MHE. MBOWE AKUTANA NA MHE. SENDIGA (MKUU WA MKOA IRINGA), WAZUNGUMZA HAYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • MHE. MBOWE AKUTANA NA MHE. SENDIGA (MKUU WA MKOA IRINGA), WAZUNGUMZA HAYA

Комментарии • 65

  • @mkoteaziz5238
    @mkoteaziz5238 2 года назад +3

    Hzi ndo Siasa tuzitakazo. Hongera sana Mhe Queen Sendiga, hongera sana Mhe Mbowe!👏👏👏👏

  • @bartholomewshirima712
    @bartholomewshirima712 2 года назад +1

    Yes mr Mbowe.A strong person forgives but a weak person revenges.

  • @scholarmawala1403
    @scholarmawala1403 2 года назад +7

    Naiona TANZANIA Mpya jamani. MUNGU Azidi kuibariki Nchi yetu jmn. Viongozi wetu hongereni sana. 🙏🙏🙏🎼Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote. Nchi yng Tz.,jina lako ni tamu sana. 🎧😁❤👍

    • @ndogoroedson9438
      @ndogoroedson9438 2 года назад

      Tanzania mpya ya wapi ninyi? Hakuna Tanzania mpya! Tz mpya ilikuwa ya JPM tu ambayo mpaka wazungu waliufyata mkia! Mungu yupo

    • @unclepwechnov1381
      @unclepwechnov1381 2 года назад +1

      @@ndogoroedson9438
      Ile ya kumuua Ben Saanane na kumjeruhi Tundu Lissu, huko uchafuni huturudi kwani Tanzania ni nchi ya Watanzania wote na kila mmoja ana haki ya kuishi kwa amani na furaha.
      Lile liuaji Mungu kaliweza, kaliswaga kabla halijaua wengi.

    • @mheche5681
      @mheche5681 2 года назад

      Hapo sawa katiba mpya,hayo mengine mbwembwe tu

    • @ramadhanmahongole5663
      @ramadhanmahongole5663 2 года назад

      @@ndogoroedson9438 wewe ndo utopolo kweli yani unamsifia kiongozi aliyeweka rekodi mbaya ya watu kupotea, kutekwa na kushambuliwa kwa risasi pamoja na kubinya uhuru wa watu wa kutoa mawazo na kubinya demokrasia kwenye utawala wake nchi watu wote walikuwa kimya kila siku vyombo vya habari vinamrusha yeye, magazeti kufungia?

  • @matekerekurwijira1576
    @matekerekurwijira1576 2 года назад +2

    Uko vizuri sana mkuu wa mkoa Mungu akulinde ktk ujenzi wa Taifa letu

  • @ayubuakyoo9500
    @ayubuakyoo9500 2 года назад +1

    RC hongera sana mama kwa hekima busara zilizo jaa kinywani mwako, be blessed mama

  • @benderarulenge2477
    @benderarulenge2477 2 года назад +3

    Hiyo nzuri sana mkuu wa mkoa,mungu akubariki

  • @godlovekamuntu973
    @godlovekamuntu973 2 года назад +3

    Mama ongera sana,Naona Tanzania ijayo... .! kitu furani vile,
    "Naomba wapinzani mnipinge, Ila kabla ya kunipinga njoo tuongee faragha tupange namna nzuri ya kunipinga."
    Kweli yajayo yanafurahisha.

  • @fortunatusphilimon8992
    @fortunatusphilimon8992 2 года назад

    Asanteeee mkuu wa mkoaa

  • @zubedasoud9204
    @zubedasoud9204 2 года назад

    Uko vizuri Mwamba ivo ndo inavotakiwa Mungu akubariki. Amani Mshikamano na Umoja ndo ngao zetu watanzania

  • @janekapinga6793
    @janekapinga6793 2 года назад +2

    HAKI huleta Amani ,na ili Rais wetu afanye kazi vizuri lazima nchi iwe na Amani

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 года назад

    Wanawake mnaweza

  • @saladaniel9274
    @saladaniel9274 2 года назад +2

    Safi kbs jamanii

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 2 года назад +5

    Upendo jamani uwe wakutoka moyoni.

