USIKU WA MAOMBI 28/04/2023 by Innocent Morris
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- USIKU WA MAOMBI 28/04/2023 by Innocent Morris
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Contact: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
RUclips Link:
/ holyspiritconnect
Mungu kutana na mahitaji ya watoto wangu 31:07
Bwana yesu naomba unikomboe kwenye maisha yangu pamoja na familia yangu
L😅
Mtumishi nimempokea Yesu leo
Yaani BWANA YESU sna viffaa halloo hii international Duh KWA KWELI MHHHH SIKUJUA yaani acha BWANA GLORY TO GOD YEHOVAH HALLELUIAH AMEN
katika maombi haya Mungu sikilizeni haja ya moyo Wangu
bariki maisha yangu bariki mama yangu baba yangu bariki family yangu bariki ndugu jamaa majiran i zangu adui zangu marafiki zangu ASANT MUNGU nahamini kwako nitapata kweli Asant yesu usiku huu tenda miujiza bwana
Ameen ameeen
Mungu akubariki sana sana sana
Unirehemu ee bwana sawa sawa na Mapenzi yako🙏🏻
Asante Munguwangu kwa afya na uzima
In the Mighty Name of the Lord Jesus,my Father my God remember my entire family, Amen!
Bwana Yesu nakuinua ni wewe peke yako hakuna kama wewe Yesu,niponye na uniokoe Yesu
😮Ee Bwana unasitahili peke yako Bwana yesu unasitahili kuabudiwa jeova niwewe niwewe tuu
Baba. Yangu naomba katika maombi haya nitambulike mbelezako naitaji msaada wako yehova
Ni kumbuke mtumishi Mungu afungue njia zangu zi mefungika yangu Ni kuwa mdogo
Nime barikiwa katika Jina la Yesu
Haleluya Mungu akubariki kwa mawombiako nimebariikiwa kwa maombiako pamoja naneno urio tusomea kwa Luka1:37Mungu aenderee kukupa nguvu nakaongeze mafuta ya maombi iri uenderee kutubariki wamini tuomwamini Bwana Yesu Kristo Amina
Ahsante sana mtumishi hata mimi kupitia maombi yako nimeona hakuna kama yeye mungu wetu wa mbinguni
Bwana Yesu hakuna jambo ambalo ni gumu,kwako yote yanawezekana
Naomba buana yesu uniwezesh nipate mkee muema
Mtumishi nimepokea bwana yesu leo
Bwana nirehemu
Ameen
Mtumishi nimempokea bwana yesu leo
Nimempokea Yesu awe mwokozi wa maisha yangu amina.
Nimempokea Bwana Yesu
Asante yesu juu ya maitaji yangu rohon mungu unaweza yote nitete bwana yesu
Ni wewe tu YESU wa kuabudiwa na kupewa Sifa na Shukrani.....Amen
Bwana Yesu. Mponye mjukuu wangu Baraka damu ya Yesu imponye
Usiku hui mokozi Yesu naomba ulinzi mimi n'a familia yangu
Ameen ameeen
Ee mungu naomba uyakumbuke maombi haya 🤲🙏🙏🙏
Ameen ameeen
AMEN Mtumishi wa MUNGU.Ila ujitahidi kuanza na herufi kubwa unapoandika Mungu.Ubarikiwe
Mungu kasikie roho yangu na hitaji langu
Bwana yesu naomba unisamehe yote niliyokukosea, na unifungue na vifungo vyote nilivyofungwa na wachawi najua wewe peke yako unaweza yote, basi baba Fanya jambo kwenye maisha yangu nataka kabla mwaka huu haujaisha nipokee hitaji la moyo wangu. Amina.
