Wenye wanangoja Harusi ya Sania na mganga na masozi na Tisa tujuane 😂😂halafu Rahma ubaya ubwela 😁chenye Ulimfanyia Zatiti naona kiko karibu kutimia kwako 😂😂lazima ukubali uke wenza upende ukatae Kama wakubaliana na mm gonga likes 😂😂😂😂😂
Mganga ngonde amepta maaidizi sania😂😂😂. Ila chiko kwa kweli unionyesha makosa sana kwa kina zatiti ery ugali wa mhogo n ulimbo😂😂😂😂😂 wake like kwa chisa n nawake zake yaan round hii chisa lazima asema 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ngonde kimamula utanivunja mbavu,umempenda sania,ndoa tunaigonjea na musicheleweshe,alfu ss Tasha kaenda kuishi ukweni😂😂😂,hivi ndo episode nzima iwe kumbukizi za chiko😢😢
Jamani mimi nina ombi kwa mashabiki na watazamaji wa Busati na house girl kwa ujumla....naomba msiombe like kabla hamjatoa maoni na ushauri juu ya movie....like tuwape walioigiza ndo waliofanya kazi nzito maana kama tunaishia tyu kuomba like wao watajuaje walipokosea? 🙏🙏🙏Ni hayo tyu❤❤ nawapenda na Asanteni ❤❤🎉🎉🎉 BUSATI TV FOR LIFE ❤❤❤
@@mauamshindo2558 me mwenyew kwel inanikera maana wakupewa like ni waigizaji sisi tunatakiwa tutoe maoni ya movie ila mtu kaingia tyu et nipeni like 😏😏😏😏
Hzi kumbukumbu za chiko daaa zinakera kwa kwel yaan anaongea bila hta hofu,,ninaimaan watampenda snaa Mr Tasha kwa hekima zake.Yaan kaaa matusi vile sijapenda kweli mm
Penzi paja kwa kaka chinsa na dada rahma masonzi umedanganyika na wakina kendy kukudanganya na mimba umepewa jamani duu ongereni sana sana mie mnazidi tu kunifurahisha
Huyu rahman ata hamfikii daa mazozi mwenyewe anakaa km kitukutuku vile ila king'ang'anizi na sumbua tu kam kakake na chiko tu,ila Tasha ukarimu wake na busara zake zimewafanya wazazi wa zatiti kabadili majina badala ya mama zatiti ni mama Tasha sasa hongera mzee mkoloni kwa kumuozesha Tasha mwanao❤❤❤
Jamani wanaomba chisa amuoe masozi mke wa 2 gonga like hapo chini kweli Zatiti umepata mume kumbe chiko kawazalilisha wakwe kipindi cha nyuma😂😂 sania kubali kuwa na mganga n'gonde kimamula kwanza ni mhandisome sema Yuko kilingeni 😅usijifanye hazi zako kuolewa nawatu wakubwa 😅hata huyo n'gonde kimamula ni mtu mkubwa hongera Tasha kujuwa kukaa vizuri na wakwe
Uyu masozi naye si umeambiwa mimba italelewa vip tena wataka kuolewa ama watak pia iyo mimba uilee pekeako kama kuna mwenye kukubaliana na mm gonga like
Kwan rahma anateseka na Nini hasa yeye kama anakizalio siangezaa,ulimdhalilisha zatiti sasa kimekugeukia,,,waaaah natamani chisa na masozi nao wakamilishe jambo,,,rahma ukonde huo mwili😂😂😂😂
Chiko hana akili kabisa wanaompa big up tasha like kama zote
Tupoooooo
Honger tash kwa tabia nzur uliyoonyesh kwa wakwe 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 🎉🎉🎉🎉Tash tulio furahia tash kusifiwa na wazazi WA zatit tujuan kweny comment
