Alichoandika DIAMOND, ZUCHU,MAJIZZO, baada ya KIFO cha DIDA SHAIBU
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RUclips channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
Subhanallah😭😭😭Inna lillahi wa inna ilahi rajiun 😭💔so sad😭💔 Mwenyenzi Mungu akurehemu Dida🤲 pole familia ya Wasafi Media from 🇨🇦
Innalillah wainna illayh raji'uun
Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake Yeye sote tutarejea
Kumbe anaitwa khadija jaman ndio nimejua Leo mungu alipe kwa alichokipanda
Innalillah wa Innalillah rajiun hakika sote ni wa mwenyezi Mungu na kwake tutarejea 😭Mungu ampe safari nyepesi. 😭😭
Inna lillahi wainna lillahi . rajihunnu
Mwenzio huyo ameondoka na ww Zuchu tembea uchi tu kazi kwako tuna,biwa mtu akifa zidi muislam hatakiwi kutembea uchi na nyie mulikuemo huko na mawigi makubwa na makucha shauri zenu achetu turudi kwa Allah jamani
Tatizo hatuskii binadamu, haswa mastaa wanawake...hafikiria sijui wana mkataba na Mungu wa kuishi au vipi,mwenzao akiaga kama ivi hawajifunzi kabsaa!😢
You are judging too much. What has Zuchu done to you people. You are not perfect .No one is perfect. Zuchu left before this girl died. May her soul find rest in the bosom of the Lord. Fix your own life before you criticise others😢.
Naww ulie type hii comment unajua utakufaje..? Usimseme wala kumuhukum mtu.. amna anaejua mwsho wake… wew unaejiona uko saw.. tuombee tu dua sie tuliopinda.. sio kusemana kw ubaya🙏👊
Kwaio ukivaa gauni ndo ufiii
Stop judging ,,,mwenye kutoa hukumu ni mungu pekee. Ww hujui utakufaje na wala hujui dida alikufaje siku yake ya mwisho.
Inalilah waina ililah mungu akupe safari nyepesi dada jaman cna la kusema dash mungu ukuweke Panapo kustaili
Mungu ailaze lohoyake.mahara pema.pepon ameeen
Innalillah wainnailaih rajiun
INNA LILLAHI WA INNA ILAIHI RAJJIUN
Polen sana wasaffm pole sammira mwenyez mungu akutie nguv😢😢😢😢
Sema ina lillah waina ileyhe rajiuon انا لله وإنا إليه راجعون
Mwenyez mungu amlaze mahali pema peponi
Poleni sana wasafi fm kwa msiba huu mzito😅
Innalillaah wainna ilayhi raj,un.
Inna lillah wainna lillah rajuun
😢bado siamini jmn af mtangazaji didiya ndo nini ebu kuwa makini
Pole sana
Innalilah wainnailaih rajiun pumzika Kwa amani dida 😭😭💔
Innalillah wainaillah rajiun
Duh mungu atuongoze mahala pema
Dida umemuacha Shetani duniani akiwa anakupenda sn😢
Mhm
Daaah moyo unauma jaman R.I.P
Kweli mtu ukifa ndo uzur wako unaonekana wiki moja nyuma ty mlikua mnakandia yy na esma platnamz ila all in all pumzika kwa Aman kipnz chetu dida gape lako tutaliona wasafi hakuna replacement yako Dada yet 😭😭😭
rip dida
Amen 💔💔😭😭🙏🙏
Mwenyezimungu amlaze maala pema 😢💔
Jamn camin mm kila ck nasikilz wasaf wik hii cjakusikia dida kumbe ulikuwa una pambana na loo yako eee yalab muweke mahali pema jamn camin mm daaah
Mujifunze sasa duniani tunapita tu majigambo kujiinua kuchukiana hovyo kabisa bado mdogo masikini yaani inauma sana tujifunze wanadamu tumekua na viburi vya uzima nausikute kachukuliwa tu hajafa Mungu tuhurumie ulinzi wako uwe karibu yangu na wanangu tuwaombee watt wetu tu
Nawe Jifunze kifo hakina mwenyewe😢😢😢
Mungu akulaze mahali pema peponi 😂
Paix a son âme reposé en paix 🤣🤣
Pumzika kwa am dada yetu❤
😭😭😭😭
Katolewa kafara huyo na bos wake