MBOWE AFICHUA SIRI ALIVYOTOROKA "NILIPITA NJIA ZA PANYA, SERIKALI IKIJUA NIPO NCHINI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 фев 2023

Комментарии • 78

  • @selemanisaidi438
    @selemanisaidi438 Год назад +7

    mimi bila kusikiliza chadema siwezi kuwa sawa

  • @user-hp7rf9ro6e
    @user-hp7rf9ro6e 5 месяцев назад

    Mimi bila kusikiliza chadema sijisikii vizuri ✌️✌️✌️💓🙏🙏🌹

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Год назад +3

    Mungu Jamani Muacheni Aitwe Mungu Wenda Jamaa Wako Siliazi Kujenga Taifa Lakini Sasa Mungu Ametunyima Kibali Cha Mtu Kujua Mawazo Ya Mtu Zaidi Ya Kuonana Inje2 Sasa Hata Akisema Kweli Bado Uhaminifu Tunauwekea Mashaka Siku Zote Nasema Kikinuka Awa Jamaa Wanakimbia Fasta Sisi Wapiga Makofi Tunaogeswa Malungu Mpaka Macho Yapinde

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Год назад

    This voice was National cherman Freeman mbowe under wajakoya fomer recing Kenya election in Kenya professor wajakoya with the chairman Freeman mbowe and God bless lema wajakoya they are on short speech lema from Canada now God bless lema is in Arusha the are on stand still nigesheting on new costuetion under ccm leadership continue be rengiforce to get new costuetion godblas lema has given ather province to rengiforce power to get new constuetion

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 Год назад +1

    POLENI SANA MAKAMANDA, KWA MATESO YOTE HAYA MLIYOPITIA

  • @emanuelkidali9733
    @emanuelkidali9733 Год назад +2

    Njaa inawasumbua mmepewa hela kumchafua JPM ila watanzania tunajua kila kitu,acheni kutuona kama sie wajinga, ww umekaa rumande utawala wa mama Leo unatuletea ujinga wako

  • @user-de1oo6ov6y
    @user-de1oo6ov6y Год назад

    Ebu ngoja kwanza kweni katiba mpya ni nini mbona wengine hatuelewi 😂😂😂😂😂

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 3 месяца назад

    Kengeza jinga flan unajitorosha unabana na pua

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 Год назад

    Aisee! Hii Nchi kwa kweli Mwenyezi Mungu Airehemu.

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Год назад

    Tusidharahu

  • @henrytimothy3048
    @henrytimothy3048 Год назад +4

    Afadhali yenu mnamapesa mnaweza kukimbia sisi mkikinukisha twende wapi

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 Год назад +2

    Kundi la wahuni

  • @user-de1oo6ov6y
    @user-de1oo6ov6y Год назад

    Muwe munafanunua basi ....kuna wengine tumeishia la saba mkituchanganya na makatiba sijui masiasa sijui madudu gani hatuelewisiwenyewe sheria hatuzijui tunaona tuu watu wanapoga kelele katiba mpya katiba mpya

  • @godfreifilemon5802
    @godfreifilemon5802 Год назад +2

    Shalom God is saying something

    • @kedsonkakili2760
      @kedsonkakili2760 Год назад

      Hap hakuna sera ya kufanyia nchi na wananchi ni kusema yaliofanywa magufuli

  • @Ndawoo
    @Ndawoo Год назад +1

    hamna jipya nyie labda chama kingine kije,hamuez tupeleka mahal popote

  • @tanzanitetv
    @tanzanitetv Год назад +1

    hivi hiki chama hakina sera ? hawaoni hali ilivyo kwa wananchi ,

    • @burudaninamatukio707
      @burudaninamatukio707 Год назад

      Kuwa na subira

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru 3 месяца назад

      Mbona kila siku wanaeleza sera leo wana ajenda ya kueleza waliyoyapitia hata kupigania Katiba mpya ni sera namba moja

  • @adrianomwashiuya1798
    @adrianomwashiuya1798 9 месяцев назад

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee Год назад +1

    Badala waongelee yajayo wanakomaa na marehemu na jinsi walivyo toroka....hakuna kitu hapa... Chadema ni wehu watupu... Ccm wezi... Tanzania is crying for help

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 6 месяцев назад +1

    wewe si mselaa kwani wewe makonda au sabaya au chalamila mazezeta wale wachumia tumbo wezi vibaka ma ccm

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Год назад +2

    Sikuona sababu za kukaa ukimbizini Kwa kweli ni woga Tuu wa kitoto

    • @elishakayagwa9371
      @elishakayagwa9371 Год назад

      Hakuna mtu aliyetaka kumuua ila alikuwa anaona aibu ya namna ya kuishi mtaani baada ya kukosa ubunge. Alickokuwa anakitengeneza ni namna ya kurudi na kukubalika tena kwa watu.

