Jaman Nampenda Sana huyu Muimbaji Nimuimbaji Nguli wa Mucis ya Injiri Asioteteleleka Toka Anaimba Mpk leo Bado yupo Imara Ubarikiwe Mtumishi wa Mbwana nani Anamkubali Agonge like twende Pamoja
I love this lady so much , she has such a beautiful and natural voice ; God has blessed her with a natural melodic voice ... mama! continue to serve the Almighty God humbly.
Ujumbe mzuri na imara napenda sana hilo andiko na ndio faraja na njia yangu. Heri mtu yule asie kwenda katika shauri ya wasio haki, wala hakusimama katika njia ya wakosaji , wala hakuketi baradhani pa wenye mizaa . Bali sheria ya Bwana ndio impendezayo nayo huitafakari mchana na usiku. Zaburi sura ya kwanza
nawapenda sana CVC na wimbo huu ni mzuri sana Mungu awazidishie na vipawa hivyo vya utunzi maradufu kutumia kitabu kitakatifu....you are a very special choir for my spiritual life
huu wimbo ni wimbo ambao kwa hakika haujapatikana kwa maarifa ya mwanadamu bali ni kwa upako wa Bwana kwa hawa wanadada na ndugu zetu . Ni wimbo mojawapo ya zile ambazo zimetolewa na hili kanisa la AIC SHINYANGA ambazo znatoa msisimuko wa kirorho kwetu wanadamu....Asanteni sana na Mungu awabariki......AMINA
The Rhythm, voices and just everything is just beautiful. I love you people... Diana, Bahati, Lydia, Mrhm Mariam, Ezekiel, Charles, Kaka Meshack, Reuben, just to mention but a few... You always bless my hear!
Jamani huu ni wimbo mzuri mno wenye ujumbe kutoka Zaburi 1. AIC Chang'ombe Kwaya asante sana kwa uimbaji bora. Mungu wetu anapokea utukufu katika nyimbo zenu. Nami nabarikiwa sana.
Ninapotazama huu wimbo natokwa na machozi 😭😭😭ninapomuona Mariam kwa hii video ,akii aliyemuua Mariam nae akaione jehanamu hata kama hukumu si kwetu but alimtendea unyama dada yangu,Mariam natumia unadance na malaika rest in peace dada😢😢😢😢
Amen! Glory to God! Ninawapenda sana na kuwakubali sana tu. Nyimbo zenu nyingi zi katika mafungu ya Biblia, tunalisikia neno kupitia nyimbo zenu. Mungu awainue mnapomtumikia na kuwapa hekima na nguvu ya kutumika. Napenda utulivu wenu ktk kucheza, mmetulia...
Nashindwa niseme nini wana CVC,napenda sana uimbaji wenu...yaani mnabariki sana kwa hizi nyimbo za kitambo.Mungu amewainua kwa kiwango kikubwa zaidi na zaidi kibali chake kimewanyeshea.Mama diana ubarikiwe kwa kuongoza wimbo vyema.CVC mbarikiweni
AIC mnajitaidi kumwinua baba wa mbinguni nasikia raha sana kusikiliza na kutizama nyimbo zenu uwa najiona niko ibadani live.Mama Dorcas hongera sana kwa kusolo Safi.
Congratulations CVC for the effort and commitment in God's ministry without tiring, remember is not in vain there's a reward by God; the one who sees in secret.
Jaman Nampenda Sana huyu Muimbaji Nimuimbaji Nguli wa Mucis ya Injiri Asioteteleleka Toka Anaimba Mpk leo Bado yupo Imara Ubarikiwe Mtumishi wa Mbwana nani Anamkubali Agonge like twende Pamoja
. Mi
Dhe ripazi bend
Mama Diana James mama wa upako wa tofauti
Mm pia nampenda sanaa
Natamani sana ❤❤❤
Katika Kwaya ambazo huwa nazielewa vizuri na kunibariki ni AIC Chang'ombe.