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 2 года назад +2

    Mungu ameiponya Tanzania.Haki,haki ,haki ni tunda la Amani.

  • @seifsungura6936
    @seifsungura6936 2 года назад

    Safi sanaaaaaa mwanzo mzuri

  • @kapondamsita476
    @kapondamsita476 2 года назад +2

    Allah akilinde chamachetu chachadema inshallah

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 года назад

    Huo ndio uungwana wa kisiasa. Msijenge uhasama. Wote tujenge nchi moja. Msidarauliane.

  • @ramadhanmahongole5663
    @ramadhanmahongole5663 2 года назад

    safi sana mh mkuu wa mkoa wa Iringa ila mkuu wa polisi aliye amulu bendera za chadema zing'olewe hatufai kabisa anataka kuleta tabia zile za awamu ya 5 za ubaguzi wa vyama ambazo zilikuwa hazina tija kwa taifa...hii ni awamu ya 6 viongozi wa serikali mnatakiwa mlijue hilo serikali ya kuwaunganisha watanzania wote pamoja bila kujali vyama

  • @nimrodsigulu6249
    @nimrodsigulu6249 2 года назад +2

    Sasa utawala uliopita ukishindwa nini mambo km haya? Hii ndio nchi tunayotaka sasa

  • @calistustitus4566
    @calistustitus4566 2 года назад

    CCM ni wanafiki kama hakuna uchaguzi inaweza ona watu waziri lakini kipindi Cha uchaguzi ujigeuza mashetani

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 года назад

    Iringa ya Mkwawa mashujaa. Hongereni kwa amani hiyo.

  • @eliahiluka830
    @eliahiluka830 2 года назад +1

    Mitandao ni sehemu ya kupashana habari

  • @sultansallah4509
    @sultansallah4509 2 года назад +2

    Ukifka uchguz utawajua rang zao

  • @renathaapollo3124
    @renathaapollo3124 2 года назад +2

    Jambo jema

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 года назад

    Raslimali za nchi za wote. Huwezi Kuwa kwa mtu halafu ukaanza kumtukana ama kumkejeli.

  • @ndogoroedson9438
    @ndogoroedson9438 2 года назад +2

    Yaan hiyo kauri yenu ya kusema et muijenge Tanzania yenu yenye amani Kwan lini nchi yetu imekuwa haina amani! Matumbo yenu yasituingize Chaka tafadhar!

    • @christinamsigwa5942
      @christinamsigwa5942 2 года назад

      Neno amani lipo kwenye biblia na vitabu vingine vya mwenyezi Mungu, huwezi kulitafsiri kiurahisi ndugu.Hata wanaotoa tafsiri zao bado hawajalitafsiri ipasavyo, hivyo bado tunahitaji kuihubiri Amana na tafakari zake kila siku.

    • @unclepwechnov1381
      @unclepwechnov1381 2 года назад +1

      Wakakati Lissu anashambuliwa kwa risasi katika eneo lenye CCTV Cameras, security guards na polisi mchana kweupe kulikuwa na amani gani kipindi hicho.

  • @moisekasidika7564
    @moisekasidika7564 2 года назад

    Safisanaeti

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 2 года назад

    Kila Kiongozi wa kisiasa ipo haja apite cello japo miezi 3 ili apate nidham japo robo ya hii aliyonayo Mhe. Mbowe hivi sasa, tungefanya siasa kwa namna kama hii ambayo tuliitamani siku nyingi sana CCM ingeliondoka madarakani siku nyingi zilizopita. Siasa mbovu za upinzani ndio UHAI wa CCM. Hongereni viongozi sasa nitarudi kwenye siasa.