    • @faustinombilinyi9809
      @faustinombilinyi9809 Год назад

      Ungefanyiwa we km alivyofanyiwa tundulisu ingekuwa sawa .. mshamba mwendezake alifikiri ataishi milele

    • @saidimpako5186
      @saidimpako5186 Год назад

      Kila mtu anajua thamani ya uhai wake

  • @dicksonmatulile1523
    @dicksonmatulile1523 Год назад

    Mmh we si ulisema uliondoka nchini na hukutoroka

  • @amehassanrehanirehani6176
    @amehassanrehanirehani6176 Год назад +1

    Hawa wanasiasa si watu wa kuamini kabisa haw wanaoponda utawal na kuon kila kinachofanyika sicho wakipata madaraka wao ndo vile vile hakuna cha maan na siasa zao wanazungumzia vitisho na masula ya utekaji tu sera za kutatua matatizo na chanhamoto za wananchi ila mapema wanaonesha kwamba wao kam wao kwanza mengn pita huku😂😂😂😂 hapa ata wakipata uongozi hamna liwalo

  • @ibrahimsamson4193
    @ibrahimsamson4193 Год назад +1

    Nyie sio wanaume ni wavulana waoga

  • @innocentswai6239
    @innocentswai6239 Год назад +1

    Nimekuona youtube

  • @rahmajaffar794
    @rahmajaffar794 Год назад

    Watanzania bwana kwa siasa sijui ndio mmeshinda au ndio mmeshindwa??? Au ndio changa la macho sawa sie wengine tunaangalia ulimwengu unavoenda na dunia inavozunguka

  • @laessanare-vg7ii
    @laessanare-vg7ii Год назад

    Sema baba

  • @adammbaruku2499
    @adammbaruku2499 Год назад

    Hivi hii ndiyo siasa mbadala wa CCM, kazi ipo!!!!!!!!

  • @faridhassan6834
    @faridhassan6834 Год назад +1

    Hizi ndio sera za maji,elimu,ajira matibabu ovyo chadema ni laana,

  • @wahabmkazi7902
    @wahabmkazi7902 Год назад +1

    Nyinyi watu hamna jipya, ndio mnazidi kupotea. Maelezo hayo kwa sasa yanasaidia nn? Tuambieni nn mtaifanyia nchi hii. Hayo mambo ya ww ulikaa nje ya nchi yataijengaje nchi hii? Hayo yalipita, tuambieni mnataka au mtafanyia nn nchi hii. Mama yuko vizuri acha apige kazi, tofauti na mama nyinyi mtafanya nn ? Maneno ya historia yaliyopita leo hayana yatachosaidia

  • @modycadabra8721
    @modycadabra8721 Год назад +1

    Hawa jamaa awabadiliki yan kila cku wanaonewa yan mama samia umepita bila kupingwa na hawa wapinzani ni utupolo kila cku wanamsema Jpm

    • @faustinombilinyi9809
      @faustinombilinyi9809 Год назад

      Hujui uliongealo bila Hawa upinzani cjui mbwa Hawa ccm wangetufanya NN wakikaa kimya unategemea nn

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 Год назад +3

    Mwendazake kaenda zake acha tu Enjoy

  • @ibrahimsamson4193
    @ibrahimsamson4193 Год назад

    Walev lazima wapendane🤣🤣

  • @raphaelcharles4949
    @raphaelcharles4949 Год назад

    Ngoja nikamuulze kwanza Zito, maana alituambia mlipokea offer 🚴

    • @dicksonexavery726
      @dicksonexavery726 Год назад +1

      Zitto mbabaishaji sana jana Lissu aliulizwa hilo swali club house alifafanua vzr yaani jamaa ni muongo!