Hakuna nyimbo wala mwimbaji asiye maridadi na hasa wamama wanajitaidi sana
Munaimba vizuri sana ila hamfanyii promotion nyimbo zenu ndo maana youtube hazifanyi vizuri
1million views glory to God +254 tunabarikiwa sana
Nzuri Hii Mmetukumbusha nyakati zilee Bwana Awabariki Sanaa.❤
Mama Dorcas mimi nabalikiwa na nyimbo zenu na sana zile umeongoza.Bwana asindi kuwainua kiwango na kingine.
Thanks mama may God bless you
MMBARIKIWE Hadi MSHANGAE nawapenda 😘❤️👌❤️ pongezi kwa waalimu🙏🙏🙏
Hizo Melody jamani natamani kujiunga nao
Mama anaimba kwa hisia Sana hongera Sana MAMA
Barikuwa Sana na huyu mama mwimbaji sauti nzur Sana wimbo mzuri ujumbe wake nafurai kukuona Bado upo kwenye ubora wako toka enzi umeanza kuimba
Ninapotazama nyimbo kama hii huwa sipendi MTU anisemeshesemeshe nataka utulivu mbarikiwe wanaaic chang'ombe
Nawapenda sana mnavoimba kwa nyimbo zenu zote
@@angerinamgaya5517 asante kwa uinjiilishaji wenu Mungu Awabariki
Jaman mam huyu anaimba vizur mungu akubariki mam
I love this lady so much , she has such a beautiful and natural voice ; God has blessed her with a natural melodic voice ... mama! continue to serve the Almighty God humbly.
Tukilikataa NENO hukumu yatungoja..Asante kwa maonyo.MUNGU atusaidie🙏🙏
Ujumbe mzuri na imara napenda sana hilo andiko na ndio faraja na njia yangu.
Heri mtu yule asie kwenda katika shauri ya wasio haki, wala hakusimama katika njia ya wakosaji , wala hakuketi baradhani pa wenye mizaa . Bali sheria ya Bwana ndio impendezayo nayo huitafakari mchana na usiku. Zaburi sura ya kwanza
Much love from kenya.That song blesses me.I must play it everday before i leave for work!
me too! I play it everyday.
jaman huu wmbo unanibariki asee yan nauchek mara kama zote!!!mungu awabariki
Binafsi naupenda sana wimbo huu.....unanibariki sana " it's song of my choice" stay blessed
Kwa kweli we mwanamama, Mungu akuinue mnoooo, yan nakupenda
Ningependa kuwaona live. Good song and voices.
Mungu awabariki sana, mnaimba vzr
Loveness God mungu awabalik san
Mama doricas Mwenyezi Mungu azidi kikuinua.kwa kweli nabalikiwa sana na sauti yako nakupenda hadi nahisi kuuguwa jaman
Sana'a anasauti huyu mama jamanii ,Mungu ambariki
Amen
Amen
African Inland Church Tanzania (AICT) Changombe Choir you are one my favourite choir, many congrats for attaining 30 years singing gospel music.
Hata mim namkubali sana huyu mama❤
Wow my people....l love Congratulations for this awesome. Make sure we get the tape here in Kenya. Nawapenda
Heri MTU Yule, is a spiritually edifying song. Singing the scriptures, pleases the Lord God in no small way. Barikiweni Sana, Wana kwaya ya changombe.
