Part5_Mapepo katika fomu ya kibinadamu,hawa waigizaji nao wamo|USHUHUDA WA RACHEL&ZIPPORAH MUSHALA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
    1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
    3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Комментарии • 101

  • @otacyndula5491
    @otacyndula5491 2 года назад +19

    Kwa hilo ni kweli,,,, hata wale wanaobadili jinsia wengi wao ni mapepo yanafanya hayo ili tuone ni jambo la kawaida, Bwana Yesu atuokoe

  • @jamesmarema8590
    @jamesmarema8590 3 месяца назад +2

    Namuamini MWENYEZI MUNGU katika hili ataendelea kutulinda,yeye ni zaidi ya mlinzi kwetu...WE LOVE YOU OUR FAITHFUL GOD THANKS FOR REMINDING US...

  • @shadrackwilfred2606
    @shadrackwilfred2606 2 года назад +22

    Huu ni ukweli Jaman! Mtu yeyote Asiupuuzie

  • @jamesmarema8590
    @jamesmarema8590 3 месяца назад +1

    Mwenyezi
    Mungu atukumbuke na awajalie zaidi maono kwa ni mwaminifu hatowaacha kamwe!!!

  • @AdolphMarenge-jd6vw
    @AdolphMarenge-jd6vw 4 месяца назад +2

    asante sana Mungu naomba umbariki sana mtumishi wako jacktani kwa kutuletea ujumbe wako mtakatifu

  • @dokasa9176
    @dokasa9176 2 года назад +11

    Waah,jameni bila kuongozwa na Roho Mtakatifu na kuishi kwa Maombi ya kila dakika hatutaweza haya Maisha,Mtumishi wa Mungu barikiwa sana,inuliwa kwa viwango vya juu

  • @sarahmdindile4301
    @sarahmdindile4301 2 года назад +7

    Kusikia hizi shuhuda ni Neema ya Mungu tu.

  • @rhodalissu6953
    @rhodalissu6953 Год назад +2

    Nabarikiwa sana na shuhuda hizi, Mungu aendelee kuwatumia zaidi

  • @mariachannelke9769
    @mariachannelke9769 2 года назад +19

    I’m following following the testimony while in Cairo as a Kenyan 🇰🇪🇰🇪 jactan God will pay you too for educating us
    May the lord be my strength

  • @riccahcate8126
    @riccahcate8126 2 года назад +4

    Mungu Baba naomba rehema yako katika maisha yetu utupe macho na maskio ya rohoni tupate kuelewa kuwa ni Yesu tu ndiyo njia ya uzima wa milele

  • @happykajeli5453
    @happykajeli5453 2 года назад +3

    Hii ni hatari Yesu uniokoe tembea nami na kizazi changu bwana wangu nilizipenda sana hizi filam za Nigeria nakili kuacha

  • @fruitfulmpanduji2494
    @fruitfulmpanduji2494 2 года назад +3

    We YESU niepushe na marafiki mapepo ya kujigeuza binadamu

  • @penieliedward6768
    @penieliedward6768 2 года назад +7

    Hii itakuwa kweli kulingana na kitabu cha Danieli 2 _43 watajichanganya nafsi zao na binadamu lakini hawatachanganyikana kama udongo usivyo chakanyikana na chuma

  • @peninahkariuki1136
    @peninahkariuki1136 2 года назад +4

    Ameen still following 'may God help us 🙏🇰🇪

  • @marianachriss2444
    @marianachriss2444 2 года назад +8

    Kweli inabidi tupige injili ya YESU KRISTO bila kuchoka , BWANA YESU KRISTO anatupenda tumejua siri hii,

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 2 года назад +2

    Amen Yesu naomba unipe macho na masikio ya rohoni tuone na kuepuka usio penda

  • @LukasNdaji
    @LukasNdaji 3 месяца назад +1

    MUNGU akubariki sana

  • @MariaMwasyila-mq6yc
    @MariaMwasyila-mq6yc Год назад +1

    Mungu atusaidie pia atupe macho ya rohoni na masikio tuweze kuepukana na uongo wa shetani

  • @rebecafuraha8051
    @rebecafuraha8051 2 года назад +4

    yesu utusaidiyee kweli bila WEWE hatuwezi kitu.nanjoomana muvi nyingi za Nigeria zinakuwa zakichawi😭😭😭

  • @piliechildofkingjesus4594
    @piliechildofkingjesus4594 2 года назад +5

    Inatisha sana ila Bwana Yesu ni ngao yetu.

  • @mwanga3358
    @mwanga3358 2 года назад +2

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu, naona sisi tuna Neema kufunuliwa hivi vitu, Mungu atunusuru kwasababu dunia kweli inatisha damu ya Yesu itufunike kila mahali tutajikuta

  • @lilianngushi1531
    @lilianngushi1531 2 года назад +2

    Mwenyezi Mungu tunusuru na hii falme ya ngiza/mapepo 😭😭😭😭😭

  • @aminaally4163
    @aminaally4163 2 года назад +3

    MUBARIKIWE WATUMISHI WA BWANA WETU YESU KRISTO.

