Mungu Jamani Muacheni Aitwe Mungu Wenda Jamaa Wako Siliazi Kujenga Taifa Lakini Sasa Mungu Ametunyima Kibali Cha Mtu Kujua Mawazo Ya Mtu Zaidi Ya Kuonana Inje2 Sasa Hata Akisema Kweli Bado Uhaminifu Tunauwekea Mashaka Siku Zote Nasema Kikinuka Awa Jamaa Wanakimbia Fasta Sisi Wapiga Makofi Tunaogeswa Malungu Mpaka Macho Yapinde
This voice was National cherman Freeman mbowe under wajakoya fomer recing Kenya election in Kenya professor wajakoya with the chairman Freeman mbowe and God bless lema wajakoya they are on short speech lema from Canada now God bless lema is in Arusha the are on stand still nigesheting on new costuetion under ccm leadership continue be rengiforce to get new costuetion godblas lema has given ather province to rengiforce power to get new constuetion
Njaa inawasumbua mmepewa hela kumchafua JPM ila watanzania tunajua kila kitu,acheni kutuona kama sie wajinga, ww umekaa rumande utawala wa mama Leo unatuletea ujinga wako
Muwe munafanunua basi ....kuna wengine tumeishia la saba mkituchanganya na makatiba sijui masiasa sijui madudu gani hatuelewisiwenyewe sheria hatuzijui tunaona tuu watu wanapoga kelele katiba mpya katiba mpya
Badala waongelee yajayo wanakomaa na marehemu na jinsi walivyo toroka....hakuna kitu hapa... Chadema ni wehu watupu... Ccm wezi... Tanzania is crying for help
Hakuna mtu aliyetaka kumuua ila alikuwa anaona aibu ya namna ya kuishi mtaani baada ya kukosa ubunge. Alickokuwa anakitengeneza ni namna ya kurudi na kukubalika tena kwa watu.
Hawa wanasiasa si watu wa kuamini kabisa haw wanaoponda utawal na kuon kila kinachofanyika sicho wakipata madaraka wao ndo vile vile hakuna cha maan na siasa zao wanazungumzia vitisho na masula ya utekaji tu sera za kutatua matatizo na chanhamoto za wananchi ila mapema wanaonesha kwamba wao kam wao kwanza mengn pita huku😂😂😂😂 hapa ata wakipata uongozi hamna liwalo
Watanzania bwana kwa siasa sijui ndio mmeshinda au ndio mmeshindwa??? Au ndio changa la macho sawa sie wengine tunaangalia ulimwengu unavoenda na dunia inavozunguka
Nyinyi watu hamna jipya, ndio mnazidi kupotea. Maelezo hayo kwa sasa yanasaidia nn? Tuambieni nn mtaifanyia nchi hii. Hayo mambo ya ww ulikaa nje ya nchi yataijengaje nchi hii? Hayo yalipita, tuambieni mnataka au mtafanyia nn nchi hii. Mama yuko vizuri acha apige kazi, tofauti na mama nyinyi mtafanya nn ? Maneno ya historia yaliyopita leo hayana yatachosaidia
Ila sorry, hawa jamaa si ndio walivunjika miguu usiku wa manane na wake za watu wakiwa far john,hatujasahau bado tunawasubiri,mama hamumuwezi kwa sera hizi, mmechelewa
@@faridhassan6834 hakuna mtu yeyote anayempinga mama Wala kushindana na Mama, napenda uelewe kuwa aliyeturuhusu kufanya shghuli za kisiasa ni mama, na mama ametutuma tupige ccm Ila unyerere wake tusiuguse, napenda kukuakikishia kuwa uchaguzi ujawo viti vya bunge tutavivunjavunja kwa nyundo na mama kiti chake Cha unyerere tutamwachia, wale waliozoea kubebwa na dictator mwendazake nawapa pole
mimi bila kusikiliza chadema siwezi kuwa sawa
Mimi bila kusikiliza chadema sijisikii vizuri ✌️✌️✌️💓🙏🙏🌹
