Familia ya Mhubiri GeorDavie yaonesha magari yatakayoshiriki Land Rover Festival Arusha

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Wakati Mkoa wa Arusha ukiwa kwenye maandalizi ya ujio wa tukio la maonesho ya magari aina ya Land Rover, ambalo limeandaliwa na Mkuu wa Mkoa huo, Paul Makonda, familia ya Mhubiri mashuhuri, Dkt.GeorDavie, imejitokeza kwa kuonesha aina mbalimbali za magari yatakayoshiriki katika tamasha hilo.
    #AzamTVUpdates
    Mhariri | John Mbalamwezi

Комментарии • 79

  • @angela-kd2iz
    @angela-kd2iz День назад +5

    Mh Nabii mkuu Dr GeorDavie ni sahihi kabisa yeye kuwepo hapo alipo ni sawa kabisa mapito yake yamemstahili mungu azidi kumtunza Aishi miaka mingi

  • @danielmdachi-z9y
    @danielmdachi-z9y День назад +3

    Aaaa ni utukufu saa kwa Mtu mkuu wa Mungu kuonyesha nguvu za Mungu kwa Vitendo,
    kupitia Magari yake.

  • @CharlesAntony-h2h
    @CharlesAntony-h2h День назад

    Bigup pastor.. keep moving 💪

  • @meshackisaitoti
    @meshackisaitoti 37 минут назад

    amina

  • @nelsonmrutu371
    @nelsonmrutu371 9 часов назад

    NABII MKUU DK GEORDAVIE 🙌

  • @davidrulobhavako8551
    @davidrulobhavako8551 День назад +1

    Mchungaji ana range zote hizi

  • @frankmaligo5749
    @frankmaligo5749 День назад +2

    Kimekalia kubandika kope kinashindwa kutunza maandiko machache tu kichwani

  • @designdesign4426
    @designdesign4426 16 часов назад +2

    Uyo dada nimempenda izo nywele kope kigauni nani ananambayake jamani

  • @georgeanyosisye2182
    @georgeanyosisye2182 15 часов назад +1

    namba za mtoto wa mtumishi nasi tune kama tunaweza

  • @amNANGUJI24
    @amNANGUJI24 6 часов назад

    Sasa waalikeni kampuni ya Land Rover kwani wanafanyiwa promotion free

  • @chacha-255
    @chacha-255 10 часов назад +1

    Sadaka na zakaz hazina risiti 😁😁😁

  • @maxwellayoo7138
    @maxwellayoo7138 5 часов назад

    Wafuasi ndio washenzi wanaoishi Mabatini😢😢

  • @justinollomy5861
    @justinollomy5861 День назад +1

    kessi yako inakujaa kibaka Wew Muuhuni utalindwa na samiha lakini mungu atakuacha salama

    • @SamwelMollel-br9md
      @SamwelMollel-br9md 17 часов назад +1

      Ww malaya wakiume pungusa makasiriko yaumasikini fala ww ukatafute sako,

    • @SamwelMollel-br9md
      @SamwelMollel-br9md 4 часа назад

      Ujafirwa mda,siyo ungetuliya

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 17 часов назад +3

    Sadaka.watoa sadaka wako hoi bin taabani.

    • @SamwelMollel-br9md
      @SamwelMollel-br9md 17 часов назад +1

      Pungusa makasiriko yaumasikini ww malaya,

    • @vinny.morales
      @vinny.morales 11 часов назад

      Wengine mpaka wauze majini ndio wapate hela😂

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 10 часов назад

      Nafuu huyu kaonyesha sadaka yake nyee kazi yenu kufathili magaidi

  • @Michealfarah-n1w
    @Michealfarah-n1w 15 часов назад +2

    Kwaivo gari itukuzwe wacheni kuzuzuwa watu akili!.

    • @SamwelMollel-br9md
      @SamwelMollel-br9md 4 часа назад

      Pungusa makasiriko yaumasikini ukatafute pesa fala ww,

    • @Michealfarah-n1w
      @Michealfarah-n1w 4 часа назад

      We ni msenge hujijui mtazidi kutapeluwa na hio miujiza mnayo taka

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk 17 часов назад

    Sativa yupo wapi.. Land Rover ni uingereza sio tz acheni ujinga watu wazima nyie

  • @HappyatHome-bn8wm
    @HappyatHome-bn8wm 11 часов назад

    mmeona limnyama hilo hapo... agent huyo

  • @erickenock3198
    @erickenock3198 День назад

    Jamani tutafute pesa hii atar!!

