Alichoandika DIAMOND, ZUCHU,MAJIZZO, baada ya KIFO cha DIDA SHAIBU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RUclips channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

Комментарии • 41

  • @khadijakimana8809
    @khadijakimana8809 2 часа назад +1

    Subhanallah😭😭😭Inna lillahi wa inna ilahi rajiun 😭💔so sad😭💔 Mwenyenzi Mungu akurehemu Dida🤲 pole familia ya Wasafi Media from 🇨🇦

  • @minnahhers7437
    @minnahhers7437 2 часа назад +1

    Innalillah wainna illayh raji'uun
    Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake Yeye sote tutarejea

  • @SalmaMsikiti
    @SalmaMsikiti Час назад +3

    Kumbe anaitwa khadija jaman ndio nimejua Leo mungu alipe kwa alichokipanda

  • @nahimanajo8993
    @nahimanajo8993 Час назад

    Innalillah wa Innalillah rajiun hakika sote ni wa mwenyezi Mungu na kwake tutarejea 😭Mungu ampe safari nyepesi. 😭😭

  • @PrudenceMuyambango
    @PrudenceMuyambango 57 минут назад +1

    Inna lillahi wainna lillahi . rajihunnu

  • @aishahaji3128
    @aishahaji3128 2 часа назад +8

    Mwenzio huyo ameondoka na ww Zuchu tembea uchi tu kazi kwako tuna,biwa mtu akifa zidi muislam hatakiwi kutembea uchi na nyie mulikuemo huko na mawigi makubwa na makucha shauri zenu achetu turudi kwa Allah jamani

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 Час назад +1

      Tatizo hatuskii binadamu, haswa mastaa wanawake...hafikiria sijui wana mkataba na Mungu wa kuishi au vipi,mwenzao akiaga kama ivi hawajifunzi kabsaa!😢

    • @agbordorothy4901
      @agbordorothy4901 40 минут назад

      You are judging too much. What has Zuchu done to you people. You are not perfect .No one is perfect. Zuchu left before this girl died. May her soul find rest in the bosom of the Lord. Fix your own life before you criticise others😢.

    • @NasoroZubery
      @NasoroZubery 36 минут назад

      Naww ulie type hii comment unajua utakufaje..? Usimseme wala kumuhukum mtu.. amna anaejua mwsho wake… wew unaejiona uko saw.. tuombee tu dua sie tuliopinda.. sio kusemana kw ubaya🙏👊

    • @enemtatuka5863
      @enemtatuka5863 10 минут назад

      Kwaio ukivaa gauni ndo ufiii

    • @marthachang2384
      @marthachang2384 8 минут назад

      Stop judging ,,,mwenye kutoa hukumu ni mungu pekee. Ww hujui utakufaje na wala hujui dida alikufaje siku yake ya mwisho.

  • @SalamaJuma-s8e
    @SalamaJuma-s8e Час назад

    Inalilah waina ililah mungu akupe safari nyepesi dada jaman cna la kusema dash mungu ukuweke Panapo kustaili

  • @AbidadyTimotheo-p4u
    @AbidadyTimotheo-p4u 2 часа назад

    Mungu ailaze lohoyake.mahara pema.pepon ameeen

  • @Mwanaulu
    @Mwanaulu Час назад +1

    Innalillah wainnailaih rajiun

  • @IloveIslam-v1y
    @IloveIslam-v1y 46 минут назад

    INNA LILLAHI WA INNA ILAIHI RAJJIUN

  • @MarthajeromeMushi
    @MarthajeromeMushi 2 часа назад

    Polen sana wasaffm pole sammira mwenyez mungu akutie nguv😢😢😢😢

  • @sasamama7934
    @sasamama7934 31 минуту назад

    Sema ina lillah waina ileyhe rajiuon انا لله وإنا إليه راجعون

  • @BarakaSaidi-c9t
    @BarakaSaidi-c9t 2 часа назад

    Mwenyez mungu amlaze mahali pema peponi

  • @EdwinJohn-vo8uf
    @EdwinJohn-vo8uf 2 часа назад

    Poleni sana wasafi fm kwa msiba huu mzito😅

  • @ZulfaIssa-x7i
    @ZulfaIssa-x7i Час назад

    Innalillaah wainna ilayhi raj,un.

  • @HalimaAzizi-h4r
    @HalimaAzizi-h4r Час назад

    Inna lillah wainna lillah rajuun

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 2 часа назад +1

    😢bado siamini jmn af mtangazaji didiya ndo nini ebu kuwa makini

  • @mariebahati8025
    @mariebahati8025 2 часа назад

    Pole sana

  • @MdBass-lj2bu
    @MdBass-lj2bu 2 часа назад +1

    Innalilah wainnailaih rajiun pumzika Kwa amani dida 😭😭💔

  • @Masika-pu5mo
    @Masika-pu5mo Час назад

    Innalillah wainaillah rajiun

  • @BestiBoyTz
    @BestiBoyTz 2 часа назад

    Duh mungu atuongoze mahala pema

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 Час назад +2

    Dida umemuacha Shetani duniani akiwa anakupenda sn😢

  • @SALAMASALMIN
    @SALAMASALMIN 2 часа назад

    Daaah moyo unauma jaman R.I.P

  • @RashidHassun
    @RashidHassun Час назад

    Kweli mtu ukifa ndo uzur wako unaonekana wiki moja nyuma ty mlikua mnakandia yy na esma platnamz ila all in all pumzika kwa Aman kipnz chetu dida gape lako tutaliona wasafi hakuna replacement yako Dada yet 😭😭😭

  • @SalmaHalfan-q8k
    @SalmaHalfan-q8k 2 часа назад

    rip dida

  • @meryamreally2768
    @meryamreally2768 2 часа назад

    Amen 💔💔😭😭🙏🙏

  • @Mku-wa-waku1
    @Mku-wa-waku1 2 часа назад

    Mwenyezimungu amlaze maala pema 😢💔

  • @KhamisiAbuu
    @KhamisiAbuu Час назад +1

    Jamn camin mm kila ck nasikilz wasaf wik hii cjakusikia dida kumbe ulikuwa una pambana na loo yako eee yalab muweke mahali pema jamn camin mm daaah

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 Час назад

    Mujifunze sasa duniani tunapita tu majigambo kujiinua kuchukiana hovyo kabisa bado mdogo masikini yaani inauma sana tujifunze wanadamu tumekua na viburi vya uzima nausikute kachukuliwa tu hajafa Mungu tuhurumie ulinzi wako uwe karibu yangu na wanangu tuwaombee watt wetu tu

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS 50 минут назад

      Nawe Jifunze kifo hakina mwenyewe😢😢😢

  • @lucasjohn9055
    @lucasjohn9055 Час назад

    Mungu akulaze mahali pema peponi 😂

  • @JoshISSE-NGOMA
    @JoshISSE-NGOMA 8 минут назад

    Paix a son âme reposé en paix 🤣🤣

  • @princenoor1418
    @princenoor1418 2 часа назад

    Pumzika kwa am dada yetu❤

  • @tifashadrack7135
    @tifashadrack7135 2 часа назад

    😭😭😭😭

  • @AmisiLulacha
    @AmisiLulacha 16 минут назад

    Katolewa kafara huyo na bos wake