Ameen ameeen
Mungu akufungulie milango ya baraka katika kila eneo la maisha yako katika jina la Yesu Kristo
Bwana Yesu pigania haki yangu jela kwa miezi nane Sasa fungua mlango yote niweze kukutumikia jinsi ipasavyo Mungu nijaze na uwepo wako Sana Amina
Bwana yesu niko hapa tenda mujiza katika uchumi wangu. Nipate fedha
Ubarikiweeee naamin napona
Bwana Yesu nakuinua wewe ni wewe tu ni Mungu pekeako hakuna kama wewe pigania familia yangu ndoa yangu na uchumi nakuhitaji Yesu
Ameen ameeen
Namshukuru mungu,mungu akubariki mchunguji mungu anatenda roho mtakatifu kanitembelea
Nimepokea bwana yesu leo
Ahsante sana innocent kwa maombi yako mungu amenisaidia sasa nimejua kuombana nimebakiwa
Ameen ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU
Ameen
Asante kwakusaidia nfugu zangu kwa Nina la yeah christo🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Bwana yesu kutana na uwitaji wangu nitoe kwenye nyumba za kupanga nipe nyumba yangu Sasa na familia yangu
Mungu bariki mtoto wangu anapo fanya mtiani
Nitakusifu kila wakati wewe Jehovah
Ameen. Haleluya
@@holyspiritconnectno
Asante mungu kwa uzima na afya ulionijaalia mpk sana ninakuona wewe peke yako 🙏🏽
Mungu kumbukA familiar yangu
asante mungu kwa majabu yako katika maisha yako
Nakimbilia kwako yesu wangu naomba unisaidie baba.bwana yesu magumu yote nakuletea wewe bwana yesu uyapoke
Ameen ameeen ameeen
Ameen
AMEN Mtumishi wa Mungu Aliye hai.Ila unapoandika jina lolote la Mungu Anza kwa herufi kubwa mpendwa . Ubarikiwe.
@@rahelchilale1075Asante
.
Niremu mwana wa daudi ukaniponye kwa Jina la Yesu amen
God bless Pastor Morris nd his ministry...Amen
Asante mungu kwakunifungua mungu wangu
BWANA YESU naomba unikomboe kwenye maisha yangu famili yanga uchum afya nyumban watoto wangu shule wafunguliwe kielimu Kwa jina la YESU christo amen
Ehee nimeona yesu uniongoze .
Ameen
AMEN Mtumishi wa MUNGU.ila ujitahidi kuanza na herufi kubwa unapoandika Yesu.Ubarikiwe
Oh yesu niunganishe na hi ibaada ya uponyaji
Amen to
Mwe/mungu nakuomba uibariki Kila hatua zangu kwa kina la yesu kristo aliye hai.
MTUMISHI YOUR EXCALLENCY HONORED TREASURED IN THE BODY OF CHRIST SIKUJUI HUNIJUI ILA TUMEUNGANISHWA KWA DAMU YA YESU YAANI HATA SIJUI IMEKUWAJE NIMEAMKA USINGIZINI CM ILIKUWA ON NIMEKUTANA NA HILI STOMIC NOM KWA KINYWA CHA MAOMBI HAYA DUH DAFI SANA SIKULALA MPAKA KUNAPAMBAZUKA NADHANGAA WHAT IS GOING ON THIS IS A BIG MIRACLE TO ME INDEED GLORY TO GOD HAKIKA MHH MHHH MHHH ❤❤❤❤❤❤❤
Sorry I meant Atomic Bom
Bwana Mungu Ninaomba Mme wangu arudi nyumbani tuishi pamoja maana hakunileta kwake kunitekekeza na hali yangu ya udhaifu WA afya maana nami sikupenda kuwa hivi .