Heri mtu yule/ 20/8/2024. nyimbo nzur sana
🎉🎉🎉❤❤❤
Wagaratia mko vizuri sana ipo siku tutaimba wimbo mpya mbinguni pamoja ubeti mmoja mda mrefu
nawapenda sana CVC na wimbo huu ni mzuri sana Mungu awazidishie na vipawa hivyo vya utunzi maradufu kutumia kitabu kitakatifu....you are a very special choir for my spiritual life
huu wimbo ni wimbo ambao kwa hakika haujapatikana kwa maarifa ya mwanadamu bali ni kwa upako wa Bwana kwa hawa wanadada na ndugu zetu . Ni wimbo mojawapo ya zile ambazo zimetolewa na hili kanisa la AIC SHINYANGA ambazo znatoa msisimuko wa kirorho kwetu wanadamu....Asanteni sana na Mungu awabariki......AMINA
Hongereni sana cvc chang'ombe kwa wimbo mzur mungu awatunze muendelee kumtumikia mungu. Amen
Hakika Mungu awabariki sana
Love you guys!!! All the way from Nairobi Kenya.. Blessings
Ee mungu tufundishe kuifuata njia yako mbalikiwe sana nyimbo zenu zote zina upako
Nampenda Sana hii choir mungu awabariki Sana.
my most favorite choir with my favorite soloist ,may God bless you abundantly as you attain 30 years ministering the gospel through music.
Nabarikiwa saaaana na utunzi na uimbaji huu.Bwana azidi kuutunza wimbo huu
The Rhythm, voices and just everything is just beautiful. I love you people... Diana, Bahati, Lydia, Mrhm Mariam, Ezekiel, Charles, Kaka Meshack, Reuben, just to mention but a few... You always bless my hear!
Unawajua
@@phoebemukhwana3058 Yes I do!!! My very good friends 😘😘😘
AICT Chango'mbe vijana choir is the best way to talk to GOD.May you be blessed!
Nyimbo zinazozingatia Maandiko
Vunja, Gusa,Mpinga Kristo, mikate! I am missing the old CVC guys, you used to have a unique style of music and singing
Huyu muimbaji kwakweli yupo vzr tunampenda mnoooo mungu ampe wepesi atfkishie ujumbe zaidi kuptia kwake kwa kipaji chake alichojaliwa nacho
Your songs made me change my ways. .....be blessed
Amina ubarikiwe
my Tanzanian favorite choir..... nawakubali kwa asilimia kubwa sana Bwana azidi kuwatumia
Nyimbo hii huwa inanibariki sana....... Mungu azidi kuwainua!!!
Love from kenya..you are truly a blessing to my life.i love your songs💕💕
Mungu amewainua katika kiwango cha juu sana katika kumtumikia yeye damu ya Yesu Kristo iwafunike nyote
I listened to this song and gave my life to Christ be blessed you touched my soul and changed my life for ever
Huyu mama anaimba sn kweli ni mkongwe yupo vizuri sn
Hongera sana Dada yangu sololist
Jamani huu ni wimbo mzuri mno wenye ujumbe kutoka Zaburi 1. AIC Chang'ombe Kwaya asante sana kwa uimbaji bora. Mungu wetu anapokea utukufu katika nyimbo zenu. Nami nabarikiwa sana.
nawapenda sana nyie watu mwenyezi mungu awabariki sana
Ubarikiwee soloo nakupenda sana we Mama❤️❤️❤️❤️❤️♥️♥️♥️♥️♥️
yaan hat mimi huy mumy nampnda san
Kwel kabisa nyimbo zote anazosolo zinabariki!!!
Hii ni talanta,nynyi ni baraka kwangu,naomba mzidi kutubariki na nyimbo kama hizi
Hamjawahi kukosea hata siku moja,Mungu azidi kuwainua.asante mama kwa sauti tamu
Wimbo wangu Bora kabisa kwa Mwaka 2019
👌👌👌👌👌
Sending love to y'all from the U.S.
Ninapotazama huu wimbo natokwa na machozi 😭😭😭ninapomuona Mariam kwa hii video ,akii aliyemuua Mariam nae akaione jehanamu hata kama hukumu si kwetu but alimtendea unyama dada yangu,Mariam natumia unadance na malaika rest in peace dada😢😢😢😢
Mungu awabariki na azidi kumpaka mafuta mabichi
kudos......!!!!!!!! i rilly love the song
Wow,your biggest fan here at ziwani uinjilisti choir
Mbarikiwe sana CVC nyimbo zenu hazinichoshi hakika Mungu aendelee kuwabariki,Cathy from Tanga
Amen! Glory to God! Ninawapenda sana na kuwakubali sana tu. Nyimbo zenu nyingi zi katika mafungu ya Biblia, tunalisikia neno kupitia nyimbo zenu. Mungu awainue mnapomtumikia na kuwapa hekima na nguvu ya kutumika. Napenda utulivu wenu ktk kucheza, mmetulia...