  • @rmaryp6269
    @rmaryp6269 2 года назад +10

    Nimeshangaa hao waigizaji wa Nigeria! Patient ana kanisa pia na watu wanahudhuria wengi tu! Ahsante Yesu kwa mafunuo haya ya kushangaza!! Mungu akubariki sana Jacktan.

    • @kithia100
      @kithia100 2 года назад +3

      Nilipenda saana filamu za patient but since my turning point roho yangu ilikataa kabisaa ku watch Tena hixo filamu

    • @kithia100
      @kithia100 2 года назад +1

      Leo ndio nimejua kwa nini asante sana jktn

    • @millicentayangokunting3728
      @millicentayangokunting3728 2 года назад +1

      @@kithia100 hata mimi

    • @rmaryp6269
      @rmaryp6269 2 года назад +2

      @@kithia100 Hata mimi! Pia ilitokea tu nikawa siangalii kbs movie zote za ki-Nigeria. Namshukuru Roho Mtakatifu kwa kunizuia; kumbe wahusika wenyewe ndo hao!!

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  2 года назад

      Amen

  • @daisymuthoni675
    @daisymuthoni675 2 года назад +5

    Following n learning alot from🇰🇪

  • @rashidkayeke712
    @rashidkayeke712 2 года назад +9

    YESU ni Mwema. anayafunua haya ili tusipotee. Hizi habari hata Moses Kulola alizihubiri .
    Jacktan naomba YESU akulinde uendelee kufanya injilii hii.

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  2 года назад

      Amen

    • @daudijacob7377
      @daudijacob7377 Год назад

      Tuwe making ktk kuomba Hawa n wengi kuliko binadamu halis tuombeane kanisa

  • @khwakasarah4582
    @khwakasarah4582 2 года назад +1

    Leaning alot brother be blessed more grace and wisdom and protection of God Almighty in Jesus might name Amen

  • @RadiyaHassan-m7g
    @RadiyaHassan-m7g 9 месяцев назад

    Barikiwa sana mtumishi unanifungua ufahamu wangu kupitia maona aya

  • @kamwelameshack4795
    @kamwelameshack4795 2 года назад

    Asante kwa ushuhuda ili tutengeneze maisha yetu kwa Bwana hakika Jacktan Mungu akubariki

  • @editarichard3590
    @editarichard3590 2 года назад +3

    Mungu tusaidie

  • @lilianngushi1531
    @lilianngushi1531 2 года назад +1

    Asante Mtumishi kwa huu ufunuo, Mwenyezi Mungu turehemu.

  • @gladnessvuzuka7756
    @gladnessvuzuka7756 10 месяцев назад +1

    Ee Mungu tunaomba utusaidie

  • @tatumluv6054
    @tatumluv6054 2 года назад +5

    Mungu tutie nguvu maana wengi tunapotea bila ufahamu

  • @elizalaya7887
    @elizalaya7887 2 года назад +2

    Mungu tusaidie

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 2 года назад +1

    amen asante jacktan

  • @macamezungu7031
    @macamezungu7031 2 года назад +2

    Duh yesu wangu🙏

  • @dominicgreyson3734
    @dominicgreyson3734 2 года назад +2

    Amina mtu wa mungu tupo pamoja

    • @josephmarwa7212
      @josephmarwa7212 2 года назад +1

      Duh ulikua unasubiri kama Mimi🤣🤣

  • @tabithajeremiah2657
    @tabithajeremiah2657 2 года назад +3

    Hii ya mapepo kuwa katika mwonekano wa kibinadamu ni kweli tupu nilisikiluza ushuhuda wa binti kutoka kahama alioneshwa Duniani na aliona mfano wa watu na Yesu akamwambia hayo ni mapepo,lakini neema ya kristo inatutosha

  • @salomejames5892
    @salomejames5892 2 года назад +1

    BWANA YESU tusaidie, utuponye tunaitaji msaada wako bila wewe hatuwezi kushinda, tusaidie BWANA tupe macho ya kiroho.

  • @Sara-ne3xl
    @Sara-ne3xl 2 года назад +1

    Without Jesus,we're nothing and we're finished.

  • @annamulenda6652
    @annamulenda6652 2 года назад +1

    Asante sana Mtumishi wa Mungu !! Nakubali .. Mungu lionyesha Obama and family ya George Washington Bush... J

  • @bazuriyaido6616
    @bazuriyaido6616 2 года назад +1

    Eee mungu nipena mimi ufunuo huu na mimi nijionee

  • @alexmayemba8606
    @alexmayemba8606 Год назад

    Barikiwe mtumishii

  • @kennethogonda2947
    @kennethogonda2947 2 года назад +3

    Roho yangu haikatai kuangalia filamu nyingi za Nigeria. Lakini roho yangu haiwezi kuniruhusu nitazame filamu za Amerikani. Naamini hollywood ndo za kishetani zaidi. Hao watu wa maono pia hudanganya saa zingine. Tuombe ili Mungu atufunulie yeye mwenyewe na tusome Biblia. Tusidanganywe.