Tasha ameweza sana eshima kitu kizuri
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tunao furahia doa ya zatiti na Tacha tujuane 🎉🎉
Nimewahi leo jaman toka nianze kuangalia sijawai pata hata likes mbili 2 😊
Sania Kama nakuona ulivyo Kama kimdori na kitumbo kikitoka Kama mtungi 😂
Dakika 3 jameni nimewahi
N'a Mimi Léo nipewe like hâta 10😂😂😂😂
Nimewahi kutoka Kenya 🇰🇪 Bwana Yesu asifiwe watu wa Mungu yoyote atasomo comment hii Mwenyezi Mungu amfungulie milango ya baraka 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amina
Amina
Amin
Amen mim pia nimetoka Kenya
@@SaumuJumwa-u4v mm pia natokea kenya
UTAKAYESOMA HII COMENT MUNGU AKILINDE WW UZAO WAKO INSHALAA🤲🤝🙏🤲🤝🙏🤲🤝🙏🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Amiin inshaallah kwako pia
Amina mtumishi
In shaallsh nawe pia
Allahumma Amiin 🤲 YAARAB 🤲
Amiin inshaallah 🤲
🤣🤣🤣🤣🤣chikoo jamenii ety hata kama tumejifunzaa Kwamba maji hayana rangi lkin sikwa Hali hiyoo nmechekaa
Team zuu siku hiz mnamuona zuu hako Sawa jaman
Nahis ana mimba kweli huyu
@@Fathasssane-vs2thhii itakuwaa mimba kweli sio maigizo ila sasa kiuhalisia ni ya Kai au nani nisaidieni kiuhalisia lakn😂😂😂😂😂
😅😅😅😅 jamani
@@Fathasssane-vs2th kbsa Yani yupo yupo to
@@pendochacha1326 kai 🤣🤣🤣🤣🤣
Baba zatiti amuita mama zatiti, mama tasha😂❤❤ kuigiza kazi kunamazoea aseeee
😂😂😂 duh walishindwa kuedit
Mm nmeelewa kamkubali kijana na ndio maana kamuita mkewe mama tasha
Chiko anadharau ya high standard 😅😅😅
Hamna kwa xaxa kashakuwa mama Tasha
@@MwanahijaMwachanga-q3n true
Tasha hongera zake ameweza kukaza kla Aina ya tusi kutoka kwa wazaz wake zatiti, lkn mwshon kapata asilimia 💯
Wenye tunasubiri harusi ya mr tasha na zatiti mikono juu ❤❤❤❤
😂😂😂😂😂😂 ngonde asante sanaa kwa kumpenda sania 😂😂😂😂😂😂😂😂😂sania piskali imeisha...rehma kazi unayo machozi ya zatiti nawe utalia tuuuu😂😂😂😂😂😂😂mr tasha unaenjoy kweli hongera busat tv❤❤❤❤❤❤❤
Safi ngonde mapenzi umempende Sania 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Ngonde umemuweza tujuane hap chin tulio furahia😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wa kwanza kutoka Kenya 🇰🇪 wapi likes sa Busati tv Kwa kazi nzuri wanaofanya jamani
Wenye wanangoja Harusi ya Sania na mganga na masozi na Tisa tujuane 😂😂halafu Rahma ubaya ubwela 😁chenye Ulimfanyia Zatiti naona kiko karibu kutimia kwako 😂😂lazima ukubali uke wenza upende ukatae Kama wakubaliana na mm gonga likes 😂😂😂😂😂
😂😂😂 siyo tisa ni chisa
Asssaaaanteee😂😂😂😂
@@shamimtv254 aaaah oooh majina mengine niya laana 🤣🤣😂😂😂😂
@@MwanamisiMunnah-x3v 🤣🤣🤣🤣hapo hua kunanipunga
Asaaaaaanti😂😂😂😂🎉
