This is not fair .... Pamoja na zuio la mahakama still Bado mmebomoa na bila fidia kwa wananchi tulio Fanya investment hapo kwa zaidi ya miaka na miaka.... This government 💔💔
Kwa sababu za uchaguzi wa serikali za mitaa hawa jamaa wameamua kutubomolea nyumba zetu nanenane bila compensation yoyote. Wamerevoke wenye hati na kujimilikisha eneo. Very sad.
This is not fair .... Pamoja na zuio la mahakama still Bado mmebomoa na bila fidia kwa wananchi tulio Fanya investment hapo kwa zaidi ya miaka na miaka.... This government 💔💔
Kwa sababu za uchaguzi wa serikali za mitaa hawa jamaa wameamua kutubomolea nyumba zetu nanenane bila compensation yoyote. Wamerevoke wenye hati na kujimilikisha eneo. Very sad.
Dalali hana hatia ni shahidi tu.