    • @daudijacob7377
      @daudijacob7377 Год назад +3

      Hakuna movie mzur movie ni za Shetan Wal haijalishi unatoka nchi Kam haimpi Mungu utukufu wowote bas inamtukuza Shetan vipnd ivi acha ndugu ni vya mapepo kuwa makin n runinga yako

  • @janetjanet8669
    @janetjanet8669 2 года назад +1

    Mungu wangu ni saidie 😭😭😭

  • @sarahjacobs8814
    @sarahjacobs8814 2 года назад +2

    Maajabu dunian hayataisha

  • @faridashabanifaridashabani5950
    @faridashabanifaridashabani5950 2 года назад

    Mungu mwema Amina🙏❤️

  • @sallymumia8425
    @sallymumia8425 2 года назад +1

    Lord Jesus Christ,help us.

  • @lucywilson5875
    @lucywilson5875 2 года назад +1

    Mungu wangu!

  • @josephmarwa7212
    @josephmarwa7212 2 года назад +3

    Yesuuuu😭😭😭

  • @evelyneedward373
    @evelyneedward373 2 года назад +1

    Jactan msafiri
    Ushuhuda huu ingekuwa movie

  • @josephmarwa7212
    @josephmarwa7212 2 года назад +2

    Amina

  • @preciouslissahparis1352
    @preciouslissahparis1352 2 года назад +1

    Duuuu,aiseee sasa hawa waigizaji,,,,,NIMECHOKA NA HII DUNIA.SASA TUTAJUAJE JAMANIII,TUNAHITAJI NEEMA YAKO KRISTU....

  • @briannamwesh7165
    @briannamwesh7165 2 года назад +1

    What! Yesu Christo nisaidie

  • @nkanabodastan7887
    @nkanabodastan7887 2 года назад

    Ubarikiwe kutuletea haya ili tusiangamie

  • @miria659
    @miria659 2 года назад +3

    Oh my God this is shocking🤭

  • @saramss7262
    @saramss7262 2 года назад +1

    MUNGU NIMWEMA Atusaidye SANA jamaniii heeeeee

  • @ruthsamwel671
    @ruthsamwel671 2 года назад +2

    MUNGU tusaidie uwii

  • @happykajeli5453
    @happykajeli5453 2 года назад +1

    Jactan ubarikiwe najifunza mengi tuletee mwendelezo

  • @sarahjacobs8814
    @sarahjacobs8814 2 года назад +2

    Lakini Niko na swali mbona wwako wawili kwani ilikuaje wake da wote mbinguni Kwa wakati mmoja ama iko vipi??

  • @justinaruzige3296
    @justinaruzige3296 2 года назад +1

    Mi nigependa kuuliza hapa kama MTU kaona ama kuolewa na Pepo akingundua na akakuta alishafunga nae ndoa anapaswa kumwacha ama achukue hatua gani? Maana viongozi watu wa makanisa kama hawako kiroho utawaelezaje ili watengue ndoa hiyo ya Pepo?

    • @LucyKapinga-fg4dk
      @LucyKapinga-fg4dk 10 месяцев назад

      Unauliza Au UNACHANGAMOTO ilee

    • @tumpedaudi6681
      @tumpedaudi6681 Месяц назад

      Hii ni changamoto kubwa sana YESU KRISTO atusaidie ikiwa umefunga ndoa na pepo ufanyeje na kama umepata watoto hao watoto wanakuwa watu au mapepo..?

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 2 года назад +1

    Yethuu

    • @concesafl
      @concesafl 2 года назад +1

      Yesu sio Yethu

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 2 года назад +2

    😭😭😭😭

  • @davidndilanha4940
    @davidndilanha4940 2 года назад

    Duh

  • @linetjane9221
    @linetjane9221 2 года назад +1

    Cant believe any of this

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 2 года назад +1

    Aseh kumechafuka

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 2 года назад +2

    Uwiii Yethuu tuokoe

    • @BerylSeer1
      @BerylSeer1 2 года назад +1

      Mbona unatumia yethuu

    • @salomejames5892
      @salomejames5892 2 года назад

      Au na wew ni pepo mfano wa kibinadamu? Kwa nn una badili jina la YESU?

  • @maggyvictor471
    @maggyvictor471 2 года назад +1

    Ng

  • @stellaelias8174
    @stellaelias8174 2 года назад

    Hata KLiSTNA SHUSHO ndo walewale mavazi namapambo halafu anakanisa huwa simuelewi anafanana na hao