    Kilichotokea ni kama hice kulalamikia bajaji kunyimwa liziki kubwa jinga lisilo na shukrani...

  • @nagonation7855
    @nagonation7855 5 лет назад +7

    Sijawai Pata like pls ngoma ya moto sana nipeni like zangu

  • @BarakaHussein254
    @BarakaHussein254 3 месяца назад

    Nay muhuni kamili 💪🏽👊🏽 254 tunakukubali

  • @shaymaadreamer711
    @shaymaadreamer711 5 лет назад

    966,BABA YAGA, TRUEBOY, MICHANOOOOOOOOOOOO
    NATABILI ITAKUA HIT SONG

  • @chaudryramos7397
    @chaudryramos7397 5 лет назад +1

    Mimi sio shabiki mandazi, me shabiki damu wa Nay representing +254.

  • @hommie9627
    @hommie9627 5 лет назад +34

    JAMN HIP HOP KWELI NGUMUU🤣🤣🤣
    Emu acha like apa kama umenielewa

  • @pollyodeny5047
    @pollyodeny5047 5 лет назад

    Kama umeelewa maana ya jogoo hapandi mtungi mpaka atamie cha mkongo gonga like tuende..

  • @keydoli8578
    @keydoli8578 5 лет назад +2

    Kali saaana Nay love 💕 from kenya 🇰🇪

  • @adolphwizdady4775
    @adolphwizdady4775 5 лет назад

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌 like kama unamkubali truboy

  • @adoniamaseneje5669
    @adoniamaseneje5669 5 лет назад

    ngoma ikopoa
    kinoma noma
    E..bwana ney...ee
    wanyoosheee
    kitu michanooo

  • @khassankhamis3422
    @khassankhamis3422 5 лет назад

    Ney ni noma Sana'a kama unamkubali gonga like yako apo

  • @kennedyn.mwango5067
    @kennedyn.mwango5067 5 лет назад

    Waaa....this the True Nay wa Enzi zile..+254 gonga like

  • @mikeliwan8256
    @mikeliwan8256 5 лет назад +1

    freeenation I really like dis guy kwanza mm kama shabiki wake nilikua nimemiss mchano ile mbaya den I head dat there is another one coming

  • @muhajingereza8448
    @muhajingereza8448 5 лет назад

    shambiki maandazi unanishabukia halafu unanitukana kamshabikie mamako🙌🙌

  • @kistofua8344
    @kistofua8344 5 лет назад +1

    Kama ww ni mchambiki wa Ney wa mitego tz drop you like down

  • @sylvanusludaila7975
    @sylvanusludaila7975 5 лет назад

    Ney Ni shidaaaa. Nyimbo za ney zina Content za maana. Bigup

  • @mohamedarbabu2007
    @mohamedarbabu2007 5 лет назад

    Mzeee Mwenzangu sasa apa umenirudisha 2006 mzee baba yaga😃😃😃😃woyoooooo izo ndo zetu sasa awa makuma awa watafute pakwenda round hiii

  • @noahgodwin4194
    @noahgodwin4194 5 лет назад +1

    Umesifiwa mbio ,umepitiliza hadi kwenu , like twende sawa

  • @mbwanasaid8272
    @mbwanasaid8272 5 лет назад +1

    Haya basata fanyeni kazi yenu... Maana nyegezi... Faini m.9.. Je hii.. Sh.ngapi na mnaifungia lini..mm msema kweli.. Fanyeni haki kama hii haifungiwi basi nyegezi nayo.. Iwe huru

  • @mwanakijana31
    @mwanakijana31 5 лет назад

    Qaaaaaliiii sanaaa big up ney wataelwa tu#shabiki maandazi kamshabikie mamako

  • @bernardkanje-i6o
    @bernardkanje-i6o 7 месяцев назад +1

    Kuna fita muraaa🙌🙌🙌🇹🇿

  • @eliaslotha2052
    @eliaslotha2052 5 лет назад

    Baba Yaka,, umekinukisha mzee, shabiki mandazi akamshabikie mama ake,,,

  • @kamandabrianjuma2527
    @kamandabrianjuma2527 2 года назад

    hii inakuwa amaizing zaidi, napenda nyimbo za nay saana

  • @isackmsafi8377
    @isackmsafi8377 5 лет назад

    B gap Mr Ney Wimbo mzuri sana.

  • @bizmanaeli1941
    @bizmanaeli1941 5 лет назад

    duh kweli nimechelewa leo kumbe baba yaga unatukumbuka sana tunacho kimisi kama nawewe umemisi michano like hapa tufurahie michano ijayo hivi karibuni

  • @nosthantsalima4834
    @nosthantsalima4834 2 года назад

    Michano one love from Congo butembo

  • @butalaetv2208
    @butalaetv2208 5 лет назад

    MICHANO on map BABA YAGA.... Keep it up bro.

  • @richking4294
    @richking4294 5 лет назад

    Kali hio team Nay mpo wapi toweni like

  • @directortariq1455
    @directortariq1455 5 лет назад +34

    yani mm ata nikicoment xipati like😨😨😨😨😨

  • @tobidosquaresquare9264
    @tobidosquaresquare9264 5 лет назад +4

    Gonga like kama unawa kubali freenation. 🔥🔥🔥Mrlgtz🔥🔥🔥 nakuelewa kaka. Tutafika tu kikubwa🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mfaumeramadhani8740
    @mfaumeramadhani8740 5 лет назад

    True boy huna mbaya sarut kwako rafiki mandarin kisha unanitukana kamshabikie mamako

  • @marikopafredi
    @marikopafredi 5 лет назад

    *ney wa mitego freemasoni kama una kataa acha kuweka like*

  • @mpembacomedy1
    @mpembacomedy1 5 лет назад +1

    Si mmekula sabuni haya toeni mapovuu.......