Mganga ngonde amepta maaidizi sania😂😂😂. Ila chiko kwa kweli unionyesha makosa sana kwa kina zatiti ery ugali wa mhogo n ulimbo😂😂😂😂😂 wake like kwa chisa n nawake zake yaan round hii chisa lazima asema 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Na bado hajasema 😂😂😂😂😂😂
Ngonde kimamula utanivunja mbavu,umempenda sania,ndoa tunaigonjea na musicheleweshe,alfu ss Tasha kaenda kuishi ukweni😂😂😂,hivi ndo episode nzima iwe kumbukizi za chiko😢😢
Mwacheni Mr Tasha anazoe mazingira ili aepukane na majanga ya chiko
Kama🎉 wanaamin tasha ataenda lima kwa mzee mkolon km mm gonga like ndugu❤❤❤❤❤❤
Mimi ninamni ataenda❤
Kumbe chiku ww wuna sifa mbaya ukweni. Pole
BUSATI TV FOR HAPPIEST LIFE ❤❤🎉🎉 Mungu azidishe nguvu na maarifa kwenu wana Busati 🙏🙏🙏💕
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉kazi nzuri sana ila sania kubali uwe mwana maji wa ngonde kimamula
270,Sania kushwa habari yako.tuzaliye huyo mlic mama 😮😮😮😮😮😮😮😮
Makofi kwa ngonde👏👏👏👏👏👏👏😂😂😂😂😂
Sania utasaidia kupiga dawa wateja wa ngonde
Jamn na mimi nime wahi leo makofi kwangu haijawahi tokea😂😂😂😂 wazima lakn
Naombaa like hata mojaa jamanii nimewahi
Jamani leo nimependezwa na Rahma ❤❤
Ila rahma ikopowa❤❤❤ unapenda watoto 😂😂tulia saniya uzae namizimu yangonde achashombo😢😢eti msaidiye ngonde kutibuuu😅😅😅
Tasha umepata asili💯💯zote Kwa wakwe zako wallah Hila hyoo chico unajishau bore kwen masasi yup kama hvyo acha zarahau mchi inawejewe kina p Didi 😂😂😂
Kumb chiko tabia yako na chafu mpak wakwe uliwatukana na Mke umekosa jaman tumzomee chiko aliweka mwany toka Zaman jaman hapo chin chiko🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wa kwanxa naombeni likes kutoka Kenya ❤❤
My fellow kenyans🇰🇪 hizi mboga anazotengeneza mama zatiti sini matawi ya muogo au mm macho mabaya😅
Ndio mboga hiyo kisamvu tunaita
@@zainabzain3434 Natamani kujua taste yake
Sania Mrs mganga😂😂😂😂 hapo ume patikana. I love you guys. Good job🎉🎉🎉
Ndani ndani from Kenya nawafuatilia sana Tasha pongezi kwako kq heshima ya wazazi wa zatiti lakini hiyo Chiko na madharau yake kwa wazazi C viema
Cisa jua kuyaoga ayo maji uluyacemusha pekeako😂😂😂😂
Wakwanza mm kufurahi kumuona rahma àmeikubali mimba ya mume wake kwa mwanamke mwenzie ❤❤❤❤❤
😂😂😂😂😂😂😂 mnganga jukua Maua yako 💐💐💐💐💐💐💐💐 saniya umekua kierere Sana dada 👍👍👍👍👍
Kijiji chakishamba,mtandao wakishamba nakila kitu chakishamba
Kumbe chiko anamadharau sana ,kwa familia ya wakwe zake
Chisa ningekua wewe naachana na movie juu mwanamke hawezi niendesha
Jamani wameni tamanisha ugali wa muhogo. Sie tuliokua nje ya TZ chakula adimu hichi jamani. Chiko anakidharau.🤤🤤😋😋
Jamani mimi nina ombi kwa mashabiki na watazamaji wa Busati na house girl kwa ujumla....naomba msiombe like kabla hamjatoa maoni na ushauri juu ya movie....like tuwape walioigiza ndo waliofanya kazi nzito maana kama tunaishia tyu kuomba like wao watajuaje walipokosea? 🙏🙏🙏Ni hayo tyu❤❤ nawapenda na Asanteni ❤❤🎉🎉🎉 BUSATI TV FOR LIFE ❤❤❤
