AICT Chang'ombe Choir (CVC) - Heri mtu yule Official Music Video

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • CHANG'OMBE CHOIR OFFICIAL

Комментарии • 254

  • @nyabisemaro5574
    @nyabisemaro5574 5 лет назад +96

    Jaman Nampenda Sana huyu Muimbaji Nimuimbaji Nguli wa Mucis ya Injiri Asioteteleleka Toka Anaimba Mpk leo Bado yupo Imara Ubarikiwe Mtumishi wa Mbwana nani Anamkubali Agonge like twende Pamoja

  • @georgegama8379
    @georgegama8379 4 года назад +4

    Katika Kwaya ambazo huwa nazielewa vizuri na kunibariki ni AIC Chang'ombe.
    Hakuna nyimbo wala mwimbaji asiye maridadi na hasa wamama wanajitaidi sana

  • @msafiikatondo1251
    @msafiikatondo1251 3 года назад +4

    Munaimba vizuri sana ila hamfanyii promotion nyimbo zenu ndo maana youtube hazifanyi vizuri

  • @davidkisalimwala9458
    @davidkisalimwala9458 3 года назад +7

    1million views glory to God +254 tunabarikiwa sana

  • @user-Michaeljoshuano8hp7pf3l
    @user-Michaeljoshuano8hp7pf3l 2 месяца назад +1

    Nzuri Hii Mmetukumbusha nyakati zilee Bwana Awabariki Sanaa.❤

  • @josephmuhota9446
    @josephmuhota9446 4 года назад +5

    Mama Dorcas mimi nabalikiwa na nyimbo zenu na sana zile umeongoza.Bwana asindi kuwainua kiwango na kingine.

  • @wemajohn534
    @wemajohn534 4 года назад +5

    MMBARIKIWE Hadi MSHANGAE nawapenda 😘❤️👌❤️ pongezi kwa waalimu🙏🙏🙏

  • @bernadetabenedicto
    @bernadetabenedicto 5 месяцев назад +3

    Hizo Melody jamani natamani kujiunga nao

  • @wemajohn534
    @wemajohn534 4 года назад +5

    Mama anaimba kwa hisia Sana hongera Sana MAMA

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 4 года назад +3

    Barikuwa Sana na huyu mama mwimbaji sauti nzur Sana wimbo mzuri ujumbe wake nafurai kukuona Bado upo kwenye ubora wako toka enzi umeanza kuimba

  • @webingogo3633
    @webingogo3633 4 года назад +7

    Ninapotazama nyimbo kama hii huwa sipendi MTU anisemeshesemeshe nataka utulivu mbarikiwe wanaaic chang'ombe

  • @gracelyimojoseph7236
    @gracelyimojoseph7236 3 года назад +4

    Jaman mam huyu anaimba vizur mungu akubariki mam

  • @HumanBeing-pj4hm
    @HumanBeing-pj4hm 4 года назад +10

    I love this lady so much , she has such a beautiful and natural voice ; God has blessed her with a natural melodic voice ... mama! continue to serve the Almighty God humbly.

  • @geraldndone7438
    @geraldndone7438 2 месяца назад

    Tukilikataa NENO hukumu yatungoja..Asante kwa maonyo.MUNGU atusaidie🙏🙏

  • @hatimalnaamani876
    @hatimalnaamani876 4 года назад +2

    Ujumbe mzuri na imara napenda sana hilo andiko na ndio faraja na njia yangu.
    Heri mtu yule asie kwenda katika shauri ya wasio haki, wala hakusimama katika njia ya wakosaji , wala hakuketi baradhani pa wenye mizaa . Bali sheria ya Bwana ndio impendezayo nayo huitafakari mchana na usiku. Zaburi sura ya kwanza

  • @felicitymunjuri6418
    @felicitymunjuri6418 2 года назад +4

    Much love from kenya.That song blesses me.I must play it everday before i leave for work!

    • @nalonja9123
      @nalonja9123 2 года назад

      me too! I play it everyday.