Mungu Jamani Muacheni Aitwe Mungu Wenda Jamaa Wako Siliazi Kujenga Taifa Lakini Sasa Mungu Ametunyima Kibali Cha Mtu Kujua Mawazo Ya Mtu Zaidi Ya Kuonana Inje2 Sasa Hata Akisema Kweli Bado Uhaminifu Tunauwekea Mashaka Siku Zote Nasema Kikinuka Awa Jamaa Wanakimbia Fasta Sisi Wapiga Makofi Tunaogeswa Malungu Mpaka Macho Yapinde
This voice was National cherman Freeman mbowe under wajakoya fomer recing Kenya election in Kenya professor wajakoya with the chairman Freeman mbowe and God bless lema wajakoya they are on short speech lema from Canada now God bless lema is in Arusha the are on stand still nigesheting on new costuetion under ccm leadership continue be rengiforce to get new costuetion godblas lema has given ather province to rengiforce power to get new constuetion
POLENI SANA MAKAMANDA, KWA MATESO YOTE HAYA MLIYOPITIA
Njaa inawasumbua mmepewa hela kumchafua JPM ila watanzania tunajua kila kitu,acheni kutuona kama sie wajinga, ww umekaa rumande utawala wa mama Leo unatuletea ujinga wako
Ebu ngoja kwanza kweni katiba mpya ni nini mbona wengine hatuelewi 😂😂😂😂😂
Kengeza jinga flan unajitorosha unabana na pua
Aisee! Hii Nchi kwa kweli Mwenyezi Mungu Airehemu.
Tusidharahu
Afadhali yenu mnamapesa mnaweza kukimbia sisi mkikinukisha twende wapi
Hapapo pakwenda tusubiri risasi tumiminiwe
@@aishaaisharagp9381 😂😂😂😂 dah hii nchi bhna
Kkkķhh wewe siku wezi
Kundi la wahuni
Muwe munafanunua basi ....kuna wengine tumeishia la saba mkituchanganya na makatiba sijui masiasa sijui madudu gani hatuelewisiwenyewe sheria hatuzijui tunaona tuu watu wanapoga kelele katiba mpya katiba mpya
Shalom God is saying something
Hap hakuna sera ya kufanyia nchi na wananchi ni kusema yaliofanywa magufuli
hamna jipya nyie labda chama kingine kije,hamuez tupeleka mahal popote
hivi hiki chama hakina sera ? hawaoni hali ilivyo kwa wananchi ,
Kuwa na subira
Mbona kila siku wanaeleza sera leo wana ajenda ya kueleza waliyoyapitia hata kupigania Katiba mpya ni sera namba moja
❤
Badala waongelee yajayo wanakomaa na marehemu na jinsi walivyo toroka....hakuna kitu hapa... Chadema ni wehu watupu... Ccm wezi... Tanzania is crying for help
Mazezeta wezi walibanwa
wewe si mselaa kwani wewe makonda au sabaya au chalamila mazezeta wale wachumia tumbo wezi vibaka ma ccm
Sikuona sababu za kukaa ukimbizini Kwa kweli ni woga Tuu wa kitoto
Hakuna mtu aliyetaka kumuua ila alikuwa anaona aibu ya namna ya kuishi mtaani baada ya kukosa ubunge. Alickokuwa anakitengeneza ni namna ya kurudi na kukubalika tena kwa watu.
Ungefanyiwa we km alivyofanyiwa tundulisu ingekuwa sawa .. mshamba mwendezake alifikiri ataishi milele
Kila mtu anajua thamani ya uhai wake
Mmh we si ulisema uliondoka nchini na hukutoroka
Hawa wanasiasa si watu wa kuamini kabisa haw wanaoponda utawal na kuon kila kinachofanyika sicho wakipata madaraka wao ndo vile vile hakuna cha maan na siasa zao wanazungumzia vitisho na masula ya utekaji tu sera za kutatua matatizo na chanhamoto za wananchi ila mapema wanaonesha kwamba wao kam wao kwanza mengn pita huku😂😂😂😂 hapa ata wakipata uongozi hamna liwalo
Nyie sio wanaume ni wavulana waoga
😅😅Wanaume walisha zikwa
Nimekuona youtube
Watanzania bwana kwa siasa sijui ndio mmeshinda au ndio mmeshindwa??? Au ndio changa la macho sawa sie wengine tunaangalia ulimwengu unavoenda na dunia inavozunguka
Sema baba
Hivi hii ndiyo siasa mbadala wa CCM, kazi ipo!!!!!!!!