  • @charlesmazigo8106
    @charlesmazigo8106 2 года назад

    Hizo ndo siasa tuzitakazo,Mambo ya kukimbizana na mabomu na kuvunjiana miguu ni Mambo ya kizamani,mama ni kiongozi mwenye hekima

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 2 года назад

    Mbowe kabadirika sana sana Kawa mtu mwenye hekima sana sana.kweli jela chuo Cha mafunzo wacha we

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 года назад

      Sudy mgeni sana na matusi yatapungua wapambe wake wa chadema na hao wanaofugwa na mashoga huko ulaya walizidi sana matusi kwa mama samia na watendaji wake wa serikali ndiyo waliosababishia kudodea jela

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 года назад

      Awashukuru sana viongozi wa dini kumuonbea msamaha wakianza tena matusi ikitoka ndiyo jumla mpaka 2025

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 2 года назад

    Sijui ni kweli au ni macho yangu au ni vipp,

  • @rockcitynative9985
    @rockcitynative9985 2 года назад +2

    Huyu mkuu wa mkoa ni mjuzi mno kupangilia maneno ya kusema.

  • @kennycathles
    @kennycathles 2 года назад

    Mkuu wa Mkoa unaongelea Kuhusu Amani? Bila Haki hiyo Amani iweje? Pasipokuwa na Haki hakuna Amani.

  • @samwelhiinyamhangahiileosi1060
    @samwelhiinyamhangahiileosi1060 2 года назад

    We ni muongo mdanganye Samia Kama vile hakujui sisi amani tunayo Wala huwezi kuleta amani mbowe mbowe

  • @solomonnanguni2688
    @solomonnanguni2688 2 года назад

    Pamoka na amani inayohitajoka, nimani anaanza kuivunja hiyo amani? Nimani kaamuru mji wote Iringa kutoa bendera za upande wa pili, yaani Chadema? Kama ww mkuu wa.mkoa ndiwe umeamuru jambo hili, jitakafari na uone usivyofit kwa wadhifa uliopewa. Kama ni RPC kamanda wa mkoa au wilaya, report kwa wakuu wake ahame au afukuzwe hafai.

  • @64aaa
    @64aaa 2 года назад +1

    👏👏👏✌♥️🇹🇿

  • @respiciusjoseph2293
    @respiciusjoseph2293 2 года назад

    Kwan amani ipi iliondoka.

  • @sethkivuyo3342
    @sethkivuyo3342 2 года назад

    Safari ya haki imeanza wanachadema tuondoe maumivu yetu turudishe mausiano na wakuu wetu waserikali

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 года назад

    Msiga hoi kwa kukosa ubunge kazi kuwafukuza wenyeviti wa chama chake

  • @protamwenyegzaketv7408
    @protamwenyegzaketv7408 2 года назад

    Usije kuunga juhudi MKONO

  • @ezekielkiduge8730
    @ezekielkiduge8730 2 года назад

    Hapo angekuwa Ally Happy sijui angesema nini Ee MuNGU utusaid8e

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 2 года назад

    Tanzania mpya

  • @omarymkungwa7657
    @omarymkungwa7657 2 года назад +1

    Tulia ww upewe kitengo na mama uwache tantarila

    • @ezekielmabwai4614
      @ezekielmabwai4614 2 года назад +1

      Wewe omary unaumwa ugonjwa gani? UKOMA??

    • @omarymkungwa7657
      @omarymkungwa7657 2 года назад

      @@ezekielmabwai4614 Mimi sio ZUZU Kama ww

    • @abelianraphili5150
      @abelianraphili5150 2 года назад +1

      Mbowe sio mtu wa njaa

    • @omarymkungwa7657
      @omarymkungwa7657 2 года назад

      @@abelianraphili5150 juzi tu kachangiwa ww mwenyewe kasema Hana pesa sasa wewe ni nani unapinga kauli yake

  • @charlesphilipo6443
    @charlesphilipo6443 2 года назад

    Mkuu wa mkoa ,,,,kuna wapinzani wana vichwa vya kuku hawaoni,hawsikii,ni wajuaji mno hapo ndiyo wanao mwangusha mwenyekiti wao ,,,wanjifanya Ma al qiada lakini ni waoga hamna duniani,,,au umesikia kuna MTU kajitolea kwenda Ukraine,,,, thubutu,,wao kutaka kuwahatibia boda boda na machinga basi

  • @ENEAHTV
    @ENEAHTV 2 года назад

    Tazama Umri na Miaka ya kuzaliwa ya Mastaa mbalimbali wa bongo
    👇👇👇
    m.ruclips.net/video/5IaWx-DJrTc/видео.html