Jinsi ya kuweka FINGER COIL |Tumia gelly nyeusi |Black gelly
HTML-код
- Опубликовано: 12 сен 2024
- TUNAFUNDISHA KUPAMBA MAHARUSI,KUSUKA
0657292650
👇
1.FULL COURSE
√ Kusuka Nywele √ Kupamba Maharusi √ Makeup √ Malemba √ Kutengeneza vibanio
√ Washing and set
√ Kubana nywele kwa maharusi
ADA LAKI TATU (300,000)
Muda miezi mitatu
2. KUJIFUNZA MAKEUP NA MALEMBA ,KUBANA NYWELE KWA MAHARUSI
ADA LAKI MOJA NA NUSU (150,000)
Muda mwezi mmoja
3.KUJIFUNZA MAKEUP NA MALEMBA
Course ya muda mfupi
ADA ELFU HAMSINI (50,000)
Muda wiki tatu
TUPO TEGETA AZANIA
KWA COURSE ZOTE MWANACHUO LAZIMA ULIPIE SH.15,000 KWA AJILI YA TISHET
LIPIA MAPEMA KUJIWEKEA NAFASI YAKO MAFUNZO YETU NI YA UHAKIKA KWA MAFUNZO YOTE VIFAA UTAVIKUTA DARASANI
Muda wa darasa ni saa 4:00 asubuh kutoka ni saa 10:00 jioni
Tuna madarasa ya jioni ni saa 9:00 had sa 12:00 jion
KUJIFUNZA KUPITIA RUclips CHANNEL YETU GUSA LINK👇👇
• KUPAKA OMBRE LIPSTICK ...
HAKIKISHA UNA SUBSCRIBE
0657292650
#@makeup_storetz
WALE WA MIKOANI TUTAKUTAFUTIA HOSTEL/SEHEMU YA KUISHI KARIBU NA CHUO
Follow @farida_beauty_academy
@farida_beauty_academy
#makeup #instamakeup #cosmetic #cosmetics #fashion #eyeshadow #lipstick #gloss #mascara #palettes #eyeliner #lip #lips #tar #concealer #foundati #beauty #b
#makeup #instamakeup #cosmetic #cosmetics
Ahsante my dear nashukuru kwa uwepo wako mungu akupe umri mrefuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Asante dear
Unaweka Nini kabla ya kusuka dear
.jinsi ya kutengeneza juisi
Ubarikiwe dada 🙏 ila naomba niulize kwann gel lazima iwe nyeusi ?
Wewe ni mwalimu mzuri sana sihawahi kutazama video yako nikatoka na ziro
Waoo nimeipenda bure
Nimekusoma mwalim
good job
Kabla huja anza kutwist unapaka lotion gani??
Mm nahitaj kutengeneza hyo nywele
Waoooh nzri
Mpenz kwan lazim nywel iwembich ndoita vzur
Kuna sprey amboyo unaweza itumia kukausha nywele baada ya kufanya Ivo alafu zinakauka zinakua ngumu Ni spey ip hyo
Natengeneza nywele ikiwa mbichi au kavu
Oyooo madameee
Nywele za jelly za kuvuta na kitana ni jelly gani
Good work😍
Naomba kujua unapaka nnn nje ya jel lotabord inahusika
Woooooo ubarikiwe dada
Nzuri
So cmart
Tuelekeze jinsi ya kuweka cury
Ningependa kujua tofauti ya hii gel nyeusi na zile zingine
Tuonyesh jinsi ya kusuka yebo ya uzi
unaosha kwanza najelly ya movit inafaa
Nimependa na nimejifunza kitu japo cripu ni fupi
Big up
Wow tanx
Una stai VP baada
Hii inadumu kwa muda gani
Nywele inakuwa kavu au mbichi?
Baada ya kuosha
👏
Mambo ndio hy Sasa 🙏🙏
😍
Baada ya kukausha unapaka mafuta gani
Nywele iwe mbichi au
Tukihitaj huduma hujibu sms mm matuma sms kila cku jaman
Hata ya dawa inakubali?
Hapana n kwa natural tu
Kukaushia unaweza tumia dryer ya mkono
Big up