HOUSE GIRL EP 25 | S3 | Love Story 💕💞

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 окт 2024
  • HOUSE GIRL SEASON 3
  • КиноКино

Комментарии • 387

  • @geraldcrispini
    @geraldcrispini 14 часов назад +47

    Chiko hana akili kabisa wanaompa big up tasha like kama zote

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 14 часов назад +19

    Honger tash kwa tabia nzur uliyoonyesh kwa wakwe 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 🎉🎉🎉🎉Tash tulio furahia tash kusifiwa na wazazi WA zatit tujuan kweny comment

  • @GloriaNahimana-x8p
    @GloriaNahimana-x8p 16 часов назад +39

    Tunao furahia doa ya zatiti na Tacha tujuane 🎉🎉

  • @Mariam-vg6wt
    @Mariam-vg6wt 16 часов назад +28

    Nimewahi leo jaman toka nianze kuangalia sijawai pata hata likes mbili 2 😊

  • @Saumu-lm7nt
    @Saumu-lm7nt 14 часов назад +11

    Sania Kama nakuona ulivyo Kama kimdori na kitumbo kikitoka Kama mtungi 😂

  • @fammamaboko6543
    @fammamaboko6543 16 часов назад +17

    Dakika 3 jameni nimewahi
    N'a Mimi Léo nipewe like hâta 10😂😂😂😂

  • @SaumuJumwa-u4v
    @SaumuJumwa-u4v 16 часов назад +75

    Nimewahi kutoka Kenya 🇰🇪 Bwana Yesu asifiwe watu wa Mungu yoyote atasomo comment hii Mwenyezi Mungu amfungulie milango ya baraka 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 15 часов назад +39

    UTAKAYESOMA HII COMENT MUNGU AKILINDE WW UZAO WAKO INSHALAA🤲🤝🙏🤲🤝🙏🤲🤝🙏🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲

  • @ChimammyMummy
    @ChimammyMummy 12 часов назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣chikoo jamenii ety hata kama tumejifunzaa Kwamba maji hayana rangi lkin sikwa Hali hiyoo nmechekaa

  • @veronicahmomanyi
    @veronicahmomanyi 16 часов назад +34

    Team zuu siku hiz mnamuona zuu hako Sawa jaman

    • @Fathasssane-vs2th
      @Fathasssane-vs2th 15 часов назад +1

      Nahis ana mimba kweli huyu

    • @pendochacha1326
      @pendochacha1326 15 часов назад +2

      ​@@Fathasssane-vs2thhii itakuwaa mimba kweli sio maigizo ila sasa kiuhalisia ni ya Kai au nani nisaidieni kiuhalisia lakn😂😂😂😂😂

    • @Frola-r9z
      @Frola-r9z 15 часов назад +1

      😅😅😅😅 jamani

    • @veronicahmomanyi
      @veronicahmomanyi 15 часов назад

      @@Fathasssane-vs2th kbsa Yani yupo yupo to

    • @Fathasssane-vs2th
      @Fathasssane-vs2th 15 часов назад

      @@pendochacha1326 kai 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @niyaofabian5483
    @niyaofabian5483 15 часов назад +24

    Baba zatiti amuita mama zatiti, mama tasha😂❤❤ kuigiza kazi kunamazoea aseeee

    • @jonnyfranco5318
      @jonnyfranco5318 15 часов назад +1

      😂😂😂 duh walishindwa kuedit

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 14 часов назад +3

      Mm nmeelewa kamkubali kijana na ndio maana kamuita mkewe mama tasha

    • @dianadiana2958
      @dianadiana2958 14 часов назад

      Chiko anadharau ya high standard 😅😅😅

    • @MwanahijaMwachanga-q3n
      @MwanahijaMwachanga-q3n 14 часов назад

      Hamna kwa xaxa kashakuwa mama Tasha

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 14 часов назад

      @@MwanahijaMwachanga-q3n true

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 15 часов назад +7

    Tasha hongera zake ameweza kukaza kla Aina ya tusi kutoka kwa wazaz wake zatiti, lkn mwshon kapata asilimia 💯

