Familia ya Mhubiri GeorDavie yaonesha magari yatakayoshiriki Land Rover Festival Arusha
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Wakati Mkoa wa Arusha ukiwa kwenye maandalizi ya ujio wa tukio la maonesho ya magari aina ya Land Rover, ambalo limeandaliwa na Mkuu wa Mkoa huo, Paul Makonda, familia ya Mhubiri mashuhuri, Dkt.GeorDavie, imejitokeza kwa kuonesha aina mbalimbali za magari yatakayoshiriki katika tamasha hilo.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
Mh Nabii mkuu Dr GeorDavie ni sahihi kabisa yeye kuwepo hapo alipo ni sawa kabisa mapito yake yamemstahili mungu azidi kumtunza Aishi miaka mingi
Sadak@ ni tamu kaka
Kak umefika mbari@@jeremiahcharles6027
Aaaa ni utukufu saa kwa Mtu mkuu wa Mungu kuonyesha nguvu za Mungu kwa Vitendo,
kupitia Magari yake.
Bigup pastor.. keep moving 💪
amina
NABII MKUU DK GEORDAVIE 🙌
Mchungaji ana range zote hizi
Kimekalia kubandika kope kinashindwa kutunza maandiko machache tu kichwani
😅😅😅
Uyo dada nimempenda izo nywele kope kigauni nani ananambayake jamani
Unahitaji?
Billnass
namba za mtoto wa mtumishi nasi tune kama tunaweza
Mke wa m2 😂
Sasa waalikeni kampuni ya Land Rover kwani wanafanyiwa promotion free
Sadaka na zakaz hazina risiti 😁😁😁
Pungusa makasiriko yakimalaya
Wafuasi ndio washenzi wanaoishi Mabatini😢😢
Acha wivu hayakuhusu
kessi yako inakujaa kibaka Wew Muuhuni utalindwa na samiha lakini mungu atakuacha salama
Ww malaya wakiume pungusa makasiriko yaumasikini fala ww ukatafute sako,
Ujafirwa mda,siyo ungetuliya
Sadaka.watoa sadaka wako hoi bin taabani.
Pungusa makasiriko yaumasikini ww malaya,
Wengine mpaka wauze majini ndio wapate hela😂
Nafuu huyu kaonyesha sadaka yake nyee kazi yenu kufathili magaidi
Kwaivo gari itukuzwe wacheni kuzuzuwa watu akili!.
Pungusa makasiriko yaumasikini ukatafute pesa fala ww,
We ni msenge hujijui mtazidi kutapeluwa na hio miujiza mnayo taka
Sativa yupo wapi.. Land Rover ni uingereza sio tz acheni ujinga watu wazima nyie
mmeona limnyama hilo hapo... agent huyo
Jamani tutafute pesa hii atar!!
Na na Mungu pia tumtafute ukiwa na vyote viwili piga kifua chako sema mm ni mwamba😂😂😂
Huyo yesu ni ndugu yenu? Maana anawaokoa nyinyi tu. Wengine ni kulalama shida kila kukicha.
Sadaka??
Kama nisadaka mbona mshugajiwako hana,
@SamwelMollel-br9md 😂😂😂😂
Injili inalipa Bro....wachana na mambo ya quran..!
Mtoto wa pasta mwenyew ,,inaonekana anasumbukia dunia kinoma,,ni wale wale tu
Unataka akusumbukiye ww,pungusa makasiriko yaumasikini uliyonayo
@@SamwelMollel-br9md 😁😁😁😁 vipi mzae mbona unajam
Minachekag tu
Unahangaika ulitaka asumbikie Nini sasa yupo dunian ndipo anaish
@@GrantMwakalambile sasa asiwe kwenye kivuli Cha baba MCHUNGAJI,,,alafu haendani
Mchungaji piga fungu la 10 wakamuwe mpaka waelwe
Ww tulisa makasiriko yaumasikini huko fungu lipi linawesa kununuwa hiso magari,fala ww
@@SamwelMollel-br9md towa sadaka wewe umtajirishe mchungaji apate kuwanyoosha vizuri
😂😂😂😂😂😂endelea kukasirika ila ushauri wan̈gu tafuta hèla, pesa humfuata mwenye pesa na umasikini humfuata masikini, hata ukitoa sadaka zako kama roho ya umasikini ipo ndani mchungaji wako hutoona akifanikiwa😂😂😂
Siku ukijipata utakuwa naakili kinasho kusumbuwa niumasikini,@@alzawahirabdallah2299
Sheikh mpaka auze majini ndio apate hela😂.. sisi tunawawezesha viongozi wetu wa kiroho kwa nguvu zetu wenyewe. Sio majini
Guiness record come on Mjuaji unafikir kitu rahis rahis eeeh
hawasemi hata monyesho ni tarehe ipi..sasa mtangazaji siunongeza hiyo tarehe mbona useme tuu ni 2024 and you are not telling us the exact date? aii
Tarehe 12 Hadi 14 mwez wa kumi,
mahali ni viwanja vya magereza Kisongo
@@twotimes503 wee mzuri sana. mtu wa maana kweli kabisa. Mungu akukumbuke na kukubafriki asanre sana
@@jedidahbintidaudi8241 shukran 🙏
11
@@PetersonJoel-v1f Oh it 11 huh?
Hapo n wapi ,ni Kwa joe Biden au ?
😂😂😂 Ndio Joe Biden wa Arusha
Haha😂
Sasa kutana na masheikh kudaadeki, wamechokaa, wamechakaa kazi kufuga majini tu😂
Hahaha MUNGU anakuona ngoja waje wakuogeshe matusi
😂😂😂😅😅Hii dunia
😂😂😂
😅😅😅😅wewe wewe kaa tu hivyo
wamekukosea nini hao masheikh?