Hizi ndio sera za maji,elimu,ajira matibabu ovyo chadema ni laana,
Kafie mbali uko, maji ya Nini ?.
Chadema ndio walioshika nchii ?
Nyinyi watu hamna jipya, ndio mnazidi kupotea. Maelezo hayo kwa sasa yanasaidia nn? Tuambieni nn mtaifanyia nchi hii. Hayo mambo ya ww ulikaa nje ya nchi yataijengaje nchi hii? Hayo yalipita, tuambieni mnataka au mtafanyia nn nchi hii. Mama yuko vizuri acha apige kazi, tofauti na mama nyinyi mtafanya nn ? Maneno ya historia yaliyopita leo hayana yatachosaidia
Kuwa mwelewa kila kitu kinamwisho
ww una jipya
Hawa jamaa awabadiliki yan kila cku wanaonewa yan mama samia umepita bila kupingwa na hawa wapinzani ni utupolo kila cku wanamsema Jpm
Hujui uliongealo bila Hawa upinzani cjui mbwa Hawa ccm wangetufanya NN wakikaa kimya unategemea nn
Mwendazake kaenda zake acha tu Enjoy
Walev lazima wapendane🤣🤣
Ngoja nikamuulze kwanza Zito, maana alituambia mlipokea offer 🚴
Zitto mbabaishaji sana jana Lissu aliulizwa hilo swali club house alifafanua vzr yaani jamaa ni muongo!
Sela ya maji,elim,ajila ni ya chama tawala kilicho jaza baba zao,watoto wao na wajukuu
Tumekuona RUclips
Hamumuogopi ata mungu?
Tumewachoka bwana
Ndo nini sasa kwamba mnajua sana kusafiri
MUNGU MNAYEMTUMIKIA MSIMUACHE AMEWATETEA MNO.AMEWAJIBU KWA RADI YA MOTO.
Kenyas are good people after all.I hope the phobia is duly cancelled!
Tusubiri yajayo
Poor chadema politics
Mapambano badooo
Wananchi kwa sasa tumechoka na maneno. Mkisimama majukwani mnajiongelea wenyewe. Sisi tunataka sera mbadala za kuinua maisha yetu.
Ndio wewe hausikii
@@mwambatv5202 mmeambiwa baada ya miaka miwili baada ya uchaguzi mkiwapa ridhaa mtakuwa kama Canada.
Wap
ruclips.net/video/FAJunBxUYpY/видео.html njoo tujifunze sasa
Ila sorry, hawa jamaa si ndio walivunjika miguu usiku wa manane na wake za watu wakiwa far john,hatujasahau bado tunawasubiri,mama hamumuwezi kwa sera hizi, mmechelewa
Hatua kwa hatua, Kwanza mwenda zake Kenda zake, kifuatacho mbeleko ambazo wabunge wa ccm walibebewa na dictator zinatepeta sasa
Masawe wa kaskazini jina lenyewe limeshatoa mwelekeo wa chama kipi upo,poleni mwendo ni ule ule tu
@@faridhassan6834 hakuna mtu yeyote anayempinga mama Wala kushindana na Mama, napenda uelewe kuwa aliyeturuhusu kufanya shghuli za kisiasa ni mama, na mama ametutuma tupige ccm Ila unyerere wake tusiuguse, napenda kukuakikishia kuwa uchaguzi ujawo viti vya bunge tutavivunjavunja kwa nyundo na mama kiti chake Cha unyerere tutamwachia, wale waliozoea kubebwa na dictator mwendazake nawapa pole
Hawa woote na wengine wali teseka kwa ajili ya mshamba fulani tuu
Kweli mshamba kweli Yule jamaaa alifikiri ataishi milele Kiko wapi..
Mume wekwa na Raisi kumutusi Magufuli tunajua
Mh Rais hawezi fanya ujinga huo
@@nsibwenekaswaga6267 siasa izo mzee inawezekana
Mungu atawalipia tuu hats mfslume Farao,Herode pia nap walikuwa na wafuasi wengi Sana,lakini mungu aliealaani
ruclips.net/video/FAJunBxUYpY/видео.html njoo tujifunze sasa