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is 14 часов назад +3

    Wenye tunasubiri harusi ya mr tasha na zatiti mikono juu ❤❤❤❤

  • @Mwanajumahassan-tg3zg
    @Mwanajumahassan-tg3zg 15 часов назад +7

    😂😂😂😂😂😂 ngonde asante sanaa kwa kumpenda sania 😂😂😂😂😂😂😂😂😂sania piskali imeisha...rehma kazi unayo machozi ya zatiti nawe utalia tuuuu😂😂😂😂😂😂😂mr tasha unaenjoy kweli hongera busat tv❤❤❤❤❤❤❤

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 15 часов назад +3

    Safi ngonde mapenzi umempende Sania 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Ngonde umemuweza tujuane hap chin tulio furahia😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @symochanji6896
    @symochanji6896 16 часов назад +19

    Wa kwanza kutoka Kenya 🇰🇪 wapi likes sa Busati tv Kwa kazi nzuri wanaofanya jamani

  • @SaumuJumwa-u4v
    @SaumuJumwa-u4v 15 часов назад +22

    Wenye wanangoja Harusi ya Sania na mganga na masozi na Tisa tujuane 😂😂halafu Rahma ubaya ubwela 😁chenye Ulimfanyia Zatiti naona kiko karibu kutimia kwako 😂😂lazima ukubali uke wenza upende ukatae Kama wakubaliana na mm gonga likes 😂😂😂😂😂

    • @shamimtv254
      @shamimtv254 15 часов назад

      😂😂😂 siyo tisa ni chisa

    • @MwanamisiMunnah-x3v
      @MwanamisiMunnah-x3v 15 часов назад

      Asssaaaanteee😂😂😂😂

    • @SaumuJumwa-u4v
      @SaumuJumwa-u4v 14 часов назад

      @@shamimtv254 aaaah oooh majina mengine niya laana 🤣🤣😂😂😂😂

    • @SaumuJumwa-u4v
      @SaumuJumwa-u4v 14 часов назад

      @@MwanamisiMunnah-x3v 🤣🤣🤣🤣hapo hua kunanipunga

    • @DorothyAldo
      @DorothyAldo 14 часов назад

      Asaaaaaanti😂😂😂😂🎉

  • @كامليا-ر7ز
    @كامليا-ر7ز 15 часов назад +10

    Mganga ngonde amepta maaidizi sania😂😂😂. Ila chiko kwa kweli unionyesha makosa sana kwa kina zatiti ery ugali wa mhogo n ulimbo😂😂😂😂😂 wake like kwa chisa n nawake zake yaan round hii chisa lazima asema 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @AdveraElias
      @AdveraElias 14 часов назад

      Na bado hajasema 😂😂😂😂😂😂

  • @SdFft-j5g
    @SdFft-j5g 15 часов назад +5

    Ngonde kimamula utanivunja mbavu,umempenda sania,ndoa tunaigonjea na musicheleweshe,alfu ss Tasha kaenda kuishi ukweni😂😂😂,hivi ndo episode nzima iwe kumbukizi za chiko😢😢

    • @TheresiaMoses-g7w
      @TheresiaMoses-g7w 15 часов назад

      Mwacheni Mr Tasha anazoe mazingira ili aepukane na majanga ya chiko

  • @aishaallyaishaally3220
    @aishaallyaishaally3220 14 часов назад +15

    Kama🎉 wanaamin tasha ataenda lima kwa mzee mkolon km mm gonga like ndugu❤❤❤❤❤❤

    • @HonorX5-o1h
      @HonorX5-o1h 12 часов назад

      Mimi ninamni ataenda❤

  • @افلينافلين-ي9ك
    @افلينافلين-ي9ك 14 часов назад +2

    Kumbe chiku ww wuna sifa mbaya ukweni. Pole

  • @DominPallangyo
    @DominPallangyo 15 часов назад +6

    BUSATI TV FOR HAPPIEST LIFE ❤❤🎉🎉 Mungu azidishe nguvu na maarifa kwenu wana Busati 🙏🙏🙏💕

  • @Najmahnyangasi
    @Najmahnyangasi 15 часов назад +6

    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉kazi nzuri sana ila sania kubali uwe mwana maji wa ngonde kimamula