  • @johnmsambuzi9094
    @johnmsambuzi9094 Год назад

    Sela ya maji,elim,ajila ni ya chama tawala kilicho jaza baba zao,watoto wao na wajukuu

  • @BedroomTvKe
    @BedroomTvKe Год назад

    Tumekuona RUclips

  • @stephendaud1014
    @stephendaud1014 Год назад

    Hamumuogopi ata mungu?

  • @laessanare-vg7ii
    @laessanare-vg7ii Год назад

    Tumewachoka bwana

  • @yusuphmihambo7629
    @yusuphmihambo7629 Год назад

    Ndo nini sasa kwamba mnajua sana kusafiri

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 Год назад +3

    MUNGU MNAYEMTUMIKIA MSIMUACHE AMEWATETEA MNO.AMEWAJIBU KWA RADI YA MOTO.

  • @charlesmakanga7927
    @charlesmakanga7927 Год назад +2

    Kenyas are good people after all.I hope the phobia is duly cancelled!

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 Год назад

    Tusubiri yajayo

  • @Wastara001
    @Wastara001 Год назад

    Poor chadema politics

  • @neematenywa-rd8ho
    @neematenywa-rd8ho Год назад

    Mapambano badooo

  • @mwalimumstaafu8529
    @mwalimumstaafu8529 Год назад

    Wananchi kwa sasa tumechoka na maneno. Mkisimama majukwani mnajiongelea wenyewe. Sisi tunataka sera mbadala za kuinua maisha yetu.

    • @mwambatv5202
      @mwambatv5202 Год назад +1

      Ndio wewe hausikii

    • @mwalimumstaafu8529
      @mwalimumstaafu8529 Год назад

      @@mwambatv5202 mmeambiwa baada ya miaka miwili baada ya uchaguzi mkiwapa ridhaa mtakuwa kama Canada.

  • @epimackjoakimu4008
    @epimackjoakimu4008 Год назад

    Wap

  • @abedikapangasabiti5551
    @abedikapangasabiti5551 Год назад

    ruclips.net/video/FAJunBxUYpY/видео.html njoo tujifunze sasa

  • @faridhassan6834
    @faridhassan6834 Год назад

    Ila sorry, hawa jamaa si ndio walivunjika miguu usiku wa manane na wake za watu wakiwa far john,hatujasahau bado tunawasubiri,mama hamumuwezi kwa sera hizi, mmechelewa

    • @romanamassawe814
      @romanamassawe814 Год назад

      Hatua kwa hatua, Kwanza mwenda zake Kenda zake, kifuatacho mbeleko ambazo wabunge wa ccm walibebewa na dictator zinatepeta sasa

    • @faridhassan6834
      @faridhassan6834 Год назад

      Masawe wa kaskazini jina lenyewe limeshatoa mwelekeo wa chama kipi upo,poleni mwendo ni ule ule tu

    • @romanamassawe814
      @romanamassawe814 Год назад

      @@faridhassan6834 hakuna mtu yeyote anayempinga mama Wala kushindana na Mama, napenda uelewe kuwa aliyeturuhusu kufanya shghuli za kisiasa ni mama, na mama ametutuma tupige ccm Ila unyerere wake tusiuguse, napenda kukuakikishia kuwa uchaguzi ujawo viti vya bunge tutavivunjavunja kwa nyundo na mama kiti chake Cha unyerere tutamwachia, wale waliozoea kubebwa na dictator mwendazake nawapa pole

  • @frankmtei6318
    @frankmtei6318 Год назад +3

    Hawa woote na wengine wali teseka kwa ajili ya mshamba fulani tuu

    • @faustinombilinyi9809
      @faustinombilinyi9809 Год назад

      Kweli mshamba kweli Yule jamaaa alifikiri ataishi milele Kiko wapi..

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 Год назад +1

    Mume wekwa na Raisi kumutusi Magufuli tunajua

  • @johnmsambuzi9094
    @johnmsambuzi9094 Год назад

    Mungu atawalipia tuu hats mfslume Farao,Herode pia nap walikuwa na wafuasi wengi Sana,lakini mungu aliealaani

  • @abedikapangasabiti5551
    @abedikapangasabiti5551 Год назад

    ruclips.net/video/FAJunBxUYpY/видео.html njoo tujifunze sasa