Wanakela sana baada ya kutoa maoni wanataka like tuh😂
@@mauamshindo2558 me mwenyew kwel inanikera maana wakupewa like ni waigizaji sisi tunatakiwa tutoe maoni ya movie ila mtu kaingia tyu et nipeni like 😏😏😏😏
wajinga sana
@@SakinaMubaKweli kabisa
Kwan izo like wanalipwa? naomba kujua mi mgen jaman
Jamani hongereni sana kwa kazi nzuri tunajifunza mambo mengi kupitia kipindi hiki 🙏🙏
Jamani Nimeumssss huo ungali wa Muhongo nawapenda wote nakupateni vizuri oman
Wa 42. Nami pia cjachelewa saana jamani leo. From 🇴🇲. Nawapenda saana Busati TV. Kazi nzuri. Na kl la heri.❤
Lahima nimekupenda umekua nahuluma namwenzio nakupa🎉🎉🎉🎉 mauwa kwahuluma nimwanamke unayejua uchungu
Chiko kanivunja mbavu apo kw ugali wa mihogo😂😂😂😂😂
Nimewai jamani naoba like kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪
Chisa kautaka 😂😂😂kazi anayo wake wawil
Hzi kumbukumbu za chiko daaa zinakera kwa kwel yaan anaongea bila hta hofu,,ninaimaan watampenda snaa Mr Tasha kwa hekima zake.Yaan kaaa matusi vile sijapenda kweli mm
Ila Sania ety ngomde kimamula mganga wa kienyeji😂😂😂😂😂
Nipen like nimekuwa wa kwanza❤❤❤
Kumbe dharau ya chiko ilitoka kitambo 😢😢😢😢 kweli Zatiti hukustahili kuishi na chiko kabisa 😢
Hata mm sijachelewa sana pa 25 seconds mm kutoka 🇿🇲
Jamani Busati TV kuweni mnapunguza kumbukumbu msiwi mnaifanya ndefu
Mbona maji nikama ya singida😅😅😅ila chiko siyokwakuchamba huko😅😅😅
Rahma umenifirahisha sana kumbe kuna muda una utu ❤❤❤❤
Hhhhhh chko nakuchukia vibaya yayayaya nampenda mista tashaaa aishimiweeez
Chisa kumbafffff Sana ww Yani ww n nyoka mkubwa Sana wallai Yani nakichukia Sana 😢
Sania kula chuma icho na babakijacho wako😅😅😅😅
Kweli Zatiti kumbe iyo ndoa ya kwanza ulikosea kabisaa,,,,, heri tuh Sasa umempata Tasha wako❤❤
😂😂CHIKU bwana ulimbo maji yameekwa sabun
Sania acha kumkazia Mr aasanteee😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂
Jamni chiko kumbe alikuwa mjingaa sana jamni 😅😅wapi like❤🎉za tashaa wetu
Penzi paja kwa kaka chinsa na dada rahma masonzi umedanganyika na wakina kendy kukudanganya na mimba umepewa jamani duu ongereni sana sana mie mnazidi tu kunifurahisha
Nikajua bas nimewah kumb duuhh Aya hongereni ❤❤❤
Huyu rahman ata hamfikii daa mazozi mwenyewe anakaa km kitukutuku vile ila king'ang'anizi na sumbua tu kam kakake na chiko tu,ila Tasha ukarimu wake na busara zake zimewafanya wazazi wa zatiti kabadili majina badala ya mama zatiti ni mama Tasha sasa hongera mzee mkoloni kwa kumuozesha Tasha mwanao❤❤❤
Jaman chiko ulikua najipa laan tmwenyew toka zaman sas zinakuendesha w huna adabu chiko
Sania tulia mgaga kashafanya yake😂😂saii tukiz pisi kali namimba ya mizimu😂😂😂