  • @DianaMkembelwa
    @DianaMkembelwa 13 часов назад +2

    270,Sania kushwa habari yako.tuzaliye huyo mlic mama 😮😮😮😮😮😮😮😮

  • @celestinekakai1981
    @celestinekakai1981 14 часов назад +7

    Makofi kwa ngonde👏👏👏👏👏👏👏😂😂😂😂😂
    Sania utasaidia kupiga dawa wateja wa ngonde

  • @Elizabeth-p3d
    @Elizabeth-p3d 16 часов назад +7

    Jamn na mimi nime wahi leo makofi kwangu haijawahi tokea😂😂😂😂 wazima lakn

  • @AdassaMsafiri
    @AdassaMsafiri 16 часов назад +10

    Naombaa like hata mojaa jamanii nimewahi

  • @babysister4th
    @babysister4th 14 часов назад +3

    Jamani leo nimependezwa na Rahma ❤❤

  • @ميريالشمري-ح9ب
    @ميريالشمري-ح9ب 15 часов назад +2

    Ila rahma ikopowa❤❤❤ unapenda watoto 😂😂tulia saniya uzae namizimu yangonde achashombo😢😢eti msaidiye ngonde kutibuuu😅😅😅

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol 13 часов назад +1

    Tasha umepata asili💯💯zote Kwa wakwe zako wallah Hila hyoo chico unajishau bore kwen masasi yup kama hvyo acha zarahau mchi inawejewe kina p Didi 😂😂😂

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 14 часов назад +2

    Kumb chiko tabia yako na chafu mpak wakwe uliwatukana na Mke umekosa jaman tumzomee chiko aliweka mwany toka Zaman jaman hapo chin chiko🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Moraadianaa-o2wys
    @Moraadianaa-o2wys 16 часов назад +7

    Wa kwanxa naombeni likes kutoka Kenya ❤❤

  • @user-Ambani
    @user-Ambani 13 часов назад +3

    My fellow kenyans🇰🇪 hizi mboga anazotengeneza mama zatiti sini matawi ya muogo au mm macho mabaya😅

    • @zainabzain3434
      @zainabzain3434 13 часов назад +1

      Ndio mboga hiyo kisamvu tunaita

    • @user-Ambani
      @user-Ambani 13 часов назад

      @@zainabzain3434 Natamani kujua taste yake

  • @DorcasNasimiyu-g4e
    @DorcasNasimiyu-g4e 13 часов назад

    Sania Mrs mganga😂😂😂😂 hapo ume patikana. I love you guys. Good job🎉🎉🎉

  • @moonGirl-t1i
    @moonGirl-t1i 15 часов назад +2

    Ndani ndani from Kenya nawafuatilia sana Tasha pongezi kwako kq heshima ya wazazi wa zatiti lakini hiyo Chiko na madharau yake kwa wazazi C viema

  • @DivineIngabire-lj3sr
    @DivineIngabire-lj3sr 14 часов назад +2

    Cisa jua kuyaoga ayo maji uluyacemusha pekeako😂😂😂😂

  • @AishaKombo-n5f
    @AishaKombo-n5f 14 часов назад +1

    Wakwanza mm kufurahi kumuona rahma àmeikubali mimba ya mume wake kwa mwanamke mwenzie ❤❤❤❤❤

  • @Leilajepmtu
    @Leilajepmtu 15 часов назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂 mnganga jukua Maua yako 💐💐💐💐💐💐💐💐 saniya umekua kierere Sana dada 👍👍👍👍👍

  • @ElizabethDaudi-b6v
    @ElizabethDaudi-b6v 14 часов назад +2

    Kijiji chakishamba,mtandao wakishamba nakila kitu chakishamba

  • @elvinakalu6991
    @elvinakalu6991 13 часов назад +1

    Kumbe chiko anamadharau sana ,kwa familia ya wakwe zake

  • @KevinRioba-v8t
    @KevinRioba-v8t 12 часов назад +1

    Chisa ningekua wewe naachana na movie juu mwanamke hawezi niendesha

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 14 часов назад +1

    Jamani wameni tamanisha ugali wa muhogo. Sie tuliokua nje ya TZ chakula adimu hichi jamani. Chiko anakidharau.🤤🤤😋😋

  • @DominPallangyo
    @DominPallangyo 15 часов назад +3

    Jamani mimi nina ombi kwa mashabiki na watazamaji wa Busati na house girl kwa ujumla....naomba msiombe like kabla hamjatoa maoni na ushauri juu ya movie....like tuwape walioigiza ndo waliofanya kazi nzito maana kama tunaishia tyu kuomba like wao watajuaje walipokosea? 🙏🙏🙏Ni hayo tyu❤❤ nawapenda na Asanteni ❤❤🎉🎉🎉 BUSATI TV FOR LIFE ❤❤❤