  • @davidmalata5748
    @davidmalata5748 Год назад +1

    jaman huu wmbo unanibariki asee yan nauchek mara kama zote!!!mungu awabariki

  • @berthamremi1496
    @berthamremi1496 9 месяцев назад +1

    Binafsi naupenda sana wimbo huu.....unanibariki sana " it's song of my choice" stay blessed

  • @samsonijuma8228
    @samsonijuma8228 5 лет назад +7

    Kwa kweli we mwanamama, Mungu akuinue mnoooo, yan nakupenda

  • @diananjau2209
    @diananjau2209 2 года назад +3

    Ningependa kuwaona live. Good song and voices.

  • @lovenessgodfrey439
    @lovenessgodfrey439 4 года назад +2

    Mungu awabariki sana, mnaimba vzr

  • @ccyuutz8358
    @ccyuutz8358 6 лет назад +32

    Mama doricas Mwenyezi Mungu azidi kikuinua.kwa kweli nabalikiwa sana na sauti yako nakupenda hadi nahisi kuuguwa jaman

  • @sinzasoundbandtanzania6200
    @sinzasoundbandtanzania6200 6 лет назад +4

    African Inland Church Tanzania (AICT) Changombe Choir you are one my favourite choir, many congrats for attaining 30 years singing gospel music.

  • @KolestaMkamati
    @KolestaMkamati Месяц назад

    Hata mim namkubali sana huyu mama❤

  • @favouropande9561
    @favouropande9561 6 лет назад +11

    Wow my people....l love Congratulations for this awesome. Make sure we get the tape here in Kenya. Nawapenda

  • @andymukima6292
    @andymukima6292 Год назад

    Heri MTU Yule, is a spiritually edifying song. Singing the scriptures, pleases the Lord God in no small way. Barikiweni Sana, Wana kwaya ya changombe.

  • @jeremiahmussa2178
    @jeremiahmussa2178 26 дней назад

    Heri mtu yule/ 20/8/2024. nyimbo nzur sana

  • @bernadetabenedicto
    @bernadetabenedicto 5 месяцев назад +2

    🎉🎉🎉❤❤❤

  • @lamsnshiga3195
    @lamsnshiga3195 3 года назад +1

    Wagaratia mko vizuri sana ipo siku tutaimba wimbo mpya mbinguni pamoja ubeti mmoja mda mrefu

  • @mabitajunior
    @mabitajunior 5 лет назад +2

    nawapenda sana CVC na wimbo huu ni mzuri sana Mungu awazidishie na vipawa hivyo vya utunzi maradufu kutumia kitabu kitakatifu....you are a very special choir for my spiritual life

  • @ciaundercoveroperatives4946
    @ciaundercoveroperatives4946 5 лет назад

    huu wimbo ni wimbo ambao kwa hakika haujapatikana kwa maarifa ya mwanadamu bali ni kwa upako wa Bwana kwa hawa wanadada na ndugu zetu . Ni wimbo mojawapo ya zile ambazo zimetolewa na hili kanisa la AIC SHINYANGA ambazo znatoa msisimuko wa kirorho kwetu wanadamu....Asanteni sana na Mungu awabariki......AMINA

  • @glorygodsonlyimo145
    @glorygodsonlyimo145 5 лет назад +2

    Hongereni sana cvc chang'ombe kwa wimbo mzur mungu awatunze muendelee kumtumikia mungu. Amen

  • @mathewmasyuko8004
    @mathewmasyuko8004 5 лет назад +7

    Love you guys!!! All the way from Nairobi Kenya.. Blessings

  • @b.kmwanshinga1462
    @b.kmwanshinga1462 3 года назад

    Ee mungu tufundishe kuifuata njia yako mbalikiwe sana nyimbo zenu zote zina upako

  • @peninahkerita7260
    @peninahkerita7260 4 года назад +1

    Nampenda Sana hii choir mungu awabariki Sana.

  • @ruthmwanza5235
    @ruthmwanza5235 5 лет назад +7

    my most favorite choir with my favorite soloist ,may God bless you abundantly as you attain 30 years ministering the gospel through music.

