Naiona TANZANIA Mpya jamani. MUNGU Azidi kuibariki Nchi yetu jmn. Viongozi wetu hongereni sana. 🙏🙏🙏🎼Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote. Nchi yng Tz.,jina lako ni tamu sana. 🎧😁❤👍
@@ndogoroedson9438 Ile ya kumuua Ben Saanane na kumjeruhi Tundu Lissu, huko uchafuni huturudi kwani Tanzania ni nchi ya Watanzania wote na kila mmoja ana haki ya kuishi kwa amani na furaha. Lile liuaji Mungu kaliweza, kaliswaga kabla halijaua wengi.
@@ndogoroedson9438 wewe ndo utopolo kweli yani unamsifia kiongozi aliyeweka rekodi mbaya ya watu kupotea, kutekwa na kushambuliwa kwa risasi pamoja na kubinya uhuru wa watu wa kutoa mawazo na kubinya demokrasia kwenye utawala wake nchi watu wote walikuwa kimya kila siku vyombo vya habari vinamrusha yeye, magazeti kufungia?
Mama ongera sana,Naona Tanzania ijayo... .! kitu furani vile, "Naomba wapinzani mnipinge, Ila kabla ya kunipinga njoo tuongee faragha tupange namna nzuri ya kunipinga." Kweli yajayo yanafurahisha.
safi sana mh mkuu wa mkoa wa Iringa ila mkuu wa polisi aliye amulu bendera za chadema zing'olewe hatufai kabisa anataka kuleta tabia zile za awamu ya 5 za ubaguzi wa vyama ambazo zilikuwa hazina tija kwa taifa...hii ni awamu ya 6 viongozi wa serikali mnatakiwa mlijue hilo serikali ya kuwaunganisha watanzania wote pamoja bila kujali vyama
Yaan hiyo kauri yenu ya kusema et muijenge Tanzania yenu yenye amani Kwan lini nchi yetu imekuwa haina amani! Matumbo yenu yasituingize Chaka tafadhar!
Neno amani lipo kwenye biblia na vitabu vingine vya mwenyezi Mungu, huwezi kulitafsiri kiurahisi ndugu.Hata wanaotoa tafsiri zao bado hawajalitafsiri ipasavyo, hivyo bado tunahitaji kuihubiri Amana na tafakari zake kila siku.
Kila Kiongozi wa kisiasa ipo haja apite cello japo miezi 3 ili apate nidham japo robo ya hii aliyonayo Mhe. Mbowe hivi sasa, tungefanya siasa kwa namna kama hii ambayo tuliitamani siku nyingi sana CCM ingeliondoka madarakani siku nyingi zilizopita. Siasa mbovu za upinzani ndio UHAI wa CCM. Hongereni viongozi sasa nitarudi kwenye siasa.
Sudy mgeni sana na matusi yatapungua wapambe wake wa chadema na hao wanaofugwa na mashoga huko ulaya walizidi sana matusi kwa mama samia na watendaji wake wa serikali ndiyo waliosababishia kudodea jela
Pamoka na amani inayohitajoka, nimani anaanza kuivunja hiyo amani? Nimani kaamuru mji wote Iringa kutoa bendera za upande wa pili, yaani Chadema? Kama ww mkuu wa.mkoa ndiwe umeamuru jambo hili, jitakafari na uone usivyofit kwa wadhifa uliopewa. Kama ni RPC kamanda wa mkoa au wilaya, report kwa wakuu wake ahame au afukuzwe hafai.
Mkuu wa mkoa ,,,,kuna wapinzani wana vichwa vya kuku hawaoni,hawsikii,ni wajuaji mno hapo ndiyo wanao mwangusha mwenyekiti wao ,,,wanjifanya Ma al qiada lakini ni waoga hamna duniani,,,au umesikia kuna MTU kajitolea kwenda Ukraine,,,, thubutu,,wao kutaka kuwahatibia boda boda na machinga basi
Hzi ndo Siasa tuzitakazo. Hongera sana Mhe Queen Sendiga, hongera sana Mhe Mbowe!👏👏👏👏
Yes mr Mbowe.A strong person forgives but a weak person revenges.