Hiii nimeipenda aseeee
Barikiwa Sana mama, Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi pamoja na kwaya nzima
Mungu awabariki .mm napenda sana nyimbo zenu kutoka Mombasa kenya
Nashindwa niseme nini wana CVC,napenda sana uimbaji wenu...yaani mnabariki sana kwa hizi nyimbo za kitambo.Mungu amewainua kwa kiwango kikubwa zaidi na zaidi kibali chake kimewanyeshea.Mama diana ubarikiwe kwa kuongoza wimbo vyema.CVC mbarikiweni
Mungu awe nanyi wapendwa kazi ni nzuri
Be bless
kweli BWANA wetu YESU azidi kuwapa nguvu za kumtumikia
ongereni sana kwa kazi ya mungu
nabarikiwa sana tuzidi kuwa hodari katika bwana
Mpo vizur sana toka nawasikiliza nikiwa form one mwaka 2009
The song really blesses me
GODBLESS You i like it so much
A good music God bless you
Barikiwa sana waimbaji Mungu awabariki ktk kuitangaza lnjiri watu watubu waokoke
Mbarikiwe sana
Amina amina watumishi wa mungu saut nzuri biti nzuri solo ana saut nzuri very very
Amen nimebarikiwa na wimbo huu pamoja na kiongozi sauti nzuri sn
Mungu awabariki sana waimbaji mlioimba huu wimbo mzuri wenye ujumbe
Kwa kweli wa Tanzania wanaimba.
Kwa kweli nabarikiwa sana na nyimbo zenu,huu ni wimbo mzuri sana na Mungu awabariki sana
Wandugu zandu turudilie mungu kabisa
Mungu azdi kuwabariki nyimbo zenu zina bariki sana
Asanteeeeeee mama ubarkiwe mungu awainueee Kwa viwango vingnee
Sweet music with a powerful message
AIC mnajitaidi kumwinua baba wa mbinguni nasikia raha sana kusikiliza na kutizama nyimbo zenu uwa najiona niko ibadani live.Mama Dorcas hongera sana kwa kusolo Safi.
Mmmmh ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Napenda hii song sana sana...
Hawa vijana wa Keys n noma kweli 😍🥁🎸🔥🔥🎹🎺
Nawapa pole sana wanakwaya wa iac chang'ombe, kwa kuondokewa /kufiwa na mmja wenu...Mungu awatie nguvu
Praise the Lord Jésus-Christ King of Glory ! Happy Anniversary to You ! Jésus-Christ bless You more ! Hallelujha ! Amen 👐💙
Vraiment votre prédication me bénisse
Nawakubali sana chang'ombe mungu awabaliki na hongeleni sana
Amen wimbo wenu umenibariki sana mungu awabariki Sana na muendelee vivyo hivyo
Heri asiyekwenda katika shauri la wasio haki.
Kweli swala hili ni la kuzingatia ndi .
1:44 Atakuwa kama mti uliopandwa kando kando ya maji!
Amen
Mungu na awabariki sana kwa nyimbo nzur sana
Ameeeeee barikiwa saaaaaana
wimbo huu inanibariki sana
Ooooooh Haleluuuuuuuuuuya,your blessedness to be a blesser
Mama mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juuu
Congratulations CVC for the effort and commitment in God's ministry without tiring, remember is not in vain there's a reward by God; the one who sees in secret.
Kweli
Nawapenda sana.
Nimebariki sana na hii nyimbo mungu awabariki sana
Good work. May God bless you 🙏 smart choir
Nice song
Nataka ingine kama hio aki