  • @frozen4rozen475
    @frozen4rozen475 5 лет назад

    Umetixa mzee baba uo ndo mziki sasa sio zile bolingo zako

  • @poolboypoolboymanstrong8570
    @poolboypoolboymanstrong8570 5 лет назад +1

    sio utani Emmanuel ebariki @ney wa mitegO 🔥🔥 song mkuu 🙏🙋

  • @beingbaby8009
    @beingbaby8009 5 лет назад

    tunao iona bada yakutoka kwamange gonga like 😂😂😂😂😂🙋🙋 nawasenge ote tujuane 😂😂😂😂😂😂

  • @badboy2577
    @badboy2577 5 лет назад

    Yaani kama kawaida Goma kali, kichupa kikali anayebisha arambe umeme

  • @innocentjulius9233
    @innocentjulius9233 5 лет назад

    duuh' nimelielewa hii ndo huwa tunamiss kutoka kwako mr nay

  • @suleimankiumwa5328
    @suleimankiumwa5328 5 лет назад

    Bonge la ngomaa mr ney , waambie aoo wadangaji

  • @kusemererwakenneth2882
    @kusemererwakenneth2882 3 года назад +2

    Wow 🔥🔥🔥 just love the way u rhyme 🤝

  • @nomad7707
    @nomad7707 5 лет назад

    "kila malaya wa mjini anataka kuimba"...huyu ni Hamisa Mobeto

  • @munishiamedeus
    @munishiamedeus 5 лет назад +1

    Hehehehehehe, unasema wanakunyonya... kwani we una maziwa!! 😁😁😁
    Trueeeeeeeeeeee boy!!

  • @mwamedijumajumamwamedi1900
    @mwamedijumajumamwamedi1900 5 лет назад

    Kama Ww sio mshabiki maandaz gonga like hapa

  • @saulikinahi6703
    @saulikinahi6703 5 лет назад

    umeUA nisheeeda, lete na nyine HUYU ndo NEY tunaemjua huku kitaaa

  • @mofeisaltv0708
    @mofeisaltv0708 5 лет назад

    Nouma saaaana kama umeikubali gonga like kama hutaki kamshabikie mamaakoo vita ni vita muraaaaaaa

  • @paschalboniface8319
    @paschalboniface8319 5 лет назад +1

    Masikini akipata makalio ulia mbwata mambo ni moto Nay anatumalizia Mwana kiivi yani sema safiiiiiiiiiiiiiii nay

  • @emmanuelsambay8571
    @emmanuelsambay8571 5 лет назад +14

    Sikuhizi kila Malaya wa mjini wanataka kuimba 😂 😂 😂 😂
    Kazi nzuri @Mr Ney

  • @jumalove2631
    @jumalove2631 5 лет назад

    Hahahahhaha kama unakubali wanao nyonywa wanamaziwa gonga like

  • @imasonjohn3810
    @imasonjohn3810 5 лет назад

    Ni shigd shida aseee ... freenation ..... bigup baba la Michano . Wataelewa tuuuuu

  • @bibomax4273
    @bibomax4273 5 лет назад

    We maku haya ndo Mambo yakuimba# Nimekubali

  • @benjaminulanga6749
    @benjaminulanga6749 5 лет назад

    Jogoo hapandi mtungi mpk ule gongo like za kutosha apo

  • @ramadhanimseza9169
    @ramadhanimseza9169 5 лет назад

    Duh huyu jamaaa kweli ni shiiiida kila Malaya wa mjini anataka kuimba

  • @hiyanuntouchboy7463
    @hiyanuntouchboy7463 5 лет назад +3

    from +255 I'm still watching this hit ngoma 2019

  • @johnsonsamson4458
    @johnsonsamson4458 5 лет назад

    Nay nakubali baba sipingi tupo pamoja

  • @khalidimakame8568
    @khalidimakame8568 5 лет назад

    Eeeh bhaaan ngom Kali san good job my brother

  • @godymatungwa2145
    @godymatungwa2145 5 лет назад

    Há há há kama unakubali hii nyimbo ni funga mwaka like na comment tumemis matus ney vita ni vita mula

  • @hancyboy6136
    @hancyboy6136 5 лет назад +3

    Shabiki maandazi kamshabikie mamaakooo....### true boy##

  • @goldendesertmrgolden5976
    @goldendesertmrgolden5976 5 лет назад

    Good songs ney mbona humu kilamtu naombeni like mnaombaomba like tu mmekuwa matonya nyinyi Pumbavu

  • @mbmussa_fashionstyle9824
    @mbmussa_fashionstyle9824 5 лет назад

    Noma umetisha wamesifiwa mbio wamepita kwao

  • @emmanuelfataki2707
    @emmanuelfataki2707 5 лет назад

    Ngoma kali sana baba we mkali tu big up bro

  • @majotv3405
    @majotv3405 5 лет назад

    KUMA MAKOOOOOO NYIMBO MBAYAAAAAA UNATAFUTA KIKI KWA WALIO FANIKIWA UMEKWAMA UMBWA WEWE MSENGE WA KITHEMBE

  • @isaacktemu8328
    @isaacktemu8328 5 лет назад

    haahaha hah, ujamaa Noma sana, Gonga like kama unamkubali