Naiona TANZANIA Mpya jamani. MUNGU Azidi kuibariki Nchi yetu jmn. Viongozi wetu hongereni sana. 🙏🙏🙏🎼Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote. Nchi yng Tz.,jina lako ni tamu sana. 🎧😁❤👍
Tanzania mpya ya wapi ninyi? Hakuna Tanzania mpya! Tz mpya ilikuwa ya JPM tu ambayo mpaka wazungu waliufyata mkia! Mungu yupo
@@ndogoroedson9438
Ile ya kumuua Ben Saanane na kumjeruhi Tundu Lissu, huko uchafuni huturudi kwani Tanzania ni nchi ya Watanzania wote na kila mmoja ana haki ya kuishi kwa amani na furaha.
Lile liuaji Mungu kaliweza, kaliswaga kabla halijaua wengi.
Hapo sawa katiba mpya,hayo mengine mbwembwe tu
@@ndogoroedson9438 wewe ndo utopolo kweli yani unamsifia kiongozi aliyeweka rekodi mbaya ya watu kupotea, kutekwa na kushambuliwa kwa risasi pamoja na kubinya uhuru wa watu wa kutoa mawazo na kubinya demokrasia kwenye utawala wake nchi watu wote walikuwa kimya kila siku vyombo vya habari vinamrusha yeye, magazeti kufungia?
Uko vizuri sana mkuu wa mkoa Mungu akulinde ktk ujenzi wa Taifa letu
RC hongera sana mama kwa hekima busara zilizo jaa kinywani mwako, be blessed mama
Hiyo nzuri sana mkuu wa mkoa,mungu akubariki
SASA ikiwa Raisi kaongea nae ,mkuu wa mkoa ni nani
Mnalijua Hilo kumbe
Mama ongera sana,Naona Tanzania ijayo... .! kitu furani vile,
"Naomba wapinzani mnipinge, Ila kabla ya kunipinga njoo tuongee faragha tupange namna nzuri ya kunipinga."
Kweli yajayo yanafurahisha.
Asanteeee mkuu wa mkoaa
Uko vizuri Mwamba ivo ndo inavotakiwa Mungu akubariki. Amani Mshikamano na Umoja ndo ngao zetu watanzania
HAKI huleta Amani ,na ili Rais wetu afanye kazi vizuri lazima nchi iwe na Amani
Wanawake mnaweza
Safi kbs jamanii
Upendo jamani uwe wakutoka moyoni.
Mungu ameiponya Tanzania.Haki,haki ,haki ni tunda la Amani.
Kweli jmn tumshukuru Mungu
Safi sanaaaaaa mwanzo mzuri
Allah akilinde chamachetu chachadema inshallah
Huo ndio uungwana wa kisiasa. Msijenge uhasama. Wote tujenge nchi moja. Msidarauliane.
safi sana mh mkuu wa mkoa wa Iringa ila mkuu wa polisi aliye amulu bendera za chadema zing'olewe hatufai kabisa anataka kuleta tabia zile za awamu ya 5 za ubaguzi wa vyama ambazo zilikuwa hazina tija kwa taifa...hii ni awamu ya 6 viongozi wa serikali mnatakiwa mlijue hilo serikali ya kuwaunganisha watanzania wote pamoja bila kujali vyama
Sasa utawala uliopita ukishindwa nini mambo km haya? Hii ndio nchi tunayotaka sasa
CCM ni wanafiki kama hakuna uchaguzi inaweza ona watu waziri lakini kipindi Cha uchaguzi ujigeuza mashetani
Iringa ya Mkwawa mashujaa. Hongereni kwa amani hiyo.
Mitandao ni sehemu ya kupashana habari
Ukifka uchguz utawajua rang zao
Jambo jema
Raslimali za nchi za wote. Huwezi Kuwa kwa mtu halafu ukaanza kumtukana ama kumkejeli.
Yaan hiyo kauri yenu ya kusema et muijenge Tanzania yenu yenye amani Kwan lini nchi yetu imekuwa haina amani! Matumbo yenu yasituingize Chaka tafadhar!