    • @mauamshindo2558
      @mauamshindo2558 15 часов назад +1

      Wanakela sana baada ya kutoa maoni wanataka like tuh😂

    • @DominPallangyo
      @DominPallangyo 15 часов назад

      @@mauamshindo2558 me mwenyew kwel inanikera maana wakupewa like ni waigizaji sisi tunatakiwa tutoe maoni ya movie ila mtu kaingia tyu et nipeni like 😏😏😏😏

    • @SakinaMuba
      @SakinaMuba 15 часов назад

      wajinga sana

    • @FaisalAlrefai-u2y
      @FaisalAlrefai-u2y 14 часов назад

      ​@@SakinaMubaKweli kabisa

    • @RehemaMwakisyala-k9u
      @RehemaMwakisyala-k9u 13 часов назад

      Kwan izo like wanalipwa? naomba kujua mi mgen jaman

  • @Frola-r9z
    @Frola-r9z 15 часов назад +1

    Jamani hongereni sana kwa kazi nzuri tunajifunza mambo mengi kupitia kipindi hiki 🙏🙏

  • @fatmahaji7639
    @fatmahaji7639 12 часов назад

    Jamani Nimeumssss huo ungali wa Muhongo nawapenda wote nakupateni vizuri oman

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 15 часов назад +3

    Wa 42. Nami pia cjachelewa saana jamani leo. From 🇴🇲. Nawapenda saana Busati TV. Kazi nzuri. Na kl la heri.❤

  • @EnjoyJosephElikana
    @EnjoyJosephElikana 15 часов назад +2

    Lahima nimekupenda umekua nahuluma namwenzio nakupa🎉🎉🎉🎉 mauwa kwahuluma nimwanamke unayejua uchungu

  • @MwanakomboNassor
    @MwanakomboNassor 12 часов назад +1

    Chiko kanivunja mbavu apo kw ugali wa mihogo😂😂😂😂😂

  • @MwendeMunyao-zi1iy
    @MwendeMunyao-zi1iy 15 часов назад +4

    Nimewai jamani naoba like kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @coolboymicky3651
    @coolboymicky3651 16 часов назад +8

    Chisa kautaka 😂😂😂kazi anayo wake wawil

  • @MwanamisiMuna
    @MwanamisiMuna 13 часов назад +1

    Hzi kumbukumbu za chiko daaa zinakera kwa kwel yaan anaongea bila hta hofu,,ninaimaan watampenda snaa Mr Tasha kwa hekima zake.Yaan kaaa matusi vile sijapenda kweli mm

  • @shadya-gi8br
    @shadya-gi8br 14 часов назад +2

    Ila Sania ety ngomde kimamula mganga wa kienyeji😂😂😂😂😂

  • @leahfwimi5917
    @leahfwimi5917 16 часов назад +4

    Nipen like nimekuwa wa kwanza❤❤❤

  • @floramacheva5855
    @floramacheva5855 14 часов назад +1

    Kumbe dharau ya chiko ilitoka kitambo 😢😢😢😢 kweli Zatiti hukustahili kuishi na chiko kabisa 😢

  • @JaneMhango-yl7xo
    @JaneMhango-yl7xo 15 часов назад +2

    Hata mm sijachelewa sana pa 25 seconds mm kutoka 🇿🇲

  • @AishaAbdoullah
    @AishaAbdoullah 14 часов назад +1

    Jamani Busati TV kuweni mnapunguza kumbukumbu msiwi mnaifanya ndefu

  • @ElizabethDaudi-b6v
    @ElizabethDaudi-b6v 14 часов назад +1

    Mbona maji nikama ya singida😅😅😅ila chiko siyokwakuchamba huko😅😅😅

  • @sayunimnguruta98
    @sayunimnguruta98 14 часов назад +1

    Rahma umenifirahisha sana kumbe kuna muda una utu ❤❤❤❤

  • @FunnyBanjo-xm8cz
    @FunnyBanjo-xm8cz 13 часов назад +1

    Hhhhhh chko nakuchukia vibaya yayayaya nampenda mista tashaaa aishimiweeez

  • @buru1235
    @buru1235 16 часов назад +3

    Chisa kumbafffff Sana ww Yani ww n nyoka mkubwa Sana wallai Yani nakichukia Sana 😢