Ila.mie kitu sijapenda kendy kurudi kuongeya na kayi zuu angeanza kipata raha namume wake bana mana kateseka sana mwanzo
Chisa kautaka chisa kauliy wap baba vijacho chisa na ngonde ngonde maua 🎉🎉🎉 bad msr Tasha
Ja'mani natamani sania ageuzwe nyoka na Mganga a.k.a Baba kija 😅😅😅😂😂
Astaghfirullah, mhurumie😂😂😂 mlitaka mimba akapata...sai nyoka! Aaaaweeeeh 😊
😂😂😂😂
Haaa😂😂
Kwa huu muchezo Rahama namupenda sana
Chisa acha kujifanya unamkana mtot wew
Leo chiko umenichekesha sanaaaaaa😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥huu siulimbo kabisa jamani
Kwanza Chisa waendana na Masozi huyo Rahma aaah
Kazi nzuri wana busati na mungu awabariki❤❤
Kumbe chiko dharau ni za kwake tokea zamani duuuh
nimewahi jaman .naomben like zenuu🎉🎉🎉🎉🎉
Chiko untk chipsi. Nd auna ng.....😂😂😂
❤jaman mauwa ya mama zatiti hayo🎉🎉🎉❤
Jamani wanaomba chisa amuoe masozi mke wa 2 gonga like hapo chini kweli Zatiti umepata mume kumbe chiko kawazalilisha wakwe kipindi cha nyuma😂😂 sania kubali kuwa na mganga n'gonde kimamula kwanza ni mhandisome sema Yuko kilingeni 😅usijifanye hazi zako kuolewa nawatu wakubwa 😅hata huyo n'gonde kimamula ni mtu mkubwa hongera Tasha kujuwa kukaa vizuri na wakwe
Xaxa sania apo cjui unabixana nn na ngonde apo we bebatu mimba ya mganga uo mdomo utaisha tu nijambo la mda
Maji asilia ya kijijini nayapenda hayana dawa
Chiko 😂😂😂huna lako Tasha kakula pawa si kwavituko ivyo ulivyokuwa navyo ukweni😢Cisa umeyatimba unajuwa vizuri mkeo nimkali alafu unajitowa akili😂😂
Huyu masoz mzuri kwel mashaallah
Chiko afai katika hii familiya majidevu tu 🇸🇦 🇸🇦
Chisa mwenyewe Sasa Anaegombaniwa😂😂😂😂😂
Eeeeh lakini chiko umeweza leo kilakitu kwako sumu😂😂😂
Uyu masozi naye si umeambiwa mimba italelewa vip tena wataka kuolewa ama watak pia iyo mimba uilee pekeako kama kuna mwenye kukubaliana na mm gonga like
Jmn mama na baba zatiti mumenikumbusha kijijini kwetu ugali km huo na maji hayo yalivyo tamu 😢😢😢😢nakumbuka mbali sana
Chiko kama chiko kitu kama huwez siunaacha tu kulko uongee Huna haya wee kwa wakwe waongea ww tu 😂😂Ila hayo maji mmmh pia mm singeweza kunywa 😂😂
Kwan rahma anateseka na Nini hasa yeye kama anakizalio siangezaa,ulimdhalilisha zatiti sasa kimekugeukia,,,waaaah natamani chisa na masozi nao wakamilishe jambo,,,rahma ukonde huo mwili😂😂😂😂
Wivvu
Wivvu😊
Jamani mpumbav mwenzangu kapoa kweli
We mshenzi chiko unavotuzalilisha we fala kwiyo cc wandengereko washamba sawa bwan
chiko ugali unasema ni ulimbo😂😂
Chiko kumbe toka mwanzo hakuwa mume sahihi Ila kwa Tasha sasa ndio ndoa sahihi ❤❤
Nikweli baba zatiti tasha ni mwanaume bora sana kwa mwanao
Hivi hawa wenye matangazo ya mikopo na nyinyi mnawaona me wananikera sanaaaa 😂
Yan kumbe mwenzangu umeona ee😢😢