Asante mtumishi nimempokea.yes.amina
Ee mungu mwokoe mmume wangu ktk mate ya makahaba mmpe ifahamu akumbuke familia yake
Asante kwakumkomboa mtoto wangu kwajina layesu christo
I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I
Bwana yesu n wewe tu unae yajua maisha uangu hakuna mwana damu ama mtu anae yajua maisha yangu na famila yangu anaomba ukaniondolee roho ya kurudi nyuma kila nguvu za hiza zinazo niandama na zikataa katika jina la yesu nakataa lana za uko kila madhabau yanayo jengwa kupitia ndoto ama maneno ya wana damu usiku huu wa saa saba nina nena uhai nina nena uzima mana n ww bwana uyajuwae maisha yangu hakuna mwana damu awezae kupingana na we jehova na nakataa kila roho zinazo nirudisha nyuma kila nao niwazia mabaya na amin ya kwamba hawatani pata mana upo pamoja nami
0
0
0
0
00
Ninaomba Bwana Yesu umguse mtoto wangu Mreen aweze kusikia kama ulivyomuumba baba .
Wastahili Jehovah
Ameen
Ashukuriwe mwenyezi mungu kupitia maomba haya tumekuwa na usiku mzuri tumeamka salama
Nifungue kiuchumi yesu
Mutumumishi nimepokeys Bwana Yesu Leo Ivi Nikushukuru saana
Hakuna linaloshindikana kwako Yesu
Hakuna lisilowezekana kwako Baba
Hakika
Naomba maombezi ya biashara yangu ya spare zamagari uchumi afya nyumban biashara familia uchumi kibali chaka kazi nyota yangu ingae Kwa jina la YESU kristo amen
Naomba maombezi kwajili ya ndoa yangu niko mbali na mume wangu kwasasa naitaji Mungu hanisaidie mume wangu hanikute uku naitaji msaada wa maombi kwajili ya ndoa yangu anipe nguvu na moyo wavumilivu nisubiri wakati wake saaiii naomba msaada wa maombi
Amen Amen akuna kinaco kushinda BWANA YESU
Amen 🙏
Bwana YESU nakuinua ni wewe peke yako hakuna kama wewe YESU niponye na nniokoe YESU
Mungu baba Ninaomba uguse afya yangu ambayo imesanbabisha Mme wangu kunikimbia alisema amechoshwa na hali hii
Yesu nishindanie
Amina 🙏 MUNGU nina Imani kwamba yote ambao imenishinda Kwako yanawezzkana naamini Kwako nadjuwa unaona yote ninayo pitiya,naimani kwamba kwako notaweza eeeeh Bwana 🙏
HALELUJAH MTUMISHI WA MUNGU MUNGU AKUBARIKI
Nimempokea bwana yesu❤🙏 Amen 🙏
Amen.Mungu ondelea mtoto wangu roho ya uwoga na mpe usingizi na amani
Amen
Amina Ee mungu yote yaliyo nishinda, kwako yanawezekana kwa nguvu zako nayakibidhi kwako Amina🙏🙏🙏
Amen amen,naamin yote yanawezekana🙏🏼
Mtumishi nineokoka leo
Naomba mtu mzuri wakumuja mungu ilitupatane tuishi pamoja
Asante kwakuharibu nguvu zagiza
Amen ubarikiwe
Ameen
Asante YESU
Katika maombi haya mungu waponye watoto wangu
Bwana yesu kupitia. Hi neno anikomboe kwa onngojwa. Ni
Miye. Ngoy moni
Naomba maobezi ya biashara yanga yaspare zamangari nipate wateja katika dukalangu Kwa jina la YESU christo
I receive I receive I receive
Yesu nikumbuke na mimi
I receive I receive I receive I
Ubarikiwe na Yesu kwa huduma
Amen Amen
🙏🙏🙏
Ameen Ameen
Amen Amen I receive I
We bwana unaweza
Hakika
AMEN Mtumishi wa Mungu .Ila ujitahidi kuanza na herufi kubwa unapoandika Bwana.Ubarikiwe .
Glory to our living God
Nimeokoka leo Amen
AMEN TO JESUS CHRIST BE THE GLORY 🔥🙏.
Ameen ameeen
Amen
Mwana yesu nimponye na maginjwa
Kila roho inayonitesa naomba iniachilie masaa roho ya umaskini madeni talaka kuangaika ufukara magonjwa out 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ninajuwa hakuna kitu kina mushida Mungu najuwa Mungu ataniponya
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN