MADHABAHU ZINAVYO WEZA KUFANYA KAZI (WAHAYA) MIN SUNBELLA KYANDO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • #Realityministry #SunbellaKyando #Reality Ministry 2029
    Ibada mubashara kutoka Huduma ya Reality of Christ iliyopo Sinza Mori Dar es salaam inayoongozwa na Mtumishi Sunbella Kyando - +255 657 173322
    #Sunbella_Kyando #ROCTV

Комментарии • 9

  • @jescaedwardkurumela4333
    @jescaedwardkurumela4333 2 года назад

    Thanks

  • @devothabishagazi2390
    @devothabishagazi2390 2 года назад

    Yaani ni mengi kweli yanayofanyika sasa huko kwenye "nyaruju"👐👐👐Mungu tusaidie,mi nimekulia familia inayopractise na tulikuwa tunaingia huko,jamanii jamanii ni mateso 😭😭😭

  • @chrispinkundaeli1752
    @chrispinkundaeli1752 3 года назад +2

    Ubarikiwe sana Mtumishi wa Bwana ila wakati ukihubiri kuna kiumbe huwa anasumbua sana na kinanda wakati unahubiri analeta usumbufu sana,je yy anapataga muda saa ngapi kusikiliza neno?

  • @devothabishagazi2390
    @devothabishagazi2390 2 года назад

    Ndio unachenji hela ndogo ndogo unaweka kule ndani na huwezi kuondoka bila kuweka hela tukiwa watoto tulikuwa tunaiba hizo hela kwenye hizo madhabahu na zinanenewa

  • @magesomi6142
    @magesomi6142 5 лет назад +2

    Ni kweli mtumishi,wapo mpaka watumishi wa Mungu hawajuhi haya.Mungu atusaidie sana.

  • @ambelamwaitebele7540
    @ambelamwaitebele7540 5 лет назад +1

    Asante kwa mafundisho mazuri Barikiwa Maana kwetu sisi mtumishi ni zawadi kutoka kwa mungu

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 5 лет назад +1

    barikiwa dady.

  • @ambelamwaitebele7540
    @ambelamwaitebele7540 5 лет назад +2

    Ila wekupa mfupi mwafupi san wamekupa dakika chache