    • @ibrahimngulungu
      @ibrahimngulungu День назад

      Na na Mungu pia tumtafute ukiwa na vyote viwili piga kifua chako sema mm ni mwamba😂😂😂

  • @zawadimbwambo1091
    @zawadimbwambo1091 3 часа назад

    Huyo yesu ni ndugu yenu? Maana anawaokoa nyinyi tu. Wengine ni kulalama shida kila kukicha.

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 День назад

    Sadaka??

  • @Ax-xpress
    @Ax-xpress 6 часов назад

    Injili inalipa Bro....wachana na mambo ya quran..!

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 День назад +1

    Mtoto wa pasta mwenyew ,,inaonekana anasumbukia dunia kinoma,,ni wale wale tu

    • @SamwelMollel-br9md
      @SamwelMollel-br9md 17 часов назад +1

      Unataka akusumbukiye ww,pungusa makasiriko yaumasikini uliyonayo

    • @jeremiahcharles6027
      @jeremiahcharles6027 15 часов назад

      @@SamwelMollel-br9md 😁😁😁😁 vipi mzae mbona unajam

    • @JumaGendeye-sv6yl
      @JumaGendeye-sv6yl 15 часов назад

      Minachekag tu

    • @GrantMwakalambile
      @GrantMwakalambile 4 часа назад

      Unahangaika ulitaka asumbikie Nini sasa yupo dunian ndipo anaish

    • @jeremiahcharles6027
      @jeremiahcharles6027 4 часа назад

      @@GrantMwakalambile sasa asiwe kwenye kivuli Cha baba MCHUNGAJI,,,alafu haendani

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 День назад +2

    Mchungaji piga fungu la 10 wakamuwe mpaka waelwe

    • @SamwelMollel-br9md
      @SamwelMollel-br9md День назад +3

      Ww tulisa makasiriko yaumasikini huko fungu lipi linawesa kununuwa hiso magari,fala ww

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 День назад

      @@SamwelMollel-br9md towa sadaka wewe umtajirishe mchungaji apate kuwanyoosha vizuri

    • @Magehem
      @Magehem День назад

      😂😂😂😂😂😂endelea kukasirika ila ushauri wan̈gu tafuta hèla, pesa humfuata mwenye pesa na umasikini humfuata masikini, hata ukitoa sadaka zako kama roho ya umasikini ipo ndani mchungaji wako hutoona akifanikiwa😂😂😂

    • @SamwelMollel-br9md
      @SamwelMollel-br9md 17 часов назад

      Siku ukijipata utakuwa naakili kinasho kusumbuwa niumasikini,​@@alzawahirabdallah2299

    • @vinny.morales
      @vinny.morales 11 часов назад

      Sheikh mpaka auze majini ndio apate hela😂.. sisi tunawawezesha viongozi wetu wa kiroho kwa nguvu zetu wenyewe. Sio majini

  • @ChoroTesla
    @ChoroTesla День назад

    Guiness record come on Mjuaji unafikir kitu rahis rahis eeeh

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 21 час назад

    hawasemi hata monyesho ni tarehe ipi..sasa mtangazaji siunongeza hiyo tarehe mbona useme tuu ni 2024 and you are not telling us the exact date? aii

    • @twotimes503
      @twotimes503 17 часов назад

      Tarehe 12 Hadi 14 mwez wa kumi,
      mahali ni viwanja vya magereza Kisongo

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 13 часов назад

      @@twotimes503 wee mzuri sana. mtu wa maana kweli kabisa. Mungu akukumbuke na kukubafriki asanre sana

    • @twotimes503
      @twotimes503 13 часов назад

      @@jedidahbintidaudi8241 shukran 🙏

    • @PetersonJoel-v1f
      @PetersonJoel-v1f 11 часов назад

      11

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 9 часов назад

      @@PetersonJoel-v1f Oh it 11 huh?

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 15 часов назад

    Hapo n wapi ,ni Kwa joe Biden au ?

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 17 часов назад

    Haha😂

  • @vinny.morales
    @vinny.morales 11 часов назад +2

    Sasa kutana na masheikh kudaadeki, wamechokaa, wamechakaa kazi kufuga majini tu😂