Neno amani lipo kwenye biblia na vitabu vingine vya mwenyezi Mungu, huwezi kulitafsiri kiurahisi ndugu.Hata wanaotoa tafsiri zao bado hawajalitafsiri ipasavyo, hivyo bado tunahitaji kuihubiri Amana na tafakari zake kila siku.
Wakakati Lissu anashambuliwa kwa risasi katika eneo lenye CCTV Cameras, security guards na polisi mchana kweupe kulikuwa na amani gani kipindi hicho.
Safisanaeti
Kila Kiongozi wa kisiasa ipo haja apite cello japo miezi 3 ili apate nidham japo robo ya hii aliyonayo Mhe. Mbowe hivi sasa, tungefanya siasa kwa namna kama hii ambayo tuliitamani siku nyingi sana CCM ingeliondoka madarakani siku nyingi zilizopita. Siasa mbovu za upinzani ndio UHAI wa CCM. Hongereni viongozi sasa nitarudi kwenye siasa.
Hizo ndo siasa tuzitakazo,Mambo ya kukimbizana na mabomu na kuvunjiana miguu ni Mambo ya kizamani,mama ni kiongozi mwenye hekima
Mbowe kabadirika sana sana Kawa mtu mwenye hekima sana sana.kweli jela chuo Cha mafunzo wacha we
Sudy mgeni sana na matusi yatapungua wapambe wake wa chadema na hao wanaofugwa na mashoga huko ulaya walizidi sana matusi kwa mama samia na watendaji wake wa serikali ndiyo waliosababishia kudodea jela
Awashukuru sana viongozi wa dini kumuonbea msamaha wakianza tena matusi ikitoka ndiyo jumla mpaka 2025
Sijui ni kweli au ni macho yangu au ni vipp,
Huyu mkuu wa mkoa ni mjuzi mno kupangilia maneno ya kusema.
Mkuu wa Mkoa unaongelea Kuhusu Amani? Bila Haki hiyo Amani iweje? Pasipokuwa na Haki hakuna Amani.
We ni muongo mdanganye Samia Kama vile hakujui sisi amani tunayo Wala huwezi kuleta amani mbowe mbowe
Pamoka na amani inayohitajoka, nimani anaanza kuivunja hiyo amani? Nimani kaamuru mji wote Iringa kutoa bendera za upande wa pili, yaani Chadema? Kama ww mkuu wa.mkoa ndiwe umeamuru jambo hili, jitakafari na uone usivyofit kwa wadhifa uliopewa. Kama ni RPC kamanda wa mkoa au wilaya, report kwa wakuu wake ahame au afukuzwe hafai.
👏👏👏✌♥️🇹🇿
Kwan amani ipi iliondoka.
Safari ya haki imeanza wanachadema tuondoe maumivu yetu turudishe mausiano na wakuu wetu waserikali
Msiga hoi kwa kukosa ubunge kazi kuwafukuza wenyeviti wa chama chake
Usije kuunga juhudi MKONO
Huyo sio zito wewe
Hapo angekuwa Ally Happy sijui angesema nini Ee MuNGU utusaid8e
Tanzania mpya
Tulia ww upewe kitengo na mama uwache tantarila
Wewe omary unaumwa ugonjwa gani? UKOMA??
@@ezekielmabwai4614 Mimi sio ZUZU Kama ww
Mbowe sio mtu wa njaa
@@abelianraphili5150 juzi tu kachangiwa ww mwenyewe kasema Hana pesa sasa wewe ni nani unapinga kauli yake
Mkuu wa mkoa ,,,,kuna wapinzani wana vichwa vya kuku hawaoni,hawsikii,ni wajuaji mno hapo ndiyo wanao mwangusha mwenyekiti wao ,,,wanjifanya Ma al qiada lakini ni waoga hamna duniani,,,au umesikia kuna MTU kajitolea kwenda Ukraine,,,, thubutu,,wao kutaka kuwahatibia boda boda na machinga basi
Tazama Umri na Miaka ya kuzaliwa ya Mastaa mbalimbali wa bongo
👇👇👇
m.ruclips.net/video/5IaWx-DJrTc/видео.html
ili
Star yeye na mkewe.Tutazame tupate ugali? Fala kabisa wewe.