  • @marymele9714
    @marymele9714 15 часов назад +4

    Sania kula chuma icho na babakijacho wako😅😅😅😅

  • @DelvinChepkorir-t1d
    @DelvinChepkorir-t1d 13 часов назад

    Kweli Zatiti kumbe iyo ndoa ya kwanza ulikosea kabisaa,,,,, heri tuh Sasa umempata Tasha wako❤❤

  • @NoorAli-gk8bj
    @NoorAli-gk8bj 15 часов назад +1

    😂😂CHIKU bwana ulimbo maji yameekwa sabun

  • @aishaabeid8106
    @aishaabeid8106 15 часов назад +7

    Sania acha kumkazia Mr aasanteee😂😂😂

  • @HalimaAli-e4w
    @HalimaAli-e4w 12 часов назад

    Jamni chiko kumbe alikuwa mjingaa sana jamni 😅😅wapi like❤🎉za tashaa wetu

  • @MrsMariam-x2s
    @MrsMariam-x2s 14 часов назад +1

    Penzi paja kwa kaka chinsa na dada rahma masonzi umedanganyika na wakina kendy kukudanganya na mimba umepewa jamani duu ongereni sana sana mie mnazidi tu kunifurahisha

  • @BeatriceMvaty
    @BeatriceMvaty 15 часов назад +2

    Nikajua bas nimewah kumb duuhh Aya hongereni ❤❤❤

  • @NgalamnyaziScolasticah
    @NgalamnyaziScolasticah 12 часов назад

    Huyu rahman ata hamfikii daa mazozi mwenyewe anakaa km kitukutuku vile ila king'ang'anizi na sumbua tu kam kakake na chiko tu,ila Tasha ukarimu wake na busara zake zimewafanya wazazi wa zatiti kabadili majina badala ya mama zatiti ni mama Tasha sasa hongera mzee mkoloni kwa kumuozesha Tasha mwanao❤❤❤

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 14 часов назад +1

    Jaman chiko ulikua najipa laan tmwenyew toka zaman sas zinakuendesha w huna adabu chiko

  • @AminaBakari-oy9eb
    @AminaBakari-oy9eb 14 часов назад +2

    Sania tulia mgaga kashafanya yake😂😂saii tukiz pisi kali namimba ya mizimu😂😂😂

  • @MrsMariam-x2s
    @MrsMariam-x2s 14 часов назад +1

    Ila.mie kitu sijapenda kendy kurudi kuongeya na kayi zuu angeanza kipata raha namume wake bana mana kateseka sana mwanzo

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol 14 часов назад +1

    Chisa kautaka chisa kauliy wap baba vijacho chisa na ngonde ngonde maua 🎉🎉🎉 bad msr Tasha

  • @lovenessmallya816
    @lovenessmallya816 15 часов назад +5

    Ja'mani natamani sania ageuzwe nyoka na Mganga a.k.a Baba kija 😅😅😅😂😂

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 14 часов назад

      Astaghfirullah, mhurumie😂😂😂 mlitaka mimba akapata...sai nyoka! Aaaaweeeeh 😊

    • @TeresaSefu
      @TeresaSefu 14 часов назад

      😂😂😂😂

    • @user-Ambani
      @user-Ambani 13 часов назад

      Haaa😂😂

  • @VumiliaAmina
    @VumiliaAmina 15 часов назад +1

    Kwa huu muchezo Rahama namupenda sana

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 15 часов назад +1

    Chisa acha kujifanya unamkana mtot wew

  • @ElizabethDaudi-b6v
    @ElizabethDaudi-b6v 14 часов назад

    Leo chiko umenichekesha sanaaaaaa😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥huu siulimbo kabisa jamani

  • @ASHANDEGWA
    @ASHANDEGWA 15 часов назад +2

    Kwanza Chisa waendana na Masozi huyo Rahma aaah

  • @daphinekemto3094
    @daphinekemto3094 15 часов назад +1

    Kazi nzuri wana busati na mungu awabariki❤❤

  • @OtiliaExavery
    @OtiliaExavery 15 часов назад +2

    Kumbe chiko dharau ni za kwake tokea zamani duuuh

  • @Jenniffer-m9k
    @Jenniffer-m9k 15 часов назад +2

    nimewahi jaman .naomben like zenuu🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MwajumaAthuman-wv9mo
    @MwajumaAthuman-wv9mo 14 часов назад +1

