Mgomo Kariakoo. Kwa nini Serikali Inahitaji Uthubutu Kufanya Mageuzi ya Kikodi | Mtazamo Wa Pili

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 июн 2024
  • Leo Juni 24,2024, wafanyabiashara kariakoo walifunga maduka yao kwa sababu mbalimbali walizozitaja ikiwemo usumbufu wa kikodi na masuala mengine. Sakata hili limeishia na serikali na wafanyabiashara hao kufikia muafaka katika mambo sita.
    Fuatilia uchambuzi huu unaongalia kwa nini serikali inaweza kwenda mbali zaidi.
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Комментарии • 19

  • @BarakerZeonlist
    @BarakerZeonlist 8 дней назад +3

    SHIDA SIO KULIPA KODI IMMAGINE NAPAMBANA USIKU NA MCHANA KUHAHIKISHA NAPIGA ATUA PAMOJA NA NCHI KUPIGA HATUA MARA UNASIKIA BILION IMEPIGWA NA HAKUNA SHERIA INAYOWASHIKILIA HAWA VIONGOZI KESI INAISHIA JUU KWA JUU, HAWA WATU WAPIGWE RISASI KAMA TUNATAKA NCHI IKAE SAWA ISHAKUWA TATIZO

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk 8 дней назад +1

    Huyu chalamila alitudanganya ameongea na Magufuli wakati skies tiari amekufa tunamshangaa kwenye uongozi leo.. Mama India huu ujinga

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 8 дней назад +3

    ..Dialogue with govt is just a waste of time. there is no political will at this time to resolve the challenges on hand.

    • @UncleBigi
      @UncleBigi 7 дней назад

      So we just give up then, i’m really moved with what kenya is doing

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 7 дней назад

      @@UncleBigi it is way overdue that is the path we need to take to bring real change in Tz.

  • @bakariulimwengu8533
    @bakariulimwengu8533 7 дней назад +1

    Sehemu za wazawa ni za serikalini... kwenye biashara mtu kama documents zake zimekamilika kwanini asifanye biashara

  • @drallan6879
    @drallan6879 5 дней назад

    uchumi WA nchi utaparalyse plz government sct urgently on this

  • @eliaezekiel6766
    @eliaezekiel6766 3 дня назад

    Safisana Tony

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 8 дней назад +2

    Tusing'ate maneno; mfumo wa kodi wa serikali ni kandamizi, kuna multiple taxation

    • @UncleBigi
      @UncleBigi 7 дней назад

      Tuingie barabarani 😂

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 6 дней назад

      ​@@UncleBigitangulia wewe uonyeshe mfano kuliko kupiga umbea mtandaoni

  • @hassankidilikia5566
    @hassankidilikia5566 6 дней назад

    Hamakwambia TENGENEZA TATIZO KISHA TATUA TATIZO watu watakupenda sana😅tutaasahau10ten?

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 6 дней назад

    Wachina wanauziwa mji huo. Watanzania wamewashtukia.

  • @eliaezekiel6766
    @eliaezekiel6766 3 дня назад

    Miongoni mwa makala ninazozielewa zaidi

  • @drallan6879
    @drallan6879 5 дней назад

    mgomo unaenea nch I mzima mbona mku WA nchi uko kimya?

  • @BarakerZeonlist
    @BarakerZeonlist 8 дней назад

    HAPA KAMSEMA MO DIRECT

  • @bakariulimwengu8533
    @bakariulimwengu8533 7 дней назад

    Mnataka mlete ya south africa ukiulizwa wageni wanachukua kazi zenu wakati flame zingine ziko wazi

    • @UncleBigi
      @UncleBigi 7 дней назад

      Xenophobia 😂 kibongo kibongo i don’t think so

  • @user-fe8tx5bo2f
    @user-fe8tx5bo2f 8 дней назад

    Ww unatumika