  • @stevenhiza6602
    @stevenhiza6602 Год назад

    Nabarikiwa saaaana na utunzi na uimbaji huu.Bwana azidi kuutunza wimbo huu

  • @jacquelinekitheka8746
    @jacquelinekitheka8746 5 лет назад +3

    The Rhythm, voices and just everything is just beautiful. I love you people... Diana, Bahati, Lydia, Mrhm Mariam, Ezekiel, Charles, Kaka Meshack, Reuben, just to mention but a few... You always bless my hear!

  • @karaniepuret3789
    @karaniepuret3789 3 года назад +1

    AICT Chango'mbe vijana choir is the best way to talk to GOD.May you be blessed!

  • @PhilipChacha-w7f
    @PhilipChacha-w7f 7 дней назад

    Nyimbo zinazozingatia Maandiko

  • @geraldbenjamin9302
    @geraldbenjamin9302 4 года назад +1

    Vunja, Gusa,Mpinga Kristo, mikate! I am missing the old CVC guys, you used to have a unique style of music and singing

  • @njillihotz2785
    @njillihotz2785 3 года назад

    Huyu muimbaji kwakweli yupo vzr tunampenda mnoooo mungu ampe wepesi atfkishie ujumbe zaidi kuptia kwake kwa kipaji chake alichojaliwa nacho

  • @georgerioba9929
    @georgerioba9929 3 года назад +2

    Your songs made me change my ways. .....be blessed

  • @evangelist.isaackyalooffic6080
    @evangelist.isaackyalooffic6080 5 лет назад +3

    my Tanzanian favorite choir..... nawakubali kwa asilimia kubwa sana Bwana azidi kuwatumia

  • @msumbaedmund6685
    @msumbaedmund6685 2 года назад +1

    Nyimbo hii huwa inanibariki sana....... Mungu azidi kuwainua!!!

  • @dollypartonchepngetich3692
    @dollypartonchepngetich3692 2 года назад +1

    Love from kenya..you are truly a blessing to my life.i love your songs💕💕

  • @sirnunda3758
    @sirnunda3758 5 лет назад +1

    Mungu amewainua katika kiwango cha juu sana katika kumtumikia yeye damu ya Yesu Kristo iwafunike nyote

  • @paulwasike7773
    @paulwasike7773 5 лет назад +4

    I listened to this song and gave my life to Christ be blessed you touched my soul and changed my life for ever

  • @fadhilingwembele6211
    @fadhilingwembele6211 3 года назад +1

    Huyu mama anaimba sn kweli ni mkongwe yupo vizuri sn

  • @evalinaelias769
    @evalinaelias769 4 года назад

    Hongera sana Dada yangu sololist

  • @danielorango5875
    @danielorango5875 6 лет назад +9

    Jamani huu ni wimbo mzuri mno wenye ujumbe kutoka Zaburi 1. AIC Chang'ombe Kwaya asante sana kwa uimbaji bora. Mungu wetu anapokea utukufu katika nyimbo zenu. Nami nabarikiwa sana.

    • @devmwangos636
      @devmwangos636 5 лет назад

      nawapenda sana nyie watu mwenyezi mungu awabariki sana

  • @latiphajackson4901
    @latiphajackson4901 3 года назад +1

    Ubarikiwee soloo nakupenda sana we Mama❤️❤️❤️❤️❤️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @martinkobiamwimbi2190
    @martinkobiamwimbi2190 5 лет назад +2

    Hii ni talanta,nynyi ni baraka kwangu,naomba mzidi kutubariki na nyimbo kama hizi

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 5 лет назад +1

    Hamjawahi kukosea hata siku moja,Mungu azidi kuwainua.asante mama kwa sauti tamu

  • @nsajigwamwakanyamale8731
    @nsajigwamwakanyamale8731 5 лет назад +3

    Wimbo wangu Bora kabisa kwa Mwaka 2019

  • @gervillepalvin2336
    @gervillepalvin2336 4 года назад +3

    Sending love to y'all from the U.S.