    Chiko untk chipsi. Nd auna ng.....😂😂😂

  • @امينهاا-ق4ف
    @امينهاا-ق4ف 14 часов назад +1

    ❤jaman mauwa ya mama zatiti hayo🎉🎉🎉❤

  • @HanifaHabibo
    @HanifaHabibo 12 часов назад

    Jamani wanaomba chisa amuoe masozi mke wa 2 gonga like hapo chini kweli Zatiti umepata mume kumbe chiko kawazalilisha wakwe kipindi cha nyuma😂😂 sania kubali kuwa na mganga n'gonde kimamula kwanza ni mhandisome sema Yuko kilingeni 😅usijifanye hazi zako kuolewa nawatu wakubwa 😅hata huyo n'gonde kimamula ni mtu mkubwa hongera Tasha kujuwa kukaa vizuri na wakwe

  • @Juliety-v3o
    @Juliety-v3o 15 часов назад +3

    Xaxa sania apo cjui unabixana nn na ngonde apo we bebatu mimba ya mganga uo mdomo utaisha tu nijambo la mda

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 14 часов назад +2

    Maji asilia ya kijijini nayapenda hayana dawa

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 14 часов назад

    Chiko 😂😂😂huna lako Tasha kakula pawa si kwavituko ivyo ulivyokuwa navyo ukweni😢Cisa umeyatimba unajuwa vizuri mkeo nimkali alafu unajitowa akili😂😂

  • @Pili-n3l
    @Pili-n3l 12 часов назад

    Huyu masoz mzuri kwel mashaallah

  • @Maryam-e2x8p
    @Maryam-e2x8p 15 часов назад +2

    Chiko afai katika hii familiya majidevu tu 🇸🇦 🇸🇦

  • @HadijaVinyu
    @HadijaVinyu 15 часов назад

    Chisa mwenyewe Sasa Anaegombaniwa😂😂😂😂😂

  • @EstherMzungu-b4n
    @EstherMzungu-b4n 14 часов назад

    Eeeeh lakini chiko umeweza leo kilakitu kwako sumu😂😂😂

  • @MinnahPetra
    @MinnahPetra 14 часов назад +1

    Uyu masozi naye si umeambiwa mimba italelewa vip tena wataka kuolewa ama watak pia iyo mimba uilee pekeako kama kuna mwenye kukubaliana na mm gonga like

  • @MariamHamisi-ti9vb
    @MariamHamisi-ti9vb 13 часов назад

    Jmn mama na baba zatiti mumenikumbusha kijijini kwetu ugali km huo na maji hayo yalivyo tamu 😢😢😢😢nakumbuka mbali sana

  • @ميريم-ط1س
    @ميريم-ط1س 12 часов назад

    Chiko kama chiko kitu kama huwez siunaacha tu kulko uongee Huna haya wee kwa wakwe waongea ww tu 😂😂Ila hayo maji mmmh pia mm singeweza kunywa 😂😂

  • @Hapygideon
    @Hapygideon 13 часов назад +1

    Kwan rahma anateseka na Nini hasa yeye kama anakizalio siangezaa,ulimdhalilisha zatiti sasa kimekugeukia,,,waaaah natamani chisa na masozi nao wakamilishe jambo,,,rahma ukonde huo mwili😂😂😂😂

  • @Fredmsemw
    @Fredmsemw 13 часов назад

    Jamani mpumbav mwenzangu kapoa kweli

  • @MarikiaMbombwe
    @MarikiaMbombwe 12 часов назад

    We mshenzi chiko unavotuzalilisha we fala kwiyo cc wandengereko washamba sawa bwan

  • @AAl-r1s
    @AAl-r1s 14 часов назад +1

    chiko ugali unasema ni ulimbo😂😂

  • @sayunimnguruta98
    @sayunimnguruta98 14 часов назад

    Chiko kumbe toka mwanzo hakuwa mume sahihi Ila kwa Tasha sasa ndio ndoa sahihi ❤❤

  • @AgnesMiyi
    @AgnesMiyi 14 часов назад

    Nikweli baba zatiti tasha ni mwanaume bora sana kwa mwanao

  • @KigheKingu
    @KigheKingu 13 часов назад +1

    Hivi hawa wenye matangazo ya mikopo na nyinyi mnawaona me wananikera sanaaaa 😂

    • @RoseNjoka_23
      @RoseNjoka_23 12 часов назад

      Yan kumbe mwenzangu umeona ee😢😢