  • @emmahvellmmah9501
    @emmahvellmmah9501 5 лет назад

    Ninapotazama huu wimbo natokwa na machozi 😭😭😭ninapomuona Mariam kwa hii video ,akii aliyemuua Mariam nae akaione jehanamu hata kama hukumu si kwetu but alimtendea unyama dada yangu,Mariam natumia unadance na malaika rest in peace dada😢😢😢😢

  • @josephinemuhonja743
    @josephinemuhonja743 5 лет назад +4

    Mungu awabariki na azidi kumpaka mafuta mabichi

  • @ackst.josephaldina3954
    @ackst.josephaldina3954 4 года назад +1

    kudos......!!!!!!!! i rilly love the song

  • @berittahmumbe6534
    @berittahmumbe6534 2 года назад

    Wow,your biggest fan here at ziwani uinjilisti choir

  • @katarinamahoza606
    @katarinamahoza606 6 лет назад +2

    Mbarikiwe sana CVC nyimbo zenu hazinichoshi hakika Mungu aendelee kuwabariki,Cathy from Tanga

  • @deboramuhoja1777
    @deboramuhoja1777 6 лет назад +5

    Amen! Glory to God! Ninawapenda sana na kuwakubali sana tu. Nyimbo zenu nyingi zi katika mafungu ya Biblia, tunalisikia neno kupitia nyimbo zenu. Mungu awainue mnapomtumikia na kuwapa hekima na nguvu ya kutumika. Napenda utulivu wenu ktk kucheza, mmetulia...

  • @yohanaelia420
    @yohanaelia420 4 года назад +1

    Hiii nimeipenda aseeee

  • @abrahamnyangwa3298
    @abrahamnyangwa3298 2 года назад

    Barikiwa Sana mama, Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi pamoja na kwaya nzima

  • @mrimacharoo5474
    @mrimacharoo5474 3 года назад

    Mungu awabariki .mm napenda sana nyimbo zenu kutoka Mombasa kenya

  • @sheddy2417
    @sheddy2417 6 лет назад

    Nashindwa niseme nini wana CVC,napenda sana uimbaji wenu...yaani mnabariki sana kwa hizi nyimbo za kitambo.Mungu amewainua kwa kiwango kikubwa zaidi na zaidi kibali chake kimewanyeshea.Mama diana ubarikiwe kwa kuongoza wimbo vyema.CVC mbarikiweni

  • @happyedward5635
    @happyedward5635 2 года назад

    Mpo vizur sana toka nawasikiliza nikiwa form one mwaka 2009

  • @faithjoseph9523
    @faithjoseph9523 Год назад +1

    The song really blesses me

  • @fadhilimalila5285
    @fadhilimalila5285 2 года назад +1

    GODBLESS You i like it so much

  • @jenniferkiio5608
    @jenniferkiio5608 2 года назад

    A good music God bless you

    • @sarahluvanda2731
      @sarahluvanda2731 2 года назад

      Barikiwa sana waimbaji Mungu awabariki ktk kuitangaza lnjiri watu watubu waokoke

  • @MamaMudongo
    @MamaMudongo 5 месяцев назад +1

    Mbarikiwe sana

  • @japhykkidoshi4433
    @japhykkidoshi4433 4 года назад

    Amina amina watumishi wa mungu saut nzuri biti nzuri solo ana saut nzuri very very

  • @suzanaelia7084
    @suzanaelia7084 5 лет назад +1

    Amen nimebarikiwa na wimbo huu pamoja na kiongozi sauti nzuri sn

  • @AlfredMunna-xd1vk
    @AlfredMunna-xd1vk Год назад

    Mungu awabariki sana waimbaji mlioimba huu wimbo mzuri wenye ujumbe

  • @dodwiedwin3944
    @dodwiedwin3944 Год назад

    Kwa kweli wa Tanzania wanaimba.

  • @edithkija2752
    @edithkija2752 6 лет назад +1

    Kwa kweli nabarikiwa sana na nyimbo zenu,huu ni wimbo mzuri sana na Mungu awabariki sana

  • @kambalekirovi2805
    @kambalekirovi2805 Год назад

    Wandugu zandu turudilie mungu kabisa

  • @kasenangumbao7058
    @kasenangumbao7058 2 года назад

    Mungu azdi kuwabariki nyimbo zenu zina bariki sana

  • @wilsonbaha102
    @wilsonbaha102 2 года назад

    Asanteeeeeee mama ubarkiwe mungu awainueee Kwa viwango vingnee

  • @antonynjoka7318
    @antonynjoka7318 4 года назад +1

    Sweet music with a powerful message

    • @bugwemakaruti5658
      @bugwemakaruti5658 Год назад

      AIC mnajitaidi kumwinua baba wa mbinguni nasikia raha sana kusikiliza na kutizama nyimbo zenu uwa najiona niko ibadani live.Mama Dorcas hongera sana kwa kusolo Safi.

  • @bernadetabenedicto
    @bernadetabenedicto 5 месяцев назад +1

    Mmmmh ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @winniemarondo4988
    @winniemarondo4988 Год назад +1

    Napenda hii song sana sana...

  • @moseskeys3923
    @moseskeys3923 Год назад

    Hawa vijana wa Keys n noma kweli 😍🥁🎸🔥🔥🎹🎺

  • @maryandrew4606
    @maryandrew4606 6 лет назад

    Nawapa pole sana wanakwaya wa iac chang'ombe, kwa kuondokewa /kufiwa na mmja wenu...Mungu awatie nguvu

  • @Multi10091974
    @Multi10091974 5 лет назад +3

    Praise the Lord Jésus-Christ King of Glory ! Happy Anniversary to You ! Jésus-Christ bless You more ! Hallelujha ! Amen 👐💙

  • @JustineVisamalya-iu2sz
    @JustineVisamalya-iu2sz Год назад

    Vraiment votre prédication me bénisse

  • @ramadhanjuma3584
    @ramadhanjuma3584 Год назад

    Nawakubali sana chang'ombe mungu awabaliki na hongeleni sana

  • @mercywanza5410
    @mercywanza5410 2 года назад

    Amen wimbo wenu umenibariki sana mungu awabariki Sana na muendelee vivyo hivyo

  • @egideshishikarusabe-to9ox
    @egideshishikarusabe-to9ox Год назад

    Heri asiyekwenda katika shauri la wasio haki.
    Kweli swala hili ni la kuzingatia ndi .
    1:44 Atakuwa kama mti uliopandwa kando kando ya maji!

  • @user-gn8gm7vf8r
    @user-gn8gm7vf8r 8 месяцев назад +1

    Amen

  • @jeremiahmussa2178
    @jeremiahmussa2178 4 года назад

    Mungu na awabariki sana kwa nyimbo nzur sana

  • @petersitta478
    @petersitta478 4 года назад

    Ameeeeee barikiwa saaaaaana

  • @TeddyZabron-re1he
    @TeddyZabron-re1he Год назад

    Ooooooh Haleluuuuuuuuuuya,your blessedness to be a blesser

  • @farennestory9834
    @farennestory9834 3 года назад

    Mama mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juuu

  • @abednegonthei8892
    @abednegonthei8892 6 лет назад +1

    Congratulations CVC for the effort and commitment in God's ministry without tiring, remember is not in vain there's a reward by God; the one who sees in secret.

  • @erickmwanyumba4294
    @erickmwanyumba4294 5 лет назад +3

    Nawapenda sana.

  • @tarajeloghwe4624
    @tarajeloghwe4624 4 года назад

    Nimebariki sana na hii nyimbo mungu awabariki sana

  • @jamesmutisya6588
    @jamesmutisya6588 2 года назад

    Good work. May God bless you 🙏 smart choir

  • @tuliakiholo2693
    @tuliakiholo2693 3 года назад

    Nice song

  • @mercywanza5410
    @mercywanza5410 2 года назад

    